Hatimaye zile Km 51 zilizokuwa na vumbi zimekamilka. Sasa kutoka Dar hadi Kigoma ni lami

Kuna bonge la mbuga ya selous hapo je barabara hiyo ina umhimu wowote? Na je itakuwa lami ama vumbi?
Hata Sasa Kuna Barabara hapo ila ni ya vumbi.

Hiyo haitakuja Barabara ya kwanza kupita mbugani na in fact inatakiwa ipite hapo Kwa Ajili ya kufungua Utalii zaidi huko Kusini.
 
Hiyo naona ni Singida-Iringa-moro-Lindi-Ruvuma bonge la barabara mpya haijawahi kuwepo na itagharimu matrioni mzee, hiyo labda wajenge kizazi kijacho 2050 huko
Hakuna Cha Matrilioni yeyote hapo,pesa kama zile za Kujenga daraja la JPM linatosha kumaliza hiyo Barabara ,kimsingi ni uamzi tuu Wala haifiki hata Trilioni 1.Section ngumu ni hiyo ya Kutoka Kilolo-Morogoro-Ulanga kwingine ni tambarare na swamps ambazo zinajengeka japo inaweza kuwa time consuming.

Mimi ningekuwa kwenye vitengo vya mipango au ushauri wa Rais ninge priotise hizo Barabara maana zinafungua uchumi na kutoa relief Kwa Barabara zilizopo.
 
1. Merarerani - Simanjiro- Kibaya - Dodoma
2. Geita - Kahama
3. Makongorosi chunya - Tabora
4. Manyoni - Itigi - Ruangwa - Makongorosi chunya
5. Dodoma - Iringa
6. Sanya Juu Kilimanjaro - Namanga
7. Matundasi chunya - Itumbi chunya
 
Bado Eneo La Kutoka Uvinza Kuelekea Tabora Halina Lami Lote
 
Hiyo barabara ni km zaidi ya 1000 sasa kama km ya vumbi hugharimu Hapo unaongelea km 1500 na km1 huchongwa kwa 1B so km1500 = 1.5 Trilion
Hiyo hela kwa sasa hamna
 
1. Merarerani - Simanjiro- Kibaya - Dodoma
2. Geita - Kahama
3. Makongorosi chunya - Tabora
4. Manyoni - Itigi - Ruangwa - Makongorosi chunya
5. Dodoma - Iringa
6. Sanya Juu Kilimanjaro - Namanga
7. Matundasi chunya - Itumbi chunya
 
Ukisema serikali ya samia imewakomboa ni utaahira.Hizo bara bara zimejengwa kwa kiasi kikubwa na awamu zilizopita hasa JK.Toa credit kwa awamu zote
ili kuweka mambo ilitakiwa aseme hivi, "wananchi wanaishukuru serikali" au wananchi wanaishukuru serikali chini ya mh.rais dr. Samiah
 
Tanganyika tusipoamka tunapiga na mjinga mmoja ikifika 2030, tutalia machozi.
Huyu anataka Umeya,wakati alifukuzwa Umeya😳, ila anajishika naye Kila Kona.
Hali ni mbaya sana ,hakuna anayefanya KAZI ya kuleta kipato Kila mtu Kila saa, mama ,mama,mama
 

Attachments

  • IMG-20250130-WA0022.jpg
    129.4 KB · Views: 1
  • IMG-20250130-WA0021.jpg
    83.2 KB · Views: 1
  • IMG-20250130-WA0019.jpg
    82.4 KB · Views: 1
  • VID-20250130-WA0023.mp4
    7.4 MB
Hiyo barabara ni km zaidi ya 1000 sasa kama km ya vumbi hugharimu
Hapo unaongelea km 1500 na km1 huchongwa kwa 1B so km1500 = 1.5 Trilion
Hiyo hela kwa sasa hamna
Haifiki huo urefu na hata kama ingefika Wala hakuna tatizo Kwa sababu kama tunajenga Sgr km less than 400 inafika kuanzia Trilioni 3 na zaidi Kuna shida gani kwenye Barabara?

Kwanza Barabara Kila km 1 unayoikamilisha inaanza Kuzalisha tofauti na reli Hadi ikamilike yote ulete treni sijui nini yaani ni hasara kujenga reli kuliko Barabara.
 
Kwani wewe umekatazwa kuweka picha za Rais na kuutaja umeya ? Una ujinga mwingi
 
Kama sio vipaombele kubadilishwa na Magufuli Kwa Sasa Nchi yote ingekuwa lami na hivyo Nguvu ingekuwa kwenye Sgr.

By the way mama anaendelea kupiga mwingi sana kwenye Barabara,kabla ya 2030 Barabara zote kuu zitakuwa na lami.
Weka na takwimu za deni la taifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…