Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ubia, na wao ni wawekezejazi watakuwa na maono yao wana uzoefu pia kwenye changamoto za usafirishaji, hawawezi kuingia kichwa kichwaAisee Mtanzania haaminiki.
Watashirikiana na baadhi ya watumishi wa UDART kuchepusha mifumo ya ukataji tickets ili wapige pesa chafu huku serikali ikitiwa hasara
Ni kwa sababu anafanya kazi kwa bidiiNyuzi za Tumbili zimekuwa nyingi sana siku hizi
Hakika nadhani wapewe mudaNi ubia, na wao ni wawekezejazi watakuwa na maono yao wana uzoefu pia kwenye changamoto za usafirishaji, hawawezi kuingia kichwa kichwa
Bega/sikio halizidi kichwa..🚶🚶View attachment 3159803
===
CHAMA Cha Wamiliki wa Malori wa Kati na Wadogo(TAMSTOA), kimeonesha nia yake ya kutaka kuwekeza katika mradi wa mabasi yaendayo haraka maarufu mwendokasi huku ikiomba kufupishwa kwa masuala ya michakato katika kuingia ubia huo.
Tamstoa imeonyesha nia hiyo leo Ijumaa Novemba 22,2024 walipokutana na Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia Tanzania, David Kafulila, ambapo pamoja na mambo mengine walitaka kujua taratibu gani za kufuata ili kufanikisha hilo.
Wafanyabishara hao wanakuja na ombi hilo, wakati kukiwa na malalamiko ya uchache wa mabasi hayo jambo linalowafanya abiria kusubiri kwa muda mrefu vituoni.
Kwa upande wake Kafulila, amewaondoa hofu wafanyabiashara hao kuhusu michakato katika kuwekeza katika mradi huo kwa kile alichoeleza kumefanywa marekebisho ya sheria katika masuala ya ubia.
Mawazo ya kipumbavu sanaWabongo wengi madalali
Kwanza wazawa wajue ubia maana yake waje na hela na mpango kuimarisha mradi. Sio kufikiri watapewa kama hisani. Tunaopinga wawekezaji wa nje hasa hawa wahindi na waarabu ni ujanjaujanja na kupora mali za taifa wakati kihalisia hawawekezi kitu. Wanakuja na gea za kuhonga vigogo na kisha kupora shirika au mamlaka za umma kujifanya wataendesha kwa faida. Maana ya ubia ni kuwekeza sio ujanja ujanja kama ule wa simon group. Simon group miongoni mwa mambo ya hovyo sana ni kutaka kupora UDA bila kulipa hata senti moja huku wakija na uongo eti wamelipa. Ni bora serikali yenyewe kupitia mashirika yake kuweka usimamizi thabiti jambo ambalo linawezekana kuliko kuruhusu kuporwa na wageni mashirika ya umma kama Udart au yale yenye kuendesha huduma kama viwanja vya ndege na shirika la ndege lenyewe.View attachment 3159803
===
CHAMA Cha Wamiliki wa Malori wa Kati na Wadogo(TAMSTOA), kimeonesha nia yake ya kutaka kuwekeza katika mradi wa mabasi yaendayo haraka maarufu mwendokasi huku ikiomba kufupishwa kwa masuala ya michakato katika kuingia ubia huo.
Tamstoa imeonyesha nia hiyo leo Ijumaa Novemba 22,2024 walipokutana na Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia Tanzania, David Kafulila, ambapo pamoja na mambo mengine walitaka kujua taratibu gani za kufuata ili kufanikisha hilo.
Wafanyabishara hao wanakuja na ombi hilo, wakati kukiwa na malalamiko ya uchache wa mabasi hayo jambo linalowafanya abiria kusubiri kwa muda mrefu vituoni.
Kwa upande wake Kafulila, amewaondoa hofu wafanyabiashara hao kuhusu michakato katika kuwekeza katika mradi huo kwa kile alichoeleza kumefanywa marekebisho ya sheria katika masuala ya ubia.
🤣 🤣 🤣Kama kuna mtu kala advance ya watu, aanze kuirudisha.
🙋♂️🎯👍👌👊👏🤝🙏🗼Hivi mnaobeza wawekezaji wazawa mnafahamu hasara za wawekezaji wa nje kweli? Mliwahi kijiulizq Kwa Nini Shilling yetu Kila siku inashuka, unajua profit export na capitalflight ni kubwa kiasi gani Kwa wawekezaji wa nje.
Tuwape moyo na tuwape miradi ila tuweke mazingita wezeshi kwako iwe win win situation
Huwajui Watanzania!!!Punguza kujidharau
Elimu nzuri sana hiiKwanza wazawa wajue ubia maana yake waje na hela na mpango kuimarisha mradi. Sio kufikiri watapewa kama hisani. Tunaopinga wawekezaji wa nje hasa hawa wahindi na waarabu ni ujanjaujanja na kupora mali za taifa wakati kihalisia hawawekezi kitu. Wanakuja na gea za kuhonga vigogo na kisha kupora shirika au mamlaka za umma kujifanya wataendesha kwa faida. Maana ya ubia ni kuwekeza sio ujanja ujanja kama ule wa simon group. Simon group miongoni mwa mambo ya hovyo sana ni kutaka kupora UDA bila kulipa hata senti moja huku wakija na uongo eti wamelipa. Ni bora serikali yenyewe kupitia mashirika yake kuweka usimamizi thabiti jambo ambalo linawezekana kuliko kuruhusu kuporwa na wageni mashirika ya umma kama Udart au yale yenye kuendesha huduma kama viwanja vya ndege na shirika la ndege lenyewe.
Uko sahihi kabisa hawa watu tuwatie moyoHivi mnaobeza wawekezaji wazawa mnafahamu hasara za wawekezaji wa nje kweli? Mliwahi kijiulizq Kwa Nini Shilling yetu Kila siku inashuka, unajua profit export na capitalflight ni kubwa kiasi gani Kwa wawekezaji wa nje.
Tuwape moyo na tuwape miradi ila tuweke mazingita wezeshi kwako iwe win win situation
Sahihi sana hiiJambo zuri tuwape wazawa. Ni ujuha mkubwa kuwapa wageni mradi kama huo.
Kwa upande wake Kafulila, amewaondoa hofu wafanyabiashara hao kuhusu michakato katika kuwekeza katika mradi huo kwa kile alichoeleza kumefanywa marekebisho ya sheria katika masuala ya ubia.