Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Ulivyosema Caryn hajaonesha dalili kwa BM ndio nimeona hujasoma yote,.. mtoto kaingia kingi kitambo
[ndio nimemaliza saiv mpak anasema yupo tayr kumvumilia BM Kama kunatabia hazipendi ataacha
 
Hello Members, it's been a while

Niko na sad news, nilitaka hii habari niwapatie katika muendelezo wa story but nimeshindwa kuvumilia, in short yule kijana aliyebeba Heading ya hii story hatupo nae tena hapa Duniani

Ni wiki sasa tangu nipokee hizi taarifa, ila kwa mujibu wa aliyenipa taarifa ni kwamba kijana alifariki tarehe 9 September

Kiukweli nimeumia kwa kiasi chake

Anyways, sitaki kuwaahidi muendelezo utakuwa lini ila tambueni tu katika season 3 kuna character hautawasikia tena majina yao au utawasikia tu katika episodes za mwanzoni

Kijana wa Buguruni
Opportunist

Majina matatu ndio yatatawala sana
Annie
BM
Caryn
Sad news for the boy. Mungu ampe pumziko la milele
 
Hello Members, it's been a while

Niko na sad news, nilitaka hii habari niwapatie katika muendelezo wa story but nimeshindwa kuvumilia, in short yule kijana aliyebeba Heading ya hii story hatupo nae tena hapa Duniani

Ni wiki sasa tangu nipokee hizi taarifa, ila kwa mujibu wa aliyenipa taarifa ni kwamba kijana alifariki tarehe 9 September

Kiukweli nimeumia kwa kiasi chake

Anyways, sitaki kuwaahidi muendelezo utakuwa lini ila tambueni tu katika season 3 kuna character hautawasikia tena majina yao au utawasikia tu katika episodes za mwanzoni

Kijana wa Buguruni
Opportunist


Majina matatu ndio yatatawala sana
Annie
BM
Caryn
Poleni sana inasikitisha mno. Mkuu twakuomba umalizie stori basi maisha yasonge.
 
Kuna kigongo kipya kitaingizwa Jf kwa mara ya kwanza kabisa.
Wale wapenzi wa vitu vya kijasusi vilivyoshiba msikose hii kitu ..(MABADUNI WA SERIKALI).
Kigongo kina sura sita tu, na bado sura mbili kikamilike.


Ningepost lakini naijua arosto ya wadau humu wanaweza kukuombea dua mbaya hivyo naiheshimu sana hadhira.
Wakosoaji wasikose, narudia tena, wasikose. Maana wanaleta ukamilifu ambao nautaka...
SOON TO BE THERE.
 
Kuna kigongo kipya kitaingizwa Jf kwa mara ya kwanza kabisa.
Wale wapenzi wa vitu vya kijasusi vilivyoshiba msikose hii kitu ..(MABADUNI WA SERIKALI).
Kigongo kina sura sita tu, na bado sura mbili kikamilike.


Ningepost lakini naijua arosto ya wadau humu wanaweza kukuombea dua mbaya hivyo naiheshimu sana hadhira.
Wakosoaji wasikose, narudia tena, wasikose. Maana wanaleta ukamilifu ambao nautaka...
SOON TO BE THERE.
Tunaisubiri kwa hamu mkuu
 
Hello Members, it's been a while

Niko na sad news, nilitaka hii habari niwapatie katika muendelezo wa story but nimeshindwa kuvumilia, in short yule kijana aliyebeba Heading ya hii story hatupo nae tena hapa Duniani

Ni wiki sasa tangu nipokee hizi taarifa, ila kwa mujibu wa aliyenipa taarifa ni kwamba kijana alifariki tarehe 9 September

Kiukweli nimeumia kwa kiasi chake

Anyways, sitaki kuwaahidi muendelezo utakuwa lini ila tambueni tu katika season 3 kuna character hautawasikia tena majina yao au utawasikia tu katika episodes za mwanzoni

Kijana wa Buguruni
Opportunist


Majina matatu ndio yatatawala sana
Annie
BM
Caryn
Daah rest in peace Kijana wa Buguruni, pole sana mkuu hata mimi nimeumia kiasi chake, maana ndiye sababu kuu ya kutuletea hii series
 
Hello Members, it's been a while

Niko na sad news, nilitaka hii habari niwapatie katika muendelezo wa story but nimeshindwa kuvumilia, in short yule kijana aliyebeba Heading ya hii story hatupo nae tena hapa Duniani

Ni wiki sasa tangu nipokee hizi taarifa, ila kwa mujibu wa aliyenipa taarifa ni kwamba kijana alifariki tarehe 9 September

Kiukweli nimeumia kwa kiasi chake

Anyways, sitaki kuwaahidi muendelezo utakuwa lini ila tambueni tu katika season 3 kuna character hautawasikia tena majina yao au utawasikia tu katika episodes za mwanzoni

Kijana wa Buguruni
Opportunist


Majina matatu ndio yatatawala sana
Annie
BM
Caryn
RIP kijana, sad news
 
Back
Top Bottom