Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Nashukuru kwa ufafanuzi ulionyooka, hata hivyo usichoke kutuhabarisha na kutuelewesha sie wadau wako
 
Kuna sehemu nadaiwa pesa zaidi ya hiyo biashara ili ni do,hii imenipa moyo wa kuendelea kupambana na kupambana mpaka iwe

Sent from my SM-A507FN using JamiiForums mobile app
 
Manufaa ni kunufaika tu nakusepa umuhimu ni jambo linalokufaa wakati wote,
Mtu anataka kunufaika nawe tuu kwa jambo lake asepe so usimpe nafasi,
Mtu wa muhimu kwako niyule anayesimama nawe bila hata manufaa

Hivi ndivyo nmemuelewa mzee hapo mwisho
 
Hai
Haijaendelea tu hapo kwa SEASON 2..??
 
Huu uzi ni upuuzi tu. Anyway BM hakuna msala mpya tukupe hela ukalipe? Nina shida though, eti unalala nyumba moja na binti halafu bilabila . Una tatizo! Mara oohh demu wangu haji pasaka mara oohh nilikwenda Mwanza ila sikuonana nae, ujinga tu. Anyway lete upuuzi zaidi maana wengi humu ni aina yako
 
Aysee! hebu niache kwanza tafadhali...niache tu na upuuzi wangu
 
Mkuu huwezi kuishi nyumba moja na msichana bila kumgusa?
Mbona hili linawezekana tu?
Mapenzi ni hisia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…