Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Episodes haziwezi kuwa nyingi mkuu, matukio yameisha, na episode iliyobaki ndio kiini Cha kuanzisha Uzi, kwasababu nahitajika kufanya Maamuzi na kufaulu mtihani niliopewa ndio maana nikaleta hapa nishauriwe,

Sasa katika Maamuzi nitakayofanya katika matokeo yake kama kutakuwa na matukio ndio nitakuja kuwajuza
Sawa
 
Fresh Monday with sadness information

Nikajiandaa kwenda kazini ila ndio hivyo tena Jumatatu imeanza na taarifa za huzuni, wakati nipo Ofisini, nikaja kuitwa nikaambiwa Kuna mgeni wangu yupo nje, nikawa najiuliza nani tena, moja kwa moja nikajua ni Annie kwasababu alikuwa anapiga simu toka Asubuhi na Wala sikushika simu,

Sasa natoka Ofisini nikaoneshwa huyo mgeni alikuwa ni blaza flani hivi kiumri, ni kama kanipita 4 or 5 years, tukasalimia pale alivyojitambulisha kumbe ni yule kijana Mzee alinambia atamuagiza aje ofisini,

Nikamuomba anisubiri kidogo, Nikarudi ndani Ofisini nikachukua Ile funguo nikampatia, sasa wakati nampatia funguo akaniuliza "lakini unajua kama Mzee amepata ajali?"

What? Mzee sinilikuwa naye jana tu, Ajari kaipatia wapi?

"Maeneo ya Dumila, alikuwa anaenda Dodoma"

Dah asee, Kwahiyo Sasa hivi yupo wapi

"Mama kanambia kapelekwa St.Harry Hospital huko Morogoro"

Mungu atamponya, ebu nisaidie na namba yako utakuwa unanijuza kitakacho endelea, kama akiletwa Dar pia utanambia

Basi tuka exchange namba pale, jamaa akaondoka

Nimerudi ofisini kuendelea na Kazi, nikamkuta Mama yake na Accountant yupo ofisini kwangu amekaa, tukasalimiana maana tulikuwa hatujaonana hadi huo (around saa 4 am kasoro)

"Nimeambiwa uko na Mgeni nje nikasema nikusubiri hapa?"

Ndio Mama, nishamalizana nae lakini, kwema lakini?

"Kwema tu, naona siku hizi umekuwa busy, hatuonani mara kwa mara"

Hapana, siunajua tena majukumu yangu mengi siku hizi ni ya nje ya office

TURUDI NYUMA KIDOGO

Wakati naanza kazi kwenye hii Kampuni nilikuwa katika nafasi ya kawaida tu kabla ya kupewa majukumu mengine, Hiki kitengo ambacho Niko nacho sasa kuna mtu mwingine ndio alikuwa anafanya,

Picha lilikuwa hivi, imepita miezi kama minne hivi nikiwa kazini huyu jamaa ambaye kwasasa mm ndio nashikilia nafasi yake alikuwa anaacha kazi, jamaa alipata mchongo wenye Maslahi zaidi, Sasa katika nafasi yake kukawa kuna pengo, katika kutafuta mtu wa kuziba Ile nafasi Accountant si akanipendekeza mimi kwa Mama yake, Mama hajakubali tu hivi hivi akaanza kuchunguza, then akamuuliza mwanae

"Kwanini awe BM? kwasababu staff wengine humu Wana vigezo vya ku cover hiyo nafasi tena wao Wana muda mrefu katika hii Kampuni"

Accountant akatoa sababu zake anazozijua yeye ila point zaidi akamwambia Mama yake kwamba tuna Mahusiano ya kimapenzi, So Mama akalibeba hilo na akanitunuku hii nafasi kwaajili ya Binti yake

Kosa nililofanya, Mama aliniuliza na Mimi nikajikuta nimekubali, Kwa maana hiyo Mama anajua Mimi ni Mkwe wake

Sasa nilivyopewa Ile Nafasi mpya nikaanza safari za kwenda Zanzibar, Mizigo yote ya Ofisi ambayo wateja wameagiza kupitia Kampuni yetu mimi ndio naipokea nakudeal na TRA, kwa kifupi hii nafasi Ina marupurupu kama yote na jamaa aliyekuwa kabla yangu katika hii nafasi alikuwa anapiga pesa vibaya mno, nilikuja kujua trip ya kwanza nilivyokwenda Zanzibar

Ikiwa ndio trip ya kwanza Mama alinipa maelekezo flani halafu akambia nichukue kiasi flani Cha fedha kutoka kwa Accountant, So nilipewa Pesa na Accountant, Pesa kwaajili ya kulipa TRA, Gharama za kusafirisha mizigo, Pesa ya hoteli nitakayofikia,

Sasa Mama pamoja na Accountant wakatoa pesa ambayo walizoea kumpa yule jamaa wa kwanza, Mimi nikachukua kibunda huyoo hadi hadi Ngomekongwe, Nika clear Kila kitu nikarudi Dar na mizigo Gharama zote nikawa nimelipa ila account ikabaki na kibunda kama milion 1.1+ (Milioni moja na laki moja na ushee)

Nilivyofika Ofisini mimi nikazirudisha zile pesa kwa Accountant, Bi mkubwa yani Mama yake na Accountant alivyopata taarifa alishangaa,

Aliniita Ofisini kwake akanambia "Unajua nilijua pesa haitatosha kwasababu nilimuambia *(Accountant) apunguze kama laki 5 katika Ile pesa aliyokupa ambayo ndio tulikuwa tunampatia * (jamaa niliyechukua nafas yake)

Nikamwambia Mama, pengine jamaa alikuwa anatumia zote kweli labda alikuwa hajui namna ya kudeal vizur na TRA

"Hamna nakataa, Pesa ilikuwa inabaki na anafanyia mambo yake, unajui nilihisi hichi kitu, haya nikuulize Pesa ya usafiri kutoka Bandarini hadi store wewe kiasi gani?"

Nimetumia kama laki 2 na nusu ivi

"Umeona sasa, umbali huo huo yeye alikuwa anatumia laki 4 hadi laki 5 kasoro, na hapo hajawalipa wabebaji, si alikuwa atatupiga tu huyu kijana"

Nikaona hapa tatizo si kwa jamaa tu bali hadi Kampuni yenyewe, Mtaendeshaje Kampuni namna hii hata hamna magari permanent ambayo mmeingia nayo mkataba so kama ni malipo yanafanyika baina ya Kampuni na Kampuni au na mwenye magari na sio kumkabidhi mfanyakazi pesa daily afanye malipo

Kifupi nilivyoingia kwenye hii Kampuni nilibadilisha mambo mengi sana, yakawa yanafanyika ki official zaidi, Mama ndio alinipendea zaidi hapo

Hata Mzee nilijuana nae baada ya kupata hii nafasi, na nahisi Mama yake Accountant alimuambia Mzee kuhusu uchapakazi wangu, Maana Mzee niliona tu ghafla ananikubali, Wakati sijakamatia hii nafasi nilikuwa namuona tu kwa mbali, na si Mzee tu, kupitia hii nafasi nimejuana na watu wengi pia

TURUDI LEO

"Unajua BM mimi umri umeshaenda, nataka nipumzike sasa, nimefikiria hii nafasi yangu nikuachie wewe"

(Ukisikia mshangao 'surprise' ndio huu, sikutegemea kabisa kama Mama atanifikiria katika hili, ilibidi nimuulize)

Nilimuuliza mbona ghafla Mama?

"Kama nilivyokuambia Mimi umri umeenda lakini pia sijakurupuka, nimechunguza nikapata jibu kwamba wewe ndio utakaye fit vizuri katika hii nafasi, unajua kwa nafasi tu hiyo uliyonayo umebadilisha mambo mengi sana kwenye hii Kampuni"

Mimi hata sijui hata nikujibu nini Mama, kwasababu wewe mwenye maamuzi

"Usijali, nimefikiria kujistafisha mwenyewe, kwahiyo kuanzia sasa muda wowote nakuachia Office na nimeona nikwambie kwanza wewe hata mwenzako bado sijamuambia kuhusu hili" (Accountant)

Sawa Mama,

Hapa sasa ngoma inaendakuwa ngumu hii, nipo njia Panda, Mama ananipa majukumu yote haya akidhani nipo Mapenzini na Mwanaye kipenzi, na Accountant ndio mtoto pekee kwa Mama yake

Tuliongea na Mama muda ule hadi break time, natoka nje kupata chochote kitu namuona Accountant, nikamuita nikashuka nae chini Ground floor,

Nikamwambia I'm sorry **** I couldn't Love you the way you wanted to be loved na ni kwasababu tayari nipo na Mtu wangu, Ivi unajua haya mambo yanaenda kuwa Serious Sasa

Accountant: "BM bhana, Yani Sasa hivi ndio unaona mambo yako serious, kwahiyo kipindi chote hicho ulikuwa unaniona Mimi natania au? Nakupenda kuliko hata unavyojipenda wewe"

Tatizo tayari niko na mtu, unataka Mimi nifanyaje mbona hatuelewani lakini?

Accountant: "Swali zuri sana! Fanya hivi, siumesema upo na mtu, Sasa tuache Kila mtu ajipambanie mwenyewe halafu upime nani anakupenda zaidi"

Kwahiyo Mimi sifai kumpambania yule ninae mpenda

Accountant: "Utampambania yule anayekupenda zaidi, unanichelewesha Mimi kunywa chai"

Accountant akaniacha pale Ground floor nikitafakari, hamu ya kula ishapotea, nikapanda juu, Ile naingia Ofisini napishana na Mama ndio anatoka, akaniaga Akasema harudi hadi kesho

Nilivyofika kwenye Desk langu nikakuta missed call za Annie tena, nikamueka pending (nitampigia badae) Imefika Lunch time nikampigia yule kijana aliyeagizwa hapa ofisini na Mzee,

Jamaa akanambia Mzee Bado yupo St.Harry Hospital na Mke wa Mzee ndio amefikia muda sio mrefu kwa taarifa alizozipata ni kwamba Mzee hajaumia sana amevunjika tu mkono

Basi nikamuambia jamaa anitumie namba za Mama ili nimpigie, jamaa alifanya hivyo na nikaongea na Mama akanambia Mzee anaendelea vizuri kuhusu kurudi Dar ameniambia Bado hajajua ila atanijulisha itakavyokuwa

Basi Nikaendelea na harakati za pale Ofisini mara kidogo namuona Annie anaingia, na ndio ilikuwa mara yake ya kwanza kuja Ofisini, Nakumbuka Siku moja tuko Town nikamuonesha jengo letu

Kabla hata hajakaa nikamuuliza haya wewe kuliko?

Annie: "I can see, this is your new way of saying 'Hi'

Umefata Nini hapa, kama unashida na Mimi siunge nisubiri nyumbani

Annie: "I took your not picking my calls as an invitation to come"

Nikamwambia wewe usinichanganye, mtu asipo shika simu maana yake yupo busy

Ili isiwe kesi, nikaona ngoja nimpatie pesa kidogo anisubiri hapo nje kwa Restaurant, Sasa Ile natoa Pesa Accountant nae ndio anaingia, Alivyofika akamuangalia Annie then akaniongelesha

Accountant: "Mama ameniambia amekuachia funguo ya Ofisini kwake"

Nikamjibu NDIO

Accountant: "Naiomba"

Nikampatia halafu akanipiga jicho flani hivi, akaondoka

Annie: I knew something was fishy but I didn't want to push it

Nikamuuliza Something like what?

Annie: I saw her the way she was looking at you, bila shaka ndio yeye

Skia nakuomba shuka hapo chini kuna Restaurant kunywa chochote ukinisubiria nimalizie kama, Mambo mengine sio ya kuongea hapa, Kweli Annie alinisikiliza na hicho ndicho ninachompendea

Nikamalizia Kazi, sasa Wakati natoka ofisini Accountant akaniwahi mlangoni akanambia,

Accountant: "now I have seen the woman I am battle with, tell your girlfriend she's playing with shark

Nikamjibu, Well it's a good thing that Sharks don't bite Sharks,

Mimi huyoo nikahepa

Nilimpitia Annie pale kwa Restaurant, tukaenda home, tumefika home saa moja kasoro, Cha kwanza nikampigia Mama kule Morogoro akanambia ndio wanajiandaa kutoka, Nikamwambia kesho nitakuja nyumbani kumuona Mzee, Nilivyomalizana Ile simu Annie huku alikuwa ananisubiri kwa hamu

Annie "BM unajua siku hizi sikuelewi kabisa"

Ooh nikajua utaendelea na Kizungu hadi nyumbani,

Annie "I should have known that it would be difficult for a pig to stay clean"

(Nikaona matusi yameanza Sasa)
Eeh Madam!!! You've crossed your boundaries, Don't try to infuriate me and pls If you feel the need to insult me do that with some kind of intelligence na Ili tusikwazane zaidi just find your corner and hang yourself there

Nilivyomwambia hivyo akaenda kabisa chumbani, Nikabaki zangu Sebuleni nacheki Movie, Movie ishaisha naenda chumbani nikamkuta kashalala, na Mimi nikambonji

Tuesday...... Wednesday, Nilivyomaliza kazi nikaenda kwa Mzee kumuona, Ukiacha na Mama na Caryn nilikuta watu wengine nisiowajua Mwanaume mmoja na Wanawake wawili na katoto kakike,

Mzee alikuwa Yuko fit kabisa ila ndio hivyo mkono una Piopio, kilichoniuma zaidi gari alilopata nalo Ajali ni lile li Land Cruiser ZX V8, dah roho iliniuma basi tu maana mama alinionesha picha yake jinsi ilivyo bondekabondeka na ni juzi tu ilitoka kurembeshwa na 'Land Cruiser Rear Chrome' with LED Light

Nilikaa hadi mida ya Supper ila wale wageni wengine wawili Mwanaume na Mwanamke na mtoto walikuwa washasepa kumbe walikuwa Mume na mke alibaki mdada mmoja nae kumbe ndio mtoto wa Mzee wa kwanza, bhana eeh nae sio kipole pole Yani kama wamechongeshwa Hawa watoto, ila ni kwasababu ya Mama yao maana Mama mtu ni Pisi nyie acheni tu

Chakula kikaletwa mezani, tukakusanyika wote Mimi, Mama, Mzee, Caryn na yule Mdada mwingine, Tukaanza kula

Caryn: This food is good jamani, this is what I call delicacy

Mdada: "This food is really tasteless and far from delicious"

Caryn: "Ungepika wewe"

(kwa mara ya kwanza nimemsikia Caryn ameongea kiswahili jamani)

Mzee "BM Leo familia imekamilika, ulizoea kumuona Caryn tu na huyu ndiye Dada yake anaitwa ****" (Kumbe huyu mdada ni Dada yake na Caryn, Wacha yeye tumuite Michelle)

"Caryn na Michelle....BM ni kama Kaka yenu, ni Kijana smart sana, Michelle I wish huyo unayemuita mchumba angekuwa smart kama BM"

Michelle: "Dad you just want to embarrass me in front of a stranger"

Mzee: "BM is not a stranger is your brother, So He must know that you want to marry a poor man who has no future"

Michelle: True love is everything Dad, just like you and my mom

Mzee: "If love was all your mother was looking for you wouldn't have been born with silver spoon in your mouth, I agree nilikuwa sina kitu by then lakini Mama yako alisoma Future yangu kwanza kabla hajanikubali"

Caryn: Someone sounded like wife material, I can see, finding true love is extremely hard now dsys (Kejeli kwa Michelle)

Michelle: "Absolutely true"

Caryn: "You're not supposed to answer that, it was rhetorical, That guy is trying to secure his meal ticket and you here to talking about true love"

Mama: "Jamani eeh tumechoka na makelele yenu"

Mama alikatisha mazungumzo kwa namna hiyo maana mzee nae hakwepeshi, Halafu nilikuja kujua kumbe Michelle Kuna Muhuni kamuelewa na Mzee hataki kumsikia hata kidogo,

Iko hivi, Mzee yeye hajamuona huyo Mpenzi wake na Michelle ila aliyemuona ni Caryn ambaye ndiye aliyepeleka umbea kwa Mzee, ndio maana Sasa hivi wanaonekana kama wanamabifu flani ndio na mimi nikaja kuelewa pale mwanzoni tunaanza kula Caryn alikuwa anasifia chakula ambacho amekipika yeye halafu Michelle anakiponda japokuwa aliendelea kukila.

Baada ya kupata chakula nikaawaga nakuondoka zangu, Kesho yake ambayo ni Alhamisi sikupitia Ofisini nilienda moja kwa moja Bandarini kwaajili ya kwenda Zanzibar, Nikapokea mizigo na kesho yake Ijumaa nikarudi Dar mchana mchana ivi. Nikampigia Mzee kumuuliza kama ratiba ya Ijumaa Bado ipo

Mzee akaniambia "Tena nilikuwa nataka kukupigia, Kuna namba ya kijana nakutumia sasa hivi mtawasiliana badae mpange mtakapokutana, nitampatia Gari"

Sawa Mzee, hamna shida

"Ila Kuweni Makini"

Sawa

Mzee akatuma namba, namba aliyonitumia kumbe ni ya yule kijana aliyemtuma Ofisini kuja kuchukua funguo na kunipa taarifa za Mzee Kupata ajali, mzee hakujua kama namba Niko nayo, Basi mida ilivyoyoyoma Nikamcheki jamaa, Akanambia ndio anaelekea kwa Mzee kuchukua Gari, Nikamwambia ukishachukua Gari njoo hadi Buguruni

Saa hiyo Mimi nipo nyumbani around saa 10 na nusu nikaanza kutoka, nilitangulia mm kufika Buguruni nikaenda Yale maeneo niliyokuwa na madogo siku Ile nikakaa kama 5 nikaondoka, nikaenda mitaa ya Buguruni sokoni nako ni bila bila, nikaenda hadi Ilala Wakati naendelea kuzunguka yule jamaa aliyeenda kuchukua Gari kwa Mzee akanipigia simu na kunambia kuwa ameshafika Buguruni, Nikamwambia sawa nakuja

Sasa wakati naendelea kutafuta wale madogo kijana mmoja akanisimamisha akaniomba Buku, umri wa kijana kwa kukadiria ni kama 17 or 18 flani ivi

Kijana: "Kaka samahani naomba nisaidie na Tsh 1000"

Nilitaka kumpotezea nikakumbuka mission niliyonayo, nikamuuliza elfu moja ya kazi gani?

Kijana: "Wadogo zangu hawajala tangu Asubuhi nataka ninunue hata Unga tuchemshe uji"

Nikamuuliza hao wadogo zako wapo wapi?

Kijana: Hapo Rozana

Nikamuambia nipeleke, tukaenda tukafika kwenye jumba flani hivi ambalo halijamaliziwa kjengwa, Sasa kuingia ndani kwenye kakolido flani nikawaona kweli madogo wawili, wakike na wakiume, yule wa kiume Miaka kama 9 kwa kukadiria akaniita "Kaka, umekuja tena" Sasa nikawa namshangaa, nikamuuliza kwani nishawahi kuja hapa, akanambia Ile siku ulikuwa kule Barabara ukatupa chakula

Nikarudisha kumbukumbu kweli nikamkumbuka, katika wale madogo niliowapa chakula siku Ile na yeye alikuwa mmoja wao, Nadhani na nyie wasomaji mtakuwa mnamkumbuka, huyu dogo ndiye yule aliyesema "Blaza haina haja mikono yetu misafi"

Nikamuuliza Ile siku wakati nawapa chakula ulitaka kubeba ukasema unataka kuja kulia nyumbani, kumbe ndio unaishi hapa? Dogo aliitikia kwa kichwa

Sasa kaka mtu akaanza kunihadithia vile wanaishi na madogo zake, wakiamka Asubuhi wanajigawa, Kijana mkubwa anaondoka na yule mdogo wake wa kike (5 yrs kwa kukadilia) kutafuta chochote, kama akipata kibarua anakifanya huku akiwa pembeni kwasababu hakuna mtu wa kumuachia halafu huyu Dogo mwingine ambae najuana nae yeye anaingia machaka yake ila muda mwingi anakuwa na madogo wenzake wakiomba omba.

Leo sasa huyu Kaka yao mkubwa ilibidi aawaache madogo wote atoke yy mwenyewe kwasababu huyu wa kike anaumwa, lakini unaambiwa hali hiyo inatokea mara kwa mara Dogo anaumwa na kupona mwenyewe bila hata ya kutibiwa

Kilichoniuma Zaidi, Ile siku Wakati nawapatia chakula wale madogo, huyu dogo aliyesema mikono misafi kumbe chakula kile alikula kidogo sana kingine alikiweka kwenye mfuko na kwenda nacho nyumbani Incase kama mdogo wake hajala pamoja na kaka yake, ndio maana Ile siku akawa kama anaharakisha flan.

Basi bhana bila kuwaambia chochote nikampigia jamaa nikamuambia aje had Rozana, nikamuambia yule dogo anitafutie madogo wengine ila wasizidi watano, nilivyomwambia hivyo dogo alikimbia huyo, nikabaki pale na kaka yake na yule wa kike tukiendelea na mazungumzo saa hiyo ni kama saa 12 na nusu +

Dakika 10 nyingi Dogo akaja na wenzake lakini nikaona kama wapo wengi Ile wanakaribia kuwahesabu madogo wapo 8 kabla hata sijamuuliza Dogo Akasema "Kaka Hawa wengine ni wenzetu Nimeshindwa kuwaacha"

Dogo nilimuagiza idadi ya wa 5 kwasababu ya ya kutosha kwenye Gari, nikawabeba hivyo hivyo nikamkuta jamaa kapaki Pembeni ya Barabara, nikampa 'Hi' kabla ya kuondoka nikampigia Mzee kumfahamishani na akanipa go ahead ya kuanza safari

Wakati tupo Njiani jamaa aliyekuja na Gari akaniuliza

"Madogo unawajua lakini?"

Nikamwambia hapana, nikamuuliza kwanini?

"Aahh, siunajua tena madogo wa mitaani mwanangu hawachelewi kukinukisha"

Usijali madogo watulivu mbona, nikamuambia safari ikaendelea tukafika nyumbani tulikuta msosi ushaandaliwa, Mzee akanambia niwapeleke madogo Backyard msosi ulitangulizwa huko

Wakana Caryn, Michelle na Mama wakatujoin, baada ya kusalimiana chakula kikapakuliwa kila mmoja na sahani yake tukaanza kula huku tukiendelea na maongezi, Caryn akauliza

Mzee: "BM Hawa watoto ni wengine au ni wale wale uliowapatia chakula mara ya kwanza?"

Caryn: "Sorry Dad, first of all I want to know where these kids came from?"

Tukaanza kuangaliana na yule jamaa aliyekuwa anaendesha Gari, Wakati najipanga kujibu.....

Caryn: BM, You should answer this question

Nikamuambia wametoka Buguruni Rozana

Caryn: "Dad, I think you should change your strategy on how to help these kids
The food we're gonna give them was it gonna change their life?
So as a rich man if you think you want to help someone give them the kind of help that would transform their life not leaving them with food, in my opinion"

Nikaona Mzee kamuangalia Caryn halafu akaniangalia na Mimi Akasema....


ITAENDELEA, kimebaki kipande Cha mwisho
Kuna muda ukiwa peke yako unaweza kuona km wewe ndy Una matatizo makubwa na unapitia magumu hapa duniani na huishi kumlalamikia MUNGU kila siku, kila saa,kila dakika,ila kuna watu wanapitia magumu mara Mia zaidi yako na hawalalamiki km wewe

Hiki kipande nimejifunza km mtu unaamka asubuhi mzima wa afya na unaenda mishe,basi ni Jambo la kumshukuru sn MUNGU maana kuna ambao hatma ya maisha Yao inategemea huruma na neema ya MUNGU..Kwao hata mlo mmoja wa siku ni tukio la kubeti

Stori ya hao madogo inasikitisha na kugusa Sana[emoji24]..

Kwetu Sisi wenye uhakika wa Kula,kuvaa na makazi tuna kila sababu ya kushukuru MUNGU Kwa vichache tulivyobarikiwa

Tunasubiri hiyo last episode
 
Huyo kijana wa buguruni (kaka mkubwa) kapiga tukio kwa mzee na wewe ndo uliwapeleka. Na mzee anaachaga pesa zake ndani.... na vile vitu vitatu ambavyo ni tamaa, njaa na upuuzi hutaki uonekane unavyo


Now it makes sense
 
Kwa ambao tunajifunza Kwa kila tukio tunainjoy story,mfano changamoto za vijana wa mtaani,nimejifunza kitu kujumuika nao ni vizur Sana na kuwakumbuka ni dhawabu kubwa mbele za mungu, umuhimu WA kuwa muaminifu,BM alienda Zanzibar karudisha chenji hakuonesha tamaa Leo hii anatakiwa kuachiwa ofisi ya bi mkubwa, amejenga connection na Mzee kwasababu ya sifa nzuri alijijengea ofisini mpaka bimkubwa akauza faili Kwa Mzee,haya ni mafunzo tunayapata,lkn bahati mbaya baadhi yetu ukiyasema haya unaambiwa ni ID ya mtoa post.

let us think Big
 
Kwa ambao tunajifunza Kwa kila tukio tunainjoy story,mfano changamoto za vijana wa mtaani,nimejifunza kitu kujumuika nao ni vizur Sana na kuwakumbuka ni dhawabu kubwa mbele za mungu, umuhimu WA kuwa muaminifu,BM alienda Zanzibar karudisha chenji hakuonesha tamaa Leo hii anatakiwa kuachiwa ofisi ya bi mkubwa, amejenga connection na Mzee kwasababu ya sifa nzuri alijijengea ofisini mpaka bimkubwa akauza faili Kwa Mzee,haya ni mafunzo tunayapata,lkn bahati mbaya baadhi yetu ukiyasema haya unaambiwa ni ID ya mtoa post.

let us think Big
Mtoa post kuna sehemu kafeli,angeweza kuifanya story yake ionekane kisa cha kweli lakini sasa inaonekana ni story tu
 
Fresh Monday with sadness information

Nikajiandaa kwenda kazini ila ndio hivyo tena Jumatatu imeanza na taarifa za huzuni, wakati nipo Ofisini, nikaja kuitwa nikaambiwa Kuna mgeni wangu yupo nje, nikawa najiuliza nani tena, moja kwa moja nikajua ni Annie kwasababu alikuwa anapiga simu toka Asubuhi na Wala sikushika simu,

Sasa natoka Ofisini nikaoneshwa huyo mgeni alikuwa ni blaza flani hivi kiumri, ni kama kanipita 4 or 5 years, tukasalimia pale alivyojitambulisha kumbe ni yule kijana Mzee alinambia atamuagiza aje ofisini,

Nikamuomba anisubiri kidogo, Nikarudi ndani Ofisini nikachukua Ile funguo nikampatia, sasa wakati nampatia funguo akaniuliza "lakini unajua kama Mzee amepata ajali?"

What? Mzee sinilikuwa naye jana tu, Ajari kaipatia wapi?

"Maeneo ya Dumila, alikuwa anaenda Dodoma"

Dah asee, Kwahiyo Sasa hivi yupo wapi

"Mama kanambia kapelekwa St.Harry Hospital huko Morogoro"

Mungu atamponya, ebu nisaidie na namba yako utakuwa unanijuza kitakacho endelea, kama akiletwa Dar pia utanambia

Basi tuka exchange namba pale, jamaa akaondoka

Nimerudi ofisini kuendelea na Kazi, nikamkuta Mama yake na Accountant yupo ofisini kwangu amekaa, tukasalimiana maana tulikuwa hatujaonana hadi huo (around saa 4 am kasoro)

"Nimeambiwa uko na Mgeni nje nikasema nikusubiri hapa?"

Ndio Mama, nishamalizana nae lakini, kwema lakini?

"Kwema tu, naona siku hizi umekuwa busy, hatuonani mara kwa mara"

Hapana, siunajua tena majukumu yangu mengi siku hizi ni ya nje ya office

TURUDI NYUMA KIDOGO

Wakati naanza kazi kwenye hii Kampuni nilikuwa katika nafasi ya kawaida tu kabla ya kupewa majukumu mengine, Hiki kitengo ambacho Niko nacho sasa kuna mtu mwingine ndio alikuwa anafanya,

Picha lilikuwa hivi, imepita miezi kama minne hivi nikiwa kazini huyu jamaa ambaye kwasasa mm ndio nashikilia nafasi yake alikuwa anaacha kazi, jamaa alipata mchongo wenye Maslahi zaidi, Sasa katika nafasi yake kukawa kuna pengo, katika kutafuta mtu wa kuziba Ile nafasi Accountant si akanipendekeza mimi kwa Mama yake, Mama hajakubali tu hivi hivi akaanza kuchunguza, then akamuuliza mwanae

"Kwanini awe BM? kwasababu staff wengine humu Wana vigezo vya ku cover hiyo nafasi tena wao Wana muda mrefu katika hii Kampuni"

Accountant akatoa sababu zake anazozijua yeye ila point zaidi akamwambia Mama yake kwamba tuna Mahusiano ya kimapenzi, So Mama akalibeba hilo na akanitunuku hii nafasi kwaajili ya Binti yake

Kosa nililofanya, Mama aliniuliza na Mimi nikajikuta nimekubali, Kwa maana hiyo Mama anajua Mimi ni Mkwe wake

Sasa nilivyopewa Ile Nafasi mpya nikaanza safari za kwenda Zanzibar, Mizigo yote ya Ofisi ambayo wateja wameagiza kupitia Kampuni yetu mimi ndio naipokea nakudeal na TRA, kwa kifupi hii nafasi Ina marupurupu kama yote na jamaa aliyekuwa kabla yangu katika hii nafasi alikuwa anapiga pesa vibaya mno, nilikuja kujua trip ya kwanza nilivyokwenda Zanzibar

Ikiwa ndio trip ya kwanza Mama alinipa maelekezo flani halafu akambia nichukue kiasi flani Cha fedha kutoka kwa Accountant, So nilipewa Pesa na Accountant, Pesa kwaajili ya kulipa TRA, Gharama za kusafirisha mizigo, Pesa ya hoteli nitakayofikia,

Sasa Mama pamoja na Accountant wakatoa pesa ambayo walizoea kumpa yule jamaa wa kwanza, Mimi nikachukua kibunda huyoo hadi hadi Ngomekongwe, Nika clear Kila kitu nikarudi Dar na mizigo Gharama zote nikawa nimelipa ila account ikabaki na kibunda kama milion 1.1+ (Milioni moja na laki moja na ushee)

Nilivyofika Ofisini mimi nikazirudisha zile pesa kwa Accountant, Bi mkubwa yani Mama yake na Accountant alivyopata taarifa alishangaa,

Aliniita Ofisini kwake akanambia "Unajua nilijua pesa haitatosha kwasababu nilimuambia *(Accountant) apunguze kama laki 5 katika Ile pesa aliyokupa ambayo ndio tulikuwa tunampatia * (jamaa niliyechukua nafas yake)

Nikamwambia Mama, pengine jamaa alikuwa anatumia zote kweli labda alikuwa hajui namna ya kudeal vizur na TRA

"Hamna nakataa, Pesa ilikuwa inabaki na anafanyia mambo yake, unajui nilihisi hichi kitu, haya nikuulize Pesa ya usafiri kutoka Bandarini hadi store wewe kiasi gani?"

Nimetumia kama laki 2 na nusu ivi

"Umeona sasa, umbali huo huo yeye alikuwa anatumia laki 4 hadi laki 5 kasoro, na hapo hajawalipa wabebaji, si alikuwa atatupiga tu huyu kijana"

Nikaona hapa tatizo si kwa jamaa tu bali hadi Kampuni yenyewe, Mtaendeshaje Kampuni namna hii hata hamna magari permanent ambayo mmeingia nayo mkataba so kama ni malipo yanafanyika baina ya Kampuni na Kampuni au na mwenye magari na sio kumkabidhi mfanyakazi pesa daily afanye malipo

Kifupi nilivyoingia kwenye hii Kampuni nilibadilisha mambo mengi sana, yakawa yanafanyika ki official zaidi, Mama ndio alinipendea zaidi hapo

Hata Mzee nilijuana nae baada ya kupata hii nafasi, na nahisi Mama yake Accountant alimuambia Mzee kuhusu uchapakazi wangu, Maana Mzee niliona tu ghafla ananikubali, Wakati sijakamatia hii nafasi nilikuwa namuona tu kwa mbali, na si Mzee tu, kupitia hii nafasi nimejuana na watu wengi pia

TURUDI LEO

"Unajua BM mimi umri umeshaenda, nataka nipumzike sasa, nimefikiria hii nafasi yangu nikuachie wewe"

(Ukisikia mshangao 'surprise' ndio huu, sikutegemea kabisa kama Mama atanifikiria katika hili, ilibidi nimuulize)

Nilimuuliza mbona ghafla Mama?

"Kama nilivyokuambia Mimi umri umeenda lakini pia sijakurupuka, nimechunguza nikapata jibu kwamba wewe ndio utakaye fit vizuri katika hii nafasi, unajua kwa nafasi tu hiyo uliyonayo umebadilisha mambo mengi sana kwenye hii Kampuni"

Mimi hata sijui hata nikujibu nini Mama, kwasababu wewe mwenye maamuzi

"Usijali, nimefikiria kujistafisha mwenyewe, kwahiyo kuanzia sasa muda wowote nakuachia Office na nimeona nikwambie kwanza wewe hata mwenzako bado sijamuambia kuhusu hili" (Accountant)

Sawa Mama,

Hapa sasa ngoma inaendakuwa ngumu hii, nipo njia Panda, Mama ananipa majukumu yote haya akidhani nipo Mapenzini na Mwanaye kipenzi, na Accountant ndio mtoto pekee kwa Mama yake

Tuliongea na Mama muda ule hadi break time, natoka nje kupata chochote kitu namuona Accountant, nikamuita nikashuka nae chini Ground floor,

Nikamwambia I'm sorry **** I couldn't Love you the way you wanted to be loved na ni kwasababu tayari nipo na Mtu wangu, Ivi unajua haya mambo yanaenda kuwa Serious Sasa

Accountant: "BM bhana, Yani Sasa hivi ndio unaona mambo yako serious, kwahiyo kipindi chote hicho ulikuwa unaniona Mimi natania au? Nakupenda kuliko hata unavyojipenda wewe"

Tatizo tayari niko na mtu, unataka Mimi nifanyaje mbona hatuelewani lakini?

Accountant: "Swali zuri sana! Fanya hivi, siumesema upo na mtu, Sasa tuache Kila mtu ajipambanie mwenyewe halafu upime nani anakupenda zaidi"

Kwahiyo Mimi sifai kumpambania yule ninae mpenda

Accountant: "Utampambania yule anayekupenda zaidi, unanichelewesha Mimi kunywa chai"

Accountant akaniacha pale Ground floor nikitafakari, hamu ya kula ishapotea, nikapanda juu, Ile naingia Ofisini napishana na Mama ndio anatoka, akaniaga Akasema harudi hadi kesho

Nilivyofika kwenye Desk langu nikakuta missed call za Annie tena, nikamueka pending (nitampigia badae) Imefika Lunch time nikampigia yule kijana aliyeagizwa hapa ofisini na Mzee,

Jamaa akanambia Mzee Bado yupo St.Harry Hospital na Mke wa Mzee ndio amefikia muda sio mrefu kwa taarifa alizozipata ni kwamba Mzee hajaumia sana amevunjika tu mkono

Basi nikamuambia jamaa anitumie namba za Mama ili nimpigie, jamaa alifanya hivyo na nikaongea na Mama akanambia Mzee anaendelea vizuri kuhusu kurudi Dar ameniambia Bado hajajua ila atanijulisha itakavyokuwa

Basi Nikaendelea na harakati za pale Ofisini mara kidogo namuona Annie anaingia, na ndio ilikuwa mara yake ya kwanza kuja Ofisini, Nakumbuka Siku moja tuko Town nikamuonesha jengo letu

Kabla hata hajakaa nikamuuliza haya wewe kuliko?

Annie: "I can see, this is your new way of saying 'Hi'

Umefata Nini hapa, kama unashida na Mimi siunge nisubiri nyumbani

Annie: "I took your not picking my calls as an invitation to come"

Nikamwambia wewe usinichanganye, mtu asipo shika simu maana yake yupo busy

Ili isiwe kesi, nikaona ngoja nimpatie pesa kidogo anisubiri hapo nje kwa Restaurant, Sasa Ile natoa Pesa Accountant nae ndio anaingia, Alivyofika akamuangalia Annie then akaniongelesha

Accountant: "Mama ameniambia amekuachia funguo ya Ofisini kwake"

Nikamjibu NDIO

Accountant: "Naiomba"

Nikampatia halafu akanipiga jicho flani hivi, akaondoka

Annie: I knew something was fishy but I didn't want to push it

Nikamuuliza Something like what?

Annie: I saw her the way she was looking at you, bila shaka ndio yeye

Skia nakuomba shuka hapo chini kuna Restaurant kunywa chochote ukinisubiria nimalizie kama, Mambo mengine sio ya kuongea hapa, Kweli Annie alinisikiliza na hicho ndicho ninachompendea

Nikamalizia Kazi, sasa Wakati natoka ofisini Accountant akaniwahi mlangoni akanambia,

Accountant: "now I have seen the woman I am battle with, tell your girlfriend she's playing with shark

Nikamjibu, Well it's a good thing that Sharks don't bite Sharks,

Mimi huyoo nikahepa

Nilimpitia Annie pale kwa Restaurant, tukaenda home, tumefika home saa moja kasoro, Cha kwanza nikampigia Mama kule Morogoro akanambia ndio wanajiandaa kutoka, Nikamwambia kesho nitakuja nyumbani kumuona Mzee, Nilivyomalizana Ile simu Annie huku alikuwa ananisubiri kwa hamu

Annie "BM unajua siku hizi sikuelewi kabisa"

Ooh nikajua utaendelea na Kizungu hadi nyumbani,

Annie "I should have known that it would be difficult for a pig to stay clean"

(Nikaona matusi yameanza Sasa)
Eeh Madam!!! You've crossed your boundaries, Don't try to infuriate me and pls If you feel the need to insult me do that with some kind of intelligence na Ili tusikwazane zaidi just find your corner and hang yourself there

Nilivyomwambia hivyo akaenda kabisa chumbani, Nikabaki zangu Sebuleni nacheki Movie, Movie ishaisha naenda chumbani nikamkuta kashalala, na Mimi nikambonji

Tuesday...... Wednesday, Nilivyomaliza kazi nikaenda kwa Mzee kumuona, Ukiacha na Mama na Caryn nilikuta watu wengine nisiowajua Mwanaume mmoja na Wanawake wawili na katoto kakike,

Mzee alikuwa Yuko fit kabisa ila ndio hivyo mkono una Piopio, kilichoniuma zaidi gari alilopata nalo Ajali ni lile li Land Cruiser ZX V8, dah roho iliniuma basi tu maana mama alinionesha picha yake jinsi ilivyo bondekabondeka na ni juzi tu ilitoka kurembeshwa na 'Land Cruiser Rear Chrome' with LED Light

Nilikaa hadi mida ya Supper ila wale wageni wengine wawili Mwanaume na Mwanamke na mtoto walikuwa washasepa kumbe walikuwa Mume na mke alibaki mdada mmoja nae kumbe ndio mtoto wa Mzee wa kwanza, bhana eeh nae sio kipole pole Yani kama wamechongeshwa Hawa watoto, ila ni kwasababu ya Mama yao maana Mama mtu ni Pisi nyie acheni tu

Chakula kikaletwa mezani, tukakusanyika wote Mimi, Mama, Mzee, Caryn na yule Mdada mwingine, Tukaanza kula

Caryn: This food is good jamani, this is what I call delicacy

Mdada: "This food is really tasteless and far from delicious"

Caryn: "Ungepika wewe"

(kwa mara ya kwanza nimemsikia Caryn ameongea kiswahili jamani)

Mzee "BM Leo familia imekamilika, ulizoea kumuona Caryn tu na huyu ndiye Dada yake anaitwa ****" (Kumbe huyu mdada ni Dada yake na Caryn, Wacha yeye tumuite Michelle)

"Caryn na Michelle....BM ni kama Kaka yenu, ni Kijana smart sana, Michelle I wish huyo unayemuita mchumba angekuwa smart kama BM"

Michelle: "Dad you just want to embarrass me in front of a stranger"

Mzee: "BM is not a stranger is your brother, So He must know that you want to marry a poor man who has no future"

Michelle: True love is everything Dad, just like you and my mom

Mzee: "If love was all your mother was looking for you wouldn't have been born with silver spoon in your mouth, I agree nilikuwa sina kitu by then lakini Mama yako alisoma Future yangu kwanza kabla hajanikubali"

Caryn: Someone sounded like wife material, I can see, finding true love is extremely hard now dsys (Kejeli kwa Michelle)

Michelle: "Absolutely true"

Caryn: "You're not supposed to answer that, it was rhetorical, That guy is trying to secure his meal ticket and you here to talking about true love"

Mama: "Jamani eeh tumechoka na makelele yenu"

Mama alikatisha mazungumzo kwa namna hiyo maana mzee nae hakwepeshi, Halafu nilikuja kujua kumbe Michelle Kuna Muhuni kamuelewa na Mzee hataki kumsikia hata kidogo,

Iko hivi, Mzee yeye hajamuona huyo Mpenzi wake na Michelle ila aliyemuona ni Caryn ambaye ndiye aliyepeleka umbea kwa Mzee, ndio maana Sasa hivi wanaonekana kama wanamabifu flani ndio na mimi nikaja kuelewa pale mwanzoni tunaanza kula Caryn alikuwa anasifia chakula ambacho amekipika yeye halafu Michelle anakiponda japokuwa aliendelea kukila.

Baada ya kupata chakula nikaawaga nakuondoka zangu, Kesho yake ambayo ni Alhamisi sikupitia Ofisini nilienda moja kwa moja Bandarini kwaajili ya kwenda Zanzibar, Nikapokea mizigo na kesho yake Ijumaa nikarudi Dar mchana mchana ivi. Nikampigia Mzee kumuuliza kama ratiba ya Ijumaa Bado ipo

Mzee akaniambia "Tena nilikuwa nataka kukupigia, Kuna namba ya kijana nakutumia sasa hivi mtawasiliana badae mpange mtakapokutana, nitampatia Gari"

Sawa Mzee, hamna shida

"Ila Kuweni Makini"

Sawa

Mzee akatuma namba, namba aliyonitumia kumbe ni ya yule kijana aliyemtuma Ofisini kuja kuchukua funguo na kunipa taarifa za Mzee Kupata ajali, mzee hakujua kama namba Niko nayo, Basi mida ilivyoyoyoma Nikamcheki jamaa, Akanambia ndio anaelekea kwa Mzee kuchukua Gari, Nikamwambia ukishachukua Gari njoo hadi Buguruni

Saa hiyo Mimi nipo nyumbani around saa 10 na nusu nikaanza kutoka, nilitangulia mm kufika Buguruni nikaenda Yale maeneo niliyokuwa na madogo siku Ile nikakaa kama 5 nikaondoka, nikaenda mitaa ya Buguruni sokoni nako ni bila bila, nikaenda hadi Ilala Wakati naendelea kuzunguka yule jamaa aliyeenda kuchukua Gari kwa Mzee akanipigia simu na kunambia kuwa ameshafika Buguruni, Nikamwambia sawa nakuja

Sasa wakati naendelea kutafuta wale madogo kijana mmoja akanisimamisha akaniomba Buku, umri wa kijana kwa kukadiria ni kama 17 or 18 flani ivi

Kijana: "Kaka samahani naomba nisaidie na Tsh 1000"

Nilitaka kumpotezea nikakumbuka mission niliyonayo, nikamuuliza elfu moja ya kazi gani?

Kijana: "Wadogo zangu hawajala tangu Asubuhi nataka ninunue hata Unga tuchemshe uji"

Nikamuuliza hao wadogo zako wapo wapi?

Kijana: Hapo Rozana

Nikamuambia nipeleke, tukaenda tukafika kwenye jumba flani hivi ambalo halijamaliziwa kjengwa, Sasa kuingia ndani kwenye kakolido flani nikawaona kweli madogo wawili, wakike na wakiume, yule wa kiume Miaka kama 9 kwa kukadiria akaniita "Kaka, umekuja tena" Sasa nikawa namshangaa, nikamuuliza kwani nishawahi kuja hapa, akanambia Ile siku ulikuwa kule Barabara ukatupa chakula

Nikarudisha kumbukumbu kweli nikamkumbuka, katika wale madogo niliowapa chakula siku Ile na yeye alikuwa mmoja wao, Nadhani na nyie wasomaji mtakuwa mnamkumbuka, huyu dogo ndiye yule aliyesema "Blaza haina haja mikono yetu misafi"

Nikamuuliza Ile siku wakati nawapa chakula ulitaka kubeba ukasema unataka kuja kulia nyumbani, kumbe ndio unaishi hapa? Dogo aliitikia kwa kichwa

Sasa kaka mtu akaanza kunihadithia vile wanaishi na madogo zake, wakiamka Asubuhi wanajigawa, Kijana mkubwa anaondoka na yule mdogo wake wa kike (5 yrs kwa kukadilia) kutafuta chochote, kama akipata kibarua anakifanya huku akiwa pembeni kwasababu hakuna mtu wa kumuachia halafu huyu Dogo mwingine ambae najuana nae yeye anaingia machaka yake ila muda mwingi anakuwa na madogo wenzake wakiomba omba.

Leo sasa huyu Kaka yao mkubwa ilibidi aawaache madogo wote atoke yy mwenyewe kwasababu huyu wa kike anaumwa, lakini unaambiwa hali hiyo inatokea mara kwa mara Dogo anaumwa na kupona mwenyewe bila hata ya kutibiwa

Kilichoniuma Zaidi, Ile siku Wakati nawapatia chakula wale madogo, huyu dogo aliyesema mikono misafi kumbe chakula kile alikula kidogo sana kingine alikiweka kwenye mfuko na kwenda nacho nyumbani Incase kama mdogo wake hajala pamoja na kaka yake, ndio maana Ile siku akawa kama anaharakisha flan.

Basi bhana bila kuwaambia chochote nikampigia jamaa nikamuambia aje had Rozana, nikamuambia yule dogo anitafutie madogo wengine ila wasizidi watano, nilivyomwambia hivyo dogo alikimbia huyo, nikabaki pale na kaka yake na yule wa kike tukiendelea na mazungumzo saa hiyo ni kama saa 12 na nusu +

Dakika 10 nyingi Dogo akaja na wenzake lakini nikaona kama wapo wengi Ile wanakaribia kuwahesabu madogo wapo 8 kabla hata sijamuuliza Dogo Akasema "Kaka Hawa wengine ni wenzetu Nimeshindwa kuwaacha"

Dogo nilimuagiza idadi ya wa 5 kwasababu ya ya kutosha kwenye Gari, nikawabeba hivyo hivyo nikamkuta jamaa kapaki Pembeni ya Barabara, nikampa 'Hi' kabla ya kuondoka nikampigia Mzee kumfahamishani na akanipa go ahead ya kuanza safari

Wakati tupo Njiani jamaa aliyekuja na Gari akaniuliza

"Madogo unawajua lakini?"

Nikamwambia hapana, nikamuuliza kwanini?

"Aahh, siunajua tena madogo wa mitaani mwanangu hawachelewi kukinukisha"

Usijali madogo watulivu mbona, nikamuambia safari ikaendelea tukafika nyumbani tulikuta msosi ushaandaliwa, Mzee akanambia niwapeleke madogo Backyard msosi ulitangulizwa huko

Wakana Caryn, Michelle na Mama wakatujoin, baada ya kusalimiana chakula kikapakuliwa kila mmoja na sahani yake tukaanza kula huku tukiendelea na maongezi, Caryn akauliza

Mzee: "BM Hawa watoto ni wengine au ni wale wale uliowapatia chakula mara ya kwanza?"

Caryn: "Sorry Dad, first of all I want to know where these kids came from?"

Tukaanza kuangaliana na yule jamaa aliyekuwa anaendesha Gari, Wakati najipanga kujibu.....

Caryn: BM, You should answer this question

Nikamuambia wametoka Buguruni Rozana

Caryn: "Dad, I think you should change your strategy on how to help these kids
The food we're gonna give them was it gonna change their life?
So as a rich man if you think you want to help someone give them the kind of help that would transform their life not leaving them with food, in my opinion"

Nikaona Mzee kamuangalia Caryn halafu akaniangalia na Mimi Akasema....


ITAENDELEA, kimebaki kipande Cha mwisho
Aaaah mambo gani sasa. Kila mara ni ngori tu mashida tu.
Landlord fungua keja hujui jana nililala njaa...
 
Fresh Monday with sadness information

Nikajiandaa kwenda kazini ila ndio hivyo tena Jumatatu imeanza na taarifa za huzuni, wakati nipo Ofisini, nikaja kuitwa nikaambiwa Kuna mgeni wangu yupo nje, nikawa najiuliza nani tena, moja kwa moja nikajua ni Annie kwasababu alikuwa anapiga simu toka Asubuhi na Wala sikushika simu,

Sasa natoka Ofisini nikaoneshwa huyo mgeni alikuwa ni blaza flani hivi kiumri, ni kama kanipita 4 or 5 years, tukasalimia pale alivyojitambulisha kumbe ni yule kijana Mzee alinambia atamuagiza aje ofisini,

Nikamuomba anisubiri kidogo, Nikarudi ndani Ofisini nikachukua Ile funguo nikampatia, sasa wakati nampatia funguo akaniuliza "lakini unajua kama Mzee amepata ajali?"

What? Mzee sinilikuwa naye jana tu, Ajari kaipatia wapi?

"Maeneo ya Dumila, alikuwa anaenda Dodoma"

Dah asee, Kwahiyo Sasa hivi yupo wapi

"Mama kanambia kapelekwa St.Harry Hospital huko Morogoro"

Mungu atamponya, ebu nisaidie na namba yako utakuwa unanijuza kitakacho endelea, kama akiletwa Dar pia utanambia

Basi tuka exchange namba pale, jamaa akaondoka

Nimerudi ofisini kuendelea na Kazi, nikamkuta Mama yake na Accountant yupo ofisini kwangu amekaa, tukasalimiana maana tulikuwa hatujaonana hadi huo (around saa 4 am kasoro)

"Nimeambiwa uko na Mgeni nje nikasema nikusubiri hapa?"

Ndio Mama, nishamalizana nae lakini, kwema lakini?

"Kwema tu, naona siku hizi umekuwa busy, hatuonani mara kwa mara"

Hapana, siunajua tena majukumu yangu mengi siku hizi ni ya nje ya office

TURUDI NYUMA KIDOGO

Wakati naanza kazi kwenye hii Kampuni nilikuwa katika nafasi ya kawaida tu kabla ya kupewa majukumu mengine, Hiki kitengo ambacho Niko nacho sasa kuna mtu mwingine ndio alikuwa anafanya,

Picha lilikuwa hivi, imepita miezi kama minne hivi nikiwa kazini huyu jamaa ambaye kwasasa mm ndio nashikilia nafasi yake alikuwa anaacha kazi, jamaa alipata mchongo wenye Maslahi zaidi, Sasa katika nafasi yake kukawa kuna pengo, katika kutafuta mtu wa kuziba Ile nafasi Accountant si akanipendekeza mimi kwa Mama yake, Mama hajakubali tu hivi hivi akaanza kuchunguza, then akamuuliza mwanae

"Kwanini awe BM? kwasababu staff wengine humu Wana vigezo vya ku cover hiyo nafasi tena wao Wana muda mrefu katika hii Kampuni"

Accountant akatoa sababu zake anazozijua yeye ila point zaidi akamwambia Mama yake kwamba tuna Mahusiano ya kimapenzi, So Mama akalibeba hilo na akanitunuku hii nafasi kwaajili ya Binti yake

Kosa nililofanya, Mama aliniuliza na Mimi nikajikuta nimekubali, Kwa maana hiyo Mama anajua Mimi ni Mkwe wake

Sasa nilivyopewa Ile Nafasi mpya nikaanza safari za kwenda Zanzibar, Mizigo yote ya Ofisi ambayo wateja wameagiza kupitia Kampuni yetu mimi ndio naipokea nakudeal na TRA, kwa kifupi hii nafasi Ina marupurupu kama yote na jamaa aliyekuwa kabla yangu katika hii nafasi alikuwa anapiga pesa vibaya mno, nilikuja kujua trip ya kwanza nilivyokwenda Zanzibar

Ikiwa ndio trip ya kwanza Mama alinipa maelekezo flani halafu akambia nichukue kiasi flani Cha fedha kutoka kwa Accountant, So nilipewa Pesa na Accountant, Pesa kwaajili ya kulipa TRA, Gharama za kusafirisha mizigo, Pesa ya hoteli nitakayofikia,

Sasa Mama pamoja na Accountant wakatoa pesa ambayo walizoea kumpa yule jamaa wa kwanza, Mimi nikachukua kibunda huyoo hadi hadi Ngomekongwe, Nika clear Kila kitu nikarudi Dar na mizigo Gharama zote nikawa nimelipa ila account ikabaki na kibunda kama milion 1.1+ (Milioni moja na laki moja na ushee)

Nilivyofika Ofisini mimi nikazirudisha zile pesa kwa Accountant, Bi mkubwa yani Mama yake na Accountant alivyopata taarifa alishangaa,

Aliniita Ofisini kwake akanambia "Unajua nilijua pesa haitatosha kwasababu nilimuambia *(Accountant) apunguze kama laki 5 katika Ile pesa aliyokupa ambayo ndio tulikuwa tunampatia * (jamaa niliyechukua nafas yake)

Nikamwambia Mama, pengine jamaa alikuwa anatumia zote kweli labda alikuwa hajui namna ya kudeal vizur na TRA

"Hamna nakataa, Pesa ilikuwa inabaki na anafanyia mambo yake, unajui nilihisi hichi kitu, haya nikuulize Pesa ya usafiri kutoka Bandarini hadi store wewe kiasi gani?"

Nimetumia kama laki 2 na nusu ivi

"Umeona sasa, umbali huo huo yeye alikuwa anatumia laki 4 hadi laki 5 kasoro, na hapo hajawalipa wabebaji, si alikuwa atatupiga tu huyu kijana"

Nikaona hapa tatizo si kwa jamaa tu bali hadi Kampuni yenyewe, Mtaendeshaje Kampuni namna hii hata hamna magari permanent ambayo mmeingia nayo mkataba so kama ni malipo yanafanyika baina ya Kampuni na Kampuni au na mwenye magari na sio kumkabidhi mfanyakazi pesa daily afanye malipo

Kifupi nilivyoingia kwenye hii Kampuni nilibadilisha mambo mengi sana, yakawa yanafanyika ki official zaidi, Mama ndio alinipendea zaidi hapo

Hata Mzee nilijuana nae baada ya kupata hii nafasi, na nahisi Mama yake Accountant alimuambia Mzee kuhusu uchapakazi wangu, Maana Mzee niliona tu ghafla ananikubali, Wakati sijakamatia hii nafasi nilikuwa namuona tu kwa mbali, na si Mzee tu, kupitia hii nafasi nimejuana na watu wengi pia

TURUDI LEO

"Unajua BM mimi umri umeshaenda, nataka nipumzike sasa, nimefikiria hii nafasi yangu nikuachie wewe"

(Ukisikia mshangao 'surprise' ndio huu, sikutegemea kabisa kama Mama atanifikiria katika hili, ilibidi nimuulize)

Nilimuuliza mbona ghafla Mama?

"Kama nilivyokuambia Mimi umri umeenda lakini pia sijakurupuka, nimechunguza nikapata jibu kwamba wewe ndio utakaye fit vizuri katika hii nafasi, unajua kwa nafasi tu hiyo uliyonayo umebadilisha mambo mengi sana kwenye hii Kampuni"

Mimi hata sijui hata nikujibu nini Mama, kwasababu wewe mwenye maamuzi

"Usijali, nimefikiria kujistafisha mwenyewe, kwahiyo kuanzia sasa muda wowote nakuachia Office na nimeona nikwambie kwanza wewe hata mwenzako bado sijamuambia kuhusu hili" (Accountant)

Sawa Mama,

Hapa sasa ngoma inaendakuwa ngumu hii, nipo njia Panda, Mama ananipa majukumu yote haya akidhani nipo Mapenzini na Mwanaye kipenzi, na Accountant ndio mtoto pekee kwa Mama yake

Tuliongea na Mama muda ule hadi break time, natoka nje kupata chochote kitu namuona Accountant, nikamuita nikashuka nae chini Ground floor,

Nikamwambia I'm sorry **** I couldn't Love you the way you wanted to be loved na ni kwasababu tayari nipo na Mtu wangu, Ivi unajua haya mambo yanaenda kuwa Serious Sasa

Accountant: "BM bhana, Yani Sasa hivi ndio unaona mambo yako serious, kwahiyo kipindi chote hicho ulikuwa unaniona Mimi natania au? Nakupenda kuliko hata unavyojipenda wewe"

Tatizo tayari niko na mtu, unataka Mimi nifanyaje mbona hatuelewani lakini?

Accountant: "Swali zuri sana! Fanya hivi, siumesema upo na mtu, Sasa tuache Kila mtu ajipambanie mwenyewe halafu upime nani anakupenda zaidi"

Kwahiyo Mimi sifai kumpambania yule ninae mpenda

Accountant: "Utampambania yule anayekupenda zaidi, unanichelewesha Mimi kunywa chai"

Accountant akaniacha pale Ground floor nikitafakari, hamu ya kula ishapotea, nikapanda juu, Ile naingia Ofisini napishana na Mama ndio anatoka, akaniaga Akasema harudi hadi kesho

Nilivyofika kwenye Desk langu nikakuta missed call za Annie tena, nikamueka pending (nitampigia badae) Imefika Lunch time nikampigia yule kijana aliyeagizwa hapa ofisini na Mzee,

Jamaa akanambia Mzee Bado yupo St.Harry Hospital na Mke wa Mzee ndio amefikia muda sio mrefu kwa taarifa alizozipata ni kwamba Mzee hajaumia sana amevunjika tu mkono

Basi nikamuambia jamaa anitumie namba za Mama ili nimpigie, jamaa alifanya hivyo na nikaongea na Mama akanambia Mzee anaendelea vizuri kuhusu kurudi Dar ameniambia Bado hajajua ila atanijulisha itakavyokuwa

Basi Nikaendelea na harakati za pale Ofisini mara kidogo namuona Annie anaingia, na ndio ilikuwa mara yake ya kwanza kuja Ofisini, Nakumbuka Siku moja tuko Town nikamuonesha jengo letu

Kabla hata hajakaa nikamuuliza haya wewe kuliko?

Annie: "I can see, this is your new way of saying 'Hi'

Umefata Nini hapa, kama unashida na Mimi siunge nisubiri nyumbani

Annie: "I took your not picking my calls as an invitation to come"

Nikamwambia wewe usinichanganye, mtu asipo shika simu maana yake yupo busy

Ili isiwe kesi, nikaona ngoja nimpatie pesa kidogo anisubiri hapo nje kwa Restaurant, Sasa Ile natoa Pesa Accountant nae ndio anaingia, Alivyofika akamuangalia Annie then akaniongelesha

Accountant: "Mama ameniambia amekuachia funguo ya Ofisini kwake"

Nikamjibu NDIO

Accountant: "Naiomba"

Nikampatia halafu akanipiga jicho flani hivi, akaondoka

Annie: I knew something was fishy but I didn't want to push it

Nikamuuliza Something like what?

Annie: I saw her the way she was looking at you, bila shaka ndio yeye

Skia nakuomba shuka hapo chini kuna Restaurant kunywa chochote ukinisubiria nimalizie kama, Mambo mengine sio ya kuongea hapa, Kweli Annie alinisikiliza na hicho ndicho ninachompendea

Nikamalizia Kazi, sasa Wakati natoka ofisini Accountant akaniwahi mlangoni akanambia,

Accountant: "now I have seen the woman I am battle with, tell your girlfriend she's playing with shark

Nikamjibu, Well it's a good thing that Sharks don't bite Sharks,

Mimi huyoo nikahepa

Nilimpitia Annie pale kwa Restaurant, tukaenda home, tumefika home saa moja kasoro, Cha kwanza nikampigia Mama kule Morogoro akanambia ndio wanajiandaa kutoka, Nikamwambia kesho nitakuja nyumbani kumuona Mzee, Nilivyomalizana Ile simu Annie huku alikuwa ananisubiri kwa hamu

Annie "BM unajua siku hizi sikuelewi kabisa"

Ooh nikajua utaendelea na Kizungu hadi nyumbani,

Annie "I should have known that it would be difficult for a pig to stay clean"

(Nikaona matusi yameanza Sasa)
Eeh Madam!!! You've crossed your boundaries, Don't try to infuriate me and pls If you feel the need to insult me do that with some kind of intelligence na Ili tusikwazane zaidi just find your corner and hang yourself there

Nilivyomwambia hivyo akaenda kabisa chumbani, Nikabaki zangu Sebuleni nacheki Movie, Movie ishaisha naenda chumbani nikamkuta kashalala, na Mimi nikambonji

Tuesday...... Wednesday, Nilivyomaliza kazi nikaenda kwa Mzee kumuona, Ukiacha na Mama na Caryn nilikuta watu wengine nisiowajua Mwanaume mmoja na Wanawake wawili na katoto kakike,

Mzee alikuwa Yuko fit kabisa ila ndio hivyo mkono una Piopio, kilichoniuma zaidi gari alilopata nalo Ajali ni lile li Land Cruiser ZX V8, dah roho iliniuma basi tu maana mama alinionesha picha yake jinsi ilivyo bondekabondeka na ni juzi tu ilitoka kurembeshwa na 'Land Cruiser Rear Chrome' with LED Light

Nilikaa hadi mida ya Supper ila wale wageni wengine wawili Mwanaume na Mwanamke na mtoto walikuwa washasepa kumbe walikuwa Mume na mke alibaki mdada mmoja nae kumbe ndio mtoto wa Mzee wa kwanza, bhana eeh nae sio kipole pole Yani kama wamechongeshwa Hawa watoto, ila ni kwasababu ya Mama yao maana Mama mtu ni Pisi nyie acheni tu

Chakula kikaletwa mezani, tukakusanyika wote Mimi, Mama, Mzee, Caryn na yule Mdada mwingine, Tukaanza kula

Caryn: This food is good jamani, this is what I call delicacy

Mdada: "This food is really tasteless and far from delicious"

Caryn: "Ungepika wewe"

(kwa mara ya kwanza nimemsikia Caryn ameongea kiswahili jamani)

Mzee "BM Leo familia imekamilika, ulizoea kumuona Caryn tu na huyu ndiye Dada yake anaitwa ****" (Kumbe huyu mdada ni Dada yake na Caryn, Wacha yeye tumuite Michelle)

"Caryn na Michelle....BM ni kama Kaka yenu, ni Kijana smart sana, Michelle I wish huyo unayemuita mchumba angekuwa smart kama BM"

Michelle: "Dad you just want to embarrass me in front of a stranger"

Mzee: "BM is not a stranger is your brother, So He must know that you want to marry a poor man who has no future"

Michelle: True love is everything Dad, just like you and my mom

Mzee: "If love was all your mother was looking for you wouldn't have been born with silver spoon in your mouth, I agree nilikuwa sina kitu by then lakini Mama yako alisoma Future yangu kwanza kabla hajanikubali"

Caryn: Someone sounded like wife material, I can see, finding true love is extremely hard now dsys (Kejeli kwa Michelle)

Michelle: "Absolutely true"

Caryn: "You're not supposed to answer that, it was rhetorical, That guy is trying to secure his meal ticket and you here to talking about true love"

Mama: "Jamani eeh tumechoka na makelele yenu"

Mama alikatisha mazungumzo kwa namna hiyo maana mzee nae hakwepeshi, Halafu nilikuja kujua kumbe Michelle Kuna Muhuni kamuelewa na Mzee hataki kumsikia hata kidogo,

Iko hivi, Mzee yeye hajamuona huyo Mpenzi wake na Michelle ila aliyemuona ni Caryn ambaye ndiye aliyepeleka umbea kwa Mzee, ndio maana Sasa hivi wanaonekana kama wanamabifu flani ndio na mimi nikaja kuelewa pale mwanzoni tunaanza kula Caryn alikuwa anasifia chakula ambacho amekipika yeye halafu Michelle anakiponda japokuwa aliendelea kukila.

Baada ya kupata chakula nikaawaga nakuondoka zangu, Kesho yake ambayo ni Alhamisi sikupitia Ofisini nilienda moja kwa moja Bandarini kwaajili ya kwenda Zanzibar, Nikapokea mizigo na kesho yake Ijumaa nikarudi Dar mchana mchana ivi. Nikampigia Mzee kumuuliza kama ratiba ya Ijumaa Bado ipo

Mzee akaniambia "Tena nilikuwa nataka kukupigia, Kuna namba ya kijana nakutumia sasa hivi mtawasiliana badae mpange mtakapokutana, nitampatia Gari"

Sawa Mzee, hamna shida

"Ila Kuweni Makini"

Sawa

Mzee akatuma namba, namba aliyonitumia kumbe ni ya yule kijana aliyemtuma Ofisini kuja kuchukua funguo na kunipa taarifa za Mzee Kupata ajali, mzee hakujua kama namba Niko nayo, Basi mida ilivyoyoyoma Nikamcheki jamaa, Akanambia ndio anaelekea kwa Mzee kuchukua Gari, Nikamwambia ukishachukua Gari njoo hadi Buguruni

Saa hiyo Mimi nipo nyumbani around saa 10 na nusu nikaanza kutoka, nilitangulia mm kufika Buguruni nikaenda Yale maeneo niliyokuwa na madogo siku Ile nikakaa kama 5 nikaondoka, nikaenda mitaa ya Buguruni sokoni nako ni bila bila, nikaenda hadi Ilala Wakati naendelea kuzunguka yule jamaa aliyeenda kuchukua Gari kwa Mzee akanipigia simu na kunambia kuwa ameshafika Buguruni, Nikamwambia sawa nakuja

Sasa wakati naendelea kutafuta wale madogo kijana mmoja akanisimamisha akaniomba Buku, umri wa kijana kwa kukadiria ni kama 17 or 18 flani ivi

Kijana: "Kaka samahani naomba nisaidie na Tsh 1000"

Nilitaka kumpotezea nikakumbuka mission niliyonayo, nikamuuliza elfu moja ya kazi gani?

Kijana: "Wadogo zangu hawajala tangu Asubuhi nataka ninunue hata Unga tuchemshe uji"

Nikamuuliza hao wadogo zako wapo wapi?

Kijana: Hapo Rozana

Nikamuambia nipeleke, tukaenda tukafika kwenye jumba flani hivi ambalo halijamaliziwa kjengwa, Sasa kuingia ndani kwenye kakolido flani nikawaona kweli madogo wawili, wakike na wakiume, yule wa kiume Miaka kama 9 kwa kukadiria akaniita "Kaka, umekuja tena" Sasa nikawa namshangaa, nikamuuliza kwani nishawahi kuja hapa, akanambia Ile siku ulikuwa kule Barabara ukatupa chakula

Nikarudisha kumbukumbu kweli nikamkumbuka, katika wale madogo niliowapa chakula siku Ile na yeye alikuwa mmoja wao, Nadhani na nyie wasomaji mtakuwa mnamkumbuka, huyu dogo ndiye yule aliyesema "Blaza haina haja mikono yetu misafi"

Nikamuuliza Ile siku wakati nawapa chakula ulitaka kubeba ukasema unataka kuja kulia nyumbani, kumbe ndio unaishi hapa? Dogo aliitikia kwa kichwa

Sasa kaka mtu akaanza kunihadithia vile wanaishi na madogo zake, wakiamka Asubuhi wanajigawa, Kijana mkubwa anaondoka na yule mdogo wake wa kike (5 yrs kwa kukadilia) kutafuta chochote, kama akipata kibarua anakifanya huku akiwa pembeni kwasababu hakuna mtu wa kumuachia halafu huyu Dogo mwingine ambae najuana nae yeye anaingia machaka yake ila muda mwingi anakuwa na madogo wenzake wakiomba omba.

Leo sasa huyu Kaka yao mkubwa ilibidi aawaache madogo wote atoke yy mwenyewe kwasababu huyu wa kike anaumwa, lakini unaambiwa hali hiyo inatokea mara kwa mara Dogo anaumwa na kupona mwenyewe bila hata ya kutibiwa

Kilichoniuma Zaidi, Ile siku Wakati nawapatia chakula wale madogo, huyu dogo aliyesema mikono misafi kumbe chakula kile alikula kidogo sana kingine alikiweka kwenye mfuko na kwenda nacho nyumbani Incase kama mdogo wake hajala pamoja na kaka yake, ndio maana Ile siku akawa kama anaharakisha flan.

Basi bhana bila kuwaambia chochote nikampigia jamaa nikamuambia aje had Rozana, nikamuambia yule dogo anitafutie madogo wengine ila wasizidi watano, nilivyomwambia hivyo dogo alikimbia huyo, nikabaki pale na kaka yake na yule wa kike tukiendelea na mazungumzo saa hiyo ni kama saa 12 na nusu +

Dakika 10 nyingi Dogo akaja na wenzake lakini nikaona kama wapo wengi Ile wanakaribia kuwahesabu madogo wapo 8 kabla hata sijamuuliza Dogo Akasema "Kaka Hawa wengine ni wenzetu Nimeshindwa kuwaacha"

Dogo nilimuagiza idadi ya wa 5 kwasababu ya ya kutosha kwenye Gari, nikawabeba hivyo hivyo nikamkuta jamaa kapaki Pembeni ya Barabara, nikampa 'Hi' kabla ya kuondoka nikampigia Mzee kumfahamishani na akanipa go ahead ya kuanza safari

Wakati tupo Njiani jamaa aliyekuja na Gari akaniuliza

"Madogo unawajua lakini?"

Nikamwambia hapana, nikamuuliza kwanini?

"Aahh, siunajua tena madogo wa mitaani mwanangu hawachelewi kukinukisha"

Usijali madogo watulivu mbona, nikamuambia safari ikaendelea tukafika nyumbani tulikuta msosi ushaandaliwa, Mzee akanambia niwapeleke madogo Backyard msosi ulitangulizwa huko

Wakana Caryn, Michelle na Mama wakatujoin, baada ya kusalimiana chakula kikapakuliwa kila mmoja na sahani yake tukaanza kula huku tukiendelea na maongezi, Caryn akauliza

Mzee: "BM Hawa watoto ni wengine au ni wale wale uliowapatia chakula mara ya kwanza?"

Caryn: "Sorry Dad, first of all I want to know where these kids came from?"

Tukaanza kuangaliana na yule jamaa aliyekuwa anaendesha Gari, Wakati najipanga kujibu.....

Caryn: BM, You should answer this question

Nikamuambia wametoka Buguruni Rozana

Caryn: "Dad, I think you should change your strategy on how to help these kids
The food we're gonna give them was it gonna change their life?
So as a rich man if you think you want to help someone give them the kind of help that would transform their life not leaving them with food, in my opinion"

Nikaona Mzee kamuangalia Caryn halafu akaniangalia na Mimi Akasema....


ITAENDELEA, kimebaki kipande Cha mwisho
Ebwana kwanza nikupongeze accountant kwa kuandika namna hii maana kws kweli unaandika si mchezo nasubiri umalize nkushauri vizuri....
 
Back
Top Bottom