Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Mzee akaniambia

Mzee: "Ivi ulianza kile nilichokuagiza?"

BM: "Yeah" (ilibidi nimdanganye)

Mzee: "Jitahidi, watoto wa kike hawa sio wa kuwaamini sana hasa huyu Michelle"

BM: "Sawa Mzee nimekuelewa"

Naomba ukumbushie hapa, ni maagizo gani?
 
Mzee akaniambia

Mzee: "Ivi ulianza kile nilichokuagiza?"

BM: "Yeah" (ilibidi nimdanganye)

Mzee: "Jitahidi, watoto wa kike hawa sio wa kuwaamini sana hasa huyu Michelle"

BM: "Sawa Mzee nimekuelewa"

Naomba ukumbushie hapa, ni maagizo gani?
Hayo maagizo sikuyaweka wazi ila episodes zijazo nitaelezea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee akaniambia

Mzee: "Ivi ulianza kile nilichokuagiza?"

BM: "Yeah" (ilibidi nimdanganye)

Mzee: "Jitahidi, watoto wa kike hawa sio wa kuwaamini sana hasa huyu Michelle"

BM: "Sawa Mzee nimekuelewa"

Naomba ukumbushie hapa, ni maagizo gani?
Mzee anataka either kijua anapokaa Careen au mtu wa Careen. Kaa humo
 
Nilishamtoa hofu baada ya kumuambia sasa hivi Accountant sio incharge tena

Uzuri ni kwamba yupo mbali so hamjui Incharge wa sasa hivi, na akija kumjua sijui itakuwaje

Ivi unajua kama Caryn naishi nae lakini as a Housemate
Bro kula mali safi hiyo
 
The story is good, but I always ask myself' is this fiction or none fiction story maana unavoelezea, kwanza najiuliza unawezaje kukumbuka visa vidogo vidogo haswa Kwa matukio yaliyopita! Hata hata dialogue umekumbuka umeandika as if ulikuwa unatembea na daftari na peni Kila siku unaandika yanayoendelea Kwa wakati huo! Kwa akili yangu mm nimeona hii ni story ya kutungwa! Yaan Mzee ulikaa ukafikiria sana mwisho wa siku ukaandika story in an organised way
 
Ni true story na matukio sio ya kitambo sana, ni ya miezi 3 nyuma

Na kuhusu kukumbuka siandiki popote labda ninapokuwa naongea na Mzee zile Conversation huwa narekodi kwenye simu bila yeye kujua lakini, maana najua huwa anatema nondo japokuwa sio mara zote nafanya hivyo,

Halafu pia kuhusu kusahau mbona nasahau sana tu maana kuna sehemu nyingi sana sijaziandika, na mara nyingine unakuta baadhi ya sehemu nazikumbuka nikiwa nishapost episode yenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…