Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 5,606
- 7,032
Isije kuwa Anne na Caryn ni ndugu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tumejificha wote mkuu. 😅😅Mrembo umejificha humu kumbe?
🤣 haya umenionaSi nilitaka nikuone tu?
Ametoa maelezo kuwa alilazimika kuelezea na sehemu alizoona hazina umuhimu ili kwenye hitimisho tumueleweUliahid episode mbili Ila naona umenigewa...Sasa conversation with accountant zimeingiaje humu?
#329Sijaona hata
[emoji1545][emoji1545]ILIPOISHIAA
Meseji ya Mzee ndio ikanivuruga zaidi, ilibidi kwanza nikae chini aliandka "kila unapocheka hakikisha unaandaa mazingira ya utakapolilia"
MUENDELEZO
Nikawa natafakari huyu Mzee amewaza Nini hadi kuniandikia msg kama hii. kuhusu Annie hata sikuwaza sana najua kwanini ameandika hivyo, nikaelekea zangu kazini, sasa nimefika kazini nimemkuta Accountant kashafika na si kawaida yake, sijakaa hata kwenye kitu mlango ukafunguliwa kuangalia ni Accountant
"Documents na risiti za mizigo ulizo ziko wapi? I mean mizigo iliyowasili last Friday na Ethiopian Airways"
(Kabla sijamjibu nikajiuliza Leo siku gani?) Leo ni 'Tuesday' eeh? ndio maana! hii siku inakuwa ndefu sana kwangu "siku iwe ndefu iwe fupi naomba hivyo vitu nivipate kabla ya muda wa kazi haujaisha" hata sijamjibu akaondoka
Nikaendelea kuchapa kazi japokuwa Mood haipo kabisa, Imefika Lunch time sijatoka nje Accountant akaja "BM kwani Leo huli?"
Nikamwambia mm nishashiba mbona
"umeshiba? umekula saa ngapi?"
Si mkwara wako wa Asubuhi ulivyotoka tu nikaushushia na Kahawa,
"Ebu nambie ww ulitaka nikuongeleshaje? Pamoja na huo unaouita mkwara lakini hadi sasa hujanipa hizo Documents, hizi ni kazi za watu ujue"
Unajua shida sio huo mkwara wako...japo ungesalimia basi najaribu ku apply politeness katika maongezi yako
"Ooh kumbe tatizo ni hilo! sasa kitu kidogo hivyo ndio umechukua?"
Tuheshimiane tafadhali siwezi kuchukia kwa upumbavu huo, nilikasirika tu kuniletea ma attitude yako asubuhi asubuhi
"Sasa si ndio kuchukia kwenyewe huko"
Siwezi kuhifadhi chuki kwa mambo madogo kama hayo, kwanza tangu lini Mwanaume akachukia? anayeweza kuchukia ni Mwanamke kama wewe, Mwanaume anakasirika tu. Mwanaume ana hasira lakini mwenye chuki ni Mwanamke, Chuki ni muendelezo wa hasira kwani Mwanamke hasahau, Mwanaume ana sahau
"Sasa kama mnasahau mbona mambo ya Asubuhi ameyakumbushia Sasa hivi?"
Madam inaonesha Leo ulijiandaa eeh? tufanye umeshinda, na marisiti yako nitakuletea kesho asubuhi.
Ilibidi tu nimpe ushindi ili aondoke lasivyo tungekesha, Mwanamke anapenda ligi kama kitu gani, hapa ndipo Annie anapochukulia points 3. Sifa ya mwanamke ni upole
Nilikaa kama nusu saa after lunch time nikampigia Mzee, [emoji338]Hello mzee shikamoo
"Marhaba, habari ya Leo"
Nzuri tu Mzee nauliza kama upo nyumbani nataka kuja badae kuchukua ule mzigo
"Nimesafiri kidogo ila unaweza tu ukaenda utamkuta Mama"
Sawa[emoji3513]
Ilivyofika saa kumi na nusu nikachukua kilicho changu nikaitafuta njia ya kuelekea kwa Mzee safari ya 1 hour nikafika nikapress [emoji348] nikafunguliwa Geti, asee bi mkubwa yupo sawa Mzee alijua kuchagua au sijui ni pesa ndio imechangia, Shikamoo Mama
"Marhaba kijana nikusaidie Nini?"
Kuna mzigo nilisahau Nimekuja kuuchukua "Ooh! you are BM right?"
Yeah ndio Mimi, nilivyosema tu ndio Mimi nilikaribishwa hadi ndani usivue viatu zilikuwa nyingi sana
"Karibu sana, sijui utapenda kunywa Nini?"
Juice mama Inatosha (nilitaka kuagiza Maji nikasema hapana, last time nipo kwenye hii nyumba nilifungua fridge nilikuta juice za kila rangi) nikaulizwa ya flavor gan? nikasema Any flavor.
Akaitwa Caryn (code) sijui ndio mdada wakazi Caryn akaja alikuwa Upstairs aisee sidhani kama ni beki tatu, Yani Caryn na Annie Baba alitakiwa awe mmoja,
Basi bhana Caryn (Karen ukitaka kutamka kiBuza) akaambiwa mletee Kaka Juice ya Passion (Mama kalenga mule mule, Passion ndio my favorite) Juice ikaja ikisindikizwa na straw, Mama akapanda upstairs akarudi na bahasha akanikabidhi sikukaa sana nikamuaga Mama, mama akaleta zile za nisubirie hata chakula nile, Nikamwambia mama siku nyingine Kuna sehemu nawahi, mimi huyoo
Sasa nimefika kwa nyumba nikasema nimtafute Annie,
Calling...[emoji338]"Yani nimeamini kweli hunipendi"
Nikamuuliza kwanini
"Kuanzia Asubuhi ndio unanitafita Sasa hivi, hata message yangu hujaijibu"
Wanawake sijui huwa mnashida gani, Yani unanirudisha tena kule kule, Sasa skia ukiwa sawa utanipigia[emoji3513]
Jumatano, Alhamisi Ijumaa, Jumamosi nipo kazini nakaribia kutoka simu inaita kucheki ni Mzee ndio anapiga nikapokea akanambia ndio Yuko Njiani anarudi mjini ila akaniomba nimtafutie 'Land Cruiser Rear Chrome' with LED Light, nilivyotoka kazi nilifanya hivyo ila ila bei sasa duh! kale kadubwana kanauzwa laki 3 aisee. Sasa wakati nipo pale Dukani yule jamaa akaniuliza
"Hiyo Gari yenyewe inayowekewa Iko wapi?"
Nikamwambia sipo nayo mimi nimetumwa tu,
Muujazi akaniuliza "kwahiyo mtaenda ku install wenyewe?",
Nikamwambia ebu ngoja kwanza nimpigie mwenyewe, nilivyomjulisha Mzee Akasema kuhusu installation haina shida itafanyikia nyumbani.
Mzee akatuma pesa laki 3 na 20 ila Nikamwambia jamaa (muhindi flani ivi) itabidi unipunguzie kwasababu mwanzo alinambia hiyo kitu inauzwa laki 3 Pamoja na Installation
Muhindi alichojibu sasa "I can't go lesser than that".
Isiwe kesi nikampatia chake nikachukua mzigo then nikamjulisha Mzee akanambia yeye atafika usiku sana so hii kitu niende nayo kesho
Masaa yakaenda siku ikaisha, Jumapili hii hapa, nilivyomaliza kupata lunch nikajiandaa kwaajili ya kwenda kwa mzee. Nikafika mjengo Safari hii nilifunguliwa gate na Caryn nikakaribishwa kama kawaida Juice Passion ikaletwa,
Mzee saa hiyo alikuwa Upstairs Mama ni kama alitoka maana sikumuona siku hiyo, akashuka nikampatia mzigo wake, kama kawaida tukaenda Backyard tukaketi huko
Mzee akaniuliza Habari za kazi pale nikamjibu hapo hapo nikamuuliza kuhusu Ile msg yake alikuwa anamaanisha Nini?
"Ndio uhalisia wa maisha, utacheka lakini Kuna wakati Utalia, Kuna wakati kusheherekea na Kuna wakati wa kuomboleza &. vise versa"
Wakati tunaendelea na mazungumzo alichukua simu nakumpigia mtu wakaongea Dakika chache wakamaliza ila katika mazungumzo nimemsikia Mzee akimuomba huyo mtu wheelbarrows, hicho kitendo kilinifikirisha kidogo kwa uwezo wa alionao Mzee wheelbarrows ni zakukuta stop, ilibidi nimuulize Mzee wheelbarrows za kazi gani?
"Wheelbarrows zakutumia mafundi nataka kujenga nyumba ya mlinzi pembeni ya Geti"
Nikamwambia Mzee hizo hata Mimi naweza kukuletea
"Wala usijali kijana wangu, labda nikwambie kitu pengine ndio utanielewa zaidi Mungu akikubaliki ukiwa na Utajiri tafuta cha kuomba kwa ndugu zako wanaokutegemea kwa kila kitu ili wajisikie kumbe na wao ni wa thamani mbele yako, itaongeza upendo na mshikamano"
Ooh sasa nimekuelewa ila inaonekana ndugu zako Mzee wanajivunia kuwa na wewe, Matajiri wengi wanapesa za kutosha lakini ndugu zao wanakufa njaa
"Hapana BM usitupe lawama kwa watu wenye pesa tu, hata hao masikini wanakosea sana, unajua unapo waomba Watu Pesa Kisha Wakakunyima utawasema Kuwa Wamebadilika Kumbe wewe ndiyo umebadilika sababu Zamani haukuwa na tabia ya Kuwaomba, Ila Sasa hivi umebadilika na Kuanza Kuwaomba, mfno mzuri ni Mimi mwenyewe wakati naanza maisha Sina kitu, jambo jema ni kwamba nilipa mke Bora ila kwa upande wa ndugu hakuna iliyenijulia hali hata kwa bahati mbaya na nikisema niwatafute mimi niwasalimie sikupata mapokeo mazuri"
Wow kwahiyo mzee unataka kunambia huyu mke wako wa Sasa hivi ndiye uliyeanza naye maisha? hili swali kabla hajanijibu Mzee akaniuliza kama nna Girlfriend/mchumba mawazo yote yakaenda kwa Annie, nikamjibu ndio ninae
"Okay vizuri ila unatakiwa kuwa Makini katika kupata mtu sahihi, Mimi pamoja na mafanikio yangu yote mchango mkubwa unatoka kwa mke wangu, unajua kila mtu anahitaji mtu wa kumtia moyo na kusimama naye katika nyakati zake, Wakati mwingine kwenye maisha si vile ulivyonavyo, ila uko na nani? Vitu haviwezi kutupa tumaini au kutuhurumia"
Ni kweli Lakini Mzee kwasasa kumpata mtu kama huyo ni ngumu sana, zamani ilikuwa rahisi ndio maana haikuwa ngumu kwenu kupata mtu wa design hiyo (Mzee hapa alitabasamu)
Akanambia "Hakuna Cha urahisi Wala ugumu kijana wangu, Binadamu ni wale wale sisi hatujaishi na malaika, Iko hivi, Sehemu zozote katika mwili ambapo unapata Utamu ndizo sehemu zinazotoa Uchafu, watu wengi hawaelewi kwamba utamu unaambatana na uchafu. Vijana inabidi muelewe mtu yeyote unaeishi naye sio malaika inabidi pia awe na Kasoro na Dosari"
Sasa wakati tunaendelea na mazungumzo na Mzee, Caryn akaja ila hakufika tulipokaa alisema "Dad your coffee is ready can I bring there?" Mzee akaitikia pale akamwambia alete 2 cups, Caryn akaenda akaleta Kahawa,
Kumbe Caryn ni mtoto pili wa mzee, firstborn yupo Kibaha nae ni wakike.
Katika siku nimeongea na Mzee kwa muda mrefu ni Leo, wakati kawaha zimeletwa hapo hapo nikabadilisha topic nikamwambia Mzee kwa miaka ya hivi karibuni nimepata Idea ya kufanya Biashara **** (naomba nisiitaje kwa sababu maalum)
Akanambia "It's good idea but it just sounds too easy"
Sasa Mzee unanishauri nini kwasababu Sasa hivi natamani kufanya Biashara
"Ndio maana nikakuambia nitakupatia mtihani, na inahitaji umakini ili uuvuke, unajua kuna majaribio 3 watu wengi wanakwamishwa nayo ambayo ni Njaa, Upuuzi na Tamaa katika haya majaribio matatu hili la tamaa wewe huna, na watu wengi Bado wapo katika jaribio la kwanza la njaa, ili ufaulu yote jitahidi kuwa kama State House, majaribu 3 hayo yasisomeke kwako, ukiingia Ikulu utagundua ww ndio una njaa pale njaa hakuna, ww ndio mpuuzi pale Upuuzi hakuna, ww ndio mwenye tamaa, pale Tamaa hakuna, Watu wanao Excel katika maisha ni wafanyabiashara, sio wapuuzi, hawapuuzii hata sent 5. Upuuzi ni kushinda Tamaa na Njaa. Sasa ukiwa Mfanyabiashara na Bado hujashinda tamaa na njaa huwezi kufanikiwa kama unakumbuka last Monday tukiwa hotelini nilikuambia wafanyabiashara wengi wanafelishwa na mambo ambayo pengine wanayajua ila wanayapuuza huo ndio upuuzi"
Dah Mzee natamani kuendelea kusikilizia lakini ndio hivyo tena muda unaenda nisije nikakosa Daladala
Ilibidi nimuage Mzee pale tukatoka backyard tukaingia ndani Mzee akapanda juu Bedroom kwake, Sasa wakati Mimi nipo Sebuleni pale kwenye TV kulikuwa Kuna documentary flani Inaendelea (Jina limenitoka)
Wakati nashangaa nikasikia "Please excuse me, you're obstructing my view"
Kugeuka kumbe Caryn nilikuwa sijamuona, alikuwa kakaa kwa Dinning table, nikataka kumuongeresha Mzee akawa anashuka ngazi, nikakausha
Nikamuaga Caryn pale nikatoka nje na Mzee
"BM hii funguo utampatia **** nitampigia simu aje kuichukua ofisini kwenu Mimi kesho nasafiri tena nitarudi siku ya Ijumaa Asubuhi, nataka niwahi kurudi siku hiyo ili niweze kujumuika na familia yangu ya nje kama unavyojua ni Ijumaa mbili sasa zimepita sijafanya hivyo"
Okay! kwahiyo kumbe Hilo Zoezi hufanyikia hapa hapa nyumbani?
"Ndio, unajua Ile siku nisingeweza kukwambia ukakusanye watoto mtaani ambao huwajui halafu uje nao hapa nyumbani isitoshe Mimi mwenyeji sikuwepo, Mimi huwa nachukua watoto kwenye vituo maalum lakini Safari hii ningependa ukawachukue wale wale wa kule Buguruni"
Sawa Mzee hamna shida
"Okay uwe na usiku mwema "
Nikaachana na Mzee, mimi huyoo
Nikalala zangu mapema, kesho Jumatatu muhimu kuwahi kwenye maofisi ya watu
*******
Fresh Monday with sadness information
ITAENDELEA
Ahsante Auntie wangu Kipenzi...
Haya bhana unakarbia kutoboa mwanetuILIPOISHIAA
Meseji ya Mzee ndio ikanivuruga zaidi, ilibidi kwanza nikae chini aliandka "kila unapocheka hakikisha unaandaa mazingira ya utakapolilia"
MUENDELEZO
Nikawa natafakari huyu Mzee amewaza Nini hadi kuniandikia msg kama hii. kuhusu Annie hata sikuwaza sana najua kwanini ameandika hivyo, nikaelekea zangu kazini, sasa nimefika kazini nimemkuta Accountant kashafika na si kawaida yake, sijakaa hata kwenye kitu mlango ukafunguliwa kuangalia ni Accountant
"Documents na risiti za mizigo ulizo ziko wapi? I mean mizigo iliyowasili last Friday na Ethiopian Airways"
(Kabla sijamjibu nikajiuliza Leo siku gani?) Leo ni 'Tuesday' eeh? ndio maana! hii siku inakuwa ndefu sana kwangu "siku iwe ndefu iwe fupi naomba hivyo vitu nivipate kabla ya muda wa kazi haujaisha" hata sijamjibu akaondoka
Nikaendelea kuchapa kazi japokuwa Mood haipo kabisa, Imefika Lunch time sijatoka nje Accountant akaja "BM kwani Leo huli?"
Nikamwambia mm nishashiba mbona
"umeshiba? umekula saa ngapi?"
Si mkwara wako wa Asubuhi ulivyotoka tu nikaushushia na Kahawa,
"Ebu nambie ww ulitaka nikuongeleshaje? Pamoja na huo unaouita mkwara lakini hadi sasa hujanipa hizo Documents, hizi ni kazi za watu ujue"
Unajua shida sio huo mkwara wako...japo ungesalimia basi najaribu ku apply politeness katika maongezi yako
"Ooh kumbe tatizo ni hilo! sasa kitu kidogo hivyo ndio umechukua?"
Tuheshimiane tafadhali siwezi kuchukia kwa upumbavu huo, nilikasirika tu kuniletea ma attitude yako asubuhi asubuhi
"Sasa si ndio kuchukia kwenyewe huko"
Siwezi kuhifadhi chuki kwa mambo madogo kama hayo, kwanza tangu lini Mwanaume akachukia? anayeweza kuchukia ni Mwanamke kama wewe, Mwanaume anakasirika tu. Mwanaume ana hasira lakini mwenye chuki ni Mwanamke, Chuki ni muendelezo wa hasira kwani Mwanamke hasahau, Mwanaume ana sahau
"Sasa kama mnasahau mbona mambo ya Asubuhi ameyakumbushia Sasa hivi?"
Madam inaonesha Leo ulijiandaa eeh? tufanye umeshinda, na marisiti yako nitakuletea kesho asubuhi.
Ilibidi tu nimpe ushindi ili aondoke lasivyo tungekesha, Mwanamke anapenda ligi kama kitu gani, hapa ndipo Annie anapochukulia points 3. Sifa ya mwanamke ni upole
Nilikaa kama nusu saa after lunch time nikampigia Mzee, [emoji338]Hello mzee shikamoo
"Marhaba, habari ya Leo"
Nzuri tu Mzee nauliza kama upo nyumbani nataka kuja badae kuchukua ule mzigo
"Nimesafiri kidogo ila unaweza tu ukaenda utamkuta Mama"
Sawa[emoji3513]
Ilivyofika saa kumi na nusu nikachukua kilicho changu nikaitafuta njia ya kuelekea kwa Mzee safari ya 1 hour nikafika nikapress [emoji348] nikafunguliwa Geti, asee bi mkubwa yupo sawa Mzee alijua kuchagua au sijui ni pesa ndio imechangia, Shikamoo Mama
"Marhaba kijana nikusaidie Nini?"
Kuna mzigo nilisahau Nimekuja kuuchukua "Ooh! you are BM right?"
Yeah ndio Mimi, nilivyosema tu ndio Mimi nilikaribishwa hadi ndani usivue viatu zilikuwa nyingi sana
"Karibu sana, sijui utapenda kunywa Nini?"
Juice mama Inatosha (nilitaka kuagiza Maji nikasema hapana, last time nipo kwenye hii nyumba nilifungua fridge nilikuta juice za kila rangi) nikaulizwa ya flavor gan? nikasema Any flavor.
Akaitwa Caryn (code) sijui ndio mdada wakazi Caryn akaja alikuwa Upstairs aisee sidhani kama ni beki tatu, Yani Caryn na Annie Baba alitakiwa awe mmoja,
Basi bhana Caryn (Karen ukitaka kutamka kiBuza) akaambiwa mletee Kaka Juice ya Passion (Mama kalenga mule mule, Passion ndio my favorite) Juice ikaja ikisindikizwa na straw, Mama akapanda upstairs akarudi na bahasha akanikabidhi sikukaa sana nikamuaga Mama, mama akaleta zile za nisubirie hata chakula nile, Nikamwambia mama siku nyingine Kuna sehemu nawahi, mimi huyoo
Sasa nimefika kwa nyumba nikasema nimtafute Annie,
Calling...[emoji338]"Yani nimeamini kweli hunipendi"
Nikamuuliza kwanini
"Kuanzia Asubuhi ndio unanitafita Sasa hivi, hata message yangu hujaijibu"
Wanawake sijui huwa mnashida gani, Yani unanirudisha tena kule kule, Sasa skia ukiwa sawa utanipigia[emoji3513]
Jumatano, Alhamisi Ijumaa, Jumamosi nipo kazini nakaribia kutoka simu inaita kucheki ni Mzee ndio anapiga nikapokea akanambia ndio Yuko Njiani anarudi mjini ila akaniomba nimtafutie 'Land Cruiser Rear Chrome' with LED Light, nilivyotoka kazi nilifanya hivyo ila ila bei sasa duh! kale kadubwana kanauzwa laki 3 aisee. Sasa wakati nipo pale Dukani yule jamaa akaniuliza
"Hiyo Gari yenyewe inayowekewa Iko wapi?"
Nikamwambia sipo nayo mimi nimetumwa tu,
Muujazi akaniuliza "kwahiyo mtaenda ku install wenyewe?",
Nikamwambia ebu ngoja kwanza nimpigie mwenyewe, nilivyomjulisha Mzee Akasema kuhusu installation haina shida itafanyikia nyumbani.
Mzee akatuma pesa laki 3 na 20 ila Nikamwambia jamaa (muhindi flani ivi) itabidi unipunguzie kwasababu mwanzo alinambia hiyo kitu inauzwa laki 3 Pamoja na Installation
Muhindi alichojibu sasa "I can't go lesser than that".
Isiwe kesi nikampatia chake nikachukua mzigo then nikamjulisha Mzee akanambia yeye atafika usiku sana so hii kitu niende nayo kesho
Masaa yakaenda siku ikaisha, Jumapili hii hapa, nilivyomaliza kupata lunch nikajiandaa kwaajili ya kwenda kwa mzee. Nikafika mjengo Safari hii nilifunguliwa gate na Caryn nikakaribishwa kama kawaida Juice Passion ikaletwa,
Mzee saa hiyo alikuwa Upstairs Mama ni kama alitoka maana sikumuona siku hiyo, akashuka nikampatia mzigo wake, kama kawaida tukaenda Backyard tukaketi huko
Mzee akaniuliza Habari za kazi pale nikamjibu hapo hapo nikamuuliza kuhusu Ile msg yake alikuwa anamaanisha Nini?
"Ndio uhalisia wa maisha, utacheka lakini Kuna wakati Utalia, Kuna wakati kusheherekea na Kuna wakati wa kuomboleza &. vise versa"
Wakati tunaendelea na mazungumzo alichukua simu nakumpigia mtu wakaongea Dakika chache wakamaliza ila katika mazungumzo nimemsikia Mzee akimuomba huyo mtu wheelbarrows, hicho kitendo kilinifikirisha kidogo kwa uwezo wa alionao Mzee wheelbarrows ni zakukuta stop, ilibidi nimuulize Mzee wheelbarrows za kazi gani?
"Wheelbarrows zakutumia mafundi nataka kujenga nyumba ya mlinzi pembeni ya Geti"
Nikamwambia Mzee hizo hata Mimi naweza kukuletea
"Wala usijali kijana wangu, labda nikwambie kitu pengine ndio utanielewa zaidi Mungu akikubaliki ukiwa na Utajiri tafuta cha kuomba kwa ndugu zako wanaokutegemea kwa kila kitu ili wajisikie kumbe na wao ni wa thamani mbele yako, itaongeza upendo na mshikamano"
Ooh sasa nimekuelewa ila inaonekana ndugu zako Mzee wanajivunia kuwa na wewe, Matajiri wengi wanapesa za kutosha lakini ndugu zao wanakufa njaa
"Hapana BM usitupe lawama kwa watu wenye pesa tu, hata hao masikini wanakosea sana, unajua unapo waomba Watu Pesa Kisha Wakakunyima utawasema Kuwa Wamebadilika Kumbe wewe ndiyo umebadilika sababu Zamani haukuwa na tabia ya Kuwaomba, Ila Sasa hivi umebadilika na Kuanza Kuwaomba, mfno mzuri ni Mimi mwenyewe wakati naanza maisha Sina kitu, jambo jema ni kwamba nilipa mke Bora ila kwa upande wa ndugu hakuna iliyenijulia hali hata kwa bahati mbaya na nikisema niwatafute mimi niwasalimie sikupata mapokeo mazuri"
Wow kwahiyo mzee unataka kunambia huyu mke wako wa Sasa hivi ndiye uliyeanza naye maisha? hili swali kabla hajanijibu Mzee akaniuliza kama nna Girlfriend/mchumba mawazo yote yakaenda kwa Annie, nikamjibu ndio ninae
"Okay vizuri ila unatakiwa kuwa Makini katika kupata mtu sahihi, Mimi pamoja na mafanikio yangu yote mchango mkubwa unatoka kwa mke wangu, unajua kila mtu anahitaji mtu wa kumtia moyo na kusimama naye katika nyakati zake, Wakati mwingine kwenye maisha si vile ulivyonavyo, ila uko na nani? Vitu haviwezi kutupa tumaini au kutuhurumia"
Ni kweli Lakini Mzee kwasasa kumpata mtu kama huyo ni ngumu sana, zamani ilikuwa rahisi ndio maana haikuwa ngumu kwenu kupata mtu wa design hiyo (Mzee hapa alitabasamu)
Akanambia "Hakuna Cha urahisi Wala ugumu kijana wangu, Binadamu ni wale wale sisi hatujaishi na malaika, Iko hivi, Sehemu zozote katika mwili ambapo unapata Utamu ndizo sehemu zinazotoa Uchafu, watu wengi hawaelewi kwamba utamu unaambatana na uchafu. Vijana inabidi muelewe mtu yeyote unaeishi naye sio malaika inabidi pia awe na Kasoro na Dosari"
Sasa wakati tunaendelea na mazungumzo na Mzee, Caryn akaja ila hakufika tulipokaa alisema "Dad your coffee is ready can I bring there?" Mzee akaitikia pale akamwambia alete 2 cups, Caryn akaenda akaleta Kahawa,
Kumbe Caryn ni mtoto pili wa mzee, firstborn yupo Kibaha nae ni wakike.
Katika siku nimeongea na Mzee kwa muda mrefu ni Leo, wakati kawaha zimeletwa hapo hapo nikabadilisha topic nikamwambia Mzee kwa miaka ya hivi karibuni nimepata Idea ya kufanya Biashara **** (naomba nisiitaje kwa sababu maalum)
Akanambia "It's good idea but it just sounds too easy"
Sasa Mzee unanishauri nini kwasababu Sasa hivi natamani kufanya Biashara
"Ndio maana nikakuambia nitakupatia mtihani, na inahitaji umakini ili uuvuke, unajua kuna majaribio 3 watu wengi wanakwamishwa nayo ambayo ni Njaa, Upuuzi na Tamaa katika haya majaribio matatu hili la tamaa wewe huna, na watu wengi Bado wapo katika jaribio la kwanza la njaa, ili ufaulu yote jitahidi kuwa kama State House, majaribu 3 hayo yasisomeke kwako, ukiingia Ikulu utagundua ww ndio una njaa pale njaa hakuna, ww ndio mpuuzi pale Upuuzi hakuna, ww ndio mwenye tamaa, pale Tamaa hakuna, Watu wanao Excel katika maisha ni wafanyabiashara, sio wapuuzi, hawapuuzii hata sent 5. Upuuzi ni kushinda Tamaa na Njaa. Sasa ukiwa Mfanyabiashara na Bado hujashinda tamaa na njaa huwezi kufanikiwa kama unakumbuka last Monday tukiwa hotelini nilikuambia wafanyabiashara wengi wanafelishwa na mambo ambayo pengine wanayajua ila wanayapuuza huo ndio upuuzi"
Dah Mzee natamani kuendelea kusikilizia lakini ndio hivyo tena muda unaenda nisije nikakosa Daladala
Ilibidi nimuage Mzee pale tukatoka backyard tukaingia ndani Mzee akapanda juu Bedroom kwake, Sasa wakati Mimi nipo Sebuleni pale kwenye TV kulikuwa Kuna documentary flani Inaendelea (Jina limenitoka)
Wakati nashangaa nikasikia "Please excuse me, you're obstructing my view"
Kugeuka kumbe Caryn nilikuwa sijamuona, alikuwa kakaa kwa Dinning table, nikataka kumuongeresha Mzee akawa anashuka ngazi, nikakausha
Nikamuaga Caryn pale nikatoka nje na Mzee
"BM hii funguo utampatia **** nitampigia simu aje kuichukua ofisini kwenu Mimi kesho nasafiri tena nitarudi siku ya Ijumaa Asubuhi, nataka niwahi kurudi siku hiyo ili niweze kujumuika na familia yangu ya nje kama unavyojua ni Ijumaa mbili sasa zimepita sijafanya hivyo"
Okay! kwahiyo kumbe Hilo Zoezi hufanyikia hapa hapa nyumbani?
"Ndio, unajua Ile siku nisingeweza kukwambia ukakusanye watoto mtaani ambao huwajui halafu uje nao hapa nyumbani isitoshe Mimi mwenyeji sikuwepo, Mimi huwa nachukua watoto kwenye vituo maalum lakini Safari hii ningependa ukawachukue wale wale wa kule Buguruni"
Sawa Mzee hamna shida
"Okay uwe na usiku mwema "
Nikaachana na Mzee, mimi huyoo
Nikalala zangu mapema, kesho Jumatatu muhimu kuwahi kwenye maofisi ya watu
*******
Fresh Monday with sadness information
ITAENDELEA
Rosickywe simulia vyote mzee sisi kazi yetu ni kusoma tu
Usisahau kutuambia ulipokutana na annie
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Mkuu binafsi nainjoy Sana uandishi wako hauchoshi big up Sana unajua kupresent ingawa kuna wakulungwa wachache kama wanapanic hivi.ILIPOISHIAA
Meseji ya Mzee ndio ikanivuruga zaidi, ilibidi kwanza nikae chini aliandka "kila unapocheka hakikisha unaandaa mazingira ya utakapolilia"
MUENDELEZO
Nikawa natafakari huyu Mzee amewaza Nini hadi kuniandikia msg kama hii. kuhusu Annie hata sikuwaza sana najua kwanini ameandika hivyo, nikaelekea zangu kazini, sasa nimefika kazini nimemkuta Accountant kashafika na si kawaida yake, sijakaa hata kwenye kitu mlango ukafunguliwa kuangalia ni Accountant
"Documents na risiti za mizigo ulizo ziko wapi? I mean mizigo iliyowasili last Friday na Ethiopian Airways"
(Kabla sijamjibu nikajiuliza Leo siku gani?) Leo ni 'Tuesday' eeh? ndio maana! hii siku inakuwa ndefu sana kwangu "siku iwe ndefu iwe fupi naomba hivyo vitu nivipate kabla ya muda wa kazi haujaisha" hata sijamjibu akaondoka
Nikaendelea kuchapa kazi japokuwa Mood haipo kabisa, Imefika Lunch time sijatoka nje Accountant akaja "BM kwani Leo huli?"
Nikamwambia mm nishashiba mbona
"umeshiba? umekula saa ngapi?"
Si mkwara wako wa Asubuhi ulivyotoka tu nikaushushia na Kahawa,
"Ebu nambie ww ulitaka nikuongeleshaje? Pamoja na huo unaouita mkwara lakini hadi sasa hujanipa hizo Documents, hizi ni kazi za watu ujue"
Unajua shida sio huo mkwara wako...japo ungesalimia basi najaribu ku apply politeness katika maongezi yako
"Ooh kumbe tatizo ni hilo! sasa kitu kidogo hivyo ndio umechukua?"
Tuheshimiane tafadhali siwezi kuchukia kwa upumbavu huo, nilikasirika tu kuniletea ma attitude yako asubuhi asubuhi
"Sasa si ndio kuchukia kwenyewe huko"
Siwezi kuhifadhi chuki kwa mambo madogo kama hayo, kwanza tangu lini Mwanaume akachukia? anayeweza kuchukia ni Mwanamke kama wewe, Mwanaume anakasirika tu. Mwanaume ana hasira lakini mwenye chuki ni Mwanamke, Chuki ni muendelezo wa hasira kwani Mwanamke hasahau, Mwanaume ana sahau
"Sasa kama mnasahau mbona mambo ya Asubuhi ameyakumbushia Sasa hivi?"
Madam inaonesha Leo ulijiandaa eeh? tufanye umeshinda, na marisiti yako nitakuletea kesho asubuhi.
Ilibidi tu nimpe ushindi ili aondoke lasivyo tungekesha, Mwanamke anapenda ligi kama kitu gani, hapa ndipo Annie anapochukulia points 3. Sifa ya mwanamke ni upole
Nilikaa kama nusu saa after lunch time nikampigia Mzee, [emoji338]Hello mzee shikamoo
"Marhaba, habari ya Leo"
Nzuri tu Mzee nauliza kama upo nyumbani nataka kuja badae kuchukua ule mzigo
"Nimesafiri kidogo ila unaweza tu ukaenda utamkuta Mama"
Sawa[emoji3513]
Ilivyofika saa kumi na nusu nikachukua kilicho changu nikaitafuta njia ya kuelekea kwa Mzee safari ya 1 hour nikafika nikapress [emoji348] nikafunguliwa Geti, asee bi mkubwa yupo sawa Mzee alijua kuchagua au sijui ni pesa ndio imechangia, Shikamoo Mama
"Marhaba kijana nikusaidie Nini?"
Kuna mzigo nilisahau Nimekuja kuuchukua "Ooh! you are BM right?"
Yeah ndio Mimi, nilivyosema tu ndio Mimi nilikaribishwa hadi ndani usivue viatu zilikuwa nyingi sana
"Karibu sana, sijui utapenda kunywa Nini?"
Juice mama Inatosha (nilitaka kuagiza Maji nikasema hapana, last time nipo kwenye hii nyumba nilifungua fridge nilikuta juice za kila rangi) nikaulizwa ya flavor gan? nikasema Any flavor.
Akaitwa Caryn (code) sijui ndio mdada wakazi Caryn akaja alikuwa Upstairs aisee sidhani kama ni beki tatu, Yani Caryn na Annie Baba alitakiwa awe mmoja,
Basi bhana Caryn (Karen ukitaka kutamka kiBuza) akaambiwa mletee Kaka Juice ya Passion (Mama kalenga mule mule, Passion ndio my favorite) Juice ikaja ikisindikizwa na straw, Mama akapanda upstairs akarudi na bahasha akanikabidhi sikukaa sana nikamuaga Mama, mama akaleta zile za nisubirie hata chakula nile, Nikamwambia mama siku nyingine Kuna sehemu nawahi, mimi huyoo
Sasa nimefika kwa nyumba nikasema nimtafute Annie,
Calling...[emoji338]"Yani nimeamini kweli hunipendi"
Nikamuuliza kwanini
"Kuanzia Asubuhi ndio unanitafita Sasa hivi, hata message yangu hujaijibu"
Wanawake sijui huwa mnashida gani, Yani unanirudisha tena kule kule, Sasa skia ukiwa sawa utanipigia[emoji3513]
Jumatano, Alhamisi Ijumaa, Jumamosi nipo kazini nakaribia kutoka simu inaita kucheki ni Mzee ndio anapiga nikapokea akanambia ndio Yuko Njiani anarudi mjini ila akaniomba nimtafutie 'Land Cruiser Rear Chrome' with LED Light, nilivyotoka kazi nilifanya hivyo ila ila bei sasa duh! kale kadubwana kanauzwa laki 3 aisee. Sasa wakati nipo pale Dukani yule jamaa akaniuliza
"Hiyo Gari yenyewe inayowekewa Iko wapi?"
Nikamwambia sipo nayo mimi nimetumwa tu,
Muujazi akaniuliza "kwahiyo mtaenda ku install wenyewe?",
Nikamwambia ebu ngoja kwanza nimpigie mwenyewe, nilivyomjulisha Mzee Akasema kuhusu installation haina shida itafanyikia nyumbani.
Mzee akatuma pesa laki 3 na 20 ila Nikamwambia jamaa (muhindi flani ivi) itabidi unipunguzie kwasababu mwanzo alinambia hiyo kitu inauzwa laki 3 Pamoja na Installation
Muhindi alichojibu sasa "I can't go lesser than that".
Isiwe kesi nikampatia chake nikachukua mzigo then nikamjulisha Mzee akanambia yeye atafika usiku sana so hii kitu niende nayo kesho
Masaa yakaenda siku ikaisha, Jumapili hii hapa, nilivyomaliza kupata lunch nikajiandaa kwaajili ya kwenda kwa mzee. Nikafika mjengo Safari hii nilifunguliwa gate na Caryn nikakaribishwa kama kawaida Juice Passion ikaletwa,
Mzee saa hiyo alikuwa Upstairs Mama ni kama alitoka maana sikumuona siku hiyo, akashuka nikampatia mzigo wake, kama kawaida tukaenda Backyard tukaketi huko
Mzee akaniuliza Habari za kazi pale nikamjibu hapo hapo nikamuuliza kuhusu Ile msg yake alikuwa anamaanisha Nini?
"Ndio uhalisia wa maisha, utacheka lakini Kuna wakati Utalia, Kuna wakati kusheherekea na Kuna wakati wa kuomboleza &. vise versa"
Wakati tunaendelea na mazungumzo alichukua simu nakumpigia mtu wakaongea Dakika chache wakamaliza ila katika mazungumzo nimemsikia Mzee akimuomba huyo mtu wheelbarrows, hicho kitendo kilinifikirisha kidogo kwa uwezo wa alionao Mzee wheelbarrows ni zakukuta stop, ilibidi nimuulize Mzee wheelbarrows za kazi gani?
"Wheelbarrows zakutumia mafundi nataka kujenga nyumba ya mlinzi pembeni ya Geti"
Nikamwambia Mzee hizo hata Mimi naweza kukuletea
"Wala usijali kijana wangu, labda nikwambie kitu pengine ndio utanielewa zaidi Mungu akikubaliki ukiwa na Utajiri tafuta cha kuomba kwa ndugu zako wanaokutegemea kwa kila kitu ili wajisikie kumbe na wao ni wa thamani mbele yako, itaongeza upendo na mshikamano"
Ooh sasa nimekuelewa ila inaonekana ndugu zako Mzee wanajivunia kuwa na wewe, Matajiri wengi wanapesa za kutosha lakini ndugu zao wanakufa njaa
"Hapana BM usitupe lawama kwa watu wenye pesa tu, hata hao masikini wanakosea sana, unajua unapo waomba Watu Pesa Kisha Wakakunyima utawasema Kuwa Wamebadilika Kumbe wewe ndiyo umebadilika sababu Zamani haukuwa na tabia ya Kuwaomba, Ila Sasa hivi umebadilika na Kuanza Kuwaomba, mfno mzuri ni Mimi mwenyewe wakati naanza maisha Sina kitu, jambo jema ni kwamba nilipa mke Bora ila kwa upande wa ndugu hakuna iliyenijulia hali hata kwa bahati mbaya na nikisema niwatafute mimi niwasalimie sikupata mapokeo mazuri"
Wow kwahiyo mzee unataka kunambia huyu mke wako wa Sasa hivi ndiye uliyeanza naye maisha? hili swali kabla hajanijibu Mzee akaniuliza kama nna Girlfriend/mchumba mawazo yote yakaenda kwa Annie, nikamjibu ndio ninae
"Okay vizuri ila unatakiwa kuwa Makini katika kupata mtu sahihi, Mimi pamoja na mafanikio yangu yote mchango mkubwa unatoka kwa mke wangu, unajua kila mtu anahitaji mtu wa kumtia moyo na kusimama naye katika nyakati zake, Wakati mwingine kwenye maisha si vile ulivyonavyo, ila uko na nani? Vitu haviwezi kutupa tumaini au kutuhurumia"
Ni kweli Lakini Mzee kwasasa kumpata mtu kama huyo ni ngumu sana, zamani ilikuwa rahisi ndio maana haikuwa ngumu kwenu kupata mtu wa design hiyo (Mzee hapa alitabasamu)
Akanambia "Hakuna Cha urahisi Wala ugumu kijana wangu, Binadamu ni wale wale sisi hatujaishi na malaika, Iko hivi, Sehemu zozote katika mwili ambapo unapata Utamu ndizo sehemu zinazotoa Uchafu, watu wengi hawaelewi kwamba utamu unaambatana na uchafu. Vijana inabidi muelewe mtu yeyote unaeishi naye sio malaika inabidi pia awe na Kasoro na Dosari"
Sasa wakati tunaendelea na mazungumzo na Mzee, Caryn akaja ila hakufika tulipokaa alisema "Dad your coffee is ready can I bring there?" Mzee akaitikia pale akamwambia alete 2 cups, Caryn akaenda akaleta Kahawa,
Kumbe Caryn ni mtoto pili wa mzee, firstborn yupo Kibaha nae ni wakike.
Katika siku nimeongea na Mzee kwa muda mrefu ni Leo, wakati kawaha zimeletwa hapo hapo nikabadilisha topic nikamwambia Mzee kwa miaka ya hivi karibuni nimepata Idea ya kufanya Biashara **** (naomba nisiitaje kwa sababu maalum)
Akanambia "It's good idea but it just sounds too easy"
Sasa Mzee unanishauri nini kwasababu Sasa hivi natamani kufanya Biashara
"Ndio maana nikakuambia nitakupatia mtihani, na inahitaji umakini ili uuvuke, unajua kuna majaribio 3 watu wengi wanakwamishwa nayo ambayo ni Njaa, Upuuzi na Tamaa katika haya majaribio matatu hili la tamaa wewe huna, na watu wengi Bado wapo katika jaribio la kwanza la njaa, ili ufaulu yote jitahidi kuwa kama State House, majaribu 3 hayo yasisomeke kwako, ukiingia Ikulu utagundua ww ndio una njaa pale njaa hakuna, ww ndio mpuuzi pale Upuuzi hakuna, ww ndio mwenye tamaa, pale Tamaa hakuna, Watu wanao Excel katika maisha ni wafanyabiashara, sio wapuuzi, hawapuuzii hata sent 5. Upuuzi ni kushinda Tamaa na Njaa. Sasa ukiwa Mfanyabiashara na Bado hujashinda tamaa na njaa huwezi kufanikiwa kama unakumbuka last Monday tukiwa hotelini nilikuambia wafanyabiashara wengi wanafelishwa na mambo ambayo pengine wanayajua ila wanayapuuza huo ndio upuuzi"
Dah Mzee natamani kuendelea kusikilizia lakini ndio hivyo tena muda unaenda nisije nikakosa Daladala
Ilibidi nimuage Mzee pale tukatoka backyard tukaingia ndani Mzee akapanda juu Bedroom kwake, Sasa wakati Mimi nipo Sebuleni pale kwenye TV kulikuwa Kuna documentary flani Inaendelea (Jina limenitoka)
Wakati nashangaa nikasikia "Please excuse me, you're obstructing my view"
Kugeuka kumbe Caryn nilikuwa sijamuona, alikuwa kakaa kwa Dinning table, nikataka kumuongeresha Mzee akawa anashuka ngazi, nikakausha
Nikamuaga Caryn pale nikatoka nje na Mzee
"BM hii funguo utampatia **** nitampigia simu aje kuichukua ofisini kwenu Mimi kesho nasafiri tena nitarudi siku ya Ijumaa Asubuhi, nataka niwahi kurudi siku hiyo ili niweze kujumuika na familia yangu ya nje kama unavyojua ni Ijumaa mbili sasa zimepita sijafanya hivyo"
Okay! kwahiyo kumbe Hilo Zoezi hufanyikia hapa hapa nyumbani?
"Ndio, unajua Ile siku nisingeweza kukwambia ukakusanye watoto mtaani ambao huwajui halafu uje nao hapa nyumbani isitoshe Mimi mwenyeji sikuwepo, Mimi huwa nachukua watoto kwenye vituo maalum lakini Safari hii ningependa ukawachukue wale wale wa kule Buguruni"
Sawa Mzee hamna shida
"Okay uwe na usiku mwema "
Nikaachana na Mzee, mimi huyoo
Nikalala zangu mapema, kesho Jumatatu muhimu kuwahi kwenye maofisi ya watu
*******
Fresh Monday with sadness information
ITAENDELEA
👆🏾Mbona Ni fupi na ulisema ungekuja na the guardian?!Madam, Kesho nakuja na The Guardian![]()