Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Muheshimu BM tuambie unavyomiona Caryn she is in love you like boyfriend or just workmate for you research Kuna codes nimeziona Kama anakupenda anashindwa kukuambia na unashindwa kumwambia

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Mimi mwenyewe nilikuwa njia panda kama ww Mkuu, yani nilikuwa sielewi

Unajua unaweza kufanyiwa ukarimu na Mwanamke hadi ukahisi unapendwa kimapenzi kumbe mwenzako hayuko kwenye fikra hizo kabisa na wanaume wengi tupo hivyo tunashindwa kutenganisha upendo wa kawaida na ule wa kimapenzi

Lakini pia unaweza ukawa unapendwa kweli ila ukashindwa kujiongeza kwa kukosa kutambua kama huu ninaooneshwa ni Upendo wa kawaida au ni Upendo ule wa kuwa mwili mmoja

Ila kwa upande wangu mm nilijiongeza, episode inayofuata utajua kama mkeka ulitiki[emoji3514] au ulichanika[emoji735]
 
BM leo umekamatika! Nimejaribu kuvaa viatu vyako kwa mda mfupi nikalona vinapwaya kidogo.
 
Mkuu ushawahi kuwaza kwamba hii ni isidingo ya bongo kabisa yaani ni written isidingo au script vile.. story nzuri na uandishi mzuri ila imekaa ki-isidingo inachosha..
Mwisho kunatabirika ni lini!?
Life story ya matukio current unataka uanze kuitabiria mwisho? You must be kidding
 
Facts kwa wanaume sometime tunakuwa Dilema

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Tunasubiri tuone mkeka ili na sisi tupate funzo ilitukutana na mitihani Kama hiyo tujue tuna sort vp

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 

Duh kimeumana
 
Bro BM X6 I have been going through the story from the beginning, I can come to conclusion You are Talented in Composing and everything related to Story Telling,Am your Submissive Fan in The Story,I have never Commented But Get to know I remain humbled and appreciative..Keep Up the Good Work Brother

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…