ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
- #41
Takwimu za deni la Taifa zinahusinaje na mada?Weka na takwimu za deni la taifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Takwimu za deni la Taifa zinahusinaje na mada?Weka na takwimu za deni la taifa
Scorpion wamefanyaje? Kwa nini wewe usiseme Hadi tuwaulize hao?umesema kweli, au awaulize Scorpion ya Mwanza_ Kigoma via Tabora
Mwaka Jana niliweka mada hapa kwamba Zimesalia km 51 za vumbi Ili Barabara yote kutoka Dar Hadi Kigoma iwe Lami.
Hatimaye km za mwisho kutoka Ilunde-Malagarasi zimekamilika na Sasa Kigoma sio mwisho wa reli tena.Serikali ya Rais Samia imewakomboa watu wa Kigoma na Tabora. Soma hapa Bado Km 51 ili Kigoma-Dar iwe lami. Rais Samia anaenda kuunganisha mikoa yote kwa lami.
View attachment 3218390
Sasa Serikali iweke Nguvu kwenye Barabara zifuatazo
-Mbeya-Tabora
-Songea-Morogoro
-Njombe-Morogoro
-Arusha-Musoma
-Mpanda-Kigoma
-Tanga-Singida
-Iringa-Morogiro-Lindi.
View attachment 3218389
View attachment 3218321
===
Ujenzi wa barabara ya Kaliua - Malagarasi - Ilunde (km 156) na kipande cha Kazilambwa - Chagu (km 36) umekamilika kwa asilimia 100, huku kazi za nyongeza kwenye barabara ya Ugansa - Usinge (km 7.4) zikifikia asilimia 98.5.
Barabara hii, yenye umuhimu mkubwa wa kiuchumi na kijamii, imejengwa kwa kiwango cha lami kwa gharama ya shilingi 48.6 bilioni, ambapo Mfuko wa OPEC umefadhili asilimia 95 ya mradi huku Serikali ya Tanzania ikigharamia asilimia 5.
Mradi huu ulianza kutekelezwa tarehe 3 Agosti 2020, baada ya upembuzi yakinifu uliofanywa mwaka 2009 na kampuni ya Crowntech Consult Ltd kwa gharama ya shilingi 134.4 milioni.
Serikali ya Tanzania ilianza kufadhili ujenzi huo kwa asilimia 100, kabla ya Mfuko wa OPEC kuingia kama mfadhili mkuu mwaka 2021.
Wakazi 199 wa vijiji vya Ugansa na Malanga walilipwa fidia ya jumla ya shilingi 725.3 milioni kupisha ujenzi huo, huku gharama za usimamizi wa mradi zikifikia shilingi 2.2 bilioni kwa kipindi chote cha utekelezaji.
Aidha, mradi huu umesimamiwa na Kitengo cha Usimamizi wa Miradi cha Wakala ya Barabara Tanzania - TANROADS (TECU) kutoka Mkoa wa Tabora.
Pamoja na mafanikio ya mradi, changamoto kubwa imejitokeza ikiwemo wizi wa alama za barabarani.
Mpaka sasa, jumla ya alama 10 na mabango mawili ya mradi vimeripotiwa kuibwa, hali inayohatarisha usalama wa watumiaji wa barabara.
Katika juhudi za kudhibiti hali hiyo, vyombo vya ulinzi na usalama vikishirikiana na Meneja wa TANROADS Mkoa wa Tabora vimemkamata mtuhumiwa mmoja, Moshi Luponya, mkazi wa Kijiji cha Tarehe Moja, Kata ya Usinge. Mtuhumiwa anashikiliwa na kwa kesi ya kuhujumu miundombinu ya serikali chini ya RB Na. USNG/RB/37/2024 katika Mahakama ya Wilaya ya Kaliua.
Kwa sasa, kazi zinazokamilishwa ni pamoja na ufungaji wa taa za barabarani, ujenzi wa barabara za maingilio, na upakaji rangi.
Wakazi wa Tabora na Kigoma wamepokea mradi huu kwa matumaini makubwa, wakiamini utaimarisha uchumi kwa kuboresha usafirishaji wa mazao, biashara, na huduma za kijamii.
Arusha to Musoma n ngumu hizo vipande vya hifadhi ya Serenget na Ngorongoro walitaka kuweka mamlaka zilikataa kwa sababu ya nature ndy maana imebaki mpaka sasa
Hawajakataa popote na hata kama walikataa hawatupangii na ujenzi unaendelea.Arusha to Musoma n ngumu hizo vipande vya hifadhi ya Serenget na Ngorongoro walitaka kuweka mamlaka zilikataa kwa sababu ya nature ndy maana imebaki mpaka sasa
Wakoloni walijenga reli, barabara za lami, shule(elimu bure), makanisa, kuchimba maji sijui nao tuwasifu? kimsingi mleta uzi ni chiziUkisema serikali ya samia imewakomboa ni utaahira.Hizo bara bara zimejengwa kwa kiasi kikubwa na awamu zilizopita hasa JK.Toa credit kwa awamu zote
Hawajakataa popote na hata kama walikataa hawatupangii na ujenzi unaendelea.
Kwani Kuna zuia nini hapo kuweka fence na vivuko vya wanyama?
Na zile sehemu zingine ambazo Hazina fence kujenga Kwa teknolonia ya mawe Ili kudhibiti speed?
Watu hawajaishiwa akili.
N kwl ila walitowa sababu lukuki kuwa cha kwanza kupoteza asili wanyama kuhama pia barabara ipo ya kupitia mwanza so ile n kama ya ziadaHawajakataa popote na hata kama walikataa hawatupangii na ujenzi unaendelea.
Kwani Kuna zuia nini hapo kuweka fence na vivuko vya wanyama?
Na zile sehemu zingine ambazo Hazina fence kujenga Kwa teknolonia ya mawe Ili kudhibiti speed?
Watu hawajaishiwa akili.
Binadamu hajaishiwa maarifa hizo ni propaganda za Wakenya kuzuia maendeleo ya Utalii wa Tanzania.N kwl ila walitowa sababu lukuki kuwa cha kwanza kupoteza asili wanyama kuhama pia barabara ipo ya kupitia mwanza so ile n kama ya ziada
Paris ya wapi?Kuanzia kazilambwa Hadi Paris kile kipande kilikuwa bado
🤣🤣🤣 tusubrBinadamu hajaishiwa maarifa hizo ni propaganda za Wakenya kuzuia maendeleo ya Utalii wa Tanzania.
Serikali itajenga Kwa modelity niliyokueleza au laa wata divert sehemu ambazo haikatishi Kwa urefu hiyo Barabara na ujenzi unaendelea huko.
Tena sio Barabara tuu Hadi reli Iko mbioni .
Wanaishukuru serikali kwa lipi, kwani hizo barabara si zinajengwa kwa kodi zetu na kama ni mikopo si ni sisi wananchi ndio tutazilipa kwa kodi zetu.ili kuweka mambo ilitakiwa aseme hivi, "wananchi wanaishukuru serikali" au wananchi wanaishukuru serikali chini ya mh.rais dr. Samiah
Baada ya vizee vichawi vingi Kigoma kufariki dunia sasa maendeleo yameanza kuonekana kigomaSasa ww taahira umesema section ya mwisho ndio ilianza 2022 ,maana yake hizo section nyingine zilijengwa na makalio yako?
Hizo section nyingine zina KM ngapi ukilinganisha na hiyo ya mwisho?
Akili yako ni finyu sana
Kwa kuzingatia kichwa cha habari ,hii taarifa unayotoa hapa si sahihi.Kipande cha kibaoni uvinza mpaka kijiji cha chakuru badoMkuu hauna update za mradi wa rami kutoka Namanyere mpaka kirando ili kuweza kuunganisha Bandari ya kipiri ? Maana njia hii ni muhimu kwa uchumi wa wilaya ya Nkasi na mkoa kwa ujumla wake.
Hapana, muhimu zilizobaki niMuhimu zilizobaki
-Mbeya-Tabora
-Songea-Morogoro
-Njombe-Morogoro
-Arusha-Musoma
-Mpanda-Kigoma
-Tanga-Singida
-Iringa-Morogiro-Lindi.
Una akili finyu,kwamba Serikali itoe kipaomnele kwenye Barabara za Mikoa na kuacha Trunk roads si ndio?Hapana, muhimu zilizobaki ni
Kyela - Njombe
Kigoma - Bihalamuro
Tunduma -Kyela
Chunya - Sumbawanga
Chunya - Tabora/Singida
Sawa,ngoja nikusanye hela ya mafuta Krimass nikalie Kigoma...Mwaka Jana niliweka mada hapa kwamba Zimesalia km 51 za vumbi Ili Barabara yote kutoka Dar Hadi Kigoma iwe Lami.
Hatimaye km za mwisho kutoka Ilunde-Malagarasi zimekamilika na Sasa Kigoma sio mwisho wa reli tena.Serikali ya Rais Samia imewakomboa watu wa Kigoma na Tabora. Soma hapa Bado Km 51 ili Kigoma-Dar iwe lami. Rais Samia anaenda kuunganisha mikoa yote kwa lami.
View attachment 3218390
Sasa Serikali iweke Nguvu kwenye Barabara zifuatazo
-Mbeya-Tabora
-Songea-Morogoro
-Njombe-Morogoro
-Arusha-Musoma
-Mpanda-Kigoma
-Tanga-Singida
-Iringa-Morogiro-Lindi.
View attachment 3218389
View attachment 3218321
===
Ujenzi wa barabara ya Kaliua - Malagarasi - Ilunde (km 156) na kipande cha Kazilambwa - Chagu (km 36) umekamilika kwa asilimia 100, huku kazi za nyongeza kwenye barabara ya Ugansa - Usinge (km 7.4) zikifikia asilimia 98.5.
Barabara hii, yenye umuhimu mkubwa wa kiuchumi na kijamii, imejengwa kwa kiwango cha lami kwa gharama ya shilingi 48.6 bilioni, ambapo Mfuko wa OPEC umefadhili asilimia 95 ya mradi huku Serikali ya Tanzania ikigharamia asilimia 5.
Mradi huu ulianza kutekelezwa tarehe 3 Agosti 2020, baada ya upembuzi yakinifu uliofanywa mwaka 2009 na kampuni ya Crowntech Consult Ltd kwa gharama ya shilingi 134.4 milioni.
Serikali ya Tanzania ilianza kufadhili ujenzi huo kwa asilimia 100, kabla ya Mfuko wa OPEC kuingia kama mfadhili mkuu mwaka 2021.
Wakazi 199 wa vijiji vya Ugansa na Malanga walilipwa fidia ya jumla ya shilingi 725.3 milioni kupisha ujenzi huo, huku gharama za usimamizi wa mradi zikifikia shilingi 2.2 bilioni kwa kipindi chote cha utekelezaji.
Aidha, mradi huu umesimamiwa na Kitengo cha Usimamizi wa Miradi cha Wakala ya Barabara Tanzania - TANROADS (TECU) kutoka Mkoa wa Tabora.
Pamoja na mafanikio ya mradi, changamoto kubwa imejitokeza ikiwemo wizi wa alama za barabarani.
Mpaka sasa, jumla ya alama 10 na mabango mawili ya mradi vimeripotiwa kuibwa, hali inayohatarisha usalama wa watumiaji wa barabara.
Katika juhudi za kudhibiti hali hiyo, vyombo vya ulinzi na usalama vikishirikiana na Meneja wa TANROADS Mkoa wa Tabora vimemkamata mtuhumiwa mmoja, Moshi Luponya, mkazi wa Kijiji cha Tarehe Moja, Kata ya Usinge. Mtuhumiwa anashikiliwa na kwa kesi ya kuhujumu miundombinu ya serikali chini ya RB Na. USNG/RB/37/2024 katika Mahakama ya Wilaya ya Kaliua.
Kwa sasa, kazi zinazokamilishwa ni pamoja na ufungaji wa taa za barabarani, ujenzi wa barabara za maingilio, na upakaji rangi.
Wakazi wa Tabora na Kigoma wamepokea mradi huu kwa matumaini makubwa, wakiamini utaimarisha uchumi kwa kuboresha usafirishaji wa mazao, biashara, na huduma za kijamii.
Kama zinajengwa Kwa Kodi zako ndio hawapaswi kunishukuru Serikali?Wanaishukuru serikali kwa lipi, kwani hizo barabara si zinajengwa kwa kodi zetu na kama ni mikopo si ni sisi wananchi ndio tutazilipa kwa kodi zetu.
Serikali yoyote iliyopo madarakani ni lazima itajenga hizo barabara. Kwani mnafikiri wananchi ni wajinga tu siku zote. Acheni kuleta siasa za kijinga.
Sasa shukurani hiyo maana yake nini wakati zinajengwa kwa kodi zao na wala rais hatoi hela yake mfukoni au kwenye mkoba wake.Kama zinajengwa Kwa Kodi zako ndio hawapaswi kunishukuru Serikali?