Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Wajukuu, Wanangu na wazee wenzangu! Heshima kwenu nyote.

Sijisikii vizuri leo naumwa kidogo.

Niende kwenye mada...

1. Love is inversely proportional to distance.

Let love be "L" and distance be "D"

So L ≈ C/D where C is proportionality constant.

But C = a,b,c,d,e,f,t,w,r

Where a = age, b = beauty, c = characteristics, d = diseases, e = education (intelligence), f = family background, t = tribe, w = wealth.

Hence L = C/D

The more the distance the less the love

Ila C "result" ikiwa kubwa huongeza L kuwa kubwa.

Hii ni topic muhimu kwa vijana wanaotaka kuoa ama kuolewa hususani kwenye kuchambua hiyo "C"

2. Kwa waislamu, sisi wanaume tumeusiwa kuoa wanawake wawili, watatu hadi wanne, lakini 'tukishindwa' (kwa sababu mbalimbali' basi tuoe mmoja

Lakini pia tumeusiwa sisi kuwaoa kwa sababu za:-
(i) Uzuri wao
(ii) Ukwasi wao
(iii) Nasaba zao
(iv) Ucha Mungu wao.

Msisitizo ukawekwa kwenye ucha Mungu na kupuuza hayo matatu ya juu maana tutaongezewa...

Lakini atakaye chagua kuoa kwa sababu tatu za juu bila kuzingatia ucha Mungu 'huenda' akaangukia pabaya baada ya sababu hizo zilizomfanya aoe kuondoka.

Hapa napo panahitaji darasa lake.

3. "Hatma ya maisha yangu ipo mikonono mwa kijana wa Buguruni" ndiyo kichwa cha simulizi.

Hatma ya maisha YAKO ipo mikononi kwa kijana wa Buguruni!

Kijana wa Buguruni keshazingua 'big time'

Je, hatma ya maisha yako sasa ipo mikononi kwa 'Caryn?!'

Je, hatma ya maisha yako ipo Mikononi mwa Baba Caryn!?

Je, hatma ya maisha yako ipo mikononi mwa maamuzi yako ya kumchaguwa Anne ama Caryn ili uendeleze uhusiano wa mapenzi!!??

Bila shaka unapenda hatma hiyo iwe yenye furaha, amani, upendo na ukwasi.

Je ukwasi unapatikana kwenye Kampuni za Baba Caryn pekee?

Je, upendo upo kwa Caryn ama Annie, au wote??!!

Je, amani unaipata ukiwa kwa Annie ama kwa Caryn?!!

Je, furaha unaipata ukiwa na Caryn au Annie?!

Kura zetu hazitasaidia sana kwenye maamuzi yako juu ya Annie na Caryn, ingawaje inaleta burudani katika kuendeleza simulizi hususani katika kipindi hiki ambacho muendelezo umesimama...

Maamuzi sahihi unayo mwenyewe kwakuwa kuna mengi ambayo hujasimulia kuhusu hao akina Annie na Caryn.


Nakuwa miongoni wa waharibu kura kwenye hili.

Hii ni comment yangu ya kwanza humu, nichukue nafasi hii kukupa kongole kwa uandishi mzuri na kutumia muda wako mwingi kwenye kusimulia hii simulizi yenye mengi ya kujifunza.

#Pigania unacho kiamini.


JBoure59
Meilleur commentaire de tous les temps.
 
KURA ZILIZOHESABIWA HADI WAKATI HUU
(Votes still being counted)


DAY 1
Annie: Votes 7
Caryn: Votes 12

DAY 2
Annie: Votes 18
Caryn: Votes 23

DAY 3
Annie: Votes 25
Caryn: Votes 27

DAY 4
Annie: Votes 31
Caryn: Vote 40

Day 1: Caryn alimzidi Annie kwa kura 5

Day 2: The same huku wote waki gain kura sawa

Day 3: Caryn alimuongoza Annie kwa kura 2 tu, huku Annie akiongoza kupata kura nyingi kwa siku hiyo

Day 4: Leo Caryn kamzidi Annie kura 9 ambapo kwa siku ya Leo pekee Caryn amepata jumla ya kura 13 huku Annie kwa siku ya leo amepata kura 6 tu

Kura zilizoharibika hadi hadi sasa zimefika 5


TOTAL VOTES

Annie: 31
Caryn: 40

Zoezi linaendelea kwa ambao hawajapiga kura
 
Kesho nitaisoma hii stori

Naweza badili maamuzi

Hii vote nimetumia kigezo cha mfanano wa majina
Hakuna haja ya kubadili maamuzi kura imeenda kwa wajina wako mwenye moyo wa upendo na huruma basi tu ni mimi hii bahati haijanikuta.
 
Hapo Ina depend with your priority unataka Nini maishani ndio uende unakotaka. Do you prefer peace,love, happiness, freedom, liberty,inner soul peace,pesa, materialistic world, external validation respect,or inner fulfilling soul, do you focus on your own life or your generation life,you can either suffer your children live happily or vice versa, Kiufupi nafsi zetu Zina demand and needs differently kabisa yaani my inner voice isn't yours. May be are you Trading or playing relationship game so you wanna win more than your opponent
Duuhh???mwamba unajua hadi unajua tena,nimejifunza kitu kupotia comment yako hii,ww unayajua sana mahusiano mkuu.
 
BEST COMMENT



(Another Ballot Wasted)

Eniwei! Hujanifokea, sana sana nimei rank hii kama Best Comment kwa hii election though the vote has not been counted, ila nikiichambua hii comment naweza kujua hii kura Ina muhusu nani

Nitakujibu kama ifuatavyo, kwa mtiririko wa namba

1: Asante sana, nimepokea Maua yangu[emoji1545]

2: Hapa katika uwekezaji ndio maana nilikataa kurudi kazini, cos ni kitu ambacho nataka kukifanyia kazi wakati huu, japokuwa Biashara ninazotaka kufanya na kazi niliyoikataa ni vitu vinavyo relate.

3: Hii Paragraph ndio imefanya niipe hii comment points zake 3, hapa umemaliza Kila Kitu Sina Cha kuongeza[emoji1430]

4: Yeah, I'm very serious, lengo sio kura tu, lengo ni kupata Comment kama hizi, zinasaidia sana, kama hii comment imenifanya niwaze vitu ambayo hata sikuvifikiria au pengine nilivipuuzia

5: Nimeweka Candidates wawili tu kwasababu ndio nawaelewa zaidi, yani ukimuweka Michelle na Annie nitamchagua Annie. na ukimuweka Michelle na Caryn Obvious nitamchagua Caryn [emoji12]. Ila ukimuweka Annie na Caryn hiyo ni Another case, japokuwa umeongea point hapo kwa Michelle.

Speaking of Michelle, kama isingekuwa Mzee au Caryn hata Ile ofisini angempa Opportunist aiendeshe, hapa sina maana kwamba Caryn anashindwa kufanya hivyo lahasha! Character zao ni tofauti Michelle ameji position kama Housewife lakini kwa Caryn[emoji849], kwanza siku akishinda nyumba kutwa nzima basi ujue anaumwa

Kuhusu Accountant[emoji848]....Just forget her


6: To be honest sijafanya hivyo, ila akija kama yaliyomo yamo ni lazima nitajua tu, Sasa akijichanganya ndio amenipa sababu

7: Kwanza Ile Pisi (Caryn) niliipenda tangu namuona kwa mara ya kwanza, sema nilikuwa namuogopa kinoma[emoji2365] maana kwa jinsi alivyokuwa anajiweka plus nilikuwa sijamzoea

Wakati namtongoza huwezi kuamini kwa Wakati huo nilikuwa hata siwazi Kimasihara Wala Long term relationship, ila nilimtongoza ili kutaka kujua ananichukuliaje, ila chakushangaza jibu lake japo lilikuwa sio la kukubaliwa ila lile lilinifanya nimpende zaidi, imagine mtu ni rafiki yako halafu anakupenda kimapenzi lakini anahofia kukupoteza kama Rafiki endapo Mapenzi yakifika kikomo, kwangu nimechukulia huo kama upendo wa dhati

8: Rudi namba 4 nishalijibu

9: Sure, kama nitaangukia kwa Caryn basi nina kazi kubwa ya kufanya, kutokana na aina ya Mwanamke niliyekuwa nae hapo awali (Annie) kwa Caryn inahitajika kujipanga kisaikolojia kwani ni watu wawili tofauti kabisa, Kinachonipa moyo ni kwamba nishaishi naye so namjua kiasi chake

10: Nammudu kupitia Caryn, anajua kama Caryn ananikubali sana, na anajua Mzee anamkubali mwanaye Caryn, na anajua kama Caryn asingeafiki yeye kwenda China basi kweli asingeenda, hapo ndipo Power yangu inapopatikana, kwasasa Mimi Sina nguvu ya kumuadabisha in direct way, hata kupitia kwa Mzee sidhani kama hiyo power ninayo labda niende na sababu zenye mashiko, Lakini nikipitia kwa Caryn ni kitendo Cha Dakika 0 jamaa tunampokea Airport. Kwahiyo ananisikiliza kama anavyomsikiliza Mzee na kama anavyomsikiliza Caryn vile vile.

Kuhusu makubaliano hatuna makubaliano yoyote zaidi tu ya kazi

11: Nashukuru kama umeliona hili in positive way,

Mambo ya kuwepo kwa Bond kati ya Familia yangu na Caryn Dah! umeenda mbali sana, tunaweza tusifike huko mkuu, ngoja tuone hili linapitaje

All in All Baraka nimezipokea, Barikiwa nawe pia
Kupitia maelezo yako haya,inaonyesha dhahiri shahiri moyo wako unadundia kwa Careni.
 
Me naona kwa jinsi unavomuweka Caryn , nahisi hamtatoboa labda itokee namna unavyojielezea ww usiwe hivyo. Uyo mwanamke anataka mwanaume mbabe ndio unamuweza ila ukiwa unamkubalia kila anachotaka ataanza kuona unaboa tu., So best bet yangu kaa nao wote as long as Annie yupo mbali mambo yanaweza kwenda tu.

Sababu kitendo tu, Caryn kuona kwamba unamuacha Annie sababu yake tayari unakuwa umepoteza vitu flani kimtazamo wa kianamke. Yeye hataona kwamba umethamini penzi lake bali ataona uwezi kusimamia unachokiamini au unachokitaka, so unaweza kuona kwamba ata mbeleni unaweza mgeuka ili uwe na mtu mwingine.

Wanawake wanapenda competition , hii ipo ndani yao hawawezi kiri hadharani. Nafikiri uishi kimasta tu, kwamba Caryn nafasi yako hii hapa, pambania penzi kama hauwezi tufanye mengine. Yaani hapa ni lazima umuoneshe akiamua kukaa sawa, pia akiamua kuondoka huogopi pia.

Sijui kama nimeeleweka, sio mzuri sana wa kuandika. Bali msomaji na msikilizaji zaidi.
Mkuu,walas Ba...huu ushauri wako ni mzuri sana only to alpha males..sidhani kama BMX6 ni aina hyo ya wanaume,umenena nakushauri kiume zaidi naingempatia amani ya moyo sana mleta mada.nikweli kabisa akili ya mwanamke hutafsiri kinyume sana,anaweza kumueleza Caryen ukweli kua anae Annie tyr nabado caryn akasisitiza kua awe hata spare tyre..mbona wanaume wengi wanaweza hilo suala.????uwezo wakua nao wote wawili inategemea na uwezo tu wa mwanaume husika(emotional intelligence yake yakumudu mambo)!!!mbona wazee wetu waliweza haya mambo kwa ufasaha sana.
 
Wajukuu, Wanangu na wazee wenzangu! Heshima kwenu nyote.

Sijisikii vizuri leo naumwa kidogo.

Niende kwenye mada...

1. Love is inversely proportional to distance.

Let love be "L" and distance be "D"

So L ≈ C/D where C is proportionality constant.

But C = a,b,c,d,e,f,t,w,r

Where a = age, b = beauty, c = characteristics, d = diseases, e = education (intelligence), f = family background, t = tribe, w = wealth.

Hence L = C/D

The more the distance the less the love

Ila C "result" ikiwa kubwa huongeza L kuwa kubwa.

Hii ni topic muhimu kwa vijana wanaotaka kuoa ama kuolewa hususani kwenye kuchambua hiyo "C"

2. Kwa waislamu, sisi wanaume tumeusiwa kuoa wanawake wawili, watatu hadi wanne, lakini 'tukishindwa' (kwa sababu mbalimbali' basi tuoe mmoja

Lakini pia tumeusiwa sisi kuwaoa kwa sababu za:-
(i) Uzuri wao
(ii) Ukwasi wao
(iii) Nasaba zao
(iv) Ucha Mungu wao.

Msisitizo ukawekwa kwenye ucha Mungu na kupuuza hayo matatu ya juu maana tutaongezewa...

Lakini atakaye chagua kuoa kwa sababu tatu za juu bila kuzingatia ucha Mungu 'huenda' akaangukia pabaya baada ya sababu hizo zilizomfanya aoe kuondoka.

Hapa napo panahitaji darasa lake.

3. "Hatma ya maisha yangu ipo mikonono mwa kijana wa Buguruni" ndiyo kichwa cha simulizi.

Hatma ya maisha YAKO ipo mikononi kwa kijana wa Buguruni!

Kijana wa Buguruni keshazingua 'big time'

Je, hatma ya maisha yako sasa ipo mikononi kwa 'Caryn?!'

Je, hatma ya maisha yako ipo Mikononi mwa Baba Caryn!?

Je, hatma ya maisha yako ipo mikononi mwa maamuzi yako ya kumchaguwa Anne ama Caryn ili uendeleze uhusiano wa mapenzi!!??

Bila shaka unapenda hatma hiyo iwe yenye furaha, amani, upendo na ukwasi.

Je ukwasi unapatikana kwenye Kampuni za Baba Caryn pekee?

Je, upendo upo kwa Caryn ama Annie, au wote??!!

Je, amani unaipata ukiwa kwa Annie ama kwa Caryn?!!

Je, furaha unaipata ukiwa na Caryn au Annie?!

Kura zetu hazitasaidia sana kwenye maamuzi yako juu ya Annie na Caryn, ingawaje inaleta burudani katika kuendeleza simulizi hususani katika kipindi hiki ambacho muendelezo umesimama...

Maamuzi sahihi unayo mwenyewe kwakuwa kuna mengi ambayo hujasimulia kuhusu hao akina Annie na Caryn.


Nakuwa miongoni wa waharibu kura kwenye hili.

Hii ni comment yangu ya kwanza humu, nichukue nafasi hii kukupa kongole kwa uandishi mzuri na kutumia muda wako mwingi kwenye kusimulia hii simulizi yenye mengi ya kujifunza.

#Pigania unacho kiamini.


JBoure59
Hadi naww mzee wetu wa hamida umetia baraka kwenye huu uzi,basi???sisi hua tunajifunzackutoka kwako mzee wetu.
 
Kupitia maelezo yako haya,inaonyesha dhahiri shahiri moyo wako unadundia kwa Careni.
Hilo lilikuwa ni jibu tu kwa jamaa

Hivi nishahesabu kura yako au bado hujapiga? Kama bando changamka bhana siku ndio zinayoyoma
 
Hapana bro sijavote tena japo baada ya kusoma na kukuta ulikata utepe kwa Carryn nikawa dilema. Sema risk ya Carryn ni kubwa. Mapenzi ni risk. Be ready to face the consequencies. Anna kuwa mbali ni kikwazo tena kikubwa. Wanawake kukaa muda bila kusaliti ni changamoto. Leo nimekaa sehemu namsikia shemeji yangu amepigiwa simu ambayo sikuilewa elewa. Huyu ni mtu mwenye ndoa changa inaonekana dear x kamkumbuka. Excitement aliyopokea nayo mpaka njmeshtuka ndo hivo inabidi bro awe ameweka ulinzi wa kumtrace mtu wake. So kwa hapo Annie alikupenda ila umbali ni tatizo tena kubwa.
Kwa Carryn anakupenda tena sana lakini hapo kuna mkate wako wa kila siku. Ukiharibu A unaharibu na B. Kama inawezekana achana na Annie kabisa ndo uanze na Carryn. Huwa kwenye ulimwengu wa roho tunaona vyote. Pia machozi ya mtu ni sumu mbaya mno. Mchane kwa utulivu nimefall pengine. Epusha machozi yake kwa gharama kubwa. Yanaweza yakakurudi.
Kwa Carryn omba Mungu, kama ukiona unampenda na unaweza kuvumilia karaha zake oa kabisa. Ila jipime siku ya ubaya je utavumilia?. Psmbana ifike sehemu mzee ashindwe kukuondoa kwenye bussiness zake. Kila la heri bro. Siku mkihitaji mhasibu unikumbuke mshkaji wako huku. Ila kwa Wakristo tunasema Bwana akutangulie mbele.
Ushauri mzuri sana umempa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi kura haziwez kuwa sahihi sana kwa mtazamo wangu kwasababu zifuatazo

Moja Story ya Anne imesimuliwa kwa uufup sana humu tena kule mwanzon na hata akitajwa ni mistar michache tu

Ila kwa Caryn nafikir amechukua asilimia kubwa sana ya hii story so automatic tayar umemuweka Caryn juu ya Anne ww mwenyewe.


Sasa Mzee nikupe ushauri wa kiume hauitaji kupigiwa kura kujua nan anakufaa kwenye maisha yako ni kama vile utafuta sehem ya kujifariji if things will go wrong in future.

Kwa mtazamo wangu tayar Caryn anakuongoza kwenye mambo meng sana na sjui kama anajua kuna existence ya Anne, Maana kuna sehem aliuliza una Girlfriend na ukakataa.

Sasa mzee achana na Anne kabla hujafanya maamuzi ya kuanza na Caryn maana ndio unapoelkea tafuta better excuse ya kuachana nae thrwise kama hauko tayar hlo muweke wazi Caryn kwamba Anne ana exist akitaka na.yeye agombanie kombe then hapo utajua true character ya Caryn kama kwel anakuhitaj tu zat ekstenti
 
Back
Top Bottom