Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Another Ballot Wasted

Eniwei! Hujanifokea, sana sana nimei rank hii kama Best Comment kwa hii election though the vote has not been counted, ila nikiichambua hii comment naweza kujua hii kura Ina muhusu nani

Nitakujibu kama ifuatavyo, kwa mtiririko wa namba

1: Asante sana, nimepokea Maua yangu[emoji1545]

2: Hapa katika uwekezaji ndio maana nilikataa kurudi kazini, cos ni kitu ambacho nataka kukifanyia kazi wakati huu, japokuwa Biashara ninazotaka kufanya na kazi niliyoikataa ni vitu vinavyo relate.

3: Hii Paragraph ndio imefanya niipe hii comment points zake 3, hapa umemaliza Kila Kitu Sina Cha kuongeza[emoji1430]

4: Yeah, I'm very serious, lengo sio kura tu, lengo ni kupata Comment kama hizi, zinasaidia sana, kama hii comment imenifanya niwaze vitu ambayo hata sikuvifikiria au pengine nilivipuuzia

5: Nimeweka Candidates wawili tu kwasababu ndio nawaelewa zaidi, yani ukimuweka Michelle na Annie nitamchagua Annie. na ukimuweka Michelle na Caryn Obvious nitamchagua Caryn [emoji12]. Ila ukimuweka Annie na Caryn hiyo ni Another case, japokuwa umeongea point hapo kwa Michelle.

Speaking of Michelle, kama isingekuwa Mzee au Caryn hata Ile ofisini angempa Opportunist aiendeshe, hapa sina maana kwamba Caryn anashindwa kufanya hivyo lahasha! Character zao ni tofauti Michelle ameji position kama Housewife lakini kwa Caryn[emoji849], kwanza siku akishinda nyumba kutwa nzima basi ujue anaumwa

Kuhusu Accountant[emoji848]....Just forget her


6: To be honest sijafanya hivyo, ila akija kama yaliyomo yamo ni lazima nitajua tu, Sasa akijichanganya ndio amenipa sababu

7: Kwanza Ile Pisi (Caryn) niliipenda tangu namuona kwa mara ya kwanza, sema nilikuwa namuogopa kinoma[emoji2365] maana kwa jinsi alivyokuwa anajiweka plus nilikuwa sijamzoea

Wakati namtongoza huwezi kuamini kwa Wakati huo nilikuwa hata siwazi Kimasihara Wala Long term relationship, ila nilimtongoza ili kutaka kujua ananichukuliaje, ila chakushangaza jibu lake japo lilikuwa sio la kukubaliwa ila lile lilinifanya nimpende zaidi, imagine mtu ni rafiki yako halafu anakupenda kimapenzi lakini anahofia kukupoteza kama Rafiki endapo Mapenzi yakifika kikomo, kwangu nimechukulia huo kama upendo wa dhati

8: Rudi namba 4 nishalijibu

9: Sure, kama nitaangukia kwa Caryn basi nina kazi kubwa ya kufanya, kutokana na aina ya Mwanamke niliyekuwa nae hapo awali (Annie) kwa Caryn inahitajika kujipanga kisaikolojia kwani ni watu wawili tofauti kabisa, Kinachonipa moyo ni kwamba nishaishi naye so namjua kiasi chake

10: Nammudu kupitia Caryn, anajua kama Caryn ananikubali sana, na anajua Mzee anamkubali mwanaye Caryn, na anajua kama Caryn asingeafiki yeye kwenda China basi kweli asingeenda, hapo ndipo Power yangu inapopatikana, kwasasa Mimi Sina nguvu ya kumuadabisha in direct way, hata kupitia kwa Mzee sidhani kama hiyo power ninayo labda niende na sababu zenye mashiko, Lakini nikipitia kwa Caryn ni kitendo Cha Dakika 0 jamaa tunampokea Airport. Kwahiyo ananisikiliza kama anavyomsikiliza Mzee na kama anavyomsikiliza Caryn vile vile.

Kuhusu makubaliano hatuna makubaliano yoyote zaidi tu ya kazi

11: Nashukuru kama umeliona hili in positive way,

Mambo ya kuwepo kwa Bond kati ya Familia yangu na Caryn Dah! umeenda mbali sana, tunaweza tusifike huko mkuu, ngoja tuone hili linapitaje

All in All Baraka nimezipokea, Barikiwa nawe pia
Mkuu, mimi always nakuelewa na kukuamini sana. Once again, kila la kheri!
 
Annie mnapendana. Lakini sometimes love is not enough kutosha kufunga ndoa. Mnaoana na mtu wote hali za kiuchumi ni za tia maji. Mnapata shida tu mnaanza kuliliana machozi. Mfano mmoja anaumwa ugonjwa na matibabu yake ni India. Machozi na mapenzi hayatoshi kusolve tatizo lililoko mezani. (I have been there ninajua ninachoongea). Tutakufa wote hilo halina ubishi. Ila kuna vifo vinatuwahi kwa sababu ya umasikini wetu. Machozi na mapenzi hayaleti uhuru wa maisha. Go for love + uhuru wa uchumi.

Go for Carren. Build an empire with her. Ila fanya kazi sana kwa weledi mkubwa ili ktk hiyo empire wewe binafsi uwe na share nyingi pia. Mwanzo mwanzo wa penzi hakikisha unafanya uwekezaji wa maana. Usibweteke hata kidogo. Ili heshima ya mwanaume ktk ndoa kuwa juu ibaki pale pale.

Kura yangu kwa Carren

...samahani sana Annie kama utapita hapa. Mungu atakupa wa kwako. Huyu akili imeshacheza penzi lako liko kwenye kipimo.
THE MOST BITTER TRUTH COMMENT

Eniwei! Vote counted to Caryn [emoji294][emoji294]
 
Dah, hizi kura zinazoharibika zinazidi kuongezeka tu

Eniwei! Paragraph ya 1, Mimi mwenyewe sielewi mkuu, ila Paragraph ya pili hiyo Principle nimeikubali, na kama nikisema nii apply hii si Caryn anaondoka Kijiji chake

Paragraph ya tatu ulichokisema ni kweli, na uoga wa kukosea kufanya maamuzi ndio umenifikisha hapa

Kwenye Paragraph yako ya mwisho Sina hata Cha kuongeza na nashukuru pia kwa Maoni
Kwasababu umesema hata wewe mwenyewe huelewi, ngoja basi nijaribu kuzoom kwa kutumia miwani yangu ya fundi saa kama itakusaidia kufanya maamuzi.

1. Kuwa mbali huyo wa kwanza kumetoa gap la huyo wa pili kuibuka. Kama angekuwepo sidhani ungekua kwy huu mkanganyiko

2. Wa kwanza inaonekana unakua free sana na unaweza kummudu kwa lolote lile. Inshort hapindui na anakupenda na una mpenda.

3. Huyu ya pili naona mazingira na tamaa za mwili zimekuingiza mkenge. Sidhani kama kuna hisia za penzi la kweli kwako zaidi ya kupita au kuonyeshea ukidume wako. Ingawa yeye anaweza akawa ana maanisha penzi kweli. Kumbuka huyu hana access ya wanaume tena wakufanya nao jokes. Unaweza kuwa a new world kwake (simaanishi kubikiri, ulimwengu wa kuwa na mpenzi freely)
Huyu wa pili ni mtu wa principles na amelelewa hivyo, itakubidi ujishushe sana ili kucope nae. Watu wengi wenye principles hutaka uzifuate au you will pay the price in consequences ni ngumu kuacha ipite hivihivi hasa kama ni repeatetion.

4. Love without conditions can break, but love with conditions does not exist. Uchaguzi ni wako [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mkuu huyu BM angekuwa hajala tunda la Carren ningekuunga mkono kuwa aende kwa Michelle. Lakini sasa ndio ishatokea. BM hawezi tena kumuoa Michelle. Yani umelala na mdogo kisha unamuoa dada mtu!? Sio poa. Carren ataumia sana. Huyo Accountant umeambiwa kuna vigezo havijatimia. Sijui ni vigezo gani!!?...wanaume nyie Mungu awaonekanie. Usikute ana t.ko bapa tu ndio kigezo[emoji4]
[emoji1787]
 
BONUS EPISODE

Hello Boys & Girls, members wa Jf, Mr X6 is back with full energy, this mwezi May has been really tough for me thanks to God I’m bounced back with the Grace

After this bounce back nimejifunza kitu, When your intentions are pure, you don't loose people, people loose you, na sio hicho tu nilichojifunza, nimejifunza mambo mengi sana kupitia hii story yangu, Pengine ningekuwa sijaandika hii story nisingepata nafasi ya kujifunza haya yote, Nikikaa chini na kupitia maandishi yangu naona kabisa sehemu nilizofanya mistake na sehemu nilizopatia

So after this Bonus Episode nitakuja na Summary ya mambo niliyojifunza kupitia hii story yangu, yani kila aliyehusika kwenye hii story yangu na kila niliyemtaja amenifundisha jambo kwenye maisha

Basi bhana kama nilivyosema hapo awali, mwezi huu wa tano nilipitia kipindi kigumu sana hadi kufikia hatua ya kutaka kupoteza watu wangu wa karibu ila kwasababu dhamira yangu haikuwa mbaya basi mimi nisingewapoteza wao bali wao ndio wangenipoteza Mimi

Basi wakaamua (Caryn) kunipoteza ili kubaki na mteja, Kiukweli iliniuma sana, na kilichoniuma sio kuwekwa Benchi na Kampuni bali ni kuwekwa Benchi kwa kosa ambalo nilijitahidi kulifukia despite all my best efforts lakini nayo ilionekana kazi bure

Nikamuambia Caryn "Unajua unaweza ukawa na mapenzi ya dhati kwa mtu lakini ukavunjwa moyo kwa vitendo unavyofanyiwa na huyo mtu"

Caryn: "Mimi najua nini nafanya, sometimes inabidi ucheze na akili za watu, and If you claim to love someone you don't stop loving them even when their decision is not in your favor"

Speaking of Claim to love someone, unajua Mwanamke anayekupenda atakuonesha signs zote ili umtongoze na hilo nililiona kwa Caryn, ili nisionekane Domo zege ikabidi nisipuuzie Green light iliyokuwa inanipiga usoni, nikachapa verses zangu lakini majibu ya Caryn Sasa naweza kusema hayakuwa mabaya na wala hayakuwa mazuri

Ilikuwa hivi, mnakumbuka ile siku tulienda kwa Michelle? nakumbuka hicho kipande nilikihadithia hapa, Sasa tulivyorudi nyumbani kwangu kutokana na maongezi tuliongea kule kwa Michelle ikabidi nijaribu kutupa ndoana ili nione kama itaibuka na Samaki, sikupindisha pindisha nilienda straight to the point

BM: "Caryn, nahisi upendo nilionao kwako ni zaidi ya urafiki"

Wakati namueleza hayo tulikuwa tumekaa sitting room, yeye alikuwa amekaa chini kwenye zuria na mimi nimekaa kwenye kochi, nikanyoosha maelezo kwamba nampenda kimapenzi

Caryn: "You're joking, right?"

BM: "Nop, I'm serious, very serious"

Caryn: "Kama unamaanisha sidhani kama ni idea nzuri mimi na wewe kuwa wapenzi"

BM: "Kwanini?"

Caryn: "Okay, I used to love you, I mean i developed feelings for you lakini for Dad's sake I had to let it die"

Nilivyosikia for Dad's sake nikajua tayari Mzee kuna venye ameongea na Mwanae, nikamuuliza Caryn "Kwahiyo hapa hofu ni Mzee sio?"

Caryn: "Hofu sio Mzee, hofu ni kukupoteza wewe"

BM: "Mmh! Aje sasa? kwa hatua tuliyofikia nayo sidhani kama tunaweza kuwa separated labda uwe Mpango wa Sir God"

Caryn: "Nimemaanisha kukupoteza as a friend, unajua we lose people who are potential and important to us and in our careers sababu ya mapenzi

.....Dad aliniambia kuna watu ni muhimu sana ambao we don't deserve to date them kwasababu tunaweza kuwapoteza pindi mapenzi yatakapoisha"

Kumbuka haya maongezi yanafanyika kabla ya Mzee kuja kwangu, Sasa baada ya Mzee kuja kwangu kama mnakumbuka aliniuliza kuwa nina Mpango gani na Mwanae kabla sijamjibu ndipo akaniambia kwamba[emoji1484]

"kwenye hii Dunia ukitambua wenye manufaa maishani mwako usiwape umuhimu, HAWATAKUUMIZA. Wenye umuhimu maishani mwako usiwafanye wenye manufaa, UTAUMIA"

Sasa hii siku jioni yake kuna kitu nilimuuliza Càryn ambacho sikukisimulia last episode

kutokana na lile swali kutoka kwa Mzee "Una Mpango gani na Caryn" nilimuuliza Caryn kama amemshirikisha Mzee kuhusiana na Mimi kumtaka kimapenzi, akaniambia hakumshirikisha"

BM: "Kuna swali ameniuliza ndio maana nataka kujua, so kama ulimshirikisha we niambie tu"

Caryn: "Swali gani kwani amekuuliza?"

BM: "Nina Mpango gani na wewe?"

Caryn: "Hapana, sijaongea na Mzee chochote kuhusu hayo mambo"

Siku zikapita, majanga yakatokea na kazi nikasimamishwa, nikawa sina budi ku move on lakini na-move on huku nikisikilizia Mpango wa Caryn huku nikitafuta Plan B ya kuni backup endapo mchongo wa Caryn uta-Bounce

Mpango wa Caryn ni gani sasa? ....ni huu hapa>>>kabla ya Mzee kumshirikisha Caryn kuhusu mimi kwenda China, Caryn nae alikuwa na Mpango wa kufungua Kampuni ya Air Cargo kama ile ya Baba yake, Sasa kabla hajanichana ndio Mzee akaja na Safari ya China na yeye ndio akaleta Proposal yake mezani

Mpango nikauona umenyooka kabisa na Caryn alikuwa serious na hilo kiasi kwamba aliachana na Mpango wake wa kununua Gari mpya kama alivyojiwekea ahadi,

Basi tulivyo sketch kila kitu kuhusu hiyo Kampuni ambayo mimi ndio nitakuwa nikiisimamia, kwasababu ya uchanga wa Kampuni tulipanga Mkurugenzi niwe Mimi na Logistic Manager niwe mimi na huku kwenye Kampuni ya Mzee pia nabaki na position yangu Ile Ile as a Logistic Manager Yani kwa kifupi nipige miguu yote yote

Hapa ndipo niliporudi kwa Mzee na kumchomolea Ile safari ya China, But guess what? Mchongo ukawa mchongoma na Deal halijakua done kama nilivyotegemea bali Dili limekuwa Dilisha, Wanasema mtaka yote hukosa yote...Yes, ila kwangu imekuwa tofauti kidogo, Mimi sikutaka yote na bado nikakosa yote

Nili think twice kwenye mchongo ambao ni wa uhakika na sikutakiwa hata kupoteza muda, I mean the deal was good and i wasn't supposed to think twice, Lakini sio mbaya Uzuri ni kwamba mtu aliye kwenda China badala yangu nammudu na tunaelewana vizuri basi naimani tutafanya makubwa zaidi

Lakini ubaya wa Binadamu huwa wanabadilika sana, so hutakiwi kuwategemea kabisa, ila sidhani kama Mchina atani disappoint kama alivyoni disappoint Kijana wa Buguruni, Kijanaa bhana alianza Ukola, nilianza kusikia makesi zake kutoka kwa sister mara "ooh huyu mtu leo hajarudi" mara "karudi lakini hakulala kabadilisha tu nguo na kuondoka"

Kabla ya kuongea nae nikaanza kumfuatilia, nilienda kule kijiweni kwake nikaambiwa ana kama wiki hivi hajaenda, lakini hiyo haikuwa kesi kwasababu jamaa kaniambia huwenda kuna kazi anafanya sehemu maana almost vifaa vyake vyote amebeba, moyoni nikajiuliza ni kazi gani hiyo inayomfanya mtu asirudi nyumbani

Nikaendelea na shughuli zangu hadi hivi unavyosoma hii story sijamtia machoni yule Kijana, nilienda tena kule anakofanyia kazi yule blaza aliniambia siku ile nilivyoenda kumuulizia baada ya siku kadhaa Kijana alienda na akachukua vifaa vyake vyote alivyoviacha huku madai yake yakiwa ni yale yale kwamba kuna kazi anaenda kuifanya,

Blanda niliyoifanya ni kutokumuambia yule blaza azuie vile vifaa vilivyobaki kama akivirudia lakini by that time sikuwaza nilichokuwa nakiwaza sasa hivi

Anyway, I have bad feelings kuhusu Kijanaa lakini mimi huwa mzito sana ku judge, nilichokifanya nilimjulisha Mzee tu, kilichobaki nikusubiria muda uniambie jambo (time will tell)

Back to BM & Caryn Nothing is working according to plan anymore, Caryn alirudi kwao lakini hakuondoka na nguo zake alienda yeye kama yeye hata Gari yake aliiacha akawa anatumia Jeep Wrangler ya Mzee, hiki kipindi Caryn alichoacha gari yake ndio kilikuwa kile kipindi kigumu, cos nilikuwa naenda misele na Gari naiacha nyumbani, si mnajua magari hayatumii Maji eeh, tena hii Engine Capacity yake si kubwa kihivyo, ni 2.5 tu

Hadi leo karibia mwezi sasa Gari bado imepark kwangu lakini siku niliyotoka nayo hazizidi 4, Hizo mara tatu ilikuwa ni misele yangu Binafsi mara moja nilitoka nayo kwenda kuonana na Càryn, tena ni juzi hapa hata week haijaisha nadhani

Hii ilikuwa Bonus Episode tu ya matukio ambayo sikuyasimulia lakini Wacha niunge na matukio yaliyotokea recently

Siku ya Jumatatu asubuhi najiandaa kwenda job kwasababu Jana yake Caryn aliniambia niende, Mimi bila hiyana nikachomoka hadi ofisini, kufika ofisini nilivyoonana na Caryn akaanza kunihoji kuhusu Ile Kampuni niliopoteza mzigo wao kama nipo sawa nao au kuna kabifu ka chini chini kanaendelea kati yetu

Nikashangaa Caryn kuniuliza vile kwasababu Mimi BM naanzaje kuwa na Bifu na likampuni linaloingiza mamilioni ya Pesa, nikamuambia Caryn hakuna Bifu na wala halitakuja litokee, labda nifungue Kampuni kama yao hapo ndio ita make sense mimi kuwa na bifu nao

Caryn: "Ooh! now I see nilichoambiwa kinaweza Kuwa na ukweli"

BM: "Umeambiwa nini na nani?"

Caryn: "Unajua nilienda kule nilikuwa na kikao nao, walikuwa na Agenda zao za kuzungumza ila na mimi nilikuwa na Agenda zangu, moja ya agenda inakuhusu wewe"

BM: "Mimi! how?"

Kwa kifupi Caryn alitaka kujua kama kuna makosa mengine nishawahi kufanya hapo nyuma au ni hili la juzi tu, maana Caryn anakuambia kwa namna Ile Kampuni ilivyoreact kuhusu upotevu wa mzigo alijua tu kuna something else, si ndipo wakamfungukia sasa

Iko hivi, kuna siku nilipeleka mizigo yao kule ofisini kwao, sasa wakati mizigo inashushwa kuna mzigo mwingine ulikuwa mzigo sana, kule Bandarini tuliupakia kwa Forklift na huku kwenye Kampuni pia tuliushusha na forklift, so you can imagine huo mzigo ni mzito kiasi gani, Sasa Mimi si nikaropota nikasema Hawa wateja ningewajua ningewaiba nikawa link moja kwa moja kwenye Kampuni yetu ningekuwa napata Commission ya kueleweka kwa aina hii mizigo (Hapo sasa ndipo nilipo halibu)

Kwasababu unajua wateja wa Ile Kampuni wao hawajui kama mizigo tunawasafirishia sisi wao wanajua ni Ile Kampuni ndio inafanya Kila kitu which is not true, Mimi nawaona ni kama mtu kati, ma broker flani ivi, ukiacha na hao pia kuna hawa watu wengine ambao wanakula pesa ya bure kabisa ambao huwa wanagiza mzigo china na kuwauzia wafanyabiashara wa mikoani, na unakuta yule mfanyabiashara wa mkoani nae anapata faida yake vizuri tu licha ya pesa yake kupita kwa mtu wa kati, sasa je kama angekuwa anaagiza yeye mwenyewe moja kwa moja kutoka china si angekuwa ana double profits,

Anyway ndio Biashara ilivyo lakini, kitendo Cha mimi kuongea Ile kauli kumbe yule jamaa aliibeba kama ilivyo akaenda kumuambia Boss wake, bwana weeh! wakawa wananisubiri niingie kwenye 18 zao na mimi si nikajaa[emoji2305] wakanila kichwa, Aisee sikufikiria Ile kauli yangu kama ingekuja kuni cost pakubwa hivi

Unajua nilianza kumfikiria vibaya Opportunist kama wengi walivyokuwa wanadhania humu, kuna wengine humu waliniogopesha zaidi kwa kusema Hilo ni game nachezewa na Mzee kwamba hata Caryn anaweza akawa anajua kinachoendelea sema amekausha tu, Aysee nyie[emoji1430] mliniogopesha sana

Sasa Caryn kaniambia kule kamalizana nao so nirudi mzigoni ila nikakataa, Caryn aliniruhusu niondoke badae au kesho atakuja mjengoni tuongee vizuri, nilitoka pale ofisini mida ya saa tano tano hivi asubuhi ndio nikaja humu kuandika I think we should forget a day to remember

Hamuwezi amini hii siku nilipata amani ya moyo maana siku zote nilihisi kama kuna kitu kinanikereketa, Hii siku Caryn hakuja nikabaki kuongea na Annie kwenye simu, Annie anawaza ujio wake wa kuja Dar na Bus anadai hataki kuja na ndege (Annie anakuja tarehe 4 mwezi wa 6)

Mimi nikawa namng'ang'aniza atumie ndege ili afike mapema, kwasababu akitumie Bus tutapeana heka heka za kwenda kupokeana saa sita za usiku, Mwisho wa siku nikamuambia atumie usafiri anaouona yeye unafaa

Zilipita kama siku 2 Caryn akaja home akanikuta na msimamo wangu ule ule, nikamuambia Caryn kuna ulazima gani wa mimi kurudi kufanya kazi ikiwa watu wengine wapo na wanafanya kazi vizuri tu, Caryn akaniambia Opportunist anafanya kazi vizuri lakini bado ana pwaya,

Caryn anadai Opportunist anatumia gharama kubwa kwenye kutoa mzigo, Mimi nikawa nishajua ni wapi anapokosea Opportunist, unajua kwenye haya maisha hutakiwi kuonesha mbinu zako zote za kivita, ukionesha siraha zako zote ujue wakulungwa watachukua Points 3 muhimu, inabidi ukiondoka sehemu uache pengo kwasababu siku hizi mapengo yanazibika vizuri tu

Nikamuambia Caryn amvumilie tu jamaa mwisho wa siku atajua, Mimi mwenyewe nilikuwa sijui chochote

Caryn: "BM bado una Grudge?"

BM: "Hapana! wala sina kinyongo, ila hizi nenda rudi nenda rudi kwangu hazinikalii poa"

Caryn: "Kama ni hivyo basi kulikuwa hakuna sababu za mimi kukukatalia wewe kuwa na mimi"

BM: "Unamaanisha nini?"

BM: "Daddy alinitahadharisha kuingia kwenye mahusiano ya kimapenzi na wewe"

Dah! Mzee bhana....eniwei, According to Caryn Mzee alipenda sana urafiki pamoja na bond iliyopo kati yangu mimi na Caryn, (Hapo ni Mzee Sasa anamuambia Caryn) Mzee ananichukulia mimi (BM) kijana wa tofauti sana, kwasababu kuna mambo Caryn anaweza kuyafanya na mimi nikayachukulia poa kwasababu ya urafiki sasa kama tutaingia kwenye Mapenzi na kwa Caryn jinsi alivyo akafanya mambo au maamuzi Fulani ambayo hapo awali nilikuwa nayachukulia poa lakini huku kwenye Mapenzi nisiyachukulie poa tena (Perspectives za Mzee hizo)

So Mzee akamuambia Caryn kama ataingia kwenye mahusiano na mimi, kwanza akubali kumpoteza rafiki na workmate na hata Business Partner kwa hapo badae

Mzee alimuambia Caryn kwamba anaweza kuniona mimi muhimu kama Rafiki lakini umuhimu huo asiuone pindi atakapokuwa na mimi katika Mahusiano ya kimapenzi

BM: "Lakini watu wanaweza wakawa wapenzi na bado wakawa marafiki"

Caryn: "Hata mimi nilimuambia hivyo hivyo"

BM: "Akasemaje?"

Caryn: "Kasema ina depend na Character ya mtu"

Caryn akasema kwamba kwa mujibu wa Mzee, anadai Michelle ndio ana sifa hiyo lakini Caryn hana so kama atafanya kinyume na kuwa kimapenzi na mimi basi kuna mawili yatatokea, either Mimi nimvumilie sana Caryn na nikishindwa kumvumilia basi tutaachana na tukiacha pia kuna mawili, urafiki utakufa au utabaki na hata kama utabaki hautakuwa kama ule wa mwanzo, Mzee akadai maamuzi ya kiakili yanahitajika zaidi kuliko maamuzi ya kihisia

BM: "Wow, nimemuelewa Mzee Kwa kiasi chake"

Caryn: "Mimi nipo tayari kukuvumilia wewe BM"

BM: "Una maanisha kwamba?"

Caryn: "Kama kuna tabia zangu ambazo huzipendi niambie nipo tayari kuziacha"

MWISHO WA SEASON 2, Maybe to be continued
Hii haikosi mapish
 
Kumkaza ajijue kabisa kumgusa penyewe ndio atashusha majeshi chini ,ila kama anajijua anashoo mbovu , kilele bibie hatakiona ama atakiona kwa nguvu ya energy na alkasusu abaki na annie
Aysee[emoji1430] Wacha nijitathimini[emoji17]
 
Kwasababu umesema hata wewe mwenyewe huelewi, ngoja basi nijaribu kuzoom kwa kutumia miwani yangu ya fundi saa kama itakusaidia kufanya maamuzi.

1. Kuwa mbali huyo wa kwanza kumetoa gap la huyo wa pili kuibuka. Kama angekuwepo sidhani ungekua kwy huu mkanganyiko

2. Wa kwanza inaonekana unakua free sana na unaweza kummudu kwa lolote lile. Inshort hapindui na anakupenda na una mpenda.

3. Huyu ya pili naona mazingira na tamaa za mwili zimekuingiza mkenge. Sidhani kama kuna hisia za penzi la kweli kwako zaidi ya kupita au kuonyeshea ukidume wako. Ingawa yeye anaweza akawa ana maanisha penzi kweli. Kumbuka huyu hana access ya wanaume tena wakufanya nao jokes. Unaweza kuwa a new world kwake (simaanishi kubikiri, ulimwengu wa kuwa na mpenzi freely)
Huyu wa pili ni mtu wa principles na amelelewa hivyo, itakubidi ujishushe sana ili kucope nae. Watu wengi wenye principles hutaka uzifuate au you will pay the price in consequences ni ngumu kuacha ipite hivihivi hasa kama ni repeatetion.

4. Love without conditions can break, but love with conditions does not exist. Uchaguzi ni wako [emoji3][emoji3][emoji3]
Mkuu hii namba tatu hii[emoji848] Eniwei acha nisiongee kitu, Muda ndio utaongea
 
Zoezi la kupiga kura linaendelea Annie Vs Caryn

Zoezi litachukua muda mrefu kidogo ili kuwapa watu wengi nafasi ya kushiriki

Zoezi litafungwa tarehe 31 na matokeo nitayaweka hapa hapa

Tarehe 1 mwezi wa 6 nitakuja na Summary muhimu ambayo itagusa mwanzo wa Story hadi hapa nilipofikia

Baada ya hapo mtanikosa JF kwa muda kidogo kwasababu ya Ugeni mzito

Matokeo hadi sasa yanasoma[emoji1484]

Annie 7

Caryn 11
Does this mean our votes will drive you to your final life mate decision between the two? I guarantee you making a big mistake by forgetting the past, otherwise you're making this to cherish yourself on how many people have been gotten to your story.
Sorry for my comment bro BM
 
Does this mean our votes will drive you to your final life mate decision between the two? I guarantee you making a big mistake by forgetting the past, otherwise you're making this to cherish yourself on how many people have been gotten to your story.
Sorry for my comment bro BM
Lengo sio kura tu, ila pia ni kupata some kind of comment kama yako, hii ni zaidi ya kura though ki protocol is not counted
 
Ndugu yangu BM X6 wanasema
"Love is a complicated journey strictly to those who are ready to endure heart broken"
Katika hili vyovyote iwavyo lazima kuna mmoja kati yako wewe, Annie na Caryn moyo wake utakuwa broken [emoji174]. That is another case, itashughulikiwa kwa namna yake pindi itakapojitokeza kwa wakati wake. Ni sawa na kusema ili ule yai ni lazima ulivunje kwanza ndipo upate kiini cha kukaanga. Katika hili maumivu ni lazima, na hayakwepeki.

Niungane na wengine ambao hawakuweka wazi kura zao wanampa nani kati ya Annie na Caryn (ingawaje nafsini ninaye candidate ninayem-prefer kati ya hao wawili) Naamini kupitia maoni ya tusio na upande na hata ya wengine bila kujali kama wana upande au la yanaweza kutoa mwanga na nguvu ya maamuzi, na pengine yakawa na kura ya VETO. Mawazo yangu ni kama ifuatavyo:-

1. Wakati mwingine ili kufanya maamuzi sahihi juu ya hatma ya maisha yetu au jambo tunalolitamani na kulihitaji yafaa kutumia akili zaidi kuliko hisia.

2. Annie na wewe mmekuwa kwenye uhusiano kwa muda mrefu, mmepitia ups and down kwa kiasi chake. Hivyo umemsoma vya kutosha. Hata hivyo umbali uliopo kati yenu kwa namna moja au nyingine umefifisha ile bond iliyopo baina yenu. Haiyamkuniki uende Mwanza zaidi ya mara moja, kisha ushindwe japo kuonana naye kwa salamu. Hivi Mzee ulishindwa japo kumwomba ridhaa kwenda kawasalimu jamaa zako, ili upate nafasi ya kuonana naye? Plus ulivyomkwepa kuja Dar kukutembelea. Yawezekana hapa napo nafasi ya upendo wako kwake ilianza/ iliendelea kufifia (who knows)

3. Caryn hujawa nae kwa kipindi kirefu kulinganisha na Annie, lakini wewe na yeye mmepata muda mwingi wa kuwa pamoja kwa karibu zaidi na hivyo kila mmoja kumsoma mwenzie. Licha ya hayo, napata hisia kwamba bado hujahitimu kumsoma Caryn, hasa kutokana na tabia yake ya kutotabirika au hali yake ya kujiamini kupita kiasi pengine ni kwa ajili ya financial stability yake au feminist character aliyonayo. Nahisi kuna jambo la ziada yanafaa ujiridhishe vya kutosha kabla hujafikia uamuzi wa mwisho kwake.

4. Wazo la wewe kusimama mwenywe kwa uwekezaji, sitalirejea. Limesemwa ipasavyo na wewe tayari uko na mawazo hayo. Na-cement kwa kukutaka uongeze juhudi kwenye hili.

5. Ingekuwa kwa kutumia akili za "kifyatu" ningeweza kukushauri uwezekano wa kuwajaza mimba wote wawili. Then hatma nyingine ingejulikana mbeleni. Katika hali ya halisi wazo hilo si jema, na si jambo la kiungwana kulifanya achilia mbali kuliwazia.

6. Maandiko ya Dini zote yametuelekeza kumtegemea Mungu kwa kila jambo. Yawezekana spiritual connection yako na "Sir God" iko down, lkn katika hili ni muhimu kumuomba na kumtumainia yeye. Naelewa kuwa yeye hawai wala hakawii katika kujibu maombi. Tena anajibu katika namna apendavyo. Zaidi sana anaujua mwanzo na mwisho wa maisha yetu. Inawezekana hapa tunajadili suala lako wewe na Annie na Caryn lakini Mungu amekupangia Fatuma wa Kwa Msisi Tanga[emoji12] (mtu tofauti kabisa). Kumbe basi, ni vyema pia kumshirikisha na kumtegemea Mungu ili akuvushe katika namna ya Ki-Mungu. Maana ni bayana kuwa jambo hili na hata hayo mengine unayoyapitia ni magumu na pengine hayawezekani kwa akili za kibinadamu pekee.

7. Nakutakia heri wakati wote.
Wasalaam.
 
BONUS EPISODE

Hello Boys & Girls, members wa Jf, Mr X6 is back with full energy, this mwezi May has been really tough for me thanks to God I’m bounced back with the Grace

After this bounce back nimejifunza kitu, When your intentions are pure, you don't loose people, people loose you, na sio hicho tu nilichojifunza, nimejifunza mambo mengi sana kupitia hii story yangu, Pengine ningekuwa sijaandika hii story nisingepata nafasi ya kujifunza haya yote, Nikikaa chini na kupitia maandishi yangu naona kabisa sehemu nilizofanya mistake na sehemu nilizopatia

So after this Bonus Episode nitakuja na Summary ya mambo niliyojifunza kupitia hii story yangu, yani kila aliyehusika kwenye hii story yangu na kila niliyemtaja amenifundisha jambo kwenye maisha

Basi bhana kama nilivyosema hapo awali, mwezi huu wa tano nilipitia kipindi kigumu sana hadi kufikia hatua ya kutaka kupoteza watu wangu wa karibu ila kwasababu dhamira yangu haikuwa mbaya basi mimi nisingewapoteza wao bali wao ndio wangenipoteza Mimi

Basi wakaamua (Caryn) kunipoteza ili kubaki na mteja, Kiukweli iliniuma sana, na kilichoniuma sio kuwekwa Benchi na Kampuni bali ni kuwekwa Benchi kwa kosa ambalo nilijitahidi kulifukia despite all my best efforts lakini nayo ilionekana kazi bure

Nikamuambia Caryn "Unajua unaweza ukawa na mapenzi ya dhati kwa mtu lakini ukavunjwa moyo kwa vitendo unavyofanyiwa na huyo mtu"

Caryn: "Mimi najua nini nafanya, sometimes inabidi ucheze na akili za watu, and If you claim to love someone you don't stop loving them even when their decision is not in your favor"

Speaking of Claim to love someone, unajua Mwanamke anayekupenda atakuonesha signs zote ili umtongoze na hilo nililiona kwa Caryn, ili nisionekane Domo zege ikabidi nisipuuzie Green light iliyokuwa inanipiga usoni, nikachapa verses zangu lakini majibu ya Caryn Sasa naweza kusema hayakuwa mabaya na wala hayakuwa mazuri

Ilikuwa hivi, mnakumbuka ile siku tulienda kwa Michelle? nakumbuka hicho kipande nilikihadithia hapa, Sasa tulivyorudi nyumbani kwangu kutokana na maongezi tuliongea kule kwa Michelle ikabidi nijaribu kutupa ndoana ili nione kama itaibuka na Samaki, sikupindisha pindisha nilienda straight to the point

BM: "Caryn, nahisi upendo nilionao kwako ni zaidi ya urafiki"

Wakati namueleza hayo tulikuwa tumekaa sitting room, yeye alikuwa amekaa chini kwenye zuria na mimi nimekaa kwenye kochi, nikanyoosha maelezo kwamba nampenda kimapenzi

Caryn: "You're joking, right?"

BM: "Nop, I'm serious, very serious"

Caryn: "Kama unamaanisha sidhani kama ni idea nzuri mimi na wewe kuwa wapenzi"

BM: "Kwanini?"

Caryn: "Okay, I used to love you, I mean i developed feelings for you lakini for Dad's sake I had to let it die"

Nilivyosikia for Dad's sake nikajua tayari Mzee kuna venye ameongea na Mwanae, nikamuuliza Caryn "Kwahiyo hapa hofu ni Mzee sio?"

Caryn: "Hofu sio Mzee, hofu ni kukupoteza wewe"

BM: "Mmh! Aje sasa? kwa hatua tuliyofikia nayo sidhani kama tunaweza kuwa separated labda uwe Mpango wa Sir God"

Caryn: "Nimemaanisha kukupoteza as a friend, unajua we lose people who are potential and important to us and in our careers sababu ya mapenzi

.....Dad aliniambia kuna watu ni muhimu sana ambao we don't deserve to date them kwasababu tunaweza kuwapoteza pindi mapenzi yatakapoisha"

Kumbuka haya maongezi yanafanyika kabla ya Mzee kuja kwangu, Sasa baada ya Mzee kuja kwangu kama mnakumbuka aliniuliza kuwa nina Mpango gani na Mwanae kabla sijamjibu ndipo akaniambia kwamba[emoji1484]

"kwenye hii Dunia ukitambua wenye manufaa maishani mwako usiwape umuhimu, HAWATAKUUMIZA. Wenye umuhimu maishani mwako usiwafanye wenye manufaa, UTAUMIA"

Sasa hii siku jioni yake kuna kitu nilimuuliza Càryn ambacho sikukisimulia last episode

kutokana na lile swali kutoka kwa Mzee "Una Mpango gani na Caryn" nilimuuliza Caryn kama amemshirikisha Mzee kuhusiana na Mimi kumtaka kimapenzi, akaniambia hakumshirikisha"

BM: "Kuna swali ameniuliza ndio maana nataka kujua, so kama ulimshirikisha we niambie tu"

Caryn: "Swali gani kwani amekuuliza?"

BM: "Nina Mpango gani na wewe?"

Caryn: "Hapana, sijaongea na Mzee chochote kuhusu hayo mambo"

Siku zikapita, majanga yakatokea na kazi nikasimamishwa, nikawa sina budi ku move on lakini na-move on huku nikisikilizia Mpango wa Caryn huku nikitafuta Plan B ya kuni backup endapo mchongo wa Caryn uta-Bounce

Mpango wa Caryn ni gani sasa? ....ni huu hapa>>>kabla ya Mzee kumshirikisha Caryn kuhusu mimi kwenda China, Caryn nae alikuwa na Mpango wa kufungua Kampuni ya Air Cargo kama ile ya Baba yake, Sasa kabla hajanichana ndio Mzee akaja na Safari ya China na yeye ndio akaleta Proposal yake mezani

Mpango nikauona umenyooka kabisa na Caryn alikuwa serious na hilo kiasi kwamba aliachana na Mpango wake wa kununua Gari mpya kama alivyojiwekea ahadi,

Basi tulivyo sketch kila kitu kuhusu hiyo Kampuni ambayo mimi ndio nitakuwa nikiisimamia, kwasababu ya uchanga wa Kampuni tulipanga Mkurugenzi niwe Mimi na Logistic Manager niwe mimi na huku kwenye Kampuni ya Mzee pia nabaki na position yangu Ile Ile as a Logistic Manager Yani kwa kifupi nipige miguu yote yote

Hapa ndipo niliporudi kwa Mzee na kumchomolea Ile safari ya China, But guess what? Mchongo ukawa mchongoma na Deal halijakua done kama nilivyotegemea bali Dili limekuwa Dilisha, Wanasema mtaka yote hukosa yote...Yes, ila kwangu imekuwa tofauti kidogo, Mimi sikutaka yote na bado nikakosa yote

Nili think twice kwenye mchongo ambao ni wa uhakika na sikutakiwa hata kupoteza muda, I mean the deal was good and i wasn't supposed to think twice, Lakini sio mbaya Uzuri ni kwamba mtu aliye kwenda China badala yangu nammudu na tunaelewana vizuri basi naimani tutafanya makubwa zaidi

Lakini ubaya wa Binadamu huwa wanabadilika sana, so hutakiwi kuwategemea kabisa, ila sidhani kama Mchina atani disappoint kama alivyoni disappoint Kijana wa Buguruni, Kijanaa bhana alianza Ukola, nilianza kusikia makesi zake kutoka kwa sister mara "ooh huyu mtu leo hajarudi" mara "karudi lakini hakulala kabadilisha tu nguo na kuondoka"

Kabla ya kuongea nae nikaanza kumfuatilia, nilienda kule kijiweni kwake nikaambiwa ana kama wiki hivi hajaenda, lakini hiyo haikuwa kesi kwasababu jamaa kaniambia huwenda kuna kazi anafanya sehemu maana almost vifaa vyake vyote amebeba, moyoni nikajiuliza ni kazi gani hiyo inayomfanya mtu asirudi nyumbani

Nikaendelea na shughuli zangu hadi hivi unavyosoma hii story sijamtia machoni yule Kijana, nilienda tena kule anakofanyia kazi yule blaza aliniambia siku ile nilivyoenda kumuulizia baada ya siku kadhaa Kijana alienda na akachukua vifaa vyake vyote alivyoviacha huku madai yake yakiwa ni yale yale kwamba kuna kazi anaenda kuifanya,

Blanda niliyoifanya ni kutokumuambia yule blaza azuie vile vifaa vilivyobaki kama akivirudia lakini by that time sikuwaza nilichokuwa nakiwaza sasa hivi

Anyway, I have bad feelings kuhusu Kijanaa lakini mimi huwa mzito sana ku judge, nilichokifanya nilimjulisha Mzee tu, kilichobaki nikusubiria muda uniambie jambo (time will tell)

Back to BM & Caryn Nothing is working according to plan anymore, Caryn alirudi kwao lakini hakuondoka na nguo zake alienda yeye kama yeye hata Gari yake aliiacha akawa anatumia Jeep Wrangler ya Mzee, hiki kipindi Caryn alichoacha gari yake ndio kilikuwa kile kipindi kigumu, cos nilikuwa naenda misele na Gari naiacha nyumbani, si mnajua magari hayatumii Maji eeh, tena hii Engine Capacity yake si kubwa kihivyo, ni 2.5 tu

Hadi leo karibia mwezi sasa Gari bado imepark kwangu lakini siku niliyotoka nayo hazizidi 4, Hizo mara tatu ilikuwa ni misele yangu Binafsi mara moja nilitoka nayo kwenda kuonana na Càryn, tena ni juzi hapa hata week haijaisha nadhani

Hii ilikuwa Bonus Episode tu ya matukio ambayo sikuyasimulia lakini Wacha niunge na matukio yaliyotokea recently

Siku ya Jumatatu asubuhi najiandaa kwenda job kwasababu Jana yake Caryn aliniambia niende, Mimi bila hiyana nikachomoka hadi ofisini, kufika ofisini nilivyoonana na Caryn akaanza kunihoji kuhusu Ile Kampuni niliopoteza mzigo wao kama nipo sawa nao au kuna kabifu ka chini chini kanaendelea kati yetu

Nikashangaa Caryn kuniuliza vile kwasababu Mimi BM naanzaje kuwa na Bifu na likampuni linaloingiza mamilioni ya Pesa, nikamuambia Caryn hakuna Bifu na wala halitakuja litokee, labda nifungue Kampuni kama yao hapo ndio ita make sense mimi kuwa na bifu nao

Caryn: "Ooh! now I see nilichoambiwa kinaweza Kuwa na ukweli"

BM: "Umeambiwa nini na nani?"

Caryn: "Unajua nilienda kule nilikuwa na kikao nao, walikuwa na Agenda zao za kuzungumza ila na mimi nilikuwa na Agenda zangu, moja ya agenda inakuhusu wewe"

BM: "Mimi! how?"

Kwa kifupi Caryn alitaka kujua kama kuna makosa mengine nishawahi kufanya hapo nyuma au ni hili la juzi tu, maana Caryn anakuambia kwa namna Ile Kampuni ilivyoreact kuhusu upotevu wa mzigo alijua tu kuna something else, si ndipo wakamfungukia sasa

Iko hivi, kuna siku nilipeleka mizigo yao kule ofisini kwao, sasa wakati mizigo inashushwa kuna mzigo mwingine ulikuwa mzigo sana, kule Bandarini tuliupakia kwa Forklift na huku kwenye Kampuni pia tuliushusha na forklift, so you can imagine huo mzigo ni mzito kiasi gani, Sasa Mimi si nikaropota nikasema Hawa wateja ningewajua ningewaiba nikawa link moja kwa moja kwenye Kampuni yetu ningekuwa napata Commission ya kueleweka kwa aina hii mizigo (Hapo sasa ndipo nilipo halibu)

Kwasababu unajua wateja wa Ile Kampuni wao hawajui kama mizigo tunawasafirishia sisi wao wanajua ni Ile Kampuni ndio inafanya Kila kitu which is not true, Mimi nawaona ni kama mtu kati, ma broker flani ivi, ukiacha na hao pia kuna hawa watu wengine ambao wanakula pesa ya bure kabisa ambao huwa wanagiza mzigo china na kuwauzia wafanyabiashara wa mikoani, na unakuta yule mfanyabiashara wa mkoani nae anapata faida yake vizuri tu licha ya pesa yake kupita kwa mtu wa kati, sasa je kama angekuwa anaagiza yeye mwenyewe moja kwa moja kutoka china si angekuwa ana double profits,

Anyway ndio Biashara ilivyo lakini, kitendo Cha mimi kuongea Ile kauli kumbe yule jamaa aliibeba kama ilivyo akaenda kumuambia Boss wake, bwana weeh! wakawa wananisubiri niingie kwenye 18 zao na mimi si nikajaa[emoji2305] wakanila kichwa, Aisee sikufikiria Ile kauli yangu kama ingekuja kuni cost pakubwa hivi

Unajua nilianza kumfikiria vibaya Opportunist kama wengi walivyokuwa wanadhania humu, kuna wengine humu waliniogopesha zaidi kwa kusema Hilo ni game nachezewa na Mzee kwamba hata Caryn anaweza akawa anajua kinachoendelea sema amekausha tu, Aysee nyie[emoji1430] mliniogopesha sana

Sasa Caryn kaniambia kule kamalizana nao so nirudi mzigoni ila nikakataa, Caryn aliniruhusu niondoke badae au kesho atakuja mjengoni tuongee vizuri, nilitoka pale ofisini mida ya saa tano tano hivi asubuhi ndio nikaja humu kuandika I think we should forget a day to remember

Hamuwezi amini hii siku nilipata amani ya moyo maana siku zote nilihisi kama kuna kitu kinanikereketa, Hii siku Caryn hakuja nikabaki kuongea na Annie kwenye simu, Annie anawaza ujio wake wa kuja Dar na Bus anadai hataki kuja na ndege (Annie anakuja tarehe 4 mwezi wa 6)

Mimi nikawa namng'ang'aniza atumie ndege ili afike mapema, kwasababu akitumie Bus tutapeana heka heka za kwenda kupokeana saa sita za usiku, Mwisho wa siku nikamuambia atumie usafiri anaouona yeye unafaa

Zilipita kama siku 2 Caryn akaja home akanikuta na msimamo wangu ule ule, nikamuambia Caryn kuna ulazima gani wa mimi kurudi kufanya kazi ikiwa watu wengine wapo na wanafanya kazi vizuri tu, Caryn akaniambia Opportunist anafanya kazi vizuri lakini bado ana pwaya,

Caryn anadai Opportunist anatumia gharama kubwa kwenye kutoa mzigo, Mimi nikawa nishajua ni wapi anapokosea Opportunist, unajua kwenye haya maisha hutakiwi kuonesha mbinu zako zote za kivita, ukionesha siraha zako zote ujue wakulungwa watachukua Points 3 muhimu, inabidi ukiondoka sehemu uache pengo kwasababu siku hizi mapengo yanazibika vizuri tu

Nikamuambia Caryn amvumilie tu jamaa mwisho wa siku atajua, Mimi mwenyewe nilikuwa sijui chochote

Caryn: "BM bado una Grudge?"

BM: "Hapana! wala sina kinyongo, ila hizi nenda rudi nenda rudi kwangu hazinikalii poa"

Caryn: "Kama ni hivyo basi kulikuwa hakuna sababu za mimi kukukatalia wewe kuwa na mimi"

BM: "Unamaanisha nini?"

BM: "Daddy alinitahadharisha kuingia kwenye mahusiano ya kimapenzi na wewe"

Dah! Mzee bhana....eniwei, According to Caryn Mzee alipenda sana urafiki pamoja na bond iliyopo kati yangu mimi na Caryn, (Hapo ni Mzee Sasa anamuambia Caryn) Mzee ananichukulia mimi (BM) kijana wa tofauti sana, kwasababu kuna mambo Caryn anaweza kuyafanya na mimi nikayachukulia poa kwasababu ya urafiki sasa kama tutaingia kwenye Mapenzi na kwa Caryn jinsi alivyo akafanya mambo au maamuzi Fulani ambayo hapo awali nilikuwa nayachukulia poa lakini huku kwenye Mapenzi nisiyachukulie poa tena (Perspectives za Mzee hizo)

So Mzee akamuambia Caryn kama ataingia kwenye mahusiano na mimi, kwanza akubali kumpoteza rafiki na workmate na hata Business Partner kwa hapo badae

Mzee alimuambia Caryn kwamba anaweza kuniona mimi muhimu kama Rafiki lakini umuhimu huo asiuone pindi atakapokuwa na mimi katika Mahusiano ya kimapenzi

BM: "Lakini watu wanaweza wakawa wapenzi na bado wakawa marafiki"

Caryn: "Hata mimi nilimuambia hivyo hivyo"

BM: "Akasemaje?"

Caryn: "Kasema ina depend na Character ya mtu"

Caryn akasema kwamba kwa mujibu wa Mzee, anadai Michelle ndio ana sifa hiyo lakini Caryn hana so kama atafanya kinyume na kuwa kimapenzi na mimi basi kuna mawili yatatokea, either Mimi nimvumilie sana Caryn na nikishindwa kumvumilia basi tutaachana na tukiacha pia kuna mawili, urafiki utakufa au utabaki na hata kama utabaki hautakuwa kama ule wa mwanzo, Mzee akadai maamuzi ya kiakili yanahitajika zaidi kuliko maamuzi ya kihisia

BM: "Wow, nimemuelewa Mzee Kwa kiasi chake"

Caryn: "Mimi nipo tayari kukuvumilia wewe BM"

BM: "Una maanisha kwamba?"

Caryn: "Kama kuna tabia zangu ambazo huzipendi niambie nipo tayari kuziacha"

MWISHO WA SEASON 2, Maybe to be continued
Vipi mzee, kwa hiyo umeshapiga?? Asee dah
 
Me naona kwa jinsi unavomuweka Caryn , nahisi hamtatoboa labda itokee namna unavyojielezea ww usiwe hivyo. Uyo mwanamke anataka mwanaume mbabe ndio unamuweza ila ukiwa unamkubalia kila anachotaka ataanza kuona unaboa tu., So best bet yangu kaa nao wote as long as Annie yupo mbali mambo yanaweza kwenda tu.

Sababu kitendo tu, Caryn kuona kwamba unamuacha Annie sababu yake tayari unakuwa umepoteza vitu flani kimtazamo wa kianamke. Yeye hataona kwamba umethamini penzi lake bali ataona uwezi kusimamia unachokiamini au unachokitaka, so unaweza kuona kwamba ata mbeleni unaweza mgeuka ili uwe na mtu mwingine.

Wanawake wanapenda competition , hii ipo ndani yao hawawezi kiri hadharani. Nafikiri uishi kimasta tu, kwamba Caryn nafasi yako hii hapa, pambania penzi kama hauwezi tufanye mengine. Yaani hapa ni lazima umuoneshe akiamua kukaa sawa, pia akiamua kuondoka huogopi pia.

Sijui kama nimeeleweka, sio mzuri sana wa kuandika. Bali msomaji na msikilizaji zaidi.


Leo ndio Ile siku bro
 
Back
Top Bottom