Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Akiendelea niite shost
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akiendelea niite shost
Lete ya kwako ya kiume pimbi wwUANDISHI WA KITOTO NA KI ANA MKE. SIJUI KWA NINI DAR ES SALAAM IMEHARIBU WATOTO WA KIUME HIVI. UNASEMA WEWE MWANAUME UNAANDIJA KAMA MWANAMKE. NA EMOJ UNAWEKA? PIA NADHANI ELIMU YAKO NDOGO. UANDISHI WAKO NI TATIZO SANA.
Kasepa huyu🤣Akiendelea niite shost
Akirudi mniite mbwa nipo pale
Hadithi yake asikimia tatu on point asilimia 7 anatoka nje ya mstari.Akipost mniite
Fanya kweli, washauri wa maswala ya kipumbavu tupo standby kukushauri.Habari ya Asubuhi waungwana
Naomba niongee na wale wanaotaka story iwe fupi, kwanza Mimi mwenyewe nilitaka iwe hivyo kwasababu kuandika inachosha sana asee lakini nikagundua kwamba Kuna sehemu ambazo zinaonekana hazina umuhimu kwasasa ni lazima niziweke ili nikiweka zenye umuhimu badae iwe rahisi kuelewa na kuepusha maswali mengi
na kuhusu muendelezo mngejua jinsi ambavyo najipinda ili hii kitu iishe haraka ili nisipishane na muda, kwasababu nikichelewa hata huo ushauri wenu utakuwa hauna maana tena
Kama Leo nilipanga nikitoka job (1:30PM) niende home niandike lakini inabidi nipitie Ilala Boma na hii safari ya ilala boma ipo ndani ya story mwisho huko nitaiweka
All in All leo nitajitahidi muendelezo uwe mrefu
Tafuta hela uwe unakunywa chai kila siku upunguze makasiriko mzeeUANDISHI WA KITOTO NA KI ANA MKE. SIJUI KWA NINI DAR ES SALAAM IMEHARIBU WATOTO WA KIUME HIVI. UNASEMA WEWE MWANAUME UNAANDIJA KAMA MWANAMKE. NA EMOJ UNAWEKA? PIA NADHANI ELIMU YAKO NDOGO. UANDISHI WAKO NI TATIZO SANA.
Mkuu sijawahi kuona kiumbe yenye hamu ya kushauri km ww,au we fanya km unatabir mwisho wa stori afu mchape ushauri wa chapuu kwa harakaFanya kweli, washauri wa maswala ya kipumbavu tupo standby kukushauri.
Anaweka weka maelezo mengine yasiyo na maana kabisa. Ili story iwe ndefu.Hadithi yake asikimia tatu on point asilimia 7 anatoka nje ya mstari.
[emoji16][emoji16][emoji16]Sasa hii n riwaya sio true story
Unazunguka Kama shigongo mkuu
Naona we hapa ndo unapata chai 😂😂😂 Punguza basi shobo kwa wanaume sister.Tafuta hela uwe unakunywa chai kila siku upunguze makasiriko mzee
Naona we hapa ndo unapata chai 😂😂😂😂😂 Punguza basi shobo kwa wanaume sisterTafuta hela uwe unakunywa chai kila siku upunguze makasiriko mzee
Huyu hajajua watu wa JF tuna mambo mengi ya kufanya inabidi assumarize tu.Halafu unatuletea habari za kipumbavu za kuzungumzia your girlfriend kujaza tu uzi sababu hazina maana na pia hata mazungumzo yenyewe hujui kuyatunga vizuri.
Acha upumbavu,wewe una mambo mengi ya kufanya na upo hapa?.Huyu hajajua watu wa JF tuna mambo mengi ya kufanya inabidi assumarize tu. Tunachotaka kujua ishu ya mzee na huyo kijana