Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti ifanye kama Figo.Inawezekana, sometimes na mimi nafunguka hadi najisahau[emoji2365]
Nakuomba hiyo Code ubaki nayo mkuu. Ifanye kama Figo
Sijajua the logic behind kutoifungia tracker gari ya mkewe? tusaidie ulichoelewa ili tujifunzeI like the fact kwamba mzee hajamfungia bi mkubwa tracker,hiyo Ni heshima kubwa alonayo mzee.wanaume mna la kujufunza hapa.
Kuna wkt inaonekana kuna shughuli zake hatamani mto yyte kujua Yuko wap kwa hyo iyo gar inakuwa choice nzuri kutumia na ilivyo ni kama haijulikani HV Kwa kuwa haitok mara Kwa mara security purposes hyo gari inafaaSijajua the logic behind kutoifungia tracker gari ya mkewe? tusaidie ulichoelewa ili tujifunze
Binadamu wana roho za ajabu sana. Hawachelewi kwenda kuyapelekaNimeipenda sana hii...japo sidhani kama kutakuwa na mtu mwenye nia mbaya humu
Nafikiri kwa sisi wanaume ukioa na ukawa unampenda mkeo, basi usimchunguze wala kumfuatilia kama ana cheat. Na usithubutu kumfumania, kama humuamini bora umuache tu lakini usijaribu kumfumania.I like the fact kwamba mzee hajamfungia bi mkubwa tracker,hiyo Ni heshima kubwa alonayo mzee.wanaume mna la kujufunza hapa.
Well said mkuuNafikiri kwa sisi wanaume ukioa na ukawa unampenda mkeo, basi usimchunguze wala kumfuatilia kama ana cheat. Na usithubutu kumfumania, kama humuamini bora umuache tu lakini usijaribu kumfumania.
Maumivu ya kufumania kwa wanaume huwa hayaishi na ni sumu mbaya sana. Usiharibu furaha ktk maisha yako kwa kujaribu kufumania.
Na sie wanaume hakikisha haukiri kufumaniwa hata ukikutwa live...it wasn't me. The more you denied, slowly it vanishes kuliko kukubali inathibitisha maumivu kwa mwenzio. Kataa, kataa, hata kama sababu unayoshikilia kujitetea ni ya kijinga kamatia hiyohiyo kamwe usikiri.
Ni hayo tu.
Sina hakika,lakini Ni Jambo jema maana anaepuka surprises.waswahili wanasema Bora nusu Shari kuliko Shari kamili lakini hata mzee pia anaweza kuitumia kwenye issue zake za siriSijajua the logic behind kutoifungia tracker gari ya mkewe? tusaidie ulichoelewa ili tujifunze
Me siwezi sema mkuu, Na nimekijua hicho kitu muda mrefu kweli ila hapa ni kama ulinikumbusha tu.Inawezekana, sometimes na mimi nafunguka hadi najisahau[emoji2365]
Nakuomba hiyo Code ubaki nayo mkuu. Ifanye kama Figo
Hajasema kama hajafunga au kafunga tracker kwenye gari ya mkewe kwa Sabab hakukuwa na sababu ya yeye kumueleza hilo bwana BM X6, kilichokuwa muhim kwa wakat huo ni habari ya akina caryn na Michelle tuu, kwa hyo inawezekana kamfungia hta mkewe ila ikawa ni Siri yake mwenyewe bhna.I like the fact kwamba mzee hajamfungia bi mkubwa tracker,hiyo Ni heshima kubwa alonayo mzee.wanaume mna la kujufunza hapa.
Sawa ila usikimbie kama naibu waziri ukauwa mchepuko wa chuoWell said mkuu
Naunga mkono hoja.Huyu mzee anataka uwe na binti yake caryn na caryn anakupenda sana ila ni kauzu hawezi kufunguka na wewe BMX6 hutokuja kufunguka kamwe kwake ila itakuja kutokea mta click tu na maisha yataendelea na Kila mtu kwenye familia na cycles zenu watajua na mwishoe ndoa itafungwa.Caryn hawezi kuishi na mtu mwingine zaidi ya BMX6 kwa hizo tabia zake ni BMX6 pekee ndio anaweza ku handle hizo kashikashi na hata mzee analijua Hilo na anataka liwe hivyo ila pia mzee anachezesha mambo kwa akili sana(manipulation) Ili ije kuwa hivyo.Coz I guess mzee anawaza sana kuhusu binti yake caryn atakuja kuwa salama kwa mtu wa aina ya BMX6 tu sio kwenye mikono ya mwingine
Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni , awali niliwahi kuuliza " sterling " wa story hii ni nani nikajibiwa ni huyo kijana wa Bugurun...hivyo basi BM x6 anafahamu mwanzo mwisho wa story hii na pengine ,kuandika kwake kwa story anajikumbusha alimopitia hadi kufikia hapo alipo ,,uhusika wa kijana wa Buguruni hadi BM x6 aseme hatma yake ya maisha ipo mikononi wa kijana wa Buguruni binafisi sijaupata ni sehem ipi navuta subira nifahamu Kijana wa Buguru i alihusika vipi hadi BM x6 ampigie magotiNaunga mkono hoja.
Kwasababu Kuu moja, kama ambavyo BM X6 ametuambia hapa kwamba mzee anamuamini sana Caryn kuliko wote kwenye familia yake,hivyo ni lazima ahakikishe anamuacha Binti yake kwenye mikono salama ili familia na utajiri alioutafuta uendelee kumea.
Ukizungatia mzee hajabahatika kupata mtoto wa kiume, hivyo BM X6 ndio kipaumbele kikubwa sana kwa sasa.
Michelle kashafeli kwenye kusaka mtu sahihi wa kufikia viwango ambavyo mzee anavihitaji. Hivyo anaona bora abet vema kwa Caryn kama jicho lake kuliko Michelle.
Mkuu nilikuambia Sterling ni Kijana wa Buguruni kwa sababu kuu moja, huyo ndiye aliyenifanya nianzie huu Uzi, kama ulisoma story vizuri mwanzoni nilimchukua kijana wa Buguruni na kumsaidia ni kwasababu ya Mzee, Mzee alinitaka nifanye hivyo kwa yule kijana na kumuwezesha mtaji wa Biashara na kama endapo kijana atafaulu basi na mimi nitakuwa katika nafasi nzuri ya kusaidiwa na MzeeHatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni , awali niliwahi kuuliza " sterling " wa story hii ni nani nikajibiwa ni huyo kijana wa Bugurun...hivyo basi BM x6 anafahamu mwanzo mwisho wa story hii na pengine ,kuandika kwake kwa story anajikumbusha alimopitia hadi kufikia hapo alipo ,,uhusika wa kijana wa Buguruni hadi BM x6 aseme hatma yake ya maisha ipo mikononi wa kijana wa Buguruni binafisi sijaupata ni sehem ipi navuta subira nifahamu Kijana wa Buguru i alihusika vipi hadi BM x6 ampigie magoti