Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Kwendraaa urafiki my foot, kama unamuacha acha aende kwa amani akakutane na watakaoiona thamani yake na naombea akusahau kabisa, huo urafiki unataka kutengeneza mazingira ya kupasha kiporo sio[emoji16][emoji16][emoji1787]
Ameshafeli sijui nini kinamsukuma kumpush away binti wa watu ametukia amepambana kwa sababu ya jamaa na ana real love.. ila design kama huyu jamaa hana mpango na Annie kuna kipindi kaenda Mwanza mara 2 ila bibie hawajaonana.. anapoteza dhahabu mbele ya jiwe
 
Annie hawezi kunisahau yule, Atakayemuoa atapata shida sana
Unajidanganya mkuu, labda kama mna mtoto au ulimtoa usichana wake vinginevyo usibet kwa mwanamke kuwa awezi kukusahahu...
 
Mkuu naona mnanishambulia mimi tu, mnajuaje na yeye labda ana matukio yake?
 
Idea ya kupigisha watu kura niliitoa kwako Mkuu, na kura yako ndio ilikuwa ya kwanza ambayo ulimpa Annie, lakini kwa masikitiko uliyempigia kura hajala
 
Kupitia comment za watu nimegundua vitu vingi sana moja ni kuwa wanaume wengi wa kibongo ni waoga sana hasa wakikutana well off girl
tunakuwa na full of insecurity, kibaya zaidi Mifumo ya dunia inazidi kumempower mwanamke sijui itakuwaje wazee....

Kwa mfano
Mnaosema annie ni wife material mshajiuliza akiwa na hela ana bahave vipi mnajua mitazamo yake kuhusu maisha/ndoa mnajua family iliyomraise imemkuza ktk maadili yapi na imani ipi na mkumbuke hapa ameongelewa kwa uchache sana.
Mind you sina maana caryn ni wife material hapana kuna angle tu nimeamua kuiongelea.

Oa au olewa na mtu mnaendana up to 80% basii
 
BM X6 yaani habari za Annie umetulambisha mwiko tu, then story za Caryn umetujazia upawa halafu kwenye kura unawaweka kwenye uzani mmoja!

Ama kweli Annie ameanza kutafutiwa sababu. Ngoja tusubiri.
Duh! Annie ana wadau sio mchezo...

Sasa tatizo Annie alisafiri ila kama angekuwa Dar pengine ndio angetajwa kwenye kila episode
 
Kwahiyo haya Matokeo tuyafute sio? Maana naona malalamiko yamekuwa mengi
 
Hii tabia ya kuwaweka watu wawili mezani haiko poa.
Mimi nikimpenda mtu ninanyooka sihitaji ushauri wa mtu
Na wewe umeamua kunikaanga?[emoji15]
 
Hatma ya maisha ya mtu haiwezi kuamuliwa na mtu mwingine kamwe. Suala la kijana wa Buguruni au kuwapambanisha Annie & Caryn kwa kura za mchongo ni madoido ya kunogesha stori .. Najua unajua hilo.
Nimekosa mimi
 
Unaona hii point yako uliyoandika Paragraph ya kwanza, ndivyo hvyo hvyo nilivyoandika mimi kwenye Summary ya mambo niliyojifunza kupitia hii story, Nadhani hata kesho nikitulia naweza kuipost
 
Unaona hii point yako uliyoandika Paragraph ya kwanza, ndivyo hvyo hvyo nilivyoandika mimi kwenye Summary ya mambo niliyojifunza kupitia hii story, Nadhani hata kesho nikitulia naweza kuipost
kazi unayo mzee mwenzangu
 
kazi unayo mzee mwenzangu
Humu ndani Pressure imezidi kuwa kubwa, Nadhani baada ya kesho itabidi ni Uninstall App ya Jf nianze kutumia kichwa changu maana miluzi imekuwa mingi ila najua sio kwa ubaya ni kutaka tu kuwekana sawa na nashukuru mchango wa kila mmoja
 
Humu ndani Pressure imezidi kuwa kubwa, Nadhani baada ya kesho itabidi ni Uninstall App ya Jf nianze kutumia kichwa changu maana miluzi imekuwa mingi ila najua sio kwa ubaya ni kutaka tu kuwekana sawa na nashukuru mchango wa kila mmoja
Kiufupi dawa umeichemsha mwenyewe
hahaaaa
Hio haita saidia mzee wangu kuna Mungu muombe akuongoze katika kila hatua yako
 
Wanasema, ukiona unaweza ukamfanya mwanamke mwenye pesa akakuona ww kama mwanaume kwa maana kwamba akakuheshimu kama mwanaume wake pamoja na pesa zake jua umefanikiwa kichizi

Wanaume wengi wa siku hizi wanapenda au tunapenda kuonekana ni wanaume kwa sababu tuna madaraka au uwezo wa kipesa au kulipa bill.

Ila kumbuka pesa sio kila kitu, japokuwa pesa inaweza kuingia kwenye kila kitu​
 
Yaan kwangu mm mke ni yule mnyenyekevu, muelewa anaye nijali na kujivunia mm.
Ata kam nikikosea ata nisahihisha kwa upole (beib so hivo nafkir ungefanya moja, mbili, tatu ndo ingekua sahihi mme wangu, kweli nakuambia niamin) hapo sauti inabembeleza aah kulalek! yaan akianani mwanamke wa hivo naweza enda vunja ata vyuma vya reli ya SGR nikauze nimpendezeshe mke wangu.

Lakin yule ambae ukikosea kidogo n toe to toe, kelele kibao (mwanaume gan wewe, ona wenzio hiv vile unakwama wapi) hao siwawez wananikata stimu kinoma.
Kusema ukweli mke ni yule mwenye tabia za kike unyenyekevu, uvumilivu, mwelewa, msikivu, nikilinganisha hizo sifa kwa hao wawili kwa summary zao ulizo tupa naona Annie ana fit zaid. Ukizingatia na mlipo toka naona kabisa n Best choice kwako.

Lakin kama utaamua kuishi kimkakat kutimiza ndoto zako na sio kurelax ku enjoy maisha basi stick na Caryn na Kama ata badilika kweli Kama alivo sema kwamba ata jishusha of course inaweza kua bingo
MAISHA HAYA NI FULL OF UNCERTAINITY UNA WEZA DHANI HIVI KUMBE NI VILE, NA VILE KUMBE NI HIVI. LINAWEZA LISIWE CHAGUO LA KWANZA LAKINI NDO LIKAWA CHAGUO BORA. Mimi life nilishalivuliaga kofia, NAKUOMBEA BROTHER
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…