Wengi wao ni marioos,kimoko chali na wanasuka mabutu.View attachment 3236143
Mkoa wa Dar es Salaam, Lindi na Dodoma inaongoza kwenye idadi ya watu wenye wapenzi zaidi ya wawili. Wastani kwa wakazi wa Dar es Salaam ni wapenzi tisa kwa mtu, Lindi watu nane na Dodoma watu watano!
CHANZO: Ripoti ya Afya, Malaria na viashiria (TDHS-MIS 2022)
Ni kama inavyojieleza kwenye utafiti hapo juu. Wanaume wa Dar walidharauliwa na kubagazwa kwa muda mrefu sana. Sasa wamerudisha heshima yao. Kumiliki wanawake 7, kuwadinya ipasvyo na kuwatunza sio kazi ndogo. Wanaume wa Dar mmetisha sana makamanda wangu. Heshima kwenyu!
wapi hapo hebu nioneshe.Rudia kusoma andiko mkuu. Upande wa Dar ripoti inasema kuwa mwanaume mmoja ana wapenzi hadi saba.
Umewafanyia utafiti mkuu? Asa mtu akipiga kimoja kwa wanawake saba si jumla itakuwa 9 mkuu? Wewe unataka apige viwili jumla iwe 18 si utamuua aisee?Wengi wao ni marioos,kimoko chali na wanasuka mabutu.
CC;Wema Sepenga kwa ushahidi zaidi.
Umeiona "cc" na mlengwa wake.Ask the lady.Umewafanyia utafiti mkuu? Asa mtu akipiga kimoja kwa wanawake saba si jumla itakuwa 7 mkuu? Wewe unataka apige viwili jumla iwe 14 si utamuua aisee?
Alaaa yaan hapo Hoja ni kua, Wanawake wenu wa Dar, Wana wanaume kuanzia wawili n.kView attachment 3236143
Mkoa wa Dar es Salaam, Lindi na Dodoma inaongoza kwenye idadi ya watu wenye wapenzi zaidi ya wawili. Wastani kwa wakazi wa Dar es Salaam ni wapenzi tisa kwa mtu, Lindi watu nane na Dodoma watu watano!
CHANZO: Ripoti ya Afya, Malaria na viashiria (TDHS-MIS 2022)
Ni kama inavyojieleza kwenye utafiti hapo juu. Wanaume wa Dar walidharauliwa na kubagazwa kwa muda mrefu sana. Sasa wamerudisha heshima yao. Kumiliki wanawake 7, kuwadinya ipasvyo na kuwatunza sio kazi ndogo. Wanaume wa Dar mmetisha sana makamanda wangu. Heshima kwenyu!
Hoja ni kwamba.Alaaa yaan hapo Hoja ni kua, Wanawake wenu wa Dar, Wana wanaume kuanzia wawili n.k
Wanaumé wa Dar mtapata wapi nguvu hizo ?.
ripoti mbona hiyo hapo mkuu,Wastani kwa wakazi wa Dar es Salaam ni wapenzi tisa kwa mtu,
Hoja ni kwamba.
1.Ni mkoa wenye wanaume wengi walio left group.
2.Mtindo mbovu wa maisha kwa vijana, chakula, pombe n.k
Kwa hizo sababu mbili wanabaki wanaume wanaojiweza wachache, hivyo wanawake wanakuwa wengi wanaume wachache... hapo ndipo mwanaume mmoja anamiliki wanawake wengi..
maua ya umalaya?Kumbe ripoti unayo sasa unabisha nini mkuu? Tupe maua yetu wanaume wa Dar