Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Hello Members, it's been a while

Niko na sad news, nilitaka hii habari niwapatie katika muendelezo wa story but nimeshindwa kuvumilia, in short yule kijana aliyebeba Heading ya hii story hatupo nae tena hapa Duniani

Ni wiki sasa tangu nipokee hizi taarifa, ila kwa mujibu wa aliyenipa taarifa ni kwamba kijana alifariki tarehe 9 September

Kiukweli nimeumia kwa kiasi chake

Anyways, sitaki kuwaahidi muendelezo utakuwa lini ila tambueni tu katika season 3 kuna character hautawasikia tena majina yao au utawasikia tu katika episodes za mwanzoni

Kijana wa Buguruni
Opportunist


Majina matatu ndio yatatawala sana
Annie
BM
Caryn
Duuh
 
Hello Members, it's been a while

Niko na sad news, nilitaka hii habari niwapatie katika muendelezo wa story but nimeshindwa kuvumilia, in short yule kijana aliyebeba Heading ya hii story hatupo nae tena hapa Duniani

Ni wiki sasa tangu nipokee hizi taarifa, ila kwa mujibu wa aliyenipa taarifa ni kwamba kijana alifariki tarehe 9 September

Kiukweli nimeumia kwa kiasi chake

Anyways, sitaki kuwaahidi muendelezo utakuwa lini ila tambueni tu katika season 3 kuna character hautawasikia tena majina yao au utawasikia tu katika episodes za mwanzoni

Kijana wa Buguruni
Opportunist


Majina matatu ndio yatatawala sana
Annie
BM
Caryn
Duuh! aisee dunia mapito apumzike kwa amani...
 
Tafuta post namba #1155 ndio utaiona SEASON 2 EPISODE 7
Asante Sana Mkuu BM X6 Nimeiona... Mkuu nilikua naomba kwa niaba ya wote wanaotumia simu ndogo za batani (Viswaswadu) tunapata shida kidogo kwenye ufunguaji wa page inachukua muda mrefu... Unakuta kufungua page 5 au 6 inachukua dakika 10 hadi mpaka 20... Nilikua naomba mkuu BM X6 uwe unaweka link kila mwisho wa episode ili na sisi tupate unafuu... Ni OMBI tu mkuu kama utakuwa na muda wa ziada... Au kama halitaathiri muda wako...

Asante

BM X6
 
Hello Members, it's been a while

Niko na sad news, nilitaka hii habari niwapatie katika muendelezo wa story but nimeshindwa kuvumilia, in short yule kijana aliyebeba Heading ya hii story hatupo nae tena hapa Duniani

Ni wiki sasa tangu nipokee hizi taarifa, ila kwa mujibu wa aliyenipa taarifa ni kwamba kijana alifariki tarehe 9 September

Kiukweli nimeumia kwa kiasi chake

Anyways, sitaki kuwaahidi muendelezo utakuwa lini ila tambueni tu katika season 3 kuna character hautawasikia tena majina yao au utawasikia tu katika episodes za mwanzoni

Kijana wa Buguruni
Opportunist


Majina matatu ndio yatatawala sana
Annie
BM
Caryn
Mungu ampe pumziko la amani, Dunia tunapita
Vipi sasa jukumu la wadogo zake linabaki kwako
 
Hello Members, it's been a while

Niko na sad news, nilitaka hii habari niwapatie katika muendelezo wa story but nimeshindwa kuvumilia, in short yule kijana aliyebeba Heading ya hii story hatupo nae tena hapa Duniani

Ni wiki sasa tangu nipokee hizi taarifa, ila kwa mujibu wa aliyenipa taarifa ni kwamba kijana alifariki tarehe 9 September

Kiukweli nimeumia kwa kiasi chake

Anyways, sitaki kuwaahidi muendelezo utakuwa lini ila tambueni tu katika season 3 kuna character hautawasikia tena majina yao au utawasikia tu katika episodes za mwanzoni

Kijana wa Buguruni
Opportunist


Majina matatu ndio yatatawala sana
Annie
BM
Caryn
Apumzike kwa Amani! Dunia tambara bovu.

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Hello Members, it's been a while

Niko na sad news, nilitaka hii habari niwapatie katika muendelezo wa story but nimeshindwa kuvumilia, in short yule kijana aliyebeba Heading ya hii story hatupo nae tena hapa Duniani

Ni wiki sasa tangu nipokee hizi taarifa, ila kwa mujibu wa aliyenipa taarifa ni kwamba kijana alifariki tarehe 9 September

Kiukweli nimeumia kwa kiasi chake

Anyways, sitaki kuwaahidi muendelezo utakuwa lini ila tambueni tu katika season 3 kuna character hautawasikia tena majina yao au utawasikia tu katika episodes za mwanzoni

Kijana wa Buguruni
Opportunist


Majina matatu ndio yatatawala sana
Annie
BM
Caryn
Mungu amrehemu ilikuwaje kafariki aliumwa au??
 
Back
Top Bottom