Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Habari ya Asubuhi waungwana

Naomba niongee na wale wanaotaka story iwe fupi, kwanza Mimi mwenyewe nilitaka iwe hivyo kwasababu kuandika inachosha sana asee lakini nikagundua kwamba Kuna sehemu ambazo zinaonekana hazina umuhimu kwasasa ni lazima niziweke ili nikiweka zenye umuhimu badae iwe rahisi kuelewa na kuepusha maswali mengi

na kuhusu muendelezo mngejua jinsi ambavyo najipinda ili hii kitu iishe haraka ili nisipishane na muda, kwasababu nikichelewa hata huo ushauri wenu utakuwa hauna maana tena

Kama Leo nilipanga nikitoka job (1:30PM) niende home niandike lakini inabidi nipitie Ilala Boma na hii safari ya ilala boma ipo ndani ya story mwisho huko nitaiweka

All in All leo nitajitahidi muendelezo uwe mrefu
 
Fanya kweli, washauri wa maswala ya kipumbavu tupo standby kukushauri.
 
Asilimia 90 ya wanaofuatilia hii story wameweka hitisho kwenye ushirikina, yajayo yanafurahisha
 
Huwa nasema kila siku ya kwamba,baadhi ya watanzania wana matatizo ya utindio wa ubongo lakini sieleweki,yaani mtu kavurugwa na maisha huko anataka hasira zake aje azimalizie kwenye nyuzi za watu hapa Jamii forum,Kwanini hambadiliki?

Kila stori zinapoletwa hapa Jamii forum ziwe za maisha ya kweli au zile za kutunga basi lazima hao watanzania baadhi niliowataja hapo juu wataanza vituko,iwe kupinga,iwe kukatisha tamaa,iwe kukejeli,iwe matusi n.k,huu ni utindio wa ubongo kwasababu hakuna mtu aliye na akili timamu akawa kila uzi ni kupingapinga tu na kukejeli bila sababu za msingi.
Hebu badilikeni,acheni haya mambo ya kipumbavu.

Kama unaona ni chai na wewe nenda kachemshe yako ukanywe na familia yako!.

Kama unaona stori inawekwa mambo mengine yasiyokuwa na ulazima nenda kaanzishe ya kwako na ukaweke mambo ya msingi ili wanaopenda mambo ya msingi waje wasome.

Mleta mada kaamua kuweka kila kitu ili kupunguza maswali ya baadhi ya watu ambao huwa wanapenda maswali yasiyokuwa ya msingi,lakini bado pamoja na hilo kuna wajinga hawataki!.

Bado mtu anatumia muda wake mwingi kuandika stori yake akiwa na maana watu wajifunze lakini baadhi ya wapumbavu wanakejeli na kukatisha tamaa!

HIVI NYIE WAPUMBAVU MTABADILIKA LINI?,MBONA MENGI YENU NI MAJITU MAZIMA LAKINI AKILI MNAZIDIWA NA KUKU?

HAMTAKI KUSOMA PITENI KUSHOTO LAKINI SIYO KUMPANGIA MWANDISHI NINI AANDIKE NA NINI AKIACHE!.

BADILIKENI WAPUMBAVU NYIE!

#USIPOBADILIKATUTAKUBADILISHA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…