Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Anhaa hapo sawa mkuu

Na ile Kampuni uliwalipa 10m ambayo ni thamani ya mzigo

Vipi kuhusu transportation fees hawakudai fidia pia? Au ilijumuishwa humo humo kwenye hela uliyolipa
Wale jamaa Pesa yao huwa wanaitoa kwa mwezi, Kila mwisho wa mwezi Accountant anawatumia Invoice, so nina uhakika watakuwa wameiweka kwenye mahesabu ila Mimi kama Mimi hawajanidai kwakweli
 
sasa upo home huyo Carlyin akirudi home jioni anakuongeresha nini?? je Anaku suport kwa lolote?? na vipi mambo ya msosi anawahi kupika au ni vipi
 
hivi kweli kosa moja du hapa kuna namna wanakuchezea possible ofisi yako na kampuni ya huo mzigo lao moja kama umelipa kwa nini kampuni ishinikize ,na huenda huu ni mchezo wa mzée mwenye huenda kathibitisha kwa binti yake caylin kuwa pamoja na kulala eoom moja zanziba na bado kaja mwenyewe kuishi kwako bado bila bila mzee kaona huenda wewe kuna shida sehemu, mzee anahitaji wajukuu nawe unazuga please yaaani kifuoi napata kuwaza sana
Ahahah, kwamba Mzee anataka wajukuu, Dah! Kama ni kuwaza umewazia mbali sana
 
sasa upo home huyo Carlyin akirudi home jioni anakuongeresha nini?? je Anaku suport kwa lolote?? na vipi mambo ya msosi anawahi kupika au ni vipi
Mkuu, Caryn hana ubaya hata kidogo, Nakumbuka aliniambia If you claim to love someone you don't stop loving them even when their decision is not in your favor

Kwahiyo maisha yanaendelea tu kama hakijatokea kitu
 
Mkuu mm nipo kwa Wakurya huku Mkoa wa Mara, Tarime sehemu moja inaitwa Nyamongo...Karibu tupate kichuli
Nyamongo sehemu gani?

Kwinogo, Magena, Nyangoto, Kerende, Nyabichune, mjini kati, Boom Gate, Nyamikoma, Nyabirama, Kiribo, Komasebe, Gesegereri, Nyabuchichibhu?

Wapi mkuu?
Me nakaa kwinogo Kitongoji Kemambo.
 
Wale jamaa Pesa yao huwa wanaitoa kwa mwezi, Kila mwisho wa mwezi Accountant anawatumia Invoice, so nina uhakika watakuwa wameiweka kwenye mahesabu ila Mimi kama Mimi hawajanidai kwakweli
Anhaa nimekupataa

Nakumbuka Caryn alikwambia no one has got your back like she does


Kwahyo saivi Opportunist ndo Anatimba Zenji mwenyewe au kuna mtu wamemuweka
 
Anhaa nimekupataa

Nakumbuka Caryn alikwambia no one has got your back like she does


Kwahyo saivi Opportunist ndo Anatimba Zenji mwenyewe au kuna mtu wamemuweka
Kuna jamaa ndio anaenda na Opportunist, huyo jamaa hii ni mara ya pili Sasa Caryn kumtumia, lakini hajamuajiri
 
Sana. Nenda Intelligence soma uzi wa "Tarehe 18 May 1985" uone mwamba anavyokoga nyoyo! Kashusha nondo ushindwe wewe tu.

Huyu kijana na mwenzie wa Buguruni na hatma yao anatia huruma tu, anatumia nguvu sana kuunga unga story ya kubuni isiyo na maana kabisa.

Nadhani mods waweke utaratibu wa vihatarishi bvya utapeli wa mtandao ambao huyu kijana nahisi anaelekea huko yeye na genge lake.
Sasa huku unafuata nini? Hebu tuache bwana
 
Duh[emoji1544] mnanisaidia kuwaza vitu ambavyo hata sikufikiria kuviwaza, all in all chochote kinawezekana
Kumbuka aliwahi kuonya kuhusu kuchanganya mapenzi na kazi. Japo wakati huo alimzungumzia michelle.. lkn pia ameshaamini beyond reasonable doubts kua ww una mahusiano na mwanae Carryn, na ndio sababu ya ww kukataa kwenda china. Hakutaka tu kukuambia kua amepunguza umuhimu wako kwake baada ya kugundua unaishi na mwanae. Ameamua atoe role moja ili kusiwe na muingiliano wa kimaslahi na kuharibu kazi.

Sadly you are none of the above.

Natamani nikuambie cha kufanya lkn ngoja kwanza ni mute.

All the best BM X6

Ni mm mwanao wa damu huko rodini Land cruiser Prado.
 
Wacha tuone kama Michelle ataendelea na msimamo wake wa kukuhitaji ukafanye kazi kwake.
Kwenye hili la Michelle kumtaka BM kwe kampuni yake ndo na Mimi Sasa naamini kuwa inawezekana Mzee anahusika na kupotea kwa mzigo maana nakumbuka Michelle alisema Mzee ndo amemshauri akaongee na BM Ili awe dereva wake
 
Back
Top Bottom