Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Tunasubiri mkeka kaka "A day to remember" [emoji119][emoji119][emoji119][emoji95][emoji95][emoji95]
 
Kama unakujaga Bandarini mara kwa mara na umeshaonana na huyo jamaa, I'm sure pia Mimi utakuwa umeniona sema ndio hivyo codes zimezingatiwa, japokuwa na onana na watu humu bila wao kujua wameonana na BM

Na kama siku ukiiotea Ofisi yetu basi kwa haraka haraka mtu utakaye mjua ni Caryn ila Sasa ni hadi uombe kuonana nae Kama shida yako ipo sensitive zaidi maana wateja wengi wakitoka store wanapitia kwa Accountant na kwa Secretary wamemaliza

Ndio maana watu ninaowapata humu kama wanashida ya kusafirishiwa mizigo huwa nawapeleka Kampuni fulani ili codes ziendelee kuwa safe

Kama Kuna jamaa flani alinicheki humu alikuwa anataka huduma, nikamkutanisha na Dogo flani, huyu Dogo alikuwa Dereva Kampuni flani akaacha akahamia Kampuni nyingine ya Cargo kama Salesman

Sasa jamaa nilivyomkitanisha na Dogo kwa mawasiliano mwisho wa siku jamaa akaagiza mzigo kupitia hiyo Kampuni huku akidhani kwamba Ile ndio Kampuni ninayofanyia kazi, maana siku anaenda kuchukua mzigo Dogo ananiambia kuwa aliniulizia

Uzuri nilikompeleka jamaa huduma ni nzuri so hakuwa disappointed na commission yangu nilikula, kwahiyo wakuu kama mna mizigo yetu kutoka china na inahitaji kusafirishwa kuja Bongo nichekini tu bila wasiwasi
Ooh naona upo makini sana codes zisifunguke...hayo mambo mengine ni extra sio muhimu sana kuyajua for the sake ya kulinda identity

Cha Muhimu ni kuendelea na story [emoji28]
 
Mkuu Mafian cartel Picha zimekubali kufunguka ndio nimeziona Leo,

Bila kupepesa macho yule Agent namjua (ila sio Mimi), Ma-Agent na Ma logistic Manager tunafahamiana kwasababu tunatumia wote ndege moja, Air Tanzania na Ethiopian Airway kwahiyo mara nyingi ratiba huwa zinafanana.

Huyo Agent najua hadi Kampuni anayofanyia kazi, actually ndio hiyo hiyo uliyoiona Insta na Mimi ananijua ila kwa Nickname lakini sio nickname hii BM X6

Hizo Air Cargo zipo nyingi sana japokuwa wengine wanapiga miguu yote yote yani Air Cargo na Cargo Ship

Baadhi ni kama

Kaluu Express Air Cargo

Ngoka Express Air Cargo

Huru Express Air Cargo

Sifex Air Cargo

Tan Air Cargo

Rapid Express Air Cargo

Takes Express Air Cargo

Barhi Express Air Cargo

African Express Cargo

Target Express Air Cargo

Epic Express Air Cargo

SSI Air Cargo


NB: Katika hizo nilizozitaja kuna Kampuni ya Mzee pia
Rapid Express ndio kampuni yenu au nimekosea? Ata kma nikipatia huwezi sema hhhhhhh
 
Mkitaka kuijua Kampuni ya Bm zungukeni kwenye Parking za ofisi zote alizozitaja hapo

Mkikuta kwenye Parking kuna Bmw x3 basi ndo hapo[emoji28]
 
Mkitaka kuijua Kampuni ya Bm zungukeni kwenye Parking za ofisi zote alizozitaja hapo

Mkikuta kwenye Parking kuna Bmw x3 basi ndo hapo[emoji28]
Mkuu utazunguka daslamu nzima ujue [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119]

Alafu sasa, ishu ya kutaka kuijua hiyo ofisi ni nini haswaa? Kutaka kumjua Caryn au BM au kipi kikubwa mno haswaa?

Kikubwa hapa,BM Mungu amjaalie afya njema na aweze kutuletea mkeka mpka hapo kwenye "A day to remember"[emoji39][emoji41]
 
Mkuu Leo naweza kushusha mkeka lakini nahisi mkeka hautofika A day to remember maana utakuwa mrefu sana
A day to remember Mzee kawa disappointed na mazingira aliyoyakuta Caryn na BM kumbe wako same house na kahs ,mambo mengi unaendeleaje behind the scene bilab' kujulishwa
 
Back
Top Bottom