Una moyo mkuu,Mimi angekuwa ashachukua wadogo zake siku nyingi sanaMadogo wapo kwa sister, Kijana ndio ka disappear
Sahihi kabisa umeongea fact, ngoja tuone kama itawezekana kwa upande wanguWanasema, ukiona unaweza ukamfanya mwanamke mwenye pesa akakuona ww kama mwanaume kwa maana kwamba akakuheshimu kama mwanaume wake pamoja na pesa zake jua umefanikiwa kichizi
Wanaume wengi wa siku hizi wanapenda au tunapenda kuonekana ni wanaume kwa sababu tuna madaraka au uwezo wa kipesa au kulipa bill.
Ila kumbuka pesa sio kila kitu, japokuwa pesa inaweza kuingia kwenye kila kitu
Mwisho umemaliza vizuri kabisa, na Asante kwa maombi[emoji1545]Yaan kwangu mm mke ni yule mnyenyekevu, muelewa anaye nijali na kujivunia mm.
Ata kam nikikosea ata nisahihisha kwa upole (beib so hivo nafkir ungefanya moja, mbili, tatu ndo ingekua sahihi mme wangu, kweli nakuambia niamin) hapo sauti inabembeleza aah kulalek! yaan akianani mwanamke wa hivo naweza enda vunja ata vyuma vya reli ya SGR nikauze nimpendezeshe mke wangu.
Lakin yule ambae ukikosea kidogo n toe to toe, kelele kibao (mwanaume gan wewe, ona wenzio hiv vile unakwama wapi) hao siwawez wananikata stimu kinoma.
Kusema ukweli mke ni yule mwenye tabia za kike unyenyekevu, uvumilivu, mwelewa, msikivu, nikilinganisha hizo sifa kwa hao wawili kwa summary zao ulizo tupa naona Annie ana fit zaid. Ukizingatia na mlipo toka naona kabisa n Best choice kwako.
Lakin kama utaamua kuishi kimkakat kutimiza ndoto zako na sio kurelax ku enjoy maisha basi stick na Caryn na Kama ata badilika kweli Kama alivo sema kwamba ata jishusha of course inaweza kua bingo
MAISHA HAYA NI FULL OF UNCERTAINITY UNA WEZA DHANI HIVI KUMBE NI VILE, NA VILE KUMBE NI HIVI. LINAWEZA LISIWE CHAGUO LA KWANZA LAKINI NDO LIKAWA CHAGUO BORA. Mimi life nilishalivuliaga kofia, NAKUOMBEA BROTHER
Hapana! hiyo utakuwa una hukumu wengine kwa kosa la mtu mwingine, halafu kumbuka wale ni watoto tu ukifanya hivyo wao ndio watapata shida zaidi. Hapa namsubiri Mzee arudi nishauriane nae kuhusu wale watoto sehemu ya kukaa maana kule kwa sister ni kama nimempelekea mzigo tu japokuwa matumizi natoa mimiUna moyo mkuu,Mimi angekuwa ashachukua wadogo zake siku nyingi sana
Mkuu sikuelewi???? Story ndio imeisha au???[emoji23][emoji1787]
Mungu akubariki sanaHapana! hiyo utakuwa una hukumu wengine kwa kosa la mtu mwingine, halafu kumbuka wale ni watoto tu ukifanya hivyo wao ndio watapata shida zaidi. Hapa namsubiri Mzee arudi nishauriane nae kuhusu wale watoto sehemu ya kukaa maana kule kwa sister ni kama nimempelekea mzigo tu japokuwa matumizi natoa mimi
Nimesoma episode zote ila sijasoma comments na reply zote, na sija comment wala ku reply yoyote.Annie hawezi kunisahau yule, Atakayemuoa atapata shida sana
Kinyonge sana mwanangu 😀Mmmh mm hata mkininyima kura nampenda tu BM
Wote tumepost ila wewe umeua, kazi kwake BM X6Dah sikutaka kucomment ila ngoja tu nicomment.
Sijajua kama kumbukumbu zangu zipo sawa ila namuona Annie kama mtu wa ndio mzee. This is my only problem kwa Annie[emoji777].
Pia kitu Kingine ambacho sijajua kuhusu Annie, Sijui anabehave vipi akiwa na pesa, Na kama hajawahi kuwa na pesa(Pesa nyingi) Siku akizishika sijui atabehave vp?
March 2020 nikiwa Kenya, niliingia kwenye uhusiano na Dada mmoja hivi, Japo nilianza kufahamiana naye toka 2019 yeye alikuwa anasoma mwanza, Ni mtu wa Moshi. Huyu tumwite X.
X ni type ya wanawake ambao wanaume wengi wanatamani kuoa, hata mimi nilikuwa nawaza hivo, kwanza mpole, hana maneno mengi, beside kuwa mchaga lakini hakuwahi kuwa ombaomba, Ni mtu ambaye hakuwa na tamaa, Pia alikuwa na huruma sana.
Nakumbuka kuna siku nilikosea kumtumia hela badala ya kutuma Mpesa 22k nikatuma kama Vocha, Aiseeee aliumia sana mpaka tena me mwenyewe nikaanza kumuonea huruma, ingawa nilikuwa nineshatuma 22k nyingine.
Maisha yakasonga, August 2020 nikaanza kujisogeza kwa dada mmoja hivi,
Huyu alikua UDOM na nilianza kufahamiana naye toka 2018, Kiukweli lengo la kumtongoza huyu Dada ilikuwa ni kumla tu, Maana umbo lake kila nikimuona status whatsapp nilikuwa nadata sana. Huyu tumwite Y.
Y alikuwa anapenda sana utani, na hii ndio ilikuwa gear yangu ya kumuingia, Nilianza kumuita Romantic names kama utani, na yeye akawa ananiita hivohivo, mwezi wa 9 tukaja tukaonana, maisha yakaendelea na mpaka kufika december 2020 lengo langu likawa limeshatimia,
Huyu Y toka tukiwa marafiki alikuwa anaomba sana Pesa, Lakini ilikuwa ni katika utani so sikuwahi kumtumia, nilipoanza kujisogeza kwake kuna vitu kweli nikawa nampa hela na vingine napotezea. Mfano 2020 october alipoteza simu, me nikamnunulia simu nyingine, Pia kuna blanda alifanyaga huko Chuo me nikamfinance tu bila shida.
Mpaka 2021 inaanza huyu Y alikuwa ni very different person, Kwanza nilimkuta yuko sealed(Aiseee hawa wadada wanaopost memes waoneni tu hivihivi, wanaficha mengi). Kiufupi tu nilianza kufall mazima pia kwake. Japo huyu ni muongeaji kiukweli.
Sasa nikawa na watu wawili wote niko nao sambamba. Kibarua kama Chako cha sasa. [emoji23][emoji23][emoji23].
Late April 2021 nikaenda mwanza kwa X, nikaspend naye almost week nzima. It was my first time kuwa naye pamoja tangu nimtongoze. Things went very well. I saw X as more wife material kuliko Y.
At the same time, Niliona Loop ambayo naweza kumwacha Y japo kwa kosa la kutunga ila nilisuka mpango in such a way yeye ndio angejiona mkosaji.
Ipo hivi the moment nmemnunulia simu Y, hiyo simu nilikuwa naitrack na kuona Message zake, Calls, whatsapp text, pictures n.k. Nilifanya hili ili siku nikitaka kumuacha niwe na escape route. Ambayo hatokaa anilaumu kwamba nimemchezea na kumuacha.
Honestly demu alikuwa Loyal sana kwangu, masela kibao walikuwa wanaslide DM kwake ila alikuwa anawachomolea au kutowajibu kabisa.
Kuna picha nilizipata alipiga na mshikaji mmoja hivi, sasa hizo picha nilizitunza hiyo April, nikatengeneza fake whatsapp conversation kwamba kuna mtu anasema wewe ni mtu wake na amenitumia hizi picha na nikamind sana. Kiukweli hakuwa mtu wake,
Weeee demu akakaza, akasema yule siyo mtu wake, nikamuambia we umeamua kunidanganya, sikua ukiwa ready kuopen up tutazingumza, Bhana eeeeh tukapotezeana mwezi mzima,
Kiukweli nilijua ndio tumeachana, nikaendelea zangu na X, Mwezi mmoja baadae Y akaanza kunicheck Me nikawa namuignore, Alikuwa anataka sana tukutane tuyajenge na yale yaliyotokea aliamini tu kuna mtu alimzunguka na kutuma hizo picha kwangu,
Nilimkazia mpaka 09/2021 ndio tukaja tukarudiana, Honestly huyu mtu niliona ananipenda kuliko nilivyokuwa namuwazia. Basi nikaendelea nao wote wawili.
Sasa kuna kuna kitu kilikuwa kinanipa shida kwa X, Ni mtu asiyejali, Urudi saa 8 usiku nyumbani sawa, usafiri uende mkoa hatokuuliza chochote, kwamba ulifika salama, conversation zetu ziko very short, No stories between us labda mara mojamoja sana akiwa na mood. Hata calls zetu ni dakika moja au mbili. This was a redflag to me. Na yuko hivi toka nimeanza kumjua.
Mwaka jana mwezi wa 9 kuna siku niliongea naye muda mrefu sana kama Dakika 40 hivi, sijawahi kuongea naye muda mrefu hivi. Aiseee hii simu ilibadili mtazamo complete kuhusu X, Kuna vitu alijikoroga akaongea akaexpose attitude yake. Nikamuona kabisa huyu ni wale wanawake wa 50% 50%.
Kuanzia hapo nikaanza kukaa chonjo, Mwezi wa 12 nikaacha kabisa kumtafuta, na hajawahi kuniuliza chochote, tumeshaongea kwenye simu mara kadhaa na kuchat whatsapp mara kadhaa. So kwa sasa simuhesabii.
Nimebakia na Y, Last year alikula kitengo mahali, Yupo financially good na ameshaniback up sana baadhi ya vitu, Mungu akipenda mwezi 8 ntaenda kumtambulisha Home.
So narudi kwako @BMX6 angalia strength na weakness za kila mmoja, mwisho siku fanya maamuzi kwa usahihi.
Kuhusu Careen, Watu wanaosema kwamba hamtawezana sababu ya Attitude yake napingana nao, Hiyo attitude aliionesha wakati ambao hamkuwa kwenye mahusiano.
Hiyo kauli aliyosema kwamba "kama kuna vitu huvipendi kwake umwambie na yupo tayari kujirekebisha" Ina maana kubwa mno, Usiichukulie kurahisi.
All in all kila la heri mkuu, Usikurupuke kwenye maamuzi yako.
Sorry kwa post yangu ndefu.
Bm anakutafutia sababu muachane ila mtabaki kuwa marafikiMmmh mm hata mkininyima kura nampenda tu BM
Caryn is so straightforward but Annie is a wife material. Akili kumkichwaUshirikiano muhimu mkuu, bado ww kuonesha ushirikiano wako kushiriki katika zoezi hili
Tunakwenda kumuoa Caryn mzee,mtoto wa kishua lazima awe shemela wetu.Last time nimepita humu, nilikuta mnapiga kura eti kumchagulia mleta mada amuoe yupi. Mmefikia wapi?
I'm sure atamuoa mtoto wa yule mzee tajiri. Maana yule binti tayari kaonyesha kumzidi akili. By the way, kijana anakwenda kumeza ndoano ya mwisho kabisa na kua MTUMWA wa familia ya huyo mzee.
Maana uzi mzima, mzee this.... Mzee that...
Kwani hauna kwenu brother? You'll never be a king in another man's territory (mzee).
Kumkimbia yule binti kule ofisini ukizuga haupendi kitonga, then kumuacha mchumba wako wa miaka na miaka ili umuoe mtoto wa mzee ni unafki first class!
Hii sio kura, ni man to man kind of a talk. Excuse my language!
Tokeni hapaTunakwenda kumuoa Caryn mzee,mtoto wa kishua lazima awe shemela wetu.
Thank you GuantanamohCaryn is so straightforward but Annie is a wife material. Akili kumkichwa
Mm nasimama kama "X "Dah sikutaka kucomment ila ngoja tu nicomment.
Sijajua kama kumbukumbu zangu zipo sawa ila namuona Annie kama mtu wa ndio mzee. This is my only problem kwa Annie[emoji777].
Pia kitu Kingine ambacho sijajua kuhusu Annie, Sijui anabehave vipi akiwa na pesa, Na kama hajawahi kuwa na pesa(Pesa nyingi) Siku akizishika sijui atabehave vp?
March 2020 nikiwa Kenya, niliingia kwenye uhusiano na Dada mmoja hivi, Japo nilianza kufahamiana naye toka 2019 yeye alikuwa anasoma mwanza, Ni mtu wa Moshi. Huyu tumwite X.
X ni type ya wanawake ambao wanaume wengi wanatamani kuoa, hata mimi nilikuwa nawaza hivo, kwanza mpole, hana maneno mengi, beside kuwa mchaga lakini hakuwahi kuwa ombaomba, Ni mtu ambaye hakuwa na tamaa, Pia alikuwa na huruma sana.
Nakumbuka kuna siku nilikosea kumtumia hela badala ya kutuma Mpesa 22k nikatuma kama Vocha, Aiseeee aliumia sana mpaka tena me mwenyewe nikaanza kumuonea huruma, ingawa nilikuwa nineshatuma 22k nyingine.
Maisha yakasonga, August 2020 nikaanza kujisogeza kwa dada mmoja hivi,
Huyu alikua UDOM na nilianza kufahamiana naye toka 2018, Kiukweli lengo la kumtongoza huyu Dada ilikuwa ni kumla tu, Maana umbo lake kila nikimuona status whatsapp nilikuwa nadata sana. Huyu tumwite Y.
Y alikuwa anapenda sana utani, na hii ndio ilikuwa gear yangu ya kumuingia, Nilianza kumuita Romantic names kama utani, na yeye akawa ananiita hivohivo, mwezi wa 9 tukaja tukaonana, maisha yakaendelea na mpaka kufika december 2020 lengo langu likawa limeshatimia,
Huyu Y toka tukiwa marafiki alikuwa anaomba sana Pesa, Lakini ilikuwa ni katika utani so sikuwahi kumtumia, nilipoanza kujisogeza kwake kuna vitu kweli nikawa nampa hela na vingine napotezea. Mfano 2020 october alipoteza simu, me nikamnunulia simu nyingine, Pia kuna blanda alifanyaga huko Chuo me nikamfinance tu bila shida.
Mpaka 2021 inaanza huyu Y alikuwa ni very different person, Kwanza nilimkuta yuko sealed(Aiseee hawa wadada wanaopost memes waoneni tu hivihivi, wanaficha mengi). Kiufupi tu nilianza kufall mazima pia kwake. Japo huyu ni muongeaji kiukweli.
Sasa nikawa na watu wawili wote niko nao sambamba. Kibarua kama Chako cha sasa. [emoji23][emoji23][emoji23].
Late April 2021 nikaenda mwanza kwa X, nikaspend naye almost week nzima. It was my first time kuwa naye pamoja tangu nimtongoze. Things went very well. I saw X as more wife material kuliko Y.
At the same time, Niliona Loop ambayo naweza kumwacha Y japo kwa kosa la kutunga ila nilisuka mpango in such a way yeye ndio angejiona mkosaji.
Ipo hivi the moment nmemnunulia simu Y, hiyo simu nilikuwa naitrack na kuona Message zake, Calls, whatsapp text, pictures n.k. Nilifanya hili ili siku nikitaka kumuacha niwe na escape route. Ambayo hatokaa anilaumu kwamba nimemchezea na kumuacha.
Honestly demu alikuwa Loyal sana kwangu, masela kibao walikuwa wanaslide DM kwake ila alikuwa anawachomolea au kutowajibu kabisa.
Kuna picha nilizipata alipiga na mshikaji mmoja hivi, sasa hizo picha nilizitunza hiyo April, nikatengeneza fake whatsapp conversation kwamba kuna mtu anasema wewe ni mtu wake na amenitumia hizi picha na nikamind sana. Kiukweli hakuwa mtu wake,
Weeee demu akakaza, akasema yule siyo mtu wake, nikamuambia we umeamua kunidanganya, sikua ukiwa ready kuopen up tutazingumza, Bhana eeeeh tukapotezeana mwezi mzima,
Kiukweli nilijua ndio tumeachana, nikaendelea zangu na X, Mwezi mmoja baadae Y akaanza kunicheck Me nikawa namuignore, Alikuwa anataka sana tukutane tuyajenge na yale yaliyotokea aliamini tu kuna mtu alimzunguka na kutuma hizo picha kwangu,
Nilimkazia mpaka 09/2021 ndio tukaja tukarudiana, Honestly huyu mtu niliona ananipenda kuliko nilivyokuwa namuwazia. Basi nikaendelea nao wote wawili.
Sasa kuna kuna kitu kilikuwa kinanipa shida kwa X, Ni mtu asiyejali, Urudi saa 8 usiku nyumbani sawa, usafiri uende mkoa hatokuuliza chochote, kwamba ulifika salama, conversation zetu ziko very short, No stories between us labda mara mojamoja sana akiwa na mood. Hata calls zetu ni dakika moja au mbili. This was a redflag to me. Na yuko hivi toka nimeanza kumjua.
Mwaka jana mwezi wa 9 kuna siku niliongea naye muda mrefu sana kama Dakika 40 hivi, sijawahi kuongea naye muda mrefu hivi. Aiseee hii simu ilibadili mtazamo complete kuhusu X, Kuna vitu alijikoroga akaongea akaexpose attitude yake. Nikamuona kabisa huyu ni wale wanawake wa 50% 50%.
Kuanzia hapo nikaanza kukaa chonjo, Mwezi wa 12 nikaacha kabisa kumtafuta, na hajawahi kuniuliza chochote, tumeshaongea kwenye simu mara kadhaa na kuchat whatsapp mara kadhaa. So kwa sasa simuhesabii.
Nimebakia na Y, Last year alikula kitengo mahali, Yupo financially good na ameshaniback up sana baadhi ya vitu, Mungu akipenda mwezi 8 ntaenda kumtambulisha Home.
So narudi kwako @BMX6 angalia strength na weakness za kila mmoja, mwisho siku fanya maamuzi kwa usahihi.
Kuhusu Careen, Watu wanaosema kwamba hamtawezana sababu ya Attitude yake napingana nao, Hiyo attitude aliionesha wakati ambao hamkuwa kwenye mahusiano.
Hiyo kauli aliyosema kwamba "kama kuna vitu huvipendi kwake umwambie na yupo tayari kujirekebisha" Ina maana kubwa mno, Usiichukulie kurahisi.
All in all kila la heri mkuu, Usikurupuke kwenye maamuzi yako.
Sorry kwa post yangu ndefu.