Afadhali tunafurahi ukiwa na furahaLate G morning/Early Afternoon but with some good news!
I think we should forget a day to remember
Mkuu naona umerudi kitengo tunasubilia miendelezoLate G morning/Early Afternoon but with some good news!
I think we should forget a day to remember
It was just a matter of timeLate G morning/Early Afternoon but with some good news!
I think we should forget a day to remember
karibuLate G morning/Early Afternoon but with some good news!
I think we should forget a day to remember
Kabisa aache kabisaKama mambo yameanza kukaa sawa watu wanafurahi. Usione member tunashusha nondo kama tunakufokea ni kwamba wengi wanakuelewa pia sana sana wengi wanategemea maisha yako kushine sana mwamba. Sasa ukija kama ulivyokuja hapo juu kuharibikiwa, tena kote kote,watu wanaumia huenda zaidi ya wewe mchezaji.
(Mzee karudi nini?)
Ila mimi mambo yakirudi sawa. Naomba uwe upande wa mzee sana. Hizo nafasi anazokupa usizipotezee
Lete manenooooooLate G morning/Early Afternoon but with some good news!
I think we should forget a day to remember
Pamoja sana blaza [emoji1477]Kama mambo yameanza kukaa sawa watu wanafurahi. Usione member tunashusha nondo kama tunakufokea ni kwamba wengi wanakuelewa pia sana sana wengi wanategemea maisha yako kushine sana mwamba. Sasa ukija kama ulivyokuja hapo juu kuharibikiwa, tena kote kote,watu wanaumia huenda zaidi ya wewe mchezaji.
(Mzee karudi nini?)
Ila mimi mambo yakirudi sawa. Naomba uwe upande wa mzee sana. Hizo nafasi anazokupa usizipotezee
Nakutakia kheri naimani umepitia comments nyingi utakuwa umejifunza jambo , wewe ni mpambanaji sana naunaconnection imesimama , nakutakia barakaRelax bro, muendelezo anytime...nasubiri imalizikie kunyesha nihakiki panapovuja