Hatimaye Wastara apata mchumba London avishwa Pete


Mmh hlo jina utanitajia kule PM maana kuna waandish wa shigongo wanahaha kumjua jina huyo Mwarabu , Jana nilisoma kwenye gazeti walishindwa hata kumuelezea n Nani na anafanya nn na wala jina hawalijui
 
Hahahaaaa, kumbe pete ya uchumba!!! Nilidhani ndoa kabisa. Wengi wamevishwa pete za uchumba na kuishia kumegwa tu . Ndoa wameishia kuisikia kwa jirani tu na kutumiwa "kadi ya kuomba mchango wa harusi".

Awe makini sana huyo binti (kama ni kweli)


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 

wastara si alisema anataka bwana mwenye hummer?
 
Aiseee humu nako m/ume ukiwa unachangia sana huchelewi kuitwa BABA SIPITWI,,,ngojeni mukuje nyie wadada wa Mujini ambao Ubuyu ni Sunnah kwenu.
 

Wakati wote mimi naamini mke au mume si ndugu,ndugu ni wale uliozaliwa nao na watoto uliozaa na huyo mwanaume au mwanamke,mume na mke wanaishi tu kama kwa mkataba fulani na ndio maana hawakawii kusahauliana pindi wakitengana au pale mmoja wapo anapofariki,kwa hiyo mwacheni tu huyo dada aolewa wenye uchungu ni ndugu wa marehemu yeye na ukoo wake hawana uchungu wowote sababu sio ndugu
 
Kila mtu na baba yake inasemekana mmoja wa mwana bongo flava solo thang

Mi nawakumbuka tu wapambe Wa shemej yetu wa UK akina mayenu kwel sherehe ilinoga , wastara kapata bonge la bwana
 

Mtu Wa 2 unasema kaingia choo cha kiume.kunani?
 
hapo ndio kazidi kuwatia ndimu dada zetu wa kimatumbi kuzidisha size ya kimini nae aotee zali...hehehehe mapowderrr
 
Mwanae Wa kwanza alizaa na Solo Thing

Mwanae Wa pili alizaa na mmewe Juma

Mwanae Wa Tatu ndo kazaa na Sajuki

tusubir na wanne tu kutoka kwa mwarabu koko aka rafiki wa mayenu
 
hapo ndio kazidi kuwatia ndimu dada zetu wa kimatumbi kuzidisha size ya kimini nae aotee zali...hehehehe mapowderrr

Mwarabu mwenyew yahaya mmh , kama anatak tu kuishi ulaya sawa ila akitegemea maisha mazuri imekula kwake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…