Huwa nasema kila siku ya kwamba,baadhi ya watanzania wana matatizo ya utindio wa ubongo lakini sieleweki,yaani mtu kavurugwa na maisha huko anataka hasira zake aje azimalizie kwenye nyuzi za watu hapa Jamii forum,Kwanini hambadiliki?
Kila stori zinapoletwa hapa Jamii forum ziwe za maisha ya kweli au zile za kutunga basi lazima hao watanzania baadhi niliowataja hapo juu wataanza vituko,iwe kupinga,iwe kukatisha tamaa,iwe kukejeli,iwe matusi n.k,huu ni utindio wa ubongo kwasababu hakuna mtu aliye na akili timamu akawa kila uzi ni kupingapinga tu na kukejeli bila sababu za msingi.
Hebu badilikeni,acheni haya mambo ya kipumbavu.
Kama unaona ni chai na wewe nenda kachemshe yako ukanywe na familia yako!.
Kama unaona stori inawekwa mambo mengine yasiyokuwa na ulazima nenda kaanzishe ya kwako na ukaweke mambo ya msingi ili wanaopenda mambo ya msingi waje wasome.
Mleta mada kaamua kuweka kila kitu ili kupunguza maswali ya baadhi ya watu ambao huwa wanapenda maswali yasiyokuwa ya msingi,lakini bado pamoja na hilo kuna wajinga hawataki!.
Bado mtu anatumia muda wake mwingi kuandika stori yake akiwa na maana watu wajifunze lakini baadhi ya wapumbavu wanakejeli na kukatisha tamaa!
HIVI NYIE WAPUMBAVU MTABADILIKA LINI?,MBONA MENGI YENU NI MAJITU MAZIMA LAKINI AKILI MNAZIDIWA NA KUKU?
HAMTAKI KUSOMA PITENI KUSHOTO LAKINI SIYO KUMPANGIA MWANDISHI NINI AANDIKE NA NINI AKIACHE!.
BADILIKENI WAPUMBAVU NYIE!
#USIPOBADILIKATUTAKUBADILISHA