Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kuna msichana anaweza kufurahia jambo ambalo hajawahi kulifanya hata siku Moja tena kwenye halaiki kubwa namna ile ?Duuh! Hatimaye kachukuliwa. Japo sura ya bi harusi hana hata chembe ya kufurahia kinachotokea. Aiseee.
Haya bana tuwaachage na tamaduni zao. Kila la kheri kwa mdada.
Ni hatua ya maisha. ItapitaInasikitisha sana mkuu....
Ndio. Naamini na kwa wengine ni hivyo hivyo
Tuheshimu tamaduni zao. Mwacheni Mtoto akale maisha ni bahati iliyoje kuolewa akiwa bikra tena kwa jamaa mwenye ukwasi wote huo ?Wewe kama nani unasema hivo?
Unafahamiana na huyo mzee?
Mwenzangu, tabasamu litoke wapi? Nilikuwa nawaza naumivu kupitia simulizi za watangulizi wanguHukutabasamu kbs wakat unaenda?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mmh. Hivyo halaiki kubwa ndio sababu ya mnuno wa bi harusi eee?Hivi kuna msichana anaweza kufurahia jambo ambalo hajawahi kulifanya hata siku Moja tena kwenye halaiki kubwa namna ile ?
Unafikiri kwanini mama zetu zamani walikuwa wanalia siku ya kuolewa ?
Mwenzangu, tabasamu litoke wapi? Nilikuwa nawaza naumivu kupitia simulizi za watangulizi wangu
Mkuu, kitendo cha kumtweza binadamu sio hatua ya maisha katu...[emoji121]Ni hatua ya maisha. Itapita
Naomba tusiendelee na hili, pleaseMbona hukuumia sasa?[emoji2]
Ukarudi nyumbani unatembea vzr
Mmh. Hivyo halaiki kubwa ndio sababu ya mnuno wa bi harusi eee?
Ni mila zao, watafanyeje sasa. Naamini kwa hiyo jamii husika huona fahariMkuu, kitendo cha kumtweza binadamu sio hatua ya maisha katu...[emoji121]
Mmh. Hivyo halaiki kubwa ndio sababu ya mnuno wa bi harusi eee?
Naam....Ni mila zao, watafanyeje sasa. Naamini kwa hiyo jamii husika huona fahari
Tamaduni za kishenziTamaduni za watu ziheshimiwe
Tamaduni za kishenzi
Uko sahihi sana,she has been unhappy at almost all the events..Nilipo angalia picha zote za Nyalong', kwakweli hakuna picha ambayo binti alionekana hata akitabasamu.
Kwakifupi Nyalong' hana furaha.