Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

How do you tell a person that you're no longer into them without hurting their feelings?
Mkuu, ingekuwa upendo unaamishika kirahisi ningekuambia namuomba Annie, kwa namna ulivyomuelezea kule awali wakati story bado changa she is wife material, ila ndio vile upendo auhami umemkosea sana huyu bibie.. sijui caryn kakuchanganya na nini na huyo ukimuoa kila siku atakuwa juu yako as kichwa cha familia mtahishia kushindana tu kwa namna ulivyomuelezea yuko mbali sana kutoka ulipo amekuzidi uchumi, akili labda nguvu ndio umemzidi, na ukitaka mwanamke akuendeshe akuzidi hizo vitu, time is the best teacher ngoja tusubiri..
 
ELECTION RESULTS

ANNIE: Total Votes 79

CARYN: Total Votes 106

(Wakali wa mahesabu hapo ni asilimia ngapi kwa ngapi?)

Wapenzi na wadau wa Live story ya Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni wamempendekeza Caryn kama Mwanamke wa maisha yangu, Kwa matokeo hayo Binafsi nasema kuna haja ya kichwa Cha Uzi kibadilishwe na kuwa Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa Caryn

Asanteni wote kwa ushirikiano wenu [emoji1545]
Kula zimeibiwa muhesabu kula tulishakuwa na mashaka nae amelemea upande mmoja wa Caryn


Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu, ingekuwa upendo unaamishika kirahisi ningekuambia namuomba Annie, kwa namna ulivyomuelezea kule awali wakati story bado changa she is wife material, ila ndio vile upendo auhami umemkosea sana huyu bibie.. sijui caryn kakuchanganya na nini na huyo ukimuoa kila siku atakuwa juu yako as kichwa cha familia mtahishia kushindana tu kwa namna ulivyomuelezea yuko mbali sana kutoka ulipo amekuzidi uchumi, akili labda nguvu ndio umemzidi, na ukitaka mwanamke akuendeshe akuzidi hizo vitu, time is the best teacher ngoja tusubiri..
Ni kweli Mkuu lakini Annie hata kama nikimuacha, nitahakikisha anabaki kuwa kama Rafiki kwangu, siunajua Love can be really without being forever

Ila bado nazichanga karata akifika ndio nitajua zaidi
 
Ni kweli Mkuu lakini Annie hata kama nikimuacha, nitahakikisha anabaki kuwa kama Rafiki kwangu, siunajua Love can be really without being forever

Ila bado nazichanga karata akifika ndio nitajua zaidi
Ukweli wa yote ni wewe mwenyewe unaufahamu, ndg, kosea Kote ila usijekosea kufanya maamuzi yanayogusa hisia na maisha ya hao wanawake wawili, nadhani hata wewe baadae utajajutia sana na utakuwa huna namna ya kusahihisha pale ulipokosea! Ndg,
Annie nadhani ndiye mwanamke aliyetoka na wewe mavumbini na aliweza kukuvumilia kwa ujinga na uchafu wako wote uliokuwa unamfanyia dhidi ya mwasibu, na hata pale ulipokuwa huna kitu pia hilo halikuwa ni tatizo kwake maana yeye aliasing katika upendo na mapenzi yake kwako, na ametumia hisia na akili kuwa kwako,
Lakini upande wa pili wa shilingi yaani
Carry! Huyu amekuwa karibu na wewe kutoka ana vile mzee wake amekuwa akikuelezea mbele ya familia yake, hivyo kama mtoto akataka kuthibitisha kile ambacho baba amekuwa akiwaeleza kuhusu wewe, carry yupo kwako kwa sababu ya potential yako uliyo nayo hana mapenzi ya dhati kwako kama Annie, ila yeye anakupenda maana anaamini una kitu ambacho kitawakisha mahali, ila wewe kama mwanaume fanya uamuzi sahihi wa nani hasa anastahili kuwa mke, na mama wa familia yako na msaidizi wako ambaye ataweza kukuvumilia bila manyanyaso ya aina yeyote ile,
 
Aaah weeh haiwezekani naandamanaaa.. Haya BM kila la heri katika safari yako ya kubeba mikoba ya Caryn 😁😁 ila utukumbukege na ka bonus kamoja ka njia utakayotumia kumuacha mtoto wa watu Annie bila kumuumiza
 
Ni kweli Mkuu lakini Annie hata kama nikimuacha, nitahakikisha anabaki kuwa kama Rafiki kwangu, siunajua Love can be really without being forever

Ila bado nazichanga karata akifika ndio nitajua zaidi
Kwendraaa urafiki my foot, kama unamuacha acha aende kwa amani akakutane na watakaoiona thamani yake na naombea akusahau kabisa, huo urafiki unataka kutengeneza mazingira ya kupasha kiporo sio😁😁🤣
 
Ukweli wa yote ni wewe mwenyewe unaufahamu, ndg, kosea Kote ila usijekosea kufanya maamuzi yanayogusa hisia na maisha ya hao wanawake wawili, nadhani hata wewe baadae utajajutia sana na utakuwa huna namna ya kusahihisha pale ulipokosea! Ndg,
Annie nadhani ndiye mwanamke aliyetoka na wewe mavumbini na aliweza kukuvumilia kwa ujinga na uchafu wako wote uliokuwa unamfanyia dhidi ya mwasibu, na hata pale ulipokuwa huna kitu pia hilo halikuwa ni tatizo kwake maana yeye aliasing katika upendo na mapenzi yake kwako, na ametumia hisia na akili kuwa kwako,
Lakini upande wa pili wa shilingi yaani
Carry! Huyu amekuwa karibu na wewe kutoka ana vile mzee wake amekuwa akikuelezea mbele ya familia yake, hivyo kama mtoto akataka kuthibitisha kile ambacho baba amekuwa akiwaeleza kuhusu wewe, carry yupo kwako kwa sababu ya potential yako uliyo nayo hana mapenzi ya dhati kwako kama Annie, ila yeye anakupenda maana anaamini una kitu ambacho kitawakisha mahali, ila wewe kama mwanaume fanya uamuzi sahihi wa nani hasa anastahili kuwa mke, na mama wa familia yako na msaidizi wako ambaye ataweza kukuvumilia bila manyanyaso ya aina yeyote ile,
Nushukuru sana Kaka kwa ujumbe mzito, naamini Mungu ataniongoza katika kufanya maamuzi sahihi
 
Aaah weeh haiwezekani naandamanaaa.. Haya BM kila la heri katika safari yako ya kubeba mikoba ya Caryn [emoji16][emoji16] ila utukumbukege na ka bonus kamoja ka njia utakayotumia kumuacha mtoto wa watu Annie bila kumuumiza
Dah! Ila ww humpendi Caryn kabisa yani, kwani kakufanya nini?
 
Kwendraaa urafiki my foot, kama unamuacha acha aende kwa amani akakutane na watakaoiona thamani yake na naombea akusahau kabisa, huo urafiki unataka kutengeneza mazingira ya kupasha kiporo sio[emoji16][emoji16][emoji1787]
Annie hawezi kunisahau yule, Atakayemuoa atapata shida sana
 
Mkuu umeongea vitu vingi vyenye point sana. Yaani umenifanya niwaze hata vile ambavyo sikuwaza. Nimesoma pia majibu ya BM kwako,hakika kupitia hii nimejua mengi. Kwa namna fulani uhalisia,hata vile vitu hakuviweka moja kwa moja kwenye episode,kutokana na kutokuwa na sababu za moja kwa moja kuwekwa,lakini kupitia hii mengine yamefunguka.

Mpaka hapa naweza sema mpaka sasa BM yuko 60 Caryn na 40 inacheza kwa Annie. Kuna sababu za umbali na mengine yasiyoonekana kwa wazi.
Mkuu; nakushukuru kwa kongole. Na mimi nikiri kuwa, story ya BM pamoja na kuongelea maisha yake, lakini inatufundisha mambo mengi sana.

Binafsi namwombea kwa Mungu huyu jamaa awe na maamuzi mema.
 
Hapana umeninukuu vibaya boss wangu me sijapenda tu tabia yako ya kuwapambanisha hao wadada wote hawana hatia ni kama unataka kuchezea hisia zao tu
Dah! Ila ww humpendi Caryn kabisa yani, kwani kakufanya nini?
 
Back
Top Bottom