NgugiAchebe
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 1,024
- 688
Nyie mnapinga hakuna kitu kikaendelea kama hakuna uekezaji hip ndio tarifa kamili
Angalieni watu wengi ambao walikua na nyumba kariakoo waliokubali uekezaji nyumba zao zilibomolea na kujenga magorofa kisha wanagawana nusu kwa nusu
Sasa wanamaisha mazuri sana wana somesha watoto wao shule nzuri kwa sababu wanajivunia uekezaji uliofanyika
Angalia wale waliongangania mijumba yao ya miti kariakoo maisha yao no duni utaona wanakalia kupika vitumbua tu asubui had I jioni kula kwao no kwa shida hats pakia na maduka bei haizidi laki tatu kwa mwezi
Wakati ye aliekabali uekezaji wa gorofa fremu Moja no ml 1 na ziadi
Angalieni watu wengi ambao walikua na nyumba kariakoo waliokubali uekezaji nyumba zao zilibomolea na kujenga magorofa kisha wanagawana nusu kwa nusu
Sasa wanamaisha mazuri sana wana somesha watoto wao shule nzuri kwa sababu wanajivunia uekezaji uliofanyika
Angalia wale waliongangania mijumba yao ya miti kariakoo maisha yao no duni utaona wanakalia kupika vitumbua tu asubui had I jioni kula kwao no kwa shida hats pakia na maduka bei haizidi laki tatu kwa mwezi
Wakati ye aliekabali uekezaji wa gorofa fremu Moja no ml 1 na ziadi