warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
- Thread starter
- #61
Kwa sababu za kiusalama ambazo ziko nje ya uwezo jina lake siwezi kulitaja hapa, lkn ni mtoto wa mama hana lolote anakula benefit (pesa ya watu wasiofanya kazi uk) na kuishi anakaa na dada yake, so ni kama mtoto wake anamlea labda akija wastara itabidi watafute nyumba yao wwnyewe....kama dada kafata pesa hapo kapotea njia ataishia kununuliwa vi jeans na vitop.
Mmh hlo jina utanitajia kule PM maana kuna waandish wa shigongo wanahaha kumjua jina huyo Mwarabu , Jana nilisoma kwenye gazeti walishindwa hata kumuelezea n Nani na anafanya nn na wala jina hawalijui