Hatimaye Yanga yakabidhiwa kwa Manji aiendeshe kama club Binafsi

Jinga nini? Kwani tangu Yanga ianzishwe imepa faida gani zaidi ya makombe?😉🙂🙁🙁🙁
 
SIMBA NA YANGA Tuachane kabisa na Matajiri hawa wenye mrengo wa CCM Au hata wa Vyama vingine vya Siasa... wote ni wapenzi na washabiki wa kutupwa wa CCM ..Tuachane kabisa kuuza timu au kukodisha hizi timu ambazo zinaunganisha Watanzania wote bila ya kujali tofauti za Kisiasa au Dini Kuna Hatari zake.
Nitakupeni Mfano wa wazi.
Kabla Ya Uchaguzi wa Kwanza wa Vyama vingi Kule Zanzibar Football ilipanda Juu sana. Timu za Zamani kama
Malindi
Miembeni
Vikokotoni
Kikwajuni
KMKM
Jamhuri

na zile Mpya kama
Small Simba
Black Fighters
Annur
Shangani nk


zilikua katika hali ya kiwango cha Juu na kuweza kutoa wachezaji wengi wazuri kwenye timu Ya Taifa Stars...
Malindi mwaka 1994 ilikua chini ya Mohammed Raza Na Naushad, Mwana CCM kINDAKI NDAKI...iliweza kusajili wchezaji wazuri na makocha wa nje. Ilifanikiwa Kuingia Fainali ya FA la Africa...
Baadhi ya Timu Hizi zimewahi kuchukua Ubigwa wa Tanzania Wakati ule Ligi ni Moja
Small Simba nayo ilikuwa chini ya Raza mdogo
nazo Timu za Shangani , Annur zilipata Ufadhili wa Matajiri wa CCM...Zote zilikuja Juu.
Ukaja Uchaguzi 1995 Na majimbo haya ambayo timu hizo zipo kwa bahati nzuri yaka chukuliwa na CUF.... Hawa wafadhili wakapata pressure na hatimae wakkaacha kufadhili hizi timu...Hatua Hii haikutarajiwa kabisa na hizi timu waliwaachia hawa wafadhili kila kitu ...hizi Timu zikafa kabisa na kushuka Daraja.. Hili likaleta athari kubwa ya Football Zanzibar. ..Kila Mtu atakubali kuwa hali ya Football zanzibar iko chini sana , imeanguka kweli kweli...Sasa hivi hakuna Small Simba wala Malindi wala Miembeni....Sasa hivi Mpira Zanzibar Unachezwa hivo hivo na Timu za Majeshi. Kuna
Mafunzo
Kmkm
JKU
Na Timu ya CCM Valantia au Green Guards....nao hawachezi mpira ..wanajitoa majasho tu kusukuma siku.

Hivyo Tusifanye Makosa hatua hizi zinaweza kuja angusha kabisa Mpira wa Tanzania. Siasa zetu bado sio zile zilizokomaa sana..
Tujifunze na Kusoma Ilikuwaje Simba..Ikagombana na Hatimae Ikagawanyika na Kuundwa RED STARS
Na ilikuwaje Yanga Ikavurugika na kugawanyika na Kuzaliwa PAN AFRICAN......
Pia someni Historia ya Cosmopolitan. Cosmo Ilikua Timu moja Kongwe zaidi na ilokuwa na ushawishi zaidi ya Simba na Yanga Miaka Ya nyuma. Ilikua na Uhusiano Maalum na Timu Kongwe ya Vikokotoni Zanzibar..Hizi Timu zote zilikua zikiongozwa na Ndugu wawili wa Kizanzibari Mansour Magram alikua Cosmo na Said Magram alikua Kocha wa Vikokotoni. Wakati huo huo Mzanzibari mwengine Abdalla Khalifa Salim ( Kinara) ndie alikua Rais wa Cosmo
Cosmo iliporomoka....Karume hakua anaipenda Vikokotoni Akaziwezesha Simba na Yanga....Cosmo Ikabaki kwenye vitabu vya historia.
Pia tusome Kisa na uhusiano wa Mwalimu na Tabu Mangara ..mara baada ya Ile Mechi Maarufu ya Yanga na Simba Kule Nyamagana Mwanza
Moja ya sababu ya migongano hiii ilikua ni Siasa......

HISTORIA NI MWALIMU MZURI
 
SIMBA NA YANGA Tuachane kabisa na Matajiri hawa wenye mrengo wa CCM Au hata wa Vyama vingine vya Siasa... wote ni wapenzi na washabiki wa kutupwa wa CCM ..Tuachane kabisa kuuza timu au kukodisha hizi timu ambazo zinaunganisha Watanzania wote bila ya kujali tofauti za Kisiasa au Dini Kuna Hatari zake.
Nitakupeni Mfano wa wazi.
Kabla Ya Uchaguzi wa Kwanza wa Vyama vingi Kule Zanzibar Football ilipanda Juu sana. Timu za Zamani kama
Malindi
Miembeni
Vikokotoni
Kikwajuni
KMKM
Jamhuri

na zile Mpya kama
Small Simba
Black Fighters
Annur
Shangani nk


zilikua katika hali ya kiwango cha Juu na kuweza kutoa wachezaji wengi wazuri kwenye timu Ya Taifa Stars...
Malindi mwaka 1994 ilikua chini ya Mohammed Raza Na Naushad, Mwana CCM kINDAKI NDAKI...iliweza kusajili wchezaji wazuri na makocha wa nje. Ilifanikiwa Kuingia Fainali ya FA la Africa...
Baadhi ya Timu Hizi zimewahi kuchukua Ubigwa wa Tanzania Wakati ule Ligi ni Moja
Small Simba nayo ilikuwa chini ya Raza mdogo
nazo Timu za Shangani , Annur zilipata Ufadhili wa Matajiri wa CCM...Zote zilikuja Juu.
Ukaja Uchaguzi 1995 Na majimbo haya ambayo timu hizo zipo kwa bahati nzuri yaka chukuliwa na CUF.... Hawa wafadhili wakapata pressure na hatimae wakkaacha kufadhili hizi timu...Hatua Hii haikutarajiwa kabisa na hizi timu waliwaachia hawa wafadhili kila kitu ...hizi Timu zikafa kabisa na kushuka Daraja.. Hili likaleta athari kubwa ya Football Zanzibar. ..Kila Mtu atakubali kuwa hali ya Football zanzibar iko chini sana , imeanguka kweli kweli...Sasa hivi hakuna Small Simba wala Malindi wala Miembeni....Sasa hivi Mpira Zanzibar Unachezwa hivo hivo na Timu za Majeshi. Kuna
Mafunzo
Kmkm
JKU
Na Timu ya CCM Valantia au Green Guards....nao hawachezi mpira ..wanajitoa majasho tu kusukuma siku.

Hivyo Tusifanye Makosa hatua hizi zinaweza kuja angusha kabisa Mpira wa Tanzania. Siasa zetu bado sio zile zilizokomaa sana..
Tujifunze na Kusoma Ilikuwaje Simba..Ikagombana na Hatimae Ikagawanyika na Kuundwa RED STARS
Na ilikuwaje Yanga Ikavurugika na kugawanyika na Kuzaliwa PAN AFRICAN......
Pia someni Historia ya Cosmopolitan. Cosmo Ilikua Timu moja Kongwe zaidi na ilokuwa na ushawishi zaidi ya Simba na Yanga Miaka Ya nyuma. Ilikua na Uhusiano Maalum na Timu Kongwe ya Vikokotoni Zanzibar..Hizi Timu zote zilikua zikiongozwa na Ndugu wawili wa Kizanzibari Mansour Magram alikua Cosmo na Said Magram alikua Kocha wa Vikokotoni. Wakati huo huo Mzanzibari mwengine Abdalla Khalifa Salim ( Kinara) ndie alikua Rais wa Cosmo
Cosmo iliporomoka....Karume hakua anaipenda Vikokotoni Akaziwezesha Simba na Yanga....Cosmo Ikabaki kwenye vitabu vya historia.
Pia tusome Kisa na uhusiano wa Mwalimu na Tabu Mangara ..mara baada ya Ile Mechi Maarufu ya Yanga na Simba Kule Nyamagana Mwanza
Moja ya sababu ya migongano hiii ilikua ni Siasa......


HISTORIA NI MWALIMU MZURI
 
Wapi unaona faida kama aslimia 25 unaona ni hasara tupu,kwanza Yanga ilikuwa haifanyi biashara hayo magazeti na jezi ni watu tuu wanatengeneza wanauza club haipati hata mia.leo hii manasema Yanga inapata hasara kwa kulipwa faida ya25%!acheni unaaaaaà
 
Unaongea utadhani umeuona mkataba..haujajua mkataba utakua na mambo yapi. bodi ya udhamina ya yanga sio wajinga kiasi iko waruhusu mkataba ambao hautaipa yanga mafanikio..tokea yanga imezaliwa inaendeshwa kwa hasara leo anatokea mtu anakwambia atakua anaweka 25% na hakuna hasara..manake ikiwepo hasara inakula kwake sio klabu..jaribu kujiuliza leo hii manji akisema anaondoka kuna mtu anaweza kulipa mishahara mikubwa pale yanga kuna mtu angeweza kuwaleta kina ngoma na kina kamusoko..mpira wa sasa unahitaji pesa sio maongezi na ushabiki mandazi....
 

Nimekupata mkuu ukusema yanga kampuni povu litawatoka wajinga wasioelewa ila mchezo ni ule ule jina ndio limebadilika
 
...tokea yanga imezaliwa inaendeshwa kwa hasara leo anatokea mtu anakwambia atakua anaweka 25% na hakuna hasara..manake ikiwepo hasara inakula kwake sio klabu.
Wewe ndio hujamuelewa mkodishaji. Amekuambia atakuwa anawawekea tu 25%? Hiyo 25% ni nini? Hiyo ni faida kama itakuwepo, lakini kwa kuwa wahasibu na mameneja ni wa kwake na sio wa klabu (kwa mujibu wa mkataba anachukua management), anaweza akasema amepata hasara kwa miaka yote 10 aliyoikodi timu.
 
Mkuu m2020, umeandika vizuri ila kujiita 'yanga damu' ni kosa kubwa maana Yanga kwa yanayoendelea ni kwamba haina mmiliki na ndio maana anayetaka kukodisha haijulikani atamlipa nani!
 
Kumbuka kwamba ile ilikua ni proposal ya mkodiashaji na ile klabu ni ya wanachama na ndo mana bodi ya udhamini itaenda kukaa na kuangalia waweke terms za aina ganii na za kuinufaisha klabu...bado unaweza kusikia vitu tofauti ndo mana mpaka leo bado haujaskia chochote bdo ni ishu kubwa wala sio ishu ya kukurupuka...na mkodishaji alisema iviii atakua anaweka asilimia 25 hata kama kuna hasra yeye atalipa..kma ulimsikia manji akihojiwa kwenye kituo flan cha radio..mpira pesa..
 
Simba&yanga kama manataka faida za klabu zenu badirisheni katiba klabu zijiendeshe kama kampuni na katika ununuzi wa hisa mwanachama au viongozi mwisha wa kumili hisa no 30% .
 
Simba&yanga kama manataka faida za klabu zenu badirisheni katiba klabu zijiendeshe kama kampuni na katika ununuzi wa hisa mwanachama au viongozi mwisha wa kumili hisa no 30% .

Mistake kumshirikisha simba hapo mlifikiri sisi ni kama ninyi hahaaa[emoji42] [emoji42] [emoji42]

Hivi miaka kumi ikiisha nini kinafuata natafakar hapa sipati jibu[emoji6] [emoji6]
 
Manji ndie anastahili kupewa 25% sio Yanga.... Ingekuwa ni Idara ya Serikali viongozi wa Yanga wangeshatumbuliwa
 
Hao akina Pope ndio wanachama wenyewe, uwepo wao unahakikisha kinachovunwa na klabu kinabaki klabuni, tofauti na YM ambapo mkataba unasema atachukua management klabu ibaki na majengo na viwanja
Hans Pope anajenga bonge la Hotel Iringa kwa pesa za Simba...Nyie mtabaki kuwa washangiliaji tu
 
Hans Pope anajenga bonge la Hotel Iringa kwa pesa za Simba...Nyie mtabaki kuwa washangiliaji tu
Hans Pope ni mfanyabiashara mkubwa, hategemei kuiba ili ajenge hoteli. Kumbuka anamiliki malori ya kusafirisha mizigo Rwanda na Burundi
 
Mimi ni yanga damu ila nasema kuwa Ni hasara tupu miaka yote 10 na gawiwo la 25% TUSAHAU Wana yanga.

Ila ushindi Unaweza kuwepo ndo nafuu yetu wapenzi. Miundombinu na maboresho ya klabu TUSAHAU.

Asante MANJI.
Yanga wanahitaji milioni 500 za usajili nenda kawape sio unapiga kelele hapa wakati hujawahi kutoa hata mia
 
Mimi ni yanga damu ila nasema kuwa Ni hasara tupu miaka yote 10 na gawiwo la 25% TUSAHAU Wana yanga.

Ila ushindi Unaweza kuwepo ndo nafuu yetu wapenzi. Miundombinu na maboresho ya klabu TUSAHAU.

Asante MANJI.


Wana-YANGA ni watu wa ajabu kweli kweli yaani wameporwa klabu yao mchana kweupeeeeeee??!! Huwezi kuamini kilichotokea na kinachoendelea kutokea...Aibu si aibu, uchuro si uchuro, ajabu si ajabu yaani mtu huelewi....Yaani watu wazima na akili zao wanalipiwa mpaka ada ya mwaka ya uanachama...klabu inakodishwa kama baiskeli...duh, unbelievable!!!
 
Ukiangalia kwa umakini utagundua kuwa haya mambo hutokea Tanzania Pekee..
 
Mkikataa manji ambae no Mungu wenu anawasusia li team menu tuone kama mnaeza kuliendesha kutokana na soka la sasa hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…