Hatimaye wazawa wamvaa Kafulila kuendesha mradi wa UDART

Hili linaweza kuwa jambo jema sana endapo tu watakuwa na mtaji wa Kutosha, kama.wanaweza kununua hata magari 300 nashauri wapew

Hili linaweza kuwa jambo jema sana endapo tu watakuwa na mtaji wa Kutosha, kama.wanaweza kununua hata magari 300 nashauri wapewe
Mtaji wanaweza kukopa kwenye bank zetu...Tatizo la nchi yetu ni usimamizi wa mradi. Wakipewa tu wanafanya kama Yale tuyaonayo kwenye daladala za kawaida
 
Bora ya huyu muha kupambana na umasikini tu hana baya kabisa jamaa
 
Kafulila has a bright future
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…