Hatimaye wanasayansi wabobezi wanena juu ya Simba S.C ya msimu wa 2016/2017.

Hatimaye wanasayansi wabobezi wanena juu ya Simba S.C ya msimu wa 2016/2017.

Stress licha ya mashabiki viongozi wenu tayari wanatafuta vijisababu mara ooh kuna wachezaji wanacheza chini ya kiwango mtani ukiangalia threads zako kuna siku nilikuonya kuwa wino huu haufutiki ukabisha sasa kiko wapi kufungwa mechi mbili mfululizo tayari mmechanganyikiwa! Safari ndio kwanza imeanza mbio ndefu unatakiwa uwe na pumzi. Waambie hao wana sayansi wako wabaki maabara mambo yamepamba moto (cotton fire )huku.
 
Stress licha ya mashabiki viongozi wenu tayari wanatafuta vijisababu mara ooh kuna wachezaji wanacheza chini ya kiwango mtani ukiangalia threads zako kuna siku nilikuonya kuwa wino huu haufutiki ukabisha sasa kiko wapi kufungwa mechi mbili mfululizo tayari mmechanganyikiwa! Safari ndio kwanza imeanza mbio ndefu unatakiwa uwe na pumzi. Waambie hao wana sayansi wako wabaki maabara mambo yamepamba moto (cotton fire )huku.
Hayo matokeo ya mechi 2 haijawafanya wanasayansi washindwe kuendelea na kazi nzito waliyoianza rasmi 03.10.2016.. Soon nitakuja na ripoti ya maendeleo ya hiyo kazi.
 
Sembo njoo uendeleze uzi umepoa sanaaaaaaa![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu nipo.. Majukumu yamekua mengi.. Ila soon nitarejea.
 
Simba huyu huyu Au?
1e82b9ec8e917a8b842223fa8359f4de.jpg
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu hakuna haja ya kutoa sababu wengi tunajua upo eneo korofi
[emoji2] [emoji2] [emoji2] .. Ni kweli Mkuu.. Ila soon tutakua pamoja
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] .. Ni kweli Mkuu.. Ila soon tutakua pamoja
Mkuu acha kunidanganya,soon ipi unaizungumzia?kwa mwenendo wenu sitegemei kukuona tena humu labda msimu mpya2017/2018
 
Wanasayansi wabobezi katika chuo kimoja huko mashariki ya mbali ambacho kinaheshima kubwa sana duniani.. wameibuka na utafiti uliowashangaza wengi.. kua timu ya Simba S.C ya msimu huu ni tiba ya kila kitu.

Katika utafiti wao wamegundua mambo mengi.. Mfano;
1. Kama una stress.. Mnyama Simba ni dawa ya kuondoa stress.
2. Kama umedhoofu mwili.. Hauna haja ya kula mavyakula kibao ili urudishe afya.. Wewe anza tu kushabikia Simba S.C.
3. Kwa wale wazee wa kubet.. Simba S.C imewapa utajiri wa kutosha.. Wana manyumba, magari n.k na hii ni kutokana na kila mzigo wanaoweka.. Mnyama hawaangushi.

Baadhi ya wapenzi wa soka waliohojiwa.. walikiri Simba S.C ya msimu huu.. imebadili kila kitu katika maisha yao,.. Mfano;













Kuna mwingine ambae watafiti hao hawakumtaja jina lake alinena haya... "namshukuru sana Mnyama kwa kunipa utajiri kwani kila mwisho wa wiki nina uhakika wa kuingiza si chini ya milioni 3.7 kupitia kubet.

Ila kwa kila mashabiki wa soka aliokaidi ushauri aliopewa wa kuanza kumshabikia Mnyama mkali pengine kuliko wote mwituni.. Makubwa humkuta.. Mfano ni huyu ndugu yetu;

Simba hiyo mechi ilishinda sasa hivi jamaa hana tena mkono [emoji20] [emoji20]

Katika kuhitimisha utafiti wao.. Wanasayansi hao wabobezi, wamewaomba wapenzi na wasio wapenzi wa soka duniani.. Kuanza kuishabikia Simba S.C haraka iwezekanavyo kwa furaha ya milele.

NOTE;
Wanasayansi hao wanadai bado wamejifungia maabara usiku na mchana wakijadili goli alilofunga Shiza Kichuya mnamo 01.10.2016.. Wanasema japo walitoa mchoro wa goli hilo.. Bado wanajiuliza iliwezekanaje.. Wanadai mambo yakienda vizuri mwakani ndo wanaweza kuja na ripoti kamili ya goli hilo.
Bangi ya kismiri sio nzuri asee
 
Back
Top Bottom