Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Tunasubiri mkeka kaka "A day to remember" [emoji119][emoji119][emoji119][emoji95][emoji95][emoji95]
 
Ooh naona upo makini sana codes zisifunguke...hayo mambo mengine ni extra sio muhimu sana kuyajua for the sake ya kulinda identity

Cha Muhimu ni kuendelea na story [emoji28]
 
Rapid Express ndio kampuni yenu au nimekosea? Ata kma nikipatia huwezi sema hhhhhhh
 
Mkitaka kuijua Kampuni ya Bm zungukeni kwenye Parking za ofisi zote alizozitaja hapo

Mkikuta kwenye Parking kuna Bmw x3 basi ndo hapo[emoji28]
 
Mkitaka kuijua Kampuni ya Bm zungukeni kwenye Parking za ofisi zote alizozitaja hapo

Mkikuta kwenye Parking kuna Bmw x3 basi ndo hapo[emoji28]
Mkuu utazunguka daslamu nzima ujue [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119]

Alafu sasa, ishu ya kutaka kuijua hiyo ofisi ni nini haswaa? Kutaka kumjua Caryn au BM au kipi kikubwa mno haswaa?

Kikubwa hapa,BM Mungu amjaalie afya njema na aweze kutuletea mkeka mpka hapo kwenye "A day to remember"[emoji39][emoji41]
 
Mkuu Leo naweza kushusha mkeka lakini nahisi mkeka hautofika A day to remember maana utakuwa mrefu sana
A day to remember Mzee kawa disappointed na mazingira aliyoyakuta Caryn na BM kumbe wako same house na kahs ,mambo mengi unaendeleaje behind the scene bilab' kujulishwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…