fundinaizer
JF-Expert Member
- Dec 15, 2016
- 1,758
- 2,713
Wahenga walisema mficha uchi hazai.
Mie ni kijana wa mwaka wa kwanza niliepata nafasi ya kujiunga na masomo ya elimu ya juu katika chuo flani kikubwa hapa jijini DSM, Sina muda mrefu tangu nikamilishe usajili/bado mgeni.
Kutokana na ukarimu na kupenda kucheka na watu nilifanikiwa kufahamika na wanafunzi wenzangu wa mwaka wa kwanza ndani ya muda mfupi mpaka siku ya ijumaa iliyipita nikiwa nimepitiwa usinginzi ndani ya lecturing room nikajikuta nimetoa hewa chafu/kujamba bahati mbaya ni kwa sauti kubwa.
Kiufupi Rinda liko vizuri ila ni kutokana na udhaifu wa kibinadamu nikajikuta nachekwa sana baada ya kipindi kuisha.
Nazungumza nikiwa Hostel sijatoka tangu juzi na mbaya zaidi vipindi vinaendelea, najaribu kujikaza niende maana Fame ndo imeniponza.
Nakaribisha ushairi na maoni yenye kunijaza ujasiri kesho niingie kipindi.
My take: Rinda liko fiti.
Mie ni kijana wa mwaka wa kwanza niliepata nafasi ya kujiunga na masomo ya elimu ya juu katika chuo flani kikubwa hapa jijini DSM, Sina muda mrefu tangu nikamilishe usajili/bado mgeni.
Kutokana na ukarimu na kupenda kucheka na watu nilifanikiwa kufahamika na wanafunzi wenzangu wa mwaka wa kwanza ndani ya muda mfupi mpaka siku ya ijumaa iliyipita nikiwa nimepitiwa usinginzi ndani ya lecturing room nikajikuta nimetoa hewa chafu/kujamba bahati mbaya ni kwa sauti kubwa.
Kiufupi Rinda liko vizuri ila ni kutokana na udhaifu wa kibinadamu nikajikuta nachekwa sana baada ya kipindi kuisha.
Nazungumza nikiwa Hostel sijatoka tangu juzi na mbaya zaidi vipindi vinaendelea, najaribu kujikaza niende maana Fame ndo imeniponza.
Nakaribisha ushairi na maoni yenye kunijaza ujasiri kesho niingie kipindi.
My take: Rinda liko fiti.