Hatimaye Wema aingilia bifu la mama yake na man fongo

HUYO SHORWE MWAMBA MBONA ANA TABIA ZA KIKAMERUNI? MAONGEZI KWENYE BASI NI KUPUNGUZA SAFARI ISIWE NDEFU MAONGEZI NI KUCHANGAMSHA BALAZA ILA YEYE ANAPELEKA STORY KOTE,SHORWE MWAMBA NI NGAPULILA ANA HATARI.
Umeona mkuu yaan manfongo jana niliangalia kipindi wakat anaelezea mwanaume hutakiwi kuwa vile na tabia za kike ndo mana kila siku kuitwa wanaume wa dar janaume mbea mbea
 
Yule Mzee aliamuacha huyu Mama? Kwasababu nilikuwa najiuliza Mzee Sepetu (RIP) aliishi vipi na hawa vichwa maji wawili.
 
Wewe mbona umejibu kwa mahaba mazito kiasi hichi?
 
Balozi alijitia aibu mwenyewe kwakuokota hovyo wanawake huko mtaani. Angalau, hili ni somo, wanaume muanze kuchagua wanawake wa kuoa, kuzaa nao, na kutoka nao huko mitaani bala hata kutumia kinga (CDs)

Kifupi Tuepuke kuzaa na ma house girls wetu kuepuka kutoa products tata!!..
 
mamaafacebook II yale material hebu yalete humu mana naona wakubwa washaondoa ile thread yetu pendwa......plsss do ze needfull
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…