Hatimaye wazawa wamvaa Kafulila kuendesha mradi wa UDART

Hatimaye wazawa wamvaa Kafulila kuendesha mradi wa UDART

View attachment 3159803

===
CHAMA Cha Wamiliki wa Malori wa Kati na Wadogo(TAMSTOA), kimeonesha nia yake ya kutaka kuwekeza katika mradi wa mabasi yaendayo haraka maarufu mwendokasi huku ikiomba kufupishwa kwa masuala ya michakato katika kuingia ubia huo.

Tamstoa imeonyesha nia hiyo leo Ijumaa Novemba 22,2024 walipokutana na Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia Tanzania, David Kafulila, ambapo pamoja na mambo mengine walitaka kujua taratibu gani za kufuata ili kufanikisha hilo.

Wafanyabishara hao wanakuja na ombi hilo, wakati kukiwa na malalamiko ya uchache wa mabasi hayo jambo linalowafanya abiria kusubiri kwa muda mrefu vituoni.

Kwa upande wake Kafulila, amewaondoa hofu wafanyabiashara hao kuhusu michakato katika kuwekeza katika mradi huo kwa kile alichoeleza kumefanywa marekebisho ya sheria katika masuala ya ubia.

Scrutiny ifanyike:
-Kuna uwezekano mipanga imeshapangwa behind the scenes hichi kinachofanyika ikawa ni danganya toto.
-Kuna uwezekano hii ikawa ni kiini macho tu kwamba anayeweka pesa ni mtu wa nje ya nchi au mwanasiasa ambaye hataki maswali ya kwamba pesa amezipata wapi.
Kama kikao chao ni sincere:
-Kuwa wafanyabiara(transporters) wamiliki wa vyombo(malori) vya usafiri ina maana wanakopesheka hivyo mtaji(cash) si lazima wawe nao bali kinahitajika wawe na clean records kwenye mabenki wakopeshwe wamwage hata mabasi 1,000 if need be.
Usafiri ukisimamiwa na private entity utaendeshwa kwa umakini bora serikali ihakikishe ina-regulate nauli kwani itakuwa ni wao(wawekezaji) literally without competitors.
 
Hili linaweza kuwa jambo jema sana endapo tu watakuwa na mtaji wa Kutosha, kama.wanaweza kununua hata magari 300 nashauri wapewe

TAMSTOA hawana uwezo, genge nyuma ya Kafulila wana njama kubwa zaidi.

TOKA MAKTABA :
5 January 2023
WAMILIKI WA WADOGO WA MALORI TAMSTOA WAISHUKURU SERIKALI WA KUWAONGEZEA MUDA WA KUKATA LESENI ZA USAFIRISHAJI MIZIGO NJE YA NCHI

View: https://m.youtube.com/watch?v=7u-hYV1Ck5Y
Chama cha Wamiliki Wadogo wa Malori nchini (TAMSTOA) kimeishukuru serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwaongezea muda wa kukata leseni za usafishaji wa malori nje ya nchi.
 
Scrutiny ifanyike:
-Kuna uwezekano mipanga imeshapangwa behind the scenes hichi kinachofanyika ikawa ni danganya toto.
-Kuna uwezekano hii ikawa ni kiini macho tu kwamba anayeweka pesa ni mtu wa nje ya nchi au mwanasiasa ambaye hataki maswali ya kwamba pesa amezipata wapi.
Kama kikao chao ni sincere:
-Kuwa wafanyabiara(transporters) wamiliki wa vyombo(malori) vya usafiri ina maana wanakopesheka hivyo mtaji(cash) si lazima wawe nao bali kinahitajika wawe na clean records kwenye mabenki wakopeshwe wamwage hata mabasi 1,000 if need be.
Usafiri ukisimamiwa na private entity utaendeshwa kwa umakini bora serikali ihakikishe ina-regulate nauli kwani itakuwa ni wao(wawekezaji) literally without competitors.
Shida management wakipewa hawa wabongo gari hazitakuwa level seat wala hazina AC. Tuondokane na upuuzi wa kujazana kama nyanya kwenye matenga mradi ustaarabishwe.
 
Hili linaweza kuwa jambo jema sana endapo tu watakuwa na mtaji wa Kutosha, kama.wanaweza kununua hata magari 300 nashauri wapewe
Kwa umoja wao, waende jina moja la kampuni, ambayo itakuwa responsible, wa initialize capital yao, mara nyingi huwa ni bank loan, wapewe conditions, serekali yetu itapataje gawio lake, wapewe tu, hakuna tabu.
N. B, ingependeza kwa route za city center ubungo kibaha, ikawekwa miundombinu ya trams!
 

View attachment 3159803

===
CHAMA Cha Wamiliki wa Malori wa Kati na Wadogo(TAMSTOA), kimeonesha nia yake ya kutaka kuwekeza katika mradi wa mabasi yaendayo haraka maarufu mwendokasi huku ikiomba kufupishwa kwa masuala ya michakato katika kuingia ubia huo.

Tamstoa imeonyesha nia hiyo leo Ijumaa Novemba 22,2024 walipokutana na Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia Tanzania, David Kafulila, ambapo pamoja na mambo mengine walitaka kujua taratibu gani za kufuata ili kufanikisha hilo.

Wafanyabishara hao wanakuja na ombi hilo, wakati kukiwa na malalamiko ya uchache wa mabasi hayo jambo linalowafanya abiria kusubiri kwa muda mrefu vituoni.

Kwa upande wake Kafulila, amewaondoa hofu wafanyabiashara hao kuhusu michakato katika kuwekeza katika mradi huo kwa kile alichoeleza kumefanywa marekebisho ya sheria katika masuala ya ubia.

Wazo Bora la mwaka
 
kwanini hiyo mwendokasi asipewe financial tycoon kama Bakressa tumalize mzizi wa fitina,,,,hao TAMSOA hawawezi kutufikisha popote maana wabongo mambo ya kushare hatuwezi wakizinguana kidogo hawachelewi kugawana mbao.

Bakressa ameonyesha hata akipewa wizara ya uchumi atatufikisha somewhere huwezi endesha uchumi ukiwa unachojua ww ni uchumi wa kukariri darasani. Wapeni watu wanaojua kutengeneza faida watupe output inayoeleweka tusonge mbele.

Yaani miaka inafika miwili bado tunatafuta mtu wa kuendesha mwendokasi kweli???!!!!Sasa kama mwendokasi iliyo na faida ya nje nje
ambayo haihitaji kufanyia promo tunashindwa kuendesha😭😭😭😭😭GOD HAVE MERCY UPON US!!! PLEASE BABA WHY US BLACK PEOPLE WHY BABA!!!!!

Yawezekana waafrika tumelaaniwa kuwa hatutakuja kupiga hatua kwamwe🥱🥱🥱🥱
 
David Kafulila anajua fika hawa CHAMA Cha Wamiliki wa Malori wa Kati na Wadogo(TAMSTOA) uwezo wao ni kuwa wamiliki wa lori za fuso za kubeba matenga ya nyanya kabichi, canter na matiper ya mchanga tani 7 ndiyo waweze kuingia Mwendokasi BRT si wataleta daladala aina canter, Isuzu n.k za abiria 40.

Halafu Wamiliki wa Malori wa Kati na Wadogo(TAMSTOA) wakishindwa, David Kafulila atasema si mnaona hawana ubavu hivyo tuingie ubia na makampuni ya nje.

Kumbe kampuni serious za wenye kufanya ugavi na usafirishaji kwa kutumia Scania Volvo, Benz na brand za uhakika kwa mamia ya malori waTanzania wapo lakini wanatumia CHAMA Cha Wamiliki wa Malori wa Kati na Wadogo(TAMSTOA) kufanya usanii kampuni za uhakika kubwa hazikupewa nafasi.
Acha kudharau Watanzania wenzako
 
kwanini hiyo mwendokasi asipewe financial tycoon kama Bakressa tumalize mzizi wa fitina,,,,hao TAMSOA hawawezi kutufikisha popote maana wabongo mambo ya kushare hatuwezi wakizinguana kidogo hawachelewi kugawana mbao.

Bakressa ameonyesha hata akipewa wizara ya uchumi atatufikisha somewhere huwezi endesha uchumi ukiwa unachojua ww ni uchumi wa kukariri darasani. Wapeni watu wanaojua kutengeneza faida watupe output inayoeleweka tusonge mbele.

Yaani miaka inafika miwili bado tunatafuta mtu wa kuendesha mwendokasi kweli???!!!!Sasa kama mwendokasi iliyo na faida ya nje nje
ambayo haihitaji kufanyia promo tunashindwa kuendesha😭😭😭😭😭GOD HAVE MERCY UPON US!!! PLEASE BABA WHY US BLACK PEOPLE WHY BABA!!!!!

Yawezekana waafrika tumelaaniwa kuwa hatutakuja kupiga hatua kwamwe🥱🥱🥱🥱
Wewe ni mkoloni wa akili aisee
 
Hili linaweza kuwa jambo jema sana endapo tu watakuwa na mtaji wa Kutosha, kama.wanaweza kununua hata magari 300 nashauri wapewe
Hawa TAMSTOA nawafahamu vizuri sana, kifupi hakuna kitu hapo wavelength upigaji tu. Lah! Tanzania nchi yangu unachakazwa namna hii!!!
 
Hii si alishasema kapata muarabu wa Oman kitambo na keshaagiza mabasi then akasema tena NMB imetoa mijipesa ya kununua mamia ya mabasi mwaka jana tu? Deal zilibuma nini? Au kama kawa wabongo wanageuzwa kama chapati tu? Keshamalizana na Tanesco kijana mzalendo wetu?
Mwarabu aliwapa terms na conditions zake waswahili wakalala mbele hadi leo hawajamjibu
 
Back
Top Bottom