Hatimaye Zelensky akiri hadharani jeshi lake haliwezi kuyarejesha maeneo yake yaliyokombolewa na urusi

Hatimaye Zelensky akiri hadharani jeshi lake haliwezi kuyarejesha maeneo yake yaliyokombolewa na urusi

State Propaganda

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2024
Posts
542
Reaction score
1,286
Akiongea mbele ya waandishi wa habari, Zele amekiri kwa mara ya kwanza ya kuwa jeshi lake haliwezi kuyarudisha majimbo na maeneo yake kadhaa yaliyochukuliwa na jeshi la Urusi tangu septemba 2022 (Donetsk, Luhansk, Kherson, and Zaporizhzhia), pamoja na Crimea-lilichukuliwa tangu mwaka 2014.

Sababu kuu aliyoitoa ni kuwa jeshi lake kukosa nguvu na uwezo wa kukabiliana na majeshi ya Kremlin.

Hivyo, amesema njia pekee iliyobakia ya kumaliza mzozo huo ni njia ya mazungumzo m, (yaani diplomasia)ambayo itahitaji msaada kutoka jumuiya ya kimataifa.
IMG_20241222_103721.jpg


Pro -Ukraine mnazungumziaje hii kauli ya ya kipenzi chenu bwana Zelensky!?
 
Akiongea mbele ya waandishi wa habari, Zele amekiri kwa mara ya kwanza ya kuwa jeshi lake haliwezi kuyarudisha majimbo na maeneo yake kadhaa yaliyochukuliwa na jeshi la Urusi tangu septemba 2022 (Donetsk, Luhansk, Kherson, and Zaporizhzhia), pamoja na Crimea-lilichukuliwa tangu mwaka 2014.

Sababu kuu aliyoitoa ni kuwa jeshi lake kukosa nguvu na uwezo wa kukabiliana na majeshi ya Kremlin.

Hivyo, amesema njia pekee iliyobakia ya kumaliza mzozo huo ni njia ya mazungumzo m, (yaani diplomasia)ambayo itahitaji msaada kutoka jumuiya ya kimataifa.
View attachment 3182316

Pro -Ukraine mnazungumziaje hii kauli ya ya kipenzi chenu bwana Zelensky!?
sijawai pata sababu kwann watu wanamchukia Zele kisha wanampenda muuaji mtekaji mkandamizaji wa siasa za ndani ya Urusi , mvamizi kwa nchi zaid ya 5 , hapo utagundua kuna shetani anaiendesha dunia
 
Akiongea mbele ya waandishi wa habari, Zele amekiri kwa mara ya kwanza ya kuwa jeshi lake haliwezi kuyarudisha majimbo na maeneo yake kadhaa yaliyochukuliwa na jeshi la Urusi tangu septemba 2022 (Donetsk, Luhansk, Kherson, and Zaporizhzhia), pamoja na Crimea-lilichukuliwa tangu mwaka 2014.

Sababu kuu aliyoitoa ni kuwa jeshi lake kukosa nguvu na uwezo wa kukabiliana na majeshi ya Kremlin.

Hivyo, amesema njia pekee iliyobakia ya kumaliza mzozo huo ni njia ya mazungumzo m, (yaani diplomasia)ambayo itahitaji msaada kutoka jumuiya ya kimataifa.
View attachment 3182316

Pro -Ukraine mnazungumziaje hii kauli ya ya kipenzi chenu bwana Zelensky!?
Acha kelele ni mbinu za kivita tu, zelensky saiv yuko mbali sana, anashambulia urusi akiwa ndani ya urusi, anategeneza silaha zake mwenyewe
 
Akiongea mbele ya waandishi wa habari, Zele amekiri kwa mara ya kwanza ya kuwa jeshi lake haliwezi kuyarudisha majimbo na maeneo yake kadhaa yaliyochukuliwa na jeshi la Urusi tangu septemba 2022 (Donetsk, Luhansk, Kherson, and Zaporizhzhia), pamoja na Crimea-lilichukuliwa tangu mwaka 2014.

Sababu kuu aliyoitoa ni kuwa jeshi lake kukosa nguvu na uwezo wa kukabiliana na majeshi ya Kremlin.

Hivyo, amesema njia pekee iliyobakia ya kumaliza mzozo huo ni njia ya mazungumzo m, (yaani diplomasia)ambayo itahitaji msaada kutoka jumuiya ya kimataifa.
View attachment 3182316

Pro -Ukraine mnazungumziaje hii kauli ya ya kipenzi chenu bwana Zelensky!?
''Yaliyokombolewa'' ndiyo kauli gani?

Kwani yalikuwa utumwani?
 
sijawai pata sababu kwann watu wanamchukia Zele kisha wanampenda muuaji mtekaji mkandamizaji wa siasa za ndani ya Urusi , mvamizi kwa nchi zaid ya 5 , hapo utagundua kuna shetani anaiendesha dunia
Amka Toka Usingizini Utajikojolea
 
Akiongea mbele ya waandishi wa habari, Zele amekiri kwa mara ya kwanza ya kuwa jeshi lake haliwezi kuyarudisha majimbo na maeneo yake kadhaa yaliyochukuliwa na jeshi la Urusi tangu septemba 2022 (Donetsk, Luhansk, Kherson, and Zaporizhzhia), pamoja na Crimea-lilichukuliwa tangu mwaka 2014.

Sababu kuu aliyoitoa ni kuwa jeshi lake kukosa nguvu na uwezo wa kukabiliana na majeshi ya Kremlin.

Hivyo, amesema njia pekee iliyobakia ya kumaliza mzozo huo ni njia ya mazungumzo m, (yaani diplomasia)ambayo itahitaji msaada kutoka jumuiya ya kimataifa.
View attachment 3182316

Pro -Ukraine mnazungumziaje hii kauli ya ya kipenzi chenu bwana Zelensky!?
1.jpg

mbinu za kivita tu mkuu leo kitu icho kimeingia katikati russia, apo kabla ilikuwa haiwezekani kushambulia ndani ya urusi sasa mjengo unawaka moto huo
 
sijawai pata sababu kwann watu wanamchukia Zele kisha wanampenda muuaji mtekaji mkandamizaji wa siasa za ndani ya Urusi , mvamizi kwa nchi zaid ya 5 , hapo utagundua kuna shetani anaiendesha dunia
Wewe ushawahi kuona jeshi la urusi hapo tandahimba? Why uwachukie sasa kama hujawahi kuwa effected personally?

Ukikaa chini utagundua nyie wote ni mashabiki tu.
 
sijawai pata sababu kwann watu wanamchukia Zele kisha wanampenda muuaji mtekaji mkandamizaji wa siasa za ndani ya Urusi , mvamizi kwa nchi zaid ya 5 , hapo utagundua kuna shetani anaiendesha dunia
Kama ambavyo wewe una mkubali Netanyahu na Israel.
 
Akiongea mbele ya waandishi wa habari, Zele amekiri kwa mara ya kwanza ya kuwa jeshi lake haliwezi kuyarudisha majimbo na maeneo yake kadhaa yaliyochukuliwa na jeshi la Urusi tangu septemba 2022 (Donetsk, Luhansk, Kherson, and Zaporizhzhia), pamoja na Crimea-lilichukuliwa tangu mwaka 2014.

Sababu kuu aliyoitoa ni kuwa jeshi lake kukosa nguvu na uwezo wa kukabiliana na majeshi ya Kremlin.

Hivyo, amesema njia pekee iliyobakia ya kumaliza mzozo huo ni njia ya mazungumzo m, (yaani diplomasia)ambayo itahitaji msaada kutoka jumuiya ya kimataifa.
View attachment 3182316

Pro -Ukraine mnazungumziaje hii kauli ya ya kipenzi chenu bwana Zelensky!?
Weka link Acha habar za kwenye vijiwe vya kahawa msikitini kenge wahed
 
Back
Top Bottom