Aslan Hatun
Senior Member
- Aug 31, 2021
- 100
- 449
Hivi "baadae" hua ni baada ya masaa mangapi naona bora ungesema itaendelea wiki ijayo..Inaendelea badae acha nipate msosi.....story yangu ina episode 2 tu, hiyo episode ya pili ndio muhimu zaidi Sababu ushauri wako ndio unahitajika hapo
whats aiseeeeeeeer😳Hicho kilichochukuliwa kwenye gari yangu na kijana wa Bugurini ambae alikua ni miongoni mwa vijana uliowapa chakula, nitakipata tuu ila umekosa umakini na utajiongezea utata endapo utazidi kuanika mambo ktk jukwaa hili. Nadhani umenielewa kijana wangu
Hakuna muendelezo hapa,,,mzee mwenye magari kawaka hapo juu.Hivi "baadae" hua ni baada ya masaa mangapi naona bora ungesema itaendelea wiki ijayo..
Beer tamAaah Sio kweli
Asikwambie mtu....Beer tam
Dah haya mambo haya!, napata mashaka isije ikawa kama ya bwana yule.... Yeye kila baada ya muda fulani anarudi kwao kupika sadaka then maji ambayo watu watanawa kabla na baada ya kula huyahifadhi vizuri na kurudi nayo mjini kwaajili ya mambo yake ya kuwa rich one!.Hicho kilichochukuliwa kwenye gari yangu na kijana wa Bugurini ambae alikua ni miongoni mwa vijana uliowapa chakula, nitakipata tuu ila umekosa umakini na utajiongezea utata endapo utazidi kuanika mambo ktk jukwaa hili. Nadhani umenielewa kijana wangu