Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Unamaanisha nini mkuuHii mbinu ya kutumia ID nyingine kuja jipigia promo ni ya kitoto sana...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamaanisha nini mkuuHii mbinu ya kutumia ID nyingine kuja jipigia promo ni ya kitoto sana...
Eboo[emoji28][emoji28]..imebidi nicheke Tu aseeAkiendelea niite shost
Tusimulie basikama ni yule mtoto mzuri wa majumba sita nimeweka sana
Why?Eboo[emoji28][emoji28]..imebidi nicheke Tu asee
Huna sifa ya kupata utajiri mkuu,,tamaa,njaa na upuuzi vyote unavyoWewe na Mimi tukatofautiana kwenye hizo pis Kali zako. Annie,Mtoto wa Dingi na Akauntant. BM kweli Huna tamaa, yaani ningeshagonga carryin mapemaaa kweupe.
Huyo kisirani Akauntant angekuwa chakula Cha hard Co. Made visiran mpige mashine mambo mengine yaendeee
Bora nijue hii dhambi niikwepe na hii ni badwili niache. Utajiri wa kazi gani. Maisha hayahaya yanatoshaHuna sifa ya kupata utajiri mkuu,,tamaa,njaa na upuuzi vyote unavyo
Sasa nani kakuita uje just kusoma na huu ni uzi wake usimpangie cha kuandika kiazi weweWe jamaa mbona unawaka sana utafikiri hii stori ni yako! Mwandishi mwanzo alianza vizuri na sasa analazimisha stori iwe ndefu kwa kuweka mambo yasiyo ya msingi kisha hutaki watu waseme? Kuona kwamba wengine ni wapumbavu na hawana akili haikufanyi wewe kuwa na akili...mwandishi anapoanza kuleta maelezo ya ovyo itaondoa hata ule uhalisia alioanza nao Kisha stori nzima itaonekana ya kutunga tu.
Kwani wewe siyo shost?😀Why?
Ahaaa sawa KIJANA hongera kwa kuwa KIJANA mvumilivuBora nijue hii dhambi niikwepe na hii ni badwili niache. Utajiri wa kazi gani. Maisha hayahaya yanatosha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huna sifa ya kupata utajiri mkuu,,tamaa,njaa na upuuzi vyote unavyo
......ya hovyo wapi?,acha ujuaji.
Ina maana anachosimulia mwandishi ni mambo ya hovyo?,kwanini usipite kimya kimya kama umeona kuna mambo ya hovyo?
Hivi huu ujinga mtaacha lini?
Huyu jamaa unayemtetea hapa ndo anapangia watu cha kuandika then mi ndo niwe kiazi! Haupo serious wewe....soma comments za watu uelewe usirukie tu👿Sasa nani kakuita uje just kusoma na huu ni uzi wake usimpangie cha kuandika kiazi wewe
@omughaka watu wana stress sanaa tuwaache tuu
hapana awezi kufanya ivo kiukweli anaandika vyema uanatamani usome mara mbili hasa ichi kisa cha saivi, kuna maneno unatamani haata uyapige screenshotHii mbinu ya kutumia ID nyingine kuja jipigia promo ni ya kitoto sana...🤣🤣🤣. Unakuta unakuja jisifia ujinga kwa IDs nyingine...ni utoto tu na ulimbukeni. Sisi wakongwe tunafahamu.
Daah ndio nimekuelewa now baada ya kuona umemjibu mtu Fulani ktk comment yake,kwahiyo unafikir labda mtoa post ana ID nyingine ambayo ndio hii etugral bay, inakuja kumsifia tena,daah tangu nijiunge Jf 2020 sijawahi kusema kauli mbaya Kwa watu,Ila wewe ndio wa Kwanza kukwambia wewe kweli bwege,unaropoka Tu kisa mawazo yako yanakutuma hivyo, tumia akili mkuu.Hii mbinu ya kutumia ID nyingine kuja jipigia promo ni ya kitoto sana...🤣🤣🤣. Unakuta unakuja jisifia ujinga kwa IDs nyingine...ni utoto tu na ulimbukeni. Sisi wakongwe tunafahamu.
haha tusikize stori ya mwamba kwanza