PAGAN
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 12,181
- 20,148
Wengi wao ni marioos,kimoko chali na wanasuka mabutu.
CC;Wema Sepenga kwa ushahidi zaidi.
Huyo Wema Sepetu needs Jesus
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengi wao ni marioos,kimoko chali na wanasuka mabutu.
CC;Wema Sepenga kwa ushahidi zaidi.
Mtwara si ndy wanaume wanafukuana wenyewe kwa wenyewemaua ya umalaya?
halafu mbona mtwara ndo wanaongoza sio nyie?
Ametumwa duniani rasmi ili ahudumie na kuwachunguza wanaume wajinga.Huyo Wema Sepetu needs Jesus
Sasa jiulize kasi ya maambukizi ya magonjwa ya zinaa ikoje kwa ujumla wake.... Usugu wa haya magonjwa miaka 4-10 ijayo itakuwaje....Rudia kusoma andiko mkuu. Upande wa Dar ripoti inasema kuwa mwanaume mmoja ana wapenzi hadi 9!
Hu sisi hatununui tunapewa bure kabisa mkuu.tunapewaa nina pewaaNyeto zinapigwa huko mikoani tu mkuu. Dar malaya wengi hata wa jero wapo. Utashindwa kulipia jero upate malaya hadi upige nyeto?
Namuonea huruma atakayekuja kukuita BABAView attachment 3236143
Mkoa wa Dar es Salaam, Lindi na Dodoma inaongoza kwenye idadi ya watu wenye wapenzi zaidi ya wawili. Wastani kwa wakazi wa Dar es Salaam ni wapenzi tisa kwa mtu, Lindi watu nane na Dodoma watu watano!
CHANZO: Ripoti ya Afya, Malaria na viashiria (TDHS-MIS 2022)
Ni kama inavyojieleza kwenye utafiti hapo juu. Wanaume wa Dar walidharauliwa na kubagazwa kwa muda mrefu sana. Sasa wamerudisha heshima yao. Kumiliki wanawake 9, kuwadinya ipasvyo na kuwatunza sio kazi ndogo. Wanaume wa Dar mmetisha sana makamanda wangu. Heshima kwenyu!
Tofautisha mke na mpenziKuwa na wake wengi ni heshima; acha ugoigoi mkuu. Kamata mbunye.
Wanaume wa Dar ndio wanaume wa ndoto ya kila mwanamke hapa Tanzania. Ukiona mwanamke anakandia mwanaume wa Dar huyo hana TBS maneno yaemkosaji.View attachment 3236143
Mkoa wa Dar es Salaam, Lindi na Dodoma inaongoza kwenye idadi ya watu wenye wapenzi zaidi ya wawili. Wastani kwa wakazi wa Dar es Salaam ni wapenzi tisa kwa mtu, Lindi watu nane na Dodoma watu watano!
CHANZO: Ripoti ya Afya, Malaria na viashiria (TDHS-MIS 2022)
Ni kama inavyojieleza kwenye utafiti hapo juu. Wanaume wa Dar walidharauliwa na kubagazwa kwa muda mrefu sana. Sasa wamerudisha heshima yao. Kumiliki wanawake 9, kuwadinya ipasvyo na kuwatunza sio kazi ndogo. Wanaume wa Dar mmetisha sana makamanda wangu. Heshima kwenyu!