Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Mbona makosa ni mengi tu ya wazi. Soma hapo juu mkuu
Bm bado hakumbuki mzigo umepotea vip hadi anafika kwa wenye mzigo ndio anashtuka mzigo haupo anatakiwa atulie avute kumbukumbu wapi makosa yalifanyika kupelekea mzigo ukapotea kuna mdau hapo juu kasema ana mashaka na opportunist.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu BM nafikiri hapo nimeelewa sasa. Unapoteza muda kujiweka kwa mtu asie na umuhimu kwako Caryn.
Nafikiri bora uende sambamba na mzee tu,achana kumsikilizia huyo binti.
Kwanza alikufanya ukaachana na Acauntant,na ukaacha na nafasi ya wazi aliyokuandalia Accountant.
Maana mpaka sasa ungekuwa ndio boss wa hapo. Angalau hata ungekuwa na maamuzi yako mpaka sasa. Ungemsikiliza tu yeye halafu usitekeleze anachohitaji. Mbona kwa Caryn unamfuata anachotaka,japo nia yake Caryn anakuandaa uwe wake,japo sina uhakika wewe uko tayari,japo nimehisi na wewe unajaribu kuzitengeneza hisia zako kwa Caryn.

Pili alikuambia uache kazi ukamsikiliza bila hata kumshirikisha mzee hilo swala ksbb ya Caryn. Lakini limekuletea shida kwa mtu ambaye ni muhimu kwako kuliko yoyote (mzee).

Tatu. Kakakudanganya kaje kulala kwako. Hata wewe bila kuwa wazi kwa mzee. Kama ulivyoanza na mzee na kumuelewa misimamo ya mzee. Ungeendekea kuwa upande wa mzee. Vinginevyo ungekataa kabisa,ungemhofu kum-disapoint mzee. Kumbuka pamoja na kwamba Caryn ni mtu mzima ana maamuzi yake,lakini ni mtoto wa mzee. Mzee yoyote atatamani mtoto wake awe kwenye mahusiano au ndoa isiyo yumbishwa na upepo wowote. (Ndio maana akakuuliza wewe ulisema una mwenzi wako. Pia akauliza una mipango gani na Caryn?. Uwe makini anza kujisahihisha).

Nne. Huyo huyo Caryn bado amekudanganya usiende China na wewe ukamuelewa sijui alichokuahidi. Lakini bado hakakupi umuhimu wowote. Hapa usitegemee ya kubahatisha ya mbele,fanya ya sasa ya muhimu kwako bila kusubiri usichokijua mbele.

Nafikiri sasa japo unaweza ukawa umechelewa ama la. Fanya maamuzi nenda kwa mzee kamuombe msamaha kwa kum-disapoint. Mueleze mambo yote yalivyoenda. Usimueleze kila kitu Caryn alichokudanganya,ila mgusie nguvu ya Caryn ilivyochukua nafasi fulani ktk maamuzi yako. Usimwambie kila hatua ya jinsi Caryn alivyocheza huo mchezo,ksbb mzee atakuona mzembe.

Pili chagua kuendelea kukaza kwa mzee huku ukimtarajia Caryn,japo huko iko wazi mpaka sasa ujue utachelewa sana. Na usipomuoa ndio ujue hutapata kabisa,msome.

Naona kabisa bado hujacheza vizuri huu mchezo. Umejiegesha kwa mtu anaetaka akutumie vile anavyotaka. Umechezea nafasi zote za mzee alizokuandalia.
Mkuu Nimekuelewa vizuri, ngoja nikitulia vizuri kichwa kikipoa nije kuleta hiyo Bonus Episode ili kama kuna sehemu nilikosea kufanya maamuzi ndio mnikosoe vizuri, coz Kwasasa unaweza kumlaumu Caryn kumbe nae hakuwa na nia mbaya
 
Basi tu namna ya njia aliyotumia kumpiga sound. Mbona Caryn alishajipiga mwenyewe sound ilikuwa ukitaka ni kumuangushaga tu. Mnapokoseaga vijana wa siku hizi ni hapo,unaanza kutengeneza mazingira seriously ya kumpiga sound. Wakati ktk hali waliyokuwa wanaendelea nayo ilikuwa simple sana mnajikuta tu imo bila hata sound moja. Ndicho alichotaka nae Caryn. Hizo sound tena ni kuyafanya mambo yawe ya kufikiria kwanza,magumu kuyaingia, makubwa kuyakabiri,kuyafanya yawe mazito,yawe serious.

Jinsi walivyokuwa hawa ukitaka kuna mambo kadhaa hapo ya kuyafanya,kwanza kuna tule tumichezo michezo ya hapa na pale huko ndani,yenyewe automatically yenyewe inajikuta imo hapo hamna ugumu. Pili mko mnapiga story umevaa bukta unausimamisha mzigo tu sana inatoka hatari. Hapo unatia na huruma na kujigeuza geuza kwenye kochi hapo,nae hawezi kuvumilia,maana ndio alichokifuata. Kuna namna nyingi tu inategemeana na mtu mwenyewe unamtengeneza vipi kuliwa.

Mwisho BM alishakula tayari huo. Sisi watu wazima na mzee tunajua kitambo
Human creature is great at playing sex or dating game but fail to play other games.
But you can use the same principle of dating to accomplish another shit in your life field
 
Nimekupata kiongozi but kwenye stori yako kuna sehemu unaleta mazoea kwenye kazi,pia kuna sehemu unajisahau kwenye job yako.
Mi sijaelewa kabisa iyo mizigo kapoteza sehemu gani.maaana ukienda bandarini kuna camera.ukienda Azam marine kuna camera. Ukifika dar azam marine kuna camera.
Ebu nieleweshe mkuu umeipotezea wapi?.
 
Mi sijaelewa kabisa iyo mizigo kapoteza sehemu gani.maaana ukienda bandarini kuna camera.ukienda Azam marine kuna camera. Ukifika dar azam marine kuna camera.
Ebu nieleweshe mkuu umeipotezea wapi?.
Unajua siku Ile Kuna mchezo pia tuliufanya, ambapo nahisi labda ule mzigo ndio utakuwa umepotea katika mazingira yale, ni mchezo ambao unafanyika sana pale Bandari, unakuta mtu anamzigo wake ambao sio mwingi sana,

Sasa kuna mazingira yanachezeshwa pale ili mtu asilipe Kodi basi anakuomba mzigo wake aupakie kwenye Gari lako ili umpitishie Getini, mkishavuka Geti mbele huko unaenda kumshushia mzigo wake, so nahisi hapa ndipo blanda ilipofanyika japo wale majamaa walikataa
 
jamaa nilichokiona hadi saizi ni kama umepumbazwa na Michelle kuhusu caryn ndio maana kila kitu unamkubalia

pili unajiona kama wewe ni sehemu ya familia ya mzee (hapa umepumbazwa na mazingira)

tatu nasikitika kukwambia mzee wangu unachelewa sana kushtuka afu unadili na watu wamoja ni kama umewekwa kwene duara' kwene mpira tunaitaga "zugaisha bwege"

mwisho wadau punguzeni komenti ndefu, koment inakua ndefu kuliko uzi
 
Nimesoma comments nyingi hapa kila mtu anamlaumu BM eti anazingua, na sehem alizozingua zikijaribu kuainishwa.

Kitu nilicho na uhakika nacho ni kuwa; majority ndo wangekuwa akina BM humu, wangezingua zaidi kuliko hata huyu BM mleta story. Nasema hivi kutokana na aina ya uchangiaji ninayoiona.

Mimi nikushauri BM, uko kwenye right track. Just fix some loose ends, your future's bright.
 
jamaa nilichokiona hadi saizi ni kama umepumbazwa na Michelle kuhusu caryn ndio maana kila kitu unamkubalia

pili unajiona kama wewe ni sehemu ya familia ya mzee (hapa umepumbazwa na mazingira)

tatu nasikitika kukwambia mzee wangu unachelewa sana kushtuka afu unadili na watu wamoja ni kama umewekwa kwene duara' kwene mpira tunaitaga "zugaisha bwege"

mwisho wadau punguzeni komenti ndefu, koment inakua ndefu kuliko uzi
Sawa Mkuu maoni yako nimeyachukua nimeyahifadhi
 
Nimesoma comments nyingi hapa kila mtu anamlaumu BM eti anazingua, na sehem alizozingua zikijaribu kuainishwa.

Kitu nilicho na uhakika nacho ni kuwa; majority ndo wangekuwa akina BM humu, wangezingua zaidi kuliko hata huyu BM mleta story. Nasema hivi kutokana na aina ya uchangiaji ninayoiona.

Mimi nikushauri BM, uko kwenye right track. Just fix some loose ends, your future's bright.
Kwakweli ukiwa nje ya Pitch unakuwa na nafasi nzuri ya kukosoa na kuona makosa.

All in All nimepitia maoni yote na kuyasoma, baadhi yana make sense, Yale ambayo ni senseless (nadhani wametumia hisia katika kuwasilisha maoni yao) pia na appreciate kwa michango yenu
[emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Miendelezo boss wa bonus
Muendelezo nitaleta mkuu, ngoja kwanza niseti mambo na Mchina tushushe mzigo huku tukiendelea kushusha Episodes
Screenshot_20230515-211141_1.jpg
 
Back
Top Bottom