Hatimaye wanaume wa Dar wamerudisha heshima yao. Data hizli hapa

Unakuta ustaazi kaoa wanawake 4 halafu ana michepuko 5; jumla 9. Jamani wanawake mtuonee huruma wanaume wa Dar.
 
Rudia kusoma andiko mkuu. Upande wa Dar ripoti inasema kuwa mwanaume mmoja ana wapenzi hadi 9!
Sasa jiulize kasi ya maambukizi ya magonjwa ya zinaa ikoje kwa ujumla wake.... Usugu wa haya magonjwa miaka 4-10 ijayo itakuwaje....
 
Sasa jiulize kasi ya maambukizi ya magonjwa ya zinaa ikoje kwa ujumla wake.... Usugu wa haya magonjwa miaka 4-10 ijayo itakuwaje....
Maambukizi ya ukimwi wanaongozza Njombe na Mbeya mkuu. Dar haihusiki.
 
Nyeto zinapigwa huko mikoani tu mkuu. Dar malaya wengi hata wa jero wapo. Utashindwa kulipia jero upate malaya hadi upige nyeto?
Hu sisi hatununui tunapewa bure kabisa mkuu.tunapewaa nina pewaa
 
Namuonea huruma atakayekuja kukuita BABA
 
Wanaume wa Dar ndio wanaume wa ndoto ya kila mwanamke hapa Tanzania. Ukiona mwanamke anakandia mwanaume wa Dar huyo hana TBS maneno yaemkosaji.
 
Wanaume wa Dar ndio wanaume wa ndoto ya kila mwanamke hapa Tanzania. Ukiona mwanamke anakandia mwanaume wa Dar huyo hana TBS maneno yaemkosaji.
Mkuu umelenga mlemle. Wanaume wa Dar wapewe maua yao.
 
Tofautisha mke na mpenzi
Yeah! Unaweza ukawa na mke mmoja na michepuko 9; jumla wanawake 10 afu unakuta watu wanatudharau wanaume wa Dar. Wanataka tufanyeje ili watuheshimu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…