Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Meilleur commentaire de tous les temps.
 
KURA ZILIZOHESABIWA HADI WAKATI HUU
(Votes still being counted)


DAY 1
Annie: Votes 7
Caryn: Votes 12

DAY 2
Annie: Votes 18
Caryn: Votes 23

DAY 3
Annie: Votes 25
Caryn: Votes 27

DAY 4
Annie: Votes 31
Caryn: Vote 40

Day 1: Caryn alimzidi Annie kwa kura 5

Day 2: The same huku wote waki gain kura sawa

Day 3: Caryn alimuongoza Annie kwa kura 2 tu, huku Annie akiongoza kupata kura nyingi kwa siku hiyo

Day 4: Leo Caryn kamzidi Annie kura 9 ambapo kwa siku ya Leo pekee Caryn amepata jumla ya kura 13 huku Annie kwa siku ya leo amepata kura 6 tu

Kura zilizoharibika hadi hadi sasa zimefika 5


TOTAL VOTES

Annie: 31
Caryn: 40

Zoezi linaendelea kwa ambao hawajapiga kura
 
Kesho nitaisoma hii stori

Naweza badili maamuzi

Hii vote nimetumia kigezo cha mfanano wa majina
Hakuna haja ya kubadili maamuzi kura imeenda kwa wajina wako mwenye moyo wa upendo na huruma basi tu ni mimi hii bahati haijanikuta.
 
Duuhh???mwamba unajua hadi unajua tena,nimejifunza kitu kupotia comment yako hii,ww unayajua sana mahusiano mkuu.
 
Kupitia maelezo yako haya,inaonyesha dhahiri shahiri moyo wako unadundia kwa Careni.
 
Mkuu,walas Ba...huu ushauri wako ni mzuri sana only to alpha males..sidhani kama BMX6 ni aina hyo ya wanaume,umenena nakushauri kiume zaidi naingempatia amani ya moyo sana mleta mada.nikweli kabisa akili ya mwanamke hutafsiri kinyume sana,anaweza kumueleza Caryen ukweli kua anae Annie tyr nabado caryn akasisitiza kua awe hata spare tyre..mbona wanaume wengi wanaweza hilo suala.????uwezo wakua nao wote wawili inategemea na uwezo tu wa mwanaume husika(emotional intelligence yake yakumudu mambo)!!!mbona wazee wetu waliweza haya mambo kwa ufasaha sana.
 
Hadi naww mzee wetu wa hamida umetia baraka kwenye huu uzi,basi???sisi hua tunajifunzackutoka kwako mzee wetu.
 
Kupitia maelezo yako haya,inaonyesha dhahiri shahiri moyo wako unadundia kwa Careni.
Hilo lilikuwa ni jibu tu kwa jamaa

Hivi nishahesabu kura yako au bado hujapiga? Kama bando changamka bhana siku ndio zinayoyoma
 
Ushauri mzuri sana umempa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi kura haziwez kuwa sahihi sana kwa mtazamo wangu kwasababu zifuatazo

Moja Story ya Anne imesimuliwa kwa uufup sana humu tena kule mwanzon na hata akitajwa ni mistar michache tu

Ila kwa Caryn nafikir amechukua asilimia kubwa sana ya hii story so automatic tayar umemuweka Caryn juu ya Anne ww mwenyewe.


Sasa Mzee nikupe ushauri wa kiume hauitaji kupigiwa kura kujua nan anakufaa kwenye maisha yako ni kama vile utafuta sehem ya kujifariji if things will go wrong in future.

Kwa mtazamo wangu tayar Caryn anakuongoza kwenye mambo meng sana na sjui kama anajua kuna existence ya Anne, Maana kuna sehem aliuliza una Girlfriend na ukakataa.

Sasa mzee achana na Anne kabla hujafanya maamuzi ya kuanza na Caryn maana ndio unapoelkea tafuta better excuse ya kuachana nae thrwise kama hauko tayar hlo muweke wazi Caryn kwamba Anne ana exist akitaka na.yeye agombanie kombe then hapo utajua true character ya Caryn kama kwel anakuhitaj tu zat ekstenti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…