Hatma baada ya kupona Gono

Hatma baada ya kupona Gono

Mara nyingi wanakuwa nayo bila wao kujua.. wala kuwaletea shida. Shida unaipata ww Mwanaume.

Na huyo atakuwa kaambukizwa na Mwanaume mwingine tofauti na ww.

Kuna magonjwa Mwanamke akiwa nayo aisee inakatisha tamaa mfn Gono ni ugonjwa flan hivi wakipumbavu sana.

Wengi wanopata gono wanatoa kwa Malaya wa bei rahisi, pia wengine wanatafsiri Gono sawa na U.T.I ndio maana unaskia U.T.I inavuma ila humo humo na Gono ipo ni namna ya kuitafsiri vzr.
Gono inakula kizazi Cha mwanamke mpaka kinaisha, Nina shuhuda Kuna dada gono ilimla kwenda hospital wakakuta kizazi chekecheke ikabidi wakitoe

Demu mwenye gono ni kupiga chini na kufuta namba zake, hukuwepo kwenye kikao Cha mabaharia wewe mtoa mada??
 
Hata mleta mada hajatulia kivile kwa hiyo msiwe wa haraka sana kujudge...hatujui upande wa mleta mada


Sasa huyu ndo nlokua na mpango nae,
 
Gono inakula kizazi Cha mwanamke mpaka kinaisha, Nina shuhuda Kuna dada gono ilimla kwenda hospital wakakuta kizazi chekecheke ikabidi wakitoe

Demu mwenye gono ni kupiga chini na kufuta namba zake, hukuwepo kwenye kikao Cha mabaharia wewe mtoa mada??
Symptoms of gonorrhoea usually develop within about 2 weeks of being infected, although they sometimes do not appear until many months later. About 1 in 10 infected men and 5 in 10 infected women will not experience any obvious symptoms, which means the condition can go untreated for some time.

Nilichomaanisha.

Na kaa ukijua Gono kwa mwanamke isipotibiw ndio inaleta PID.
 
Back
Top Bottom