Naomba link mkuu...nipate hiyo story ya InsiderNapata feeling kuwa labda hii stori aliyeileta anasubiri stori ya Insider Man ifike mwisho ndipo yeye arudi kuiendeleza hii ya kwako vinginevyo hatapata muitikio mzuri wa viewers.
Kwa niaba ya TANESCO naomba utujulishe ni wapi uko hatujakata leo?.Uncle BM X6 , mimi na uncles kwa aunts zangu
Statics
hermanthegreat
KipajiTz
Cauldron
Jadda
mshamba_hachekwi
pretta360
Mabusu
To yeye
Kambi ya Fisi
Kelvin35
Nourhan
Lightone
Shunie
Gentlemen_
Edo kissy
Missy Gf
hardboy
Valentina
babamwenyenyumba
Antonnia
Kambi ya Fisi
ilore
Sonko Bibo
Lamomy
akanyambasira
trudie
MIRA01
tunaomba basi muendelezo uncle.........
nichkue pia nafasi hii kupongeza TANESCO kwa leo
Naomba unitag plsNapata feeling kuwa labda hii stori aliyeileta anasubiri stori ya Insider Man ifike mwisho ndipo yeye arudi kuiendeleza hii ya kwako vinginevyo hatapata muitikio mzuri wa viewers.
Hatimaye umetusahauTafuta post namba #1155 ndio utaiona SEASON 2 EPISODE 7
Yaani siku akiweka mwendelezo unakuwa umeshasahau nyuma ilikuwajeUncle BM X6 , mimi na uncles kwa aunts zangu
Statics
hermanthegreat
KipajiTz
Cauldron
Jadda
mshamba_hachekwi
pretta360
Mabusu
To yeye
Kambi ya Fisi
Kelvin35
Nourhan
Lightone
Shunie
Gentlemen_
Edo kissy
Missy Gf
hardboy
Valentina
babamwenyenyumba
Antonnia
Kambi ya Fisi
ilore
Sonko Bibo
Lamomy
akanyambasira
trudie
MIRA01
tunaomba basi muendelezo uncle.........
nichkue pia nafasi hii kupongeza TANESCO kwa leo
kwel kbs tiYaani siku akiweka mwendelezo unakuwa umeshasahau nyuma ilikuwaje
Mkuukuna story huko inaitwa niliemdhania kahaba kumbe kibra ni bonge moja la story..
Na bora aende huko ili Caryn ammiss kidg.. akiskia kasafiri hayupo mjini alili itamkaa sawa.. big up!Pia nashauri ukiona mambo hayaeleweki nenda Mwnza kazuge kwa bibie Annie, akili ita restore
Ajali kazini..Lakini kichosababisha nisimamishwe kazi hakihusiani na mazoea
Yangu kwa Caryn...Kura yako Muhimu
HahahhaaaaAnnie mnapendana. Lakini sometimes love is not enough kutosha kufunga ndoa. Mnaoana na mtu wote hali za kiuchumi ni za tia maji. Mnapata shida tu mnaanza kuliliana machozi. Mfano mmoja anaumwa ugonjwa na matibabu yake ni India. Machozi na mapenzi hayatoshi kusolve tatizo lililoko mezani. (I have been there ninajua ninachoongea). Tutakufa wote hilo halina ubishi. Ila kuna vifo vinatuwahi kwa sababu ya umasikini wetu. Machozi na mapenzi hayaleti uhuru wa maisha. Go for love + uhuru wa uchumi.
Go for Carren. Build an empire with her. Ila fanya kazi sana kwa weledi mkubwa ili ktk hiyo empire wewe binafsi uwe na share nyingi pia. Mwanzo mwanzo wa penzi hakikisha unafanya uwekezaji wa maana. Usibweteke hata kidogo. Ili heshima ya mwanaume ktk ndoa kuwa juu ibaki pale pale.
Kura yangu kwa Carren
...samahani sana Annie kama utapita hapa. Mungu atakupa wa kwako. Huyu akili imeshacheza penzi lako liko kwenye kipimo.
Caryn ni mwanamke na nusu...ELECTION RESULTS
ANNIE: Total Votes 79
CARYN: Total Votes 106
(Wakali wa mahesabu hapo ni asilimia ngapi kwa ngapi?)
Wapenzi na wadau wa Live story ya Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni wamempendekeza Caryn kama Mwanamke wa maisha yangu, Kwa matokeo hayo Binafsi nasema kuna haja ya kichwa Cha Uzi kibadilishwe na kuwa Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa Caryn
Asanteni wote kwa ushirikiano wenu [emoji1545]