Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Kwa mtazamo wangu......Vipi mkuu caryn na iryn nani kafunika? [emoji13]
acha uchuloHuu uzi kama umekufa tumehamia kwa Insider kule na biashara ya uber
daah! Unajua huku kwa caryn Pamoto sanaaa, na kinachombeba caryn ni ka tabia kake fulani hivi ka ubabe babe... Ngoja romance zianze mara wapeane mate kwa bahati mbaya tuone udhaif wake na yeye... Kule kwa iryn napo pamoto ujue... Alaf iryn kule kaelezewa kapewa sifa nyingi sana nzuri nzuri, anaongea na watu wa rika zote maskini kwa matajiri, anaonekana ni mkubwa kuliko caryn, ana msimamo kwa wanaume ukiacha kwa insider, mtu wa out sana na mpenda biashara pia...Vipi mkuu caryn na iryn nani kafunika?
Nakubal Kaka kevoo......hahaha yani we jamaa, sawa bwana, jack danie> 1. MIMI NA BOSI WANGU, 2.HARAKATI ZA MAISHA, hao wengine nimevisahau, Nourhan aje kutoa mwongozo
pamoja mkuu daahNakubal Kaka kevoo......
Nn broh unasikitka[emoji16]pamoja mkuu daah
hahahaha ee bwana, bwana unajua naona story nimekurundikia nyingi kuzimaliza mpaka mwakani mkuuNn broh unasikitka[emoji16]
Hhhhhh wee nipe tuu ndg angu....hahahaha ee bwana, bwana unajua naona story nimekurundikia nyingi kuzimaliza mpaka mwakani mkuu
Ni nini tenaSad news indeed. Mungu ampe pumziko la milele
kwa hao waandish, samahan aunt...Kwa yupi sasa,halafu mie ni shangazi sio mjomba
ipi hyo? Kwa insider nimeishia 60Mmh mbona kama hujasoma episode ya mwisho?
Kwa yupi sasa
Thread 'Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema' Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wemakwa hao waandish, samahan aunt...