Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Zoezi la kupiga kura linaendelea Annie Vs Caryn

Zoezi litachukua muda mrefu kidogo ili kuwapa watu wengi nafasi ya kushiriki

Zoezi litafungwa tarehe 31 na matokeo nitayaweka hapa hapa

Tarehe 1 mwezi wa 6 nitakuja na Summary muhimu ambayo itagusa mwanzo wa Story hadi hapa nilipofikia

Baada ya hapo mtanikosa JF kwa muda kidogo kwasababu ya Ugeni mzito

Matokeo hadi sasa yanasoma[emoji1484]

Annie 7

Caryn 12
Chukua Carren mkuu...
 
Antonnia yaan wewe kila nikisoma hii story nakuona ukiwa Cryn wangu kabisa
Hahah.. halafu hii story nilisomaga episode 2 tu za mwanzo walinitag ikiwa imeshasogea namie mvivu kusoma ma pages kibaoo.. Cryn ninani kwani hebu nipe samaree kwanzaa😊!
 
Nikiwa kama mmoja wa wapiga kura kwenye mchakato huu wa uchaguzi kwa manufaa ya ndugu yetu mbwana mkubwa BM X6.


Mimi Mohamed idrisa kwa hiari yangu mwenyewe pasipo kushinikizwa na mtu, naamua kura yangu kuipeleka kwa mwanamke ambaye ana mapenzi ya kweli na mwenye ndoto ya kuwa na familia bora na ndugu yetu BM X6.



Caryn [emoji736]
 
Umekosea kuihesabu hii kura, badala ya kwenda kwa Annie we umeipeleka kwa Caryn.
Aisee Team Annie mpo makini kweli

Na mimi sijui nilikuwa nawaza wapi

Eniwei, nimeshaweka sawa
 
Nikiwa kama mmoja wa wapiga kura kwenye mchakato huu wa uchaguzi kwa manufaa ya ndugu yetu mbwana mkubwa BM X6.


Mimi Mohamed idrisa kwa hiari yangu mwenyewe pasipo kushinikizwa na mtu, naamua kura yangu kuipeleka kwa mwanamke ambaye ana mapenzi ya kweli na mwenye ndoto ya kuwa na familia bora na ndugu yetu BM X6.



Caryn [emoji736]
Asante sana ndugu yangu kwa kushiriki kwenye zoezi hili muhimu

Kura hii imehesabiwa kwa Caryn
 
Back
Top Bottom