Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Kuna mdau alileta story ya kimombo ilikuwa poa sikumbuki kichwa cha habari. Naomba nikumbushwe ni nzuri. Alianza kwa kuandika" my wife is a CEO......."
 
Mirungi
 
Brother kuna ujumbe wako DM
 
Mtunzii upo makini Sana hongera...... Pole kwa yote uliopitia ni changamoto ktk utafutajii....... Naamn utajfunza na unaendelea kujfunza kila uchao... Nasubiri epsode ya tatu..... Unitag pls @Monetary doctor ..... Asante na Barikiwa
 
BM X6 huko jikoni hamna uliloliokota huko arosto itatuua.
Matukio yapo ya kutosha mkuu ila muda tu ndio unabana, nikisema nifosi kuandika Sasa hivi basi itakuwa kila mwezi ni episode 1, so ngoja tujipate kwenye muda tukirudi ni Bampa to Bampa

Uzuri the more time I take the more matukio yanaongezeka
 
Matukio yapo ya kutosha mkuu ila muda tu ndio unabana, nikisema nifosi kuandika Sasa hivi basi itakuwa kila mwezi ni episode 1, so ngoja tujipate kwenye muda tukirudi ni Bampa to Bampa

Uzuri the more time I take the more matukio yanaongezeka
sawa bila shaka tunakusubiri kwa hamu kubwa kamanda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…