Hatimaye wazawa wamvaa Kafulila kuendesha mradi wa UDART

Hatimaye wazawa wamvaa Kafulila kuendesha mradi wa UDART

View attachment 3159803

===
CHAMA Cha Wamiliki wa Malori wa Kati na Wadogo(TAMSTOA), kimeonesha nia yake ya kutaka kuwekeza katika mradi wa mabasi yaendayo haraka maarufu mwendokasi huku ikiomba kufupishwa kwa masuala ya michakato katika kuingia ubia huo.

Tamstoa imeonyesha nia hiyo leo Ijumaa Novemba 22,2024 walipokutana na Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia Tanzania, David Kafulila, ambapo pamoja na mambo mengine walitaka kujua taratibu gani za kufuata ili kufanikisha hilo.

Wafanyabishara hao wanakuja na ombi hilo, wakati kukiwa na malalamiko ya uchache wa mabasi hayo jambo linalowafanya abiria kusubiri kwa muda mrefu vituoni.

Kwa upande wake Kafulila, amewaondoa hofu wafanyabiashara hao kuhusu michakato katika kuwekeza katika mradi huo kwa kile alichoeleza kumefanywa marekebisho ya sheria katika masuala ya ubia.

Huu mradi ni lazima UFE

Regardless anaendesha nani,Serikali au hao matacor wanaijitia kwenda kuisaidia serikali eti kuendesha UDART

Stinky doodooo!
 
Ila Wabongo kwanini hatuaminiani kiasi hiki?
Siamini chochote anachoanzisha SERIKALI

I mean CHOCHOTE

Mwanasiasa tangu lini akawa na akili ya kuanzisha kitu chenye kumake sense na kinachodumu?

NEVER

Sio kuaminiana,Kuamini ni choice,mine is,NEVER believe these fools,I will never!
 
Kisena anatosha kuendesha huu mradi, shida, wanasiasa wana njaa sana, kila kukicha wanaomba hela, na wanaomba kuanzia million 10 kwenda mbele, usipowapa vitisho vingi sana, we fuatilia kamati za Bunge posho wanazo pewa wakienda kukagua mashirika na taasisi za umma, sio chini ya 1.5m kwa siku, kwa mjumbe mmoja, usipotoa posho, lazima wakuandalia zengwe la maana
 
Kisena anatosha kuendesha huu mradi, shida, wanasiasa wana njaa sana, kila kukicha wanaomba hela, na wanaomba kuanzia million 10 kwenda mbele, usipowapa vitisho vingi sana, we fuatilia kamati za Bunge posho wanazo pewa wakienda kukagua mashirika na taasisi za umma, sio chini ya 1.5m kwa siku, kwa mjumbe mmoja, usipotoa posho, lazima wakuandalia zengwe la maana
Kashatoka ndani?
 

View attachment 3159803

===
CHAMA Cha Wamiliki wa Malori wa Kati na Wadogo(TAMSTOA), kimeonesha nia yake ya kutaka kuwekeza katika mradi wa mabasi yaendayo haraka maarufu mwendokasi huku ikiomba kufupishwa kwa masuala ya michakato katika kuingia ubia huo.

Tamstoa imeonyesha nia hiyo leo Ijumaa Novemba 22,2024 walipokutana na Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia Tanzania, David Kafulila, ambapo pamoja na mambo mengine walitaka kujua taratibu gani za kufuata ili kufanikisha hilo.

Wafanyabishara hao wanakuja na ombi hilo, wakati kukiwa na malalamiko ya uchache wa mabasi hayo jambo linalowafanya abiria kusubiri kwa muda mrefu vituoni.

Kwa upande wake Kafulila, amewaondoa hofu wafanyabiashara hao kuhusu michakato katika kuwekeza katika mradi huo kwa kile alichoeleza kumefanywa marekebisho ya sheria katika masuala ya ubia.

Itakuwa Jambo jema wakiruhusu mabasi ya watu binafsi kwenye mwendokasi.

Kuwe tu na utaratibu na vigezo vizuri.
1. Yote yawe mapya.

2.Mfano mabasi yote yawe na uwezo wa kubeba abiria kadhaa mfano 200 kwa kila basi.

3. Yawe yanaondoka kwa muda mfano kila baada ya dakika 5 wakati wa peak hours na dakika 15-40 nyakati zingine ambazo sio peak hours.
 
Huyo Kafulila mna m promote sana. Kwanza yeye ndio kaenda ofisi za watu.

View attachment 3159803

===
CHAMA Cha Wamiliki wa Malori wa Kati na Wadogo(TAMSTOA), kimeonesha nia yake ya kutaka kuwekeza katika mradi wa mabasi yaendayo haraka maarufu mwendokasi huku ikiomba kufupishwa kwa masuala ya michakato katika kuingia ubia huo.

Tamstoa imeonyesha nia hiyo leo Ijumaa Novemba 22,2024 walipokutana na Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia Tanzania, David Kafulila, ambapo pamoja na mambo mengine walitaka kujua taratibu gani za kufuata ili kufanikisha hilo.

Wafanyabishara hao wanakuja na ombi hilo, wakati kukiwa na malalamiko ya uchache wa mabasi hayo jambo linalowafanya abiria kusubiri kwa muda mrefu vituoni.

Kwa upande wake Kafulila, amewaondoa hofu wafanyabiashara hao kuhusu michakato katika kuwekeza katika mradi huo kwa kile alichoeleza kumefanywa marekebisho ya sheria katika masuala ya ubia.

 
Wapewe wanaoweza.

Dpw ni nfano mzuri sana, chini ya mwaka bandarini tunaona mabadiliko makubwa ya ufanisi.
Dp sio mfano mzuri, Kwa sababu wa bongo tunaweza kuweka magement ya nje ikibidi na kununua vifaa hitajika, KPMG wangeweza Ku tutafutia watu wenye uwezo na wana siasa wasiingilie uendeshaji wake , hapo ndio tatizo lilipo
 
Udart sijui.Brt ama mwendokasi is a.failed project na haiendani na.matakwa ya dunia.ya.leo yanauobadilika kwa kasi kubwa sana
 
Tatizo la Kisena ni Ufisadi
Ufisadi ni nini?Nafikiri ifike wakati tujifunze kuhusu Biashara na tuelewe biashara ili hizi kauli za kufikiri kwamba Umaskini na Uzalendo na Utajiri ni Ufisadi tuachane nazo.

Kwanza tuelewe kwamba Kuataka Faida katika Biashara sio Ufisadi na kutaka kutajarika na kunufaika sio Ufisadi.Ni kiwango kikubw akabisa cha Uzalendo.Tunahitaji matajiri ili watengenee ajira kwa jaili ya waru.Tunahitaji matajiri ili walipe kodi za kutosha.Tunahitaji matajiri ili wachangamshe pesa katika uchumi wetu ili Pesa iweze kutembea na iweze kuwa na thamani.Tunahitaji Matajiri wazawa wazalendo.

Kisena anaweza kuwa na changamoto zake katika uendeshaji na Usimamizi na anaweza kuwa sio mtu BORA ila angekuwa FISADI kweli asingekuwa JELA,Asingeshatakiwa na wala Asingeguswa.Hii ni kwa sababu katika hali ya kawaida kabisa tunafahamu kwamba VINARA wa UFISADI ni viongozi wa kisiasa ambao kwa wanfikiri kwamba KILA tajiri anapaswa kuwagawia kidogo utajiri wao na ambao wanapenda kutumia mamlaka na nfasin zao kujineemesha pmaoja na familia ZAO.

Ifikie wakati tuache FIKRA za kimaskini kama TAIFA na tujivunie na kuwaunga mkono matajiri wazawa kwa faida za taifa letu sasa hivi na kwa miaka ijayo.Taifa letu litajengwa na sisi wenyewe.
 
Back
Top Bottom