Hatimaye wenye Simba SC yao ( Wazee wa Fitna na Umafia ) wamerejea rasmi Kuirudisha Simba SC tuliyoizoea

Hatimaye wenye Simba SC yao ( Wazee wa Fitna na Umafia ) wamerejea rasmi Kuirudisha Simba SC tuliyoizoea

CEO Barbara Gonzalez Siku zingine uache kuwa Mbishi hasa pale ukiwa unashauriwa kuwa pamoja na kwamba Wewe ndiyo kila Kitu kwa upande wa Malipo na Operations za Klabu ila ni lazima utambue kuwa huwezi kuwa na Mafanikio kama utawaweka pembeni Wazee wa Kazi Chafu na Umafia kwa Soka la Tanzania ( Bongo )

Labda nikusaidie tu CEO Barbara Gonzalez kuwa hata hii ( hawa ) Yanga SC ambao leo hii unawaona wamepata haya Mafanikio Makubwa ni kutokana na Kitendo cha Mwenyekiti Wao Dk. Mshindo Msolla kukubali kuwarudisha na kuwa karibu na Wazee wa Fitna na Umafia wa Yanga SC wakiongozwa na akina Binda.

Nakumbuka CEO Barbara Gonzalez zaidi ya mara Nne Mzee Dalali, Kaduguda hadi Magori walikuwa wakikushauri kuwa kuwa karibu na Wazee wa Kazi Chafu akina Kassim Dewji, Musleh Rwey na Kamanda Ndanje ili waipambanie Klabu ndani na nje ya Uwanja ukawapuuza na Kutukuta hadi kuwa na Msimu huu mbaya.

Leo GENTAMYCINE nina furaha Kubwa sana baada ya Kuwaona Mafia Wenzangu akina Kassim Dewji, Crescetius Magori (Poti wangu kutoka Mkoani Mara) akina Musley na wengineo wakiwa wamerejea rasmi Kundini Kuipambania Simba SC. Sasa nami rasmi naondoka Chuki yangu Kwako na kwa Timu narudi Kundini 100%.

Na najua (nina uhakika) kuwa hata Watu wa Yanga SC sasa kwa Kikosi hiki Vitu Vinagonga na Kurudi kwani wanakijua vyema. Na uzuri wa hiki Kikosi hakiishii tu kujue Kucheza Mechi za Simba SC ndani na nje lakini pia kina Mafundi watupu wa Jicho la Usajili hivyo naamini sasa Majembe mapya yanakuja na Ushindi nao utakuja.

Simba SC Nguvu Moja.
,
hao wakina dewji watatulia tuuu!!YANGA tuliwarudisha wazee wa kazi chafu kina binkleb,magari,pinda, davis mosha etc!na bado wapo!so next season utakuwa wamoto sanaa!!
 
Mentality za kipuuzi kabisa,hatuwezi piga hatua kwa akili za kishenzi na za kiswahili kama hizi.Rubbish
CEO Barbara Gonzalez Siku zingine uache kuwa Mbishi hasa pale ukiwa unashauriwa kuwa pamoja na kwamba Wewe ndiyo kila Kitu kwa upande wa Malipo na Operations za Klabu ila ni lazima utambue kuwa huwezi kuwa na Mafanikio kama utawaweka pembeni Wazee wa Kazi Chafu na Umafia kwa Soka la Tanzania ( Bongo )

Labda nikusaidie tu CEO Barbara Gonzalez kuwa hata hii ( hawa ) Yanga SC ambao leo hii unawaona wamepata haya Mafanikio Makubwa ni kutokana na Kitendo cha Mwenyekiti Wao Dk. Mshindo Msolla kukubali kuwarudisha na kuwa karibu na Wazee wa Fitna na Umafia wa Yanga SC wakiongozwa na akina Binda.

Nakumbuka CEO Barbara Gonzalez zaidi ya mara Nne Mzee Dalali, Kaduguda hadi Magori walikuwa wakikushauri kuwa kuwa karibu na Wazee wa Kazi Chafu akina Kassim Dewji, Musleh Rwey na Kamanda Ndanje ili waipambanie Klabu ndani na nje ya Uwanja ukawapuuza na Kutukuta hadi kuwa na Msimu huu mbaya.

Leo GENTAMYCINE nina furaha Kubwa sana baada ya Kuwaona Mafia Wenzangu akina Kassim Dewji, Crescetius Magori (Poti wangu kutoka Mkoani Mara) akina Musley na wengineo wakiwa wamerejea rasmi Kundini Kuipambania Simba SC. Sasa nami rasmi naondoka Chuki yangu Kwako na kwa Timu narudi Kundini 100%.

Na najua (nina uhakika) kuwa hata Watu wa Yanga SC sasa kwa Kikosi hiki Vitu Vinagonga na Kurudi kwani wanakijua vyema. Na uzuri wa hiki Kikosi hakiishii tu kujue Kucheza Mechi za Simba SC ndani na nje lakini pia kina Mafundi watupu wa Jicho la Usajili hivyo naamini sasa Majembe mapya yanakuja na Ushindi nao utakuja.

Simba SC Nguvu Moja.
,
 
Vilabu vya kuanzia preliminary vishawekwa wazi Simba hayumo.
Sasa unakataa nn? Au wee mwenzetu una list yako ambayo simba ipo? Tuambie. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Weka hapo vilabu vinavyoanzia Preliminary mkuu, nachojua ni kwamba inatokana na mwaka husika ni timu ngapi zitashiriki ndio huweza kudetermine timu ngapi zitaanzia hatua ya kwanza. Haiko kama unavyofikiria wewe.

Mwaka jana TFF walitoa na barua kabisa ambayo iliithibitisha Simba kuanzia hatua ya kwanza badala ya Awali. Vp mwaka huu TFF wameshatoa taarifa??
 
Weka hapo vilabu vinavyoanzia Preliminary mkuu, nachojua ni kwamba inatokana na mwaka husika ni timu ngapi zitashiriki ndio huweza kudetermine timu ngapi zitaanzia hatua ya kwanza. Haiko kama unavyofikiria wewe.

Mwaka jana TFF walitoa na barua kabisa ambayo iliithibitisha Simba kuanzia hatua ya kwanza badala ya Awali. Vp mwaka huu TFF wameshatoa taarifa??
Sasa ukae usubiri soon utaona kutoka CAF, maana unaanza leta ubishi wako. Khaaaaah
 
Mimi sio mshabiki wa Simba ila nikiacha utani wa kishabiki na kuwa mkweli huyu Dada amechangia kwa kiasi kikubwa kulifanya jina la simba lifahamike duniani na hata soka la Tanzania limepasua mawimbi kupitia huyu mrembo

Kilichosababisha kwanza ni kwa kuwa ni mwanamke hiyo jamii ya kimataifa ilikuwa inafuatilia sana mafanikio yake

Dada huyu anafahamu protocal za mahusiano ya kimataifa na amekuwa akislikwa kwenye forum mbalimbali za soka duniani

Kwa mtu akiwa mkweli Simba chini ya uongozi wake katika miaka ya karibuni ndio imefanya vyema zaidi kimataifa kuliko hao walaji wanaojiita wana simba yao

Huyu dada ana msimamo, na ni mkali kwa watu wajanjawajanja wanaotaka kuitumia simba kama sehemu yao ya kula , na hataki konakona na tabia mbovu za kubebana. Mtanzania hata kwenye ajira za kawaida akatokea mtu mwenye misimamo ya kazi na kuziba mianya ya wizi na dili lazima atengenezewe zengwe aondolewe ila nawahakikishia kabisa ninyi mkia mkimtoa barbara mtaporomoka kiwango ambacho hakijapata kutokea. Yeye ni tunu ya mpira wa Tanzania.Najua ana vihasira kidogo na vidharau kwa wanaomletea swaga za kijinga
 
CEO Barbara Gonzalez Siku zingine uache kuwa Mbishi hasa pale ukiwa unashauriwa kuwa pamoja na kwamba Wewe ndiyo kila Kitu kwa upande wa Malipo na Operations za Klabu ila ni lazima utambue kuwa huwezi kuwa na Mafanikio kama utawaweka pembeni Wazee wa Kazi Chafu na Umafia kwa Soka la Tanzania ( Bongo )

Labda nikusaidie tu CEO Barbara Gonzalez kuwa hata hii ( hawa ) Yanga SC ambao leo hii unawaona wamepata haya Mafanikio Makubwa ni kutokana na Kitendo cha Mwenyekiti Wao Dk. Mshindo Msolla kukubali kuwarudisha na kuwa karibu na Wazee wa Fitna na Umafia wa Yanga SC wakiongozwa na akina Binda.

Nakumbuka CEO Barbara Gonzalez zaidi ya mara Nne Mzee Dalali, Kaduguda hadi Magori walikuwa wakikushauri kuwa kuwa karibu na Wazee wa Kazi Chafu akina Kassim Dewji, Musleh Rwey na Kamanda Ndanje ili waipambanie Klabu ndani na nje ya Uwanja ukawapuuza na Kutukuta hadi kuwa na Msimu huu mbaya.

Leo GENTAMYCINE nina furaha Kubwa sana baada ya Kuwaona Mafia Wenzangu akina Kassim Dewji, Crescetius Magori (Poti wangu kutoka Mkoani Mara) akina Musley na wengineo wakiwa wamerejea rasmi Kundini Kuipambania Simba SC. Sasa nami rasmi naondoka Chuki yangu Kwako na kwa Timu narudi Kundini 100%.

Na najua (nina uhakika) kuwa hata Watu wa Yanga SC sasa kwa Kikosi hiki Vitu Vinagonga na Kurudi kwani wanakijua vyema. Na uzuri wa hiki Kikosi hakiishii tu kujue Kucheza Mechi za Simba SC ndani na nje lakini pia kina Mafundi watupu wa Jicho la Usajili hivyo naamini sasa Majembe mapya yanakuja na Ushindi nao utakuja.

Simba SC Nguvu Moja.
,
Acha utoto wewe hao wazee wa fitna walete champions league hapo Yanga, mpira wa majungu hauna faida siku zote, mtaishia hivyo mlivyo kusifiana ujinga na kikombe chenu cha NBC
 
Mimi sio mshabiki wa Simba ila nikiacha utani wa kishabiki na kuwa mkweli huyu Dada amechangia kwa kiasi kikubwa kulifanya jina la simba lifahamike duniani na hata soka la Tanzania limepasua mawimbi kupitia huyu mrembo

Kilichosababisha kwanza ni kwa kuwa ni mwanamke hiyo jamii ya kimataifa ilikuwa inafuatilia sana mafanikio yake

Dada huyu anafahamu protocal za mahusiano ya kimataifa na amekuwa akislikwa kwenye forum mbalimbali za soka duniani

Kwa mtu akiwa mkweli Simba chini ya uongozi wake katika miaka ya karibuni ndio imefanya vyema zaidi kimataifa kuliko hao walaji wanaojiita wana simba yao

Huyu dada ana msimamo, na ni mkali kwa watu wajanjawajanja wanaotaka kuitumia simba kama sehemu yao ya kula , na hataki konakona na tabia mbovu za kubebana. Mtanzania hata kwenye ajira za kawaida akatokea mtu mwenye misimamo ya kazi na kuziba mianya ya wizi na dili lazima atengenezewe zengwe aondolewe ila nawahakikishia kabisa ninyi mkia mkimtoa barbara mtaporomoka kiwango ambacho hakijapata kutokea. Yeye ni tunu ya mpira wa Tanzania.Najua ana vihasira kidogo na vidharau kwa wanaomletea swaga za kijinga
Huu ni ukweli wa upande mmoja, angetumia ukweli huo unaousema kumwambia Mwamed aseme alikoweka zile bil 20.
 
CEO Barbara Gonzalez Siku zingine uache kuwa Mbishi hasa pale ukiwa unashauriwa kuwa pamoja na kwamba Wewe ndiyo kila Kitu kwa upande wa Malipo na Operations za Klabu ila ni lazima utambue kuwa huwezi kuwa na Mafanikio kama utawaweka pembeni Wazee wa Kazi Chafu na Umafia kwa Soka la Tanzania ( Bongo )

Labda nikusaidie tu CEO Barbara Gonzalez kuwa hata hii ( hawa ) Yanga SC ambao leo hii unawaona wamepata haya Mafanikio Makubwa ni kutokana na Kitendo cha Mwenyekiti Wao Dk. Mshindo Msolla kukubali kuwarudisha na kuwa karibu na Wazee wa Fitna na Umafia wa Yanga SC wakiongozwa na akina Binda.

Nakumbuka CEO Barbara Gonzalez zaidi ya mara Nne Mzee Dalali, Kaduguda hadi Magori walikuwa wakikushauri kuwa kuwa karibu na Wazee wa Kazi Chafu akina Kassim Dewji, Musleh Rwey na Kamanda Ndanje ili waipambanie Klabu ndani na nje ya Uwanja ukawapuuza na Kutukuta hadi kuwa na Msimu huu mbaya.

Leo GENTAMYCINE nina furaha Kubwa sana baada ya Kuwaona Mafia Wenzangu akina Kassim Dewji, Crescetius Magori (Poti wangu kutoka Mkoani Mara) akina Musley na wengineo wakiwa wamerejea rasmi Kundini Kuipambania Simba SC. Sasa nami rasmi naondoka Chuki yangu Kwako na kwa Timu narudi Kundini 100%.

Na najua (nina uhakika) kuwa hata Watu wa Yanga SC sasa kwa Kikosi hiki Vitu Vinagonga na Kurudi kwani wanakijua vyema. Na uzuri wa hiki Kikosi hakiishii tu kujue Kucheza Mechi za Simba SC ndani na nje lakini pia kina Mafundi watupu wa Jicho la Usajili hivyo naamini sasa Majembe mapya yanakuja na Ushindi nao utakuja.

Simba SC Nguvu Moja.
,



kwa mtazamo wangu hakukuwa na utofauti ila kulikuwa na upande wenye kuleta uswahili na kutaka kuendelea kujifaidisha kwa mgongo wa club na kuna upande uliokuwa unasimamia maslah ya club

mtu pekee aliekuwa na nia ya kujito kwa ajili ya club ni wazee wetu marehemu hans pope na mr magori walikubaki mageuzi wakaiachia simba kwa mo ila walikuwa wanauwezo wa kumuwekea ngumu maana kundi lao la frinds of simba ndo lilikuwa limeshika team.

wao pamoja. kina aveva na mwenzie yule white

ila kassim roho ya kuw agreedy kaona maslah yake yanabinywa analeta majungu na alinito nje ya team kabisa..

sasa hapo hakuna kupatana kupata a ni maana yake wakubali kuacha simba iendeshwe kisasa sababu wao miaka yote kwa makusud hawakuwa na plan ya kuipeleke popote zaidi ya kuinyonya club..

wenzo kina hans pope na aveva waliamu kukubali kuwa zama zinepita waache ukurasa mpya ufunguliwe .. maana wanaipenda kwa dhat simba.. huyo kassim .

so hapo ni mmoja akubali kumpisha mwenzie.. na nina uhakika kassim kama ataleta unafiki simba ikarud mikonon mwao wakaleta uswahili jela
inamwita maana muamko wa watu sasa hv ni mkubwa atafukuliw makaburi yake yote..
 
Back
Top Bottom