Nawezaje kuanzisha kampuni ya An agencyMimi nafanya na makampuni ila wewe ndio unatakiwa uende kwenye Kampuni husika ya usafirishaji wakusafirishie then mimi nakuja kuhusika kwenye process za kuutoa huo mzigo Airport na Bandarini. baada ya hapo nakabidhi mzigo kwenye Kampuni then wanakufanyia delivery ww au unaenda kuuchukua ofisini kwao
Kwa budget ya 30m hapo ni setup ya ofisi hapa dar tz na china au kwa hapa dar tz tu,na kama kwa china mji gani ni mujarabu kwa wateja na kupata ofisiKwa Kampuni at least isiwe chini ya milioni 30
Kuwa Agent hauhitaji kuwa na mtaji ni wewe tu na Experience yako au kama umesomea pia itakuwa vizuri zaidi
Hiyo Budget ya Ofisi zote mbili japo kwa upande wa China utaanza kwa kujibana, hii nitakuja kuieleza zaidi kwenye threadKwa budget ya 30m hapo ni setup ya ofisi hapa dar tz na china au kwa hapa dar tz tu,na kama kwa china mji gani ni mujarabu kwa wateja na kupata ofisi
Isijekua ndo ww Caryn tunaekuongelea humu,maana as far as i know BM X6 kaweka code za maana humu,hebu anzia kusoma stor toka mwanzo na usome tartiibu kbs,unaeza kuta yaliyomo yamo😂Kwa kura mi ni Carryn coz ana tabia nyng km zng.machachar sana,na trust me,mi ni mwanamke mwenzie nina experience ,yaan ukishamkula huyo caryn ,atakua msweet huyo na ukal utaisha kwako,,nyeg* zikizid mwanamke huwa anakua mkali na misimamo sana tena kwa age yake,sasa ww umependwa utapewa yote in kimambi's voice[emoji3]ana muda hajakunwa huyo,na inaelekea yuko single kwa muda mrefu,au uenda akawa hata bikra..
Tuambie basi..mama mjengo karudi anasemajee[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji39]Si kwa kufanya kazi, unaanza kufanya kazi na mtu mwenye experience yeye ndio atakuongoza, mwisho wa siku unai master kazi
Kama hutajali naomba uwe kiongozi wangu mkuuSi kwa kufanya kazi, unaanza kufanya kazi na mtu mwenye experience yeye ndio atakuongoza, mwisho wa siku unai master kazi
SawaUkiendelea season 3 naomba unipm mkuu. Nisijepitwa
Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
Nimeweka like ya 40 hapo!Wajukuu, Wanangu na wazee wenzangu! Heshima kwenu nyote.
Sijisikii vizuri leo naumwa kidogo.
Niende kwenye mada...
1. Love is inversely proportional to distance.
Let love be "L" and distance be "D"
So L ≈ C/D where C is proportionality constant.
But C = a,b,c,d,e,f,t,w,r
Where a = age, b = beauty, c = characteristics, d = diseases, e = education (intelligence), f = family background, t = tribe, w = wealth.
Hence L = C/D
The more the distance the less the love
Ila C "result" ikiwa kubwa huongeza L kuwa kubwa.
Hii ni topic muhimu kwa vijana wanaotaka kuoa ama kuolewa hususani kwenye kuchambua hiyo "C"
2. Kwa waislamu, sisi wanaume tumeusiwa kuoa wanawake wawili, watatu hadi wanne, lakini 'tukishindwa' (kwa sababu mbalimbali' basi tuoe mmoja
Lakini pia tumeusiwa sisi kuwaoa kwa sababu za:-
(i) Uzuri wao
(ii) Ukwasi wao
(iii) Nasaba zao
(iv) Ucha Mungu wao.
Msisitizo ukawekwa kwenye ucha Mungu na kupuuza hayo matatu ya juu maana tutaongezewa...
Lakini atakaye chagua kuoa kwa sababu tatu za juu bila kuzingatia ucha Mungu 'huenda' akaangukia pabaya baada ya sababu hizo zilizomfanya aoe kuondoka.
Hapa napo panahitaji darasa lake.
3. "Hatma ya maisha yangu ipo mikonono mwa kijana wa Buguruni" ndiyo kichwa cha simulizi.
Hatma ya maisha YAKO ipo mikononi kwa kijana wa Buguruni!
Kijana wa Buguruni keshazingua 'big time'
Je, hatma ya maisha yako sasa ipo mikononi kwa 'Caryn?!'
Je, hatma ya maisha yako ipo Mikononi mwa Baba Caryn!?
Je, hatma ya maisha yako ipo mikononi mwa maamuzi yako ya kumchaguwa Anne ama Caryn ili uendeleze uhusiano wa mapenzi!!??
Bila shaka unapenda hatma hiyo iwe yenye furaha, amani, upendo na ukwasi.
Je ukwasi unapatikana kwenye Kampuni za Baba Caryn pekee?
Je, upendo upo kwa Caryn ama Annie, au wote??!!
Je, amani unaipata ukiwa kwa Annie ama kwa Caryn?!!
Je, furaha unaipata ukiwa na Caryn au Annie?!
Kura zetu hazitasaidia sana kwenye maamuzi yako juu ya Annie na Caryn, ingawaje inaleta burudani katika kuendeleza simulizi hususani katika kipindi hiki ambacho muendelezo umesimama...
Maamuzi sahihi unayo mwenyewe kwakuwa kuna mengi ambayo hujasimulia kuhusu hao akina Annie na Caryn.
Nakuwa miongoni wa waharibu kura kwenye hili.
Hii ni comment yangu ya kwanza humu, nichukue nafasi hii kukupa kongole kwa uandishi mzuri na kutumia muda wako mwingi kwenye kusimulia hii simulizi yenye mengi ya kujifunza.
#Pigania unacho kiamini.
JBourne59
Best comment🤍♥️Wajukuu, Wanangu na wazee wenzangu! Heshima kwenu nyote.
Sijisikii vizuri leo naumwa kidogo.
Niende kwenye mada...
1. Love is inversely proportional to distance.
Let love be "L" and distance be "D"
So L ≈ C/D where C is proportionality constant.
But C = a,b,c,d,e,f,t,w,r
Where a = age, b = beauty, c = characteristics, d = diseases, e = education (intelligence), f = family background, t = tribe, w = wealth.
Hence L = C/D
The more the distance the less the love
Ila C "result" ikiwa kubwa huongeza L kuwa kubwa.
Hii ni topic muhimu kwa vijana wanaotaka kuoa ama kuolewa hususani kwenye kuchambua hiyo "C"
2. Kwa waislamu, sisi wanaume tumeusiwa kuoa wanawake wawili, watatu hadi wanne, lakini 'tukishindwa' (kwa sababu mbalimbali' basi tuoe mmoja
Lakini pia tumeusiwa sisi kuwaoa kwa sababu za:-
(i) Uzuri wao
(ii) Ukwasi wao
(iii) Nasaba zao
(iv) Ucha Mungu wao.
Msisitizo ukawekwa kwenye ucha Mungu na kupuuza hayo matatu ya juu maana tutaongezewa...
Lakini atakaye chagua kuoa kwa sababu tatu za juu bila kuzingatia ucha Mungu 'huenda' akaangukia pabaya baada ya sababu hizo zilizomfanya aoe kuondoka.
Hapa napo panahitaji darasa lake.
3. "Hatma ya maisha yangu ipo mikonono mwa kijana wa Buguruni" ndiyo kichwa cha simulizi.
Hatma ya maisha YAKO ipo mikononi kwa kijana wa Buguruni!
Kijana wa Buguruni keshazingua 'big time'
Je, hatma ya maisha yako sasa ipo mikononi kwa 'Caryn?!'
Je, hatma ya maisha yako ipo Mikononi mwa Baba Caryn!?
Je, hatma ya maisha yako ipo mikononi mwa maamuzi yako ya kumchaguwa Anne ama Caryn ili uendeleze uhusiano wa mapenzi!!??
Bila shaka unapenda hatma hiyo iwe yenye furaha, amani, upendo na ukwasi.
Je ukwasi unapatikana kwenye Kampuni za Baba Caryn pekee?
Je, upendo upo kwa Caryn ama Annie, au wote??!!
Je, amani unaipata ukiwa kwa Annie ama kwa Caryn?!!
Je, furaha unaipata ukiwa na Caryn au Annie?!
Kura zetu hazitasaidia sana kwenye maamuzi yako juu ya Annie na Caryn, ingawaje inaleta burudani katika kuendeleza simulizi hususani katika kipindi hiki ambacho muendelezo umesimama...
Maamuzi sahihi unayo mwenyewe kwakuwa kuna mengi ambayo hujasimulia kuhusu hao akina Annie na Caryn.
Nakuwa miongoni wa waharibu kura kwenye hili.
Hii ni comment yangu ya kwanza humu, nichukue nafasi hii kukupa kongole kwa uandishi mzuri na kutumia muda wako mwingi kwenye kusimulia hii simulizi yenye mengi ya kujifunza.
#Pigania unacho kiamini.
JBourne59
Unajua kuwaza sawa sawa,best commentWajukuu, Wanangu na wazee wenzangu! Heshima kwenu nyote.
Sijisikii vizuri leo naumwa kidogo.
Niende kwenye mada...
1. Love is inversely proportional to distance.
Let love be "L" and distance be "D"
So L ≈ C/D where C is proportionality constant.
But C = a,b,c,d,e,f,t,w,r
Where a = age, b = beauty, c = characteristics, d = diseases, e = education (intelligence), f = family background, t = tribe, w = wealth.
Hence L = C/D
The more the distance the less the love
Ila C "result" ikiwa kubwa huongeza L kuwa kubwa.
Hii ni topic muhimu kwa vijana wanaotaka kuoa ama kuolewa hususani kwenye kuchambua hiyo "C"
2. Kwa waislamu, sisi wanaume tumeusiwa kuoa wanawake wawili, watatu hadi wanne, lakini 'tukishindwa' (kwa sababu mbalimbali' basi tuoe mmoja
Lakini pia tumeusiwa sisi kuwaoa kwa sababu za:-
(i) Uzuri wao
(ii) Ukwasi wao
(iii) Nasaba zao
(iv) Ucha Mungu wao.
Msisitizo ukawekwa kwenye ucha Mungu na kupuuza hayo matatu ya juu maana tutaongezewa...
Lakini atakaye chagua kuoa kwa sababu tatu za juu bila kuzingatia ucha Mungu 'huenda' akaangukia pabaya baada ya sababu hizo zilizomfanya aoe kuondoka.
Hapa napo panahitaji darasa lake.
3. "Hatma ya maisha yangu ipo mikonono mwa kijana wa Buguruni" ndiyo kichwa cha simulizi.
Hatma ya maisha YAKO ipo mikononi kwa kijana wa Buguruni!
Kijana wa Buguruni keshazingua 'big time'
Je, hatma ya maisha yako sasa ipo mikononi kwa 'Caryn?!'
Je, hatma ya maisha yako ipo Mikononi mwa Baba Caryn!?
Je, hatma ya maisha yako ipo mikononi mwa maamuzi yako ya kumchaguwa Anne ama Caryn ili uendeleze uhusiano wa mapenzi!!??
Bila shaka unapenda hatma hiyo iwe yenye furaha, amani, upendo na ukwasi.
Je ukwasi unapatikana kwenye Kampuni za Baba Caryn pekee?
Je, upendo upo kwa Caryn ama Annie, au wote??!!
Je, amani unaipata ukiwa kwa Annie ama kwa Caryn?!!
Je, furaha unaipata ukiwa na Caryn au Annie?!
Kura zetu hazitasaidia sana kwenye maamuzi yako juu ya Annie na Caryn, ingawaje inaleta burudani katika kuendeleza simulizi hususani katika kipindi hiki ambacho muendelezo umesimama...
Maamuzi sahihi unayo mwenyewe kwakuwa kuna mengi ambayo hujasimulia kuhusu hao akina Annie na Caryn.
Nakuwa miongoni wa waharibu kura kwenye hili.
Hii ni comment yangu ya kwanza humu, nichukue nafasi hii kukupa kongole kwa uandishi mzuri na kutumia muda wako mwingi kwenye kusimulia hii simulizi yenye mengi ya kujifunza.
#Pigania unacho kiamini.
JBourne59
Sasa ww ulitegemea nini wakati story ilishaishaUzi umeanza kupoteza mvuto
Kaka nikitaka kuanzisha hii company what are the proceduresNimerudi kufanya kazi kwenye Kampuni ya Mzee kama Agent na sio kama muajiriwa tena,
Advantage ya kufanya kazi kazi kama Agent zipo nyingi ila moja kubwa ni kwamba unaweza kufanya kazi na makampuni mengine kwa uhuru zaidi, unaweza kufanya kazi na Kampuni hata 5 ni wewe tu na bidii yako
Halafu hawa Agent ndio wanapiga pesa zaidi kuliko hata sisi tuliokuwa tumeajiriwa. ukiajiliwa unakuwa limited, mabano mengi sana
Mfano halisi ni huu, Mimi Wakati nimeajiriwa kwa Mzee katika Utawala wa Mama hata wa Caryn nilikuwa napewa hesabu labda mzigo kilo 1 TRA usizidi 2,800 kwa kifupi nilikuwa napewa rate ambayo sitakiwi kuzidi, Sasa ukichukua 2,800 ukajumlisha na gharama zingine kama kulipa police, kupakia mizigo kwenye toroli hadi kwenye Sealink, kulipa wachukuzi, kununua tape ukija ku calculate total hadi mizigo inafika Dar hesabu inaweza kufika 3000 hadi 3,200 kwa kila kilo, kumbuka hii ndio rate ya chini zaidi,
Binafsi sijawahi kufikisha 4,000 mara zote nakuwa chini ya hapo, na hakuna Agent anayeweza kukubali kutoa mzigo kwa elfu 4 kwa kilo moja, sidhani kama wapo, Ma agent ninao wajua wote wanachezea 4,500 kwenda juu, Wanao charge chini ya hapo labda Ukute Kampuni ndio inaanza
Ukiwa kama Agent una bargain na Kampuni, Ma-Agent wengi huwa wana charge 4,500 hadi 5,000 per kilo, Sasa Kampuni ikishakubaliana na Agent kwamba itamlipa Elfu 4,500 kwa kila kilo kutoka Zanzibar hadi kuufikisha mzigo Dar, Kampuni itakachofanya itapiga hesabu ya kilo zinazotakiwa kusafirisha, tuseme labda Kampuni ina kilo elfu 2 yani Tani 2, so itachukua 2,000 × 4,500 = 9,000,000. Kampuni itampatia Agent milioni 9 baada ya hapo kampuni haitatoa pesa nyingine yeyote Kwa maana ya kwamba katika hiyo milioni 9 Agent atalipia kuanzia usharu usafirisha na takataka zote
Wakati nimeajiriwa Mimi nilishapiga hesabu huwa mara nyingi natumia 3,000 au 3,200 kwa kilo kuitoa Zanzibar hadi kuifikisha Dar, Sasa piga 3200 mara elfu mbili kilo za mzigo 3,200 × 2000 = 6,400,000 sasa Chukua Ile milioni 9 toa hiyo milioni 6 na laki nne (9,000,000 - 6,400,000) inabaki milioni mbili na laki sita, so 2,600,000 hiyo ndio pesa anayobakiwa nayo Agent kama akiweza kufanya clearing ya kilo moja kwa 3,200, Au kama hiyo hesabu imekuchanganya unaweza kuchukua 4,500 - 3200 = 1,300 so elfu moja mia tatu ndio faida yako kwa kila kilo moja, Sasa utachukua 1,300 utazidisha kwa kilo ulizosafirisha tuseme ni hizo kilo elfu 2 so itakuwa 1,300 × 2,000 = 2,600,000
Na Uzuri wa Agent mkishaingia makubaliano na kampuni jambo kubwa huwa wanataka uwafikishie mzigo wao kwa Wakati wao hawahitaji Documents za TRA sijui waanze kupitia mchakato mzima ulioufanya hadi unapitisha mzigo Bandarini wao hiyo sio shughuli yao, lakini Ukiajiriwa Documents ni muhimu kuonesha ofisini, Ujinga wa hizi Kampuni Sasa Mfano mimi si niliwekewa rate ambayo haitakiwi kuzidi 2,800 TRA lakini nikichezesha pale TRA nikatumia 2,500 kulipia kwa kilo na kwenye document ikaonesha hivyo ukipeleka Ofisi hiyo Document kama ilivyo ujue hio 300 itauliziwa,
Sasa tufanye labda umefanya clearance ya kilo elfu moja badala ya kutumia 2,800 ukatumia 2,500 so utakuwa umeokoa Tsh 300 kwa kilo moja, piga mara kilo elfu moja 300 × 1000 = 300,000 kama ni muajiriwa hii chenchi ni lazima urudishe kwasababu kwenye document itaonesha umetumia 2,500 vingine labda ucheze na namba za uongo na kweli ili kuonesha hiyo laki 3 Mahali ulipozitumia, unaweza ukasema mzigo ulikamatwa na kuingizwa CRN, Kuna namna nyingi za kuchezesha
Turudi upande wa Kampuni namna Inavyopata faida, Kampuni nyingi huwa wanacharge Dola 12, 13 hadi 14.5 kwa kilo moja ya mzigo
Sisi tunacharge $12 per kilogram, Chukua zile kilo elfu mbili mara dollar 12, inakuja $24,000 convert hiyo Dola elfu ishirini na nne kwa pesa zetu (rate ya leo $1 = 2371) So $24,000 × 2371 = 56,904,000. Kwenye hii milioni hamsini na sita na laki tisa toa Ile milioni 9 aliyopewa Agent
56,904,000 - 9,000,000 = 47,904,000/=
Kwenye hiyo milioni 47 na laki 9 toa hiyo milioni 7 tufanye ndio mshahara wa wafanyakazi wote japo najua inaweza isifike huko, so inabaki milioni 40 na laki 9, Kwenye hiyo Tsh 40,904,000 tutoe Pesa za pango za Ofisi zote mbili ya China na ya hapa Bongo, tutoe tu hata milioni 5 katika hiyo milioni 40 inabaki milioni thelathini na tano na laki 9
Nilisahau kutoa gharama ya Airway bill, Kusafirisha mzigo kwenye ndege tu Assume ni elfu 5 kwa kila kilo (haiwezi kuzidi hiyo) So 5,000 × 2,000 = 10,000,000 So kwenye Ile milioni 35 tutoe milioni 10.
35,904,000 - 10,000,000 = 25,904,000
Katika hiyo Milioni 25 na laki 9 tutoe hiyo milioni tano na laki tisa kwa emergencies zozote, inabaki milioni 20 kamili ambayo hiyo ndio faida ya Kampuni, na inaweza kuwa zaidi ya hapo kwasababu nimefanya makadirio makubwa kwenye mahesabu kama hapo kwenye Airway bill huwa ni chini ya hiyo elfu 5
Kumbuka hiyo ni hesabu ya trip moja, kwa Kampuni ya kawaida kama ya Mzee hizo kilo elfu 2 na zaidi huwa zina safirishwa kwa mara mbili kwa wiki
Sasa tufanye makadirio ya chini kabisa Kampuni ya Mzee kwa wiki inasafirisha kilo elfu 3, Mwezi una wiki nne so 3000 × 4 = 12,000
Tani 12 Yani kilo 12,000 × $12 = 144,000
144,000 kwa pesa ya kiBongo tukipiga kwa rate yetu Ile Ile ya 2371 inakuja 340,560,000
Hiyo milioni mia tatu ndio hesabu ya mwezi na kumbuka hayo ni makadirio ya chini kabisa lakini pia kumbuka hiyo sio faida kuna gharama za kuendesha Kampuni bado hatujatoa zile Pesa za Agent zipo humo humo kwenye hiyo mia tatu Airway bill na kila kitu
Turudi kwenye hesabu yetu ya kilo elfu mbili, tufanye kila wiki Kampuni inasafiri Tani 2 tu, hesabu yake si tulishaipiga na tukapata faida ni milioni 20 halafu kwenye hii milioni 20 tulishawalipa wafanyakazi na tulishalipa rent ya Ofisi zote mbili so ukipiga mara wiki 4, itakuwa milioni 80+ hiyo ni faida ushatoa kila kitu na kuwalipa wafanyakazi
Inakuja Milioni 80 + kwasababu kuna gharama za kuendesha Kampuni hazijirudii Kila wiki, kama kulipa wafanyakazi au kulipa pango la ofisi
Binafsi kwa wiki tu nilikuwa nakimbiza hadi tani 5, lakini sasa huwa sio Guarantee, wiki hii ukipiga Tani 5 wiki ijayo unaweza piga Tani moja na kilo kadhaa
Halafu kwenye hiyo rate ya Dollar 12 kuna kitu nimesahau, sio mizigo yote inachajiwa kwa rate hiyo vitu kama simu laptops zina charges zake, halafu kwenye story mnakumbuka ile Kampuni niliyopoteza mzigo wao, wale wanachajiwa zaidi ya Dola 12, kwasababu wale wenyewe wateja wao wanawalipisha dollar 18.5
Kwa kifupi Mzee Kwa mwezi faida yake inaanzia Milioni 100 na kuendelea, ninaweza kusema hii kama sio Kampuni ya kwanza basi ipo nafasi ya pili katika zile Kampuni ambazo Mzee zinamuingizia Pesa ya kutosha
Nihitimishe kwa kusema kwamba hizi Air Cargo Companies zinalipa sana na kwa sisi wafanyakazi itakulipa zaidi kama ukiwa Agent maana unaweza kufanya kazi na makampuni mengi kwa kadri uwezavyo lakini hata kama ukifanya na Kampuni moja kama Ina kilo za kutosha bado upo mbele
Welcome to the world of $1 a day, if you make it good for you otherwise it's your fucking problems