Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Uwezekano wa kuwa na maisha mazuri au tajiri kwa kupitia kwa waganga ni sawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano.
 
Acha upumbavu,wewe una mambo mengi ya kufanya na upo hapa?.

Huu upumbavu mtaacha lini?

Aliyekwambia hili ni jukwaa linahusu stori za briefly ni nani?
We jamaa mbona unawaka sana utafikiri hii stori ni yako! Mwandishi mwanzo alianza vizuri na sasa analazimisha stori iwe ndefu kwa kuweka mambo yasiyo ya msingi kisha hutaki watu waseme?

Kuona kwamba wengine ni wapumbavu na hawana akili haikufanyi wewe kuwa na akili...mwandishi anapoanza kuleta maelezo ya ovyo itaondoa hata ule uhalisia alioanza nao Kisha stori nzima itaonekana ya kutunga tu.
 
Acha upumbavu,wewe una mambo mengi ya kufanya na upo hapa?.

Huu upumbavu mtaacha lini?

Aliyekwambia hili ni jukwaa linahusu stori za briefly ni nani?

Nyie ndio wale watu mnaoshinda kutwa mitandaoni kitafuta habari za umbea hamna kazi za kufanya sisi wengine tunakuaga na time limit za kuperuzi hatutaki story za Itaendelea
 
Unajua kuandika kwa herufi kubwa ni upumbavu wa kiwango cha SGR!!??
 
Ohoooooooo
 
......ya hovyo wapi?,acha ujuaji.

Ina maana anachosimulia mwandishi ni mambo ya hovyo?,kwanini usipite kimya kimya kama umeona kuna mambo ya hovyo?

Hivi huu ujinga mtaacha lini?
 
Nyie ndio wale watu mnaoshinda kutwa mitandaoni kitafuta habari za umbea hamna kazi za kufanya sisi wengine tunakuaga na time limit za kuperuzi hatutaki story za Itaendelea
Huu ndiyo upumbavu umeandika hapa na wewe unaona umeandika point?,hutaki habari za itaendelea unajua kuandika kunavyochosha? kama wewe hushindi mitandaoni kwahiyo unataka mwandishi ashinde mitandaoni ashindwe kufanya shughuli zake akuandikie tu wewe ucheke na kukenua meno yako hayo yaliyopandiana kama mahindi mabovu!


Badilika, acha upumbavu
 
Asante kw mwendelezo mkuu si bado tumeunga folen hapa fanya uje umalizie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…