Cheology
JF-Expert Member
- Jun 25, 2022
- 384
- 601
Hawa watu wanaleta nyuzi na kukaa kwenye crack's wakizichungulia wana tatatizo la kuona what people says juu ya matatizo Yao(obsessions). This arts of throwing your mess to the public and waiting for reactions.
MB atakuwa amemuwasha mimba mtoto wa Mzee, au amemessup na Mtu kazini atatafuta jins ya kujiliwaza hapa. It is an art.
Ni kama mwizi akitupia elf kumi akaiwekea urimbo aone watakahangaika nayo.
Ni sawasawa na hapa niweke Uzi. Then niishie pale ........' baada ya kumvua chupi mama mkwe...........
Naishia hapo. Utaona hizo views 3727282800 likes 1.bilion views
MB atakuwa amemuwasha mimba mtoto wa Mzee, au amemessup na Mtu kazini atatafuta jins ya kujiliwaza hapa. It is an art.
Ni kama mwizi akitupia elf kumi akaiwekea urimbo aone watakahangaika nayo.
Ni sawasawa na hapa niweke Uzi. Then niishie pale ........' baada ya kumvua chupi mama mkwe...........
Naishia hapo. Utaona hizo views 3727282800 likes 1.bilion views