Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Napata feeling kuwa labda hii stori aliyeileta anasubiri stori ya Insider Man ifike mwisho ndipo yeye arudi kuiendeleza hii ya kwako vinginevyo hatapata muitikio mzuri wa viewers.
Naomba link mkuu...nipate hiyo story ya Insider
 
Kwa niaba ya TANESCO naomba utujulishe ni wapi uko hatujakata leo?.
 
Yaani siku akiweka mwendelezo unakuwa umeshasahau nyuma ilikuwaje
 
Hahahhaaaa
 
Caryn ni mwanamke na nusu...
Rudieni bongo movie moja ya JB inaitwa REGINA mtamuona Caryn....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…